Тёмный

MANENO MAGUMU ALIYOAMBIWA RAIS MAGUFULI NA NABII MWINGIRA 

Mwanzo TV Plus
Подписаться 179 тыс.
Просмотров 208 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 125   
@samsonmagesa3959
@samsonmagesa3959 5 лет назад
Ukiwa na Mungu wa kweli huwezi kuogopa kusema Mungu hakubariki sana Mchungaji
@filorammbaga5710
@filorammbaga5710 4 года назад
Asante MTU wa Mungu umeongea vizuri na kiongozi wako Mungu awatie nguvu viongozi wa dini wamsaidie mheshimiwa kwa maombi ili nchi yetu iende sawa .
@brysonsabun4657
@brysonsabun4657 5 лет назад
This is awesome!! Sera zijadiliwe and be done in one accord, perfect!!
@consolatamaarufu58
@consolatamaarufu58 5 лет назад
nampenda sana mchungaji wangu mwingira mungu akubariki mno amen
@hylinenyakweba3435
@hylinenyakweba3435 4 года назад
gooooooooooooood mchungaji kwa upeooooo
@briansancedo9336
@briansancedo9336 4 года назад
Safi sana mtumishi bira unafiki ubarikiwe sana
@veronicabenezeth6602
@veronicabenezeth6602 4 года назад
Wewe ndiye mtumishi ya Mungu.
@deustutu1162
@deustutu1162 5 лет назад
point sana amina
@innopro6882
@innopro6882 5 лет назад
Point sana Nabii
@ufufuowarohonitv5900
@ufufuowarohonitv5900 5 лет назад
Upo vzuri sana mwingira
@rehemareubeni5783
@rehemareubeni5783 5 лет назад
I understand you my spiritual Father May God protect you
@braytonelee7520
@braytonelee7520 5 лет назад
amen
@simonulula3607
@simonulula3607 4 года назад
Ubarikiwe sana
@bluecloud7313
@bluecloud7313 8 месяцев назад
Huyu mtume na nabii Mwingira ameongea points sana
@prosicoviayustas7215
@prosicoviayustas7215 5 лет назад
Kweli Baba apostle
@samally3136
@samally3136 5 лет назад
Nimekubali
@chonelamakono5083
@chonelamakono5083 5 лет назад
asante Apostle, umeongea ukweli sio kukaa na kusifia mambo ambayo hayapo
@imranijuma6955
@imranijuma6955 2 года назад
KABISAAAA MAGUFULI alituaminisha
@imranijuma6955
@imranijuma6955 2 года назад
Kumbe HAMNA KITU Bora mama msema KWELI
@lordrichreuben1446
@lordrichreuben1446 4 года назад
Daah huyu jamaa yuko vzuri nmemkubali.
@geofreykilasi7354
@geofreykilasi7354 5 лет назад
Haleluya kwa Bwana
@barryryoba1489
@barryryoba1489 5 лет назад
Efatha.. Mwingira ana hekima sana. Hawa viongozi wa kiroho wanaongea wima bila unafiki, nadhani ni kwasababu wanaongozwa na roho mtakatifu. Nimemsikiliza huyu Mkuu Wa Efatha.. Anaongea yani kitaalam (kama professor). Kweli Mungu anaimarisha sana wateule wake.
@isayamapela6619
@isayamapela6619 4 года назад
Asate sante Sana
@renfridnamilembo2805
@renfridnamilembo2805 4 года назад
Uko saf sana ww kweli mtumishi wa mungu
@mathewkissimathedone2802
@mathewkissimathedone2802 5 лет назад
Blesed dady we lov u....
@yohanamoikan7709
@yohanamoikan7709 2 года назад
Good things
@rainardleonard8045
@rainardleonard8045 3 года назад
Amina Baba
@emanuelmwanga4
@emanuelmwanga4 4 года назад
Ndio maana nilisema hivi watu wana mengi moyoni ila basi tu wanaogopa kusema lakini mtaumbuka hhhh maendeleo yanarudi nyuma au yanaenda mbele duhhh
@shkonlinetv1756
@shkonlinetv1756 5 лет назад
ASANTE SANA MKUU WETU WA NCHI KWA UMOJA AMBAO UMEAMUA KUUREJESHA KILA ENEO, MWANZONI ILIANZA KAMA KUTIA HOFU, SASA TUNAANZA KWENDA KAMA TAIFA..BARIKIWA MKUU NA UUNGWE MKONO NA KILA MPENDA TAIFA LETU ATOE MCHANGO WAKE...
@jasminlwande811
@jasminlwande811 5 лет назад
Mungu asimamie hili taifa
@wilfredmollel7647
@wilfredmollel7647 5 лет назад
Ukitaka kujua point ambazo Mkuu hajafurahia, utasikia haya sasa tunaenda kwaaaaa!. Hahahha malizia
@elizabethmwinuka2859
@elizabethmwinuka2859 4 месяца назад
Nampenda sana mchungaji mwigira nimepona kupitia maombi yake
@makwetaevelyn3896
@makwetaevelyn3896 5 лет назад
yaani hapo Mzee umeongea wakiona MTU anapesa kidogo arafu anaitaji eneo wanatumia kila mbinu ili utolewe Ila ni janja za watu kwa rahisi huyu watasoma namba
@ambitiousholyspirit395
@ambitiousholyspirit395 2 года назад
Mungu akulinde!
@abdulshekashia7767
@abdulshekashia7767 4 года назад
mungu akutuze baba angu
@hassanturky7511
@hassanturky7511 5 лет назад
Duh kakosea sannnnna kusema kwamba anashughulikia serikali ya mbinguni huyu padri.
@lydiathadeous6644
@lydiathadeous6644 5 лет назад
Hassan Turky siyo padri ni mchungaji , na pia anamaanisha serikali ya mbingu means kutumika kondoo wa bwana kutangaza neno na bwana . Elewa
@laurenciarevocatus475
@laurenciarevocatus475 4 года назад
Elewa pia yeye anaandaa watu kwaajil ya uko mbinguni sio apa duniani ndio maana anakuhubiria kuacha dhamb anamaanisha kuiacha dunia
@barackbrysonramsey
@barackbrysonramsey 5 лет назад
Point
@barryryoba1489
@barryryoba1489 5 лет назад
Ndugu John Magufuli, Mungu akubariki kwa hizi hekima zako.. Na akuzidishie hekima na maarifa.
@frankmosha5854
@frankmosha5854 4 года назад
Baba upo vizuri baba
@kilowejackson7537
@kilowejackson7537 5 лет назад
Hongera umenena vyema
@merryally2664
@merryally2664 3 года назад
Watanzania tumlilie mungu alie ai ampoke rais tutakukumbuka rais wetu pendo ra mungu lipondani yake
@bonabonala42
@bonabonala42 4 года назад
Mwingira. Usikatishwe.taama.nagwajima.hana.upako.wa mungu. yunamjiaa
@ambitiousholyspirit395
@ambitiousholyspirit395 2 года назад
Amen
@ignassindabaha1813
@ignassindabaha1813 3 года назад
Duuuu point konki
@danielmagwaza2410
@danielmagwaza2410 5 лет назад
Kaongea vizuri huyu baba paroko tatizo magufuli huwa c muelewi
@tinamzava834
@tinamzava834 4 года назад
Ataelewa tu uchaguz huu
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 2 года назад
Hawa ndo wez wa nchi atuonyeshe tax clearance yake kama analipa Kodi vizur
@lastgospel706
@lastgospel706 2 года назад
Sawa sheikh
@wiseman6276
@wiseman6276 2 года назад
Mwenyezi mungu atujaaliye tupate watu wasaukweli kama hawa hakika nchi itaenda mbele
@lembesajackson9351
@lembesajackson9351 5 лет назад
Safi
@akidanyanje9072
@akidanyanje9072 2 года назад
I was never feel to follow this Father, but I have to fall now..
@assengajoseph8825
@assengajoseph8825 5 лет назад
Kuna kauli nyingine ni too philosophical ahahaha mipango miji ni ya Mungu ila vurugu za miji ni za shetan. . . . . ???????
@hassanmpwepwe3826
@hassanmpwepwe3826 5 лет назад
uko sawa mkuu
@salvatorymasaki4758
@salvatorymasaki4758 5 лет назад
Very true Dad.
@eatlawe
@eatlawe 4 года назад
Watu wenye hekima kama huyo ndio wanatakiwa washauri wa rais! Ila Tanzania hatuna maono hayo ila mtu mmoja huamua kwa ajili 50 plus million people!
@abdalahngilisho7433
@abdalahngilisho7433 5 лет назад
Congrat. Good speech, lakini kwanini usiseme yote hapa unataka muongee wawili? Nini unaficha?, mbona raisi hakuwaita mmoja mmoja? Hapa unatupunja mtu wa Mungu, kumbuka kupunja ni kwa shetani, lkini kuambiana yote ni kwa Mungu!
@laurenciarevocatus475
@laurenciarevocatus475 4 года назад
Yamkin ni hekima anataka atumie
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 2 года назад
Lipa Kodi mzee achen kutumia taasisi za dini kukwepa kod
@jumavuli7390
@jumavuli7390 4 года назад
9. 10 hali nbaya bwana magu Achiaa pesa bwana kama nihzo ndege utapanda nawatu wako wenye uwezo huku ss Hali inazidi kuwa ngumu bwana.
@mtakatifubony1829
@mtakatifubony1829 3 года назад
Tapeliiiiiiii mkubwaaaaaa weweeeee huna loloteeeeee weka mipango miji kanisani kwakoooooooo
@davidbochela1441
@davidbochela1441 3 года назад
Hilo halikufai kitu pia
@frankkaiza3658
@frankkaiza3658 4 года назад
Ck zote tunge kua na vikao kama ivi na viongozi wa kiroho ina pendeza cn wana madini cn ni migodi tuwaheshimu mmno!
@babafranco3366
@babafranco3366 5 лет назад
mungu akutie nguvu
@adenhyera4820
@adenhyera4820 5 лет назад
Franck Mwaduma nikweli alichelewaa kuwaita makundi mbambali kupata maoni yao uwaunganisha pamoja km watanzani tatizo washauri au akutaka ushauri naomba asisahau kuwaita viongozi wa vyamaa vya siasa awasikilize na kjb kwelo zao pia ili kujenga umoja wa kitaifa hapo jpm utakuha huna mpizana yaani wakati una apishwa utakiwa kifanya hivyo Kundi kwanza viongozi wa dini ili waombe Mungu akusaidie kuongoza nch la pli viongozi vyama siasa kuombana msamaha kuomba ushilikia ktk kujenga nch kwa nyuma yao nao wana watu
@respiciouszaka585
@respiciouszaka585 5 лет назад
baba asante umesema kweli barikiwa sana
@abaturabu9675
@abaturabu9675 5 лет назад
Enock Komba Je, kabla ya jana ni lini kuliwahi kufanyika kikao kama hiki ktk Taifa hili? Vema mzingatie kuwa kila jambo lina mwanzo na Pres. John Pombe Maghufuri na Sirikali yake wanapaswa kupongezwa. Kwa kweli, Kikao kilikuwa cha Wazi kila mtu amejionea wazi bila pazia. Hongera Pres. Magufuri tutafika kwa amani pale tunapotaka kwenda.
@babafranco3366
@babafranco3366 5 лет назад
kula yangu kwako2020
@annamrsmoses7413
@annamrsmoses7413 2 года назад
Jamaa amechanwa makavu anamwangalia mtumishi kwa jicho kariiiiii, alitaka kusifiwa tu hataki ukweli mchungu
@msafirisaimoni9561
@msafirisaimoni9561 2 года назад
Huyu Ndiyo anasema Magufuli alimfanya vbaya
@emmanuelhaule4410
@emmanuelhaule4410 5 лет назад
Baba umetoa ya kiroho kweli Kabisa vurugu niza shetani
@pailotysejo8754
@pailotysejo8754 4 года назад
I love u dady
@assengajoseph8825
@assengajoseph8825 5 лет назад
Uyu ndio kuzungumza ukwel
@brysonsabun4657
@brysonsabun4657 5 лет назад
Wengine wengi ni pongezapongezaaa. Tuwe wazalendo.
@domindominick4737
@domindominick4737 5 лет назад
uyo ni baba
@tinamzava834
@tinamzava834 4 года назад
Muambie nabii kua watu kama lissu mungu anawaletaga kwa makusud maakum
@oinotymexhack2064
@oinotymexhack2064 5 лет назад
EFATHA FUNGUKA
@eatlawe
@eatlawe Год назад
Huyu jamaa ana akili sana na jasiri sana. Ila alionja joto la mwenyewe.
@nawihadj6674
@nawihadj6674 5 лет назад
Mzee wa Efatah na mkubari hyu mchungaji
@holybeatspro
@holybeatspro 5 лет назад
Karibu sana
@irenegodfrey3052
@irenegodfrey3052 5 лет назад
Karibu Efatha
@shinjekazimily9936
@shinjekazimily9936 5 лет назад
Wewe umesema viru kuliko wanaopongeza kuliko bira kujua adha zilizoko huku chini
@mwanagwakyala3213
@mwanagwakyala3213 2 года назад
Halikumbukwi Tena hlo mzee ,taifa lolote ni umoja,Yani mzee mwingira yote uliyoyaongea ni mawazo kuntu Kama viongoz wetu wangekuwa wanayafanyia kazi Kwa wakat
@nehemialikatage7378
@nehemialikatage7378 4 года назад
Nabii mwingira ni mnafiki sana huyo,anamchukia sana jpm kwa kuwa amenyanganywa benki ya ephata mwongo huyo,msikilize anapoongea ni mnafiki sana,
@bonifacekisinga5908
@bonifacekisinga5908 5 лет назад
Tungepata wachungaji wakweli kama hawa tungesonga mbele marudufu
@bonifacekisinga5908
@bonifacekisinga5908 5 лет назад
Yes
@vumiliahalimeshi3133
@vumiliahalimeshi3133 5 лет назад
kabxaaaa
@iliyasamanzi5667
@iliyasamanzi5667 5 лет назад
Rais tutatulie hili tatizo
@iliyasamanzi5667
@iliyasamanzi5667 5 лет назад
Na mashekhe wamewekwa ndani
@nedkatunge5702
@nedkatunge5702 4 года назад
Tatizo liko kwa wenyeviti wa mitaa wauza maeneo wakati wakijua ni Barbara na road reserve
@mtumishigimbuyitv7608
@mtumishigimbuyitv7608 4 года назад
Namshukuru mungu
@ibrahimchediel4867
@ibrahimchediel4867 5 лет назад
mwingira oyee bomoabomoa za kila mara wakati wasomi wapo .....
@simbamtoto7530
@simbamtoto7530 5 лет назад
Kuna nchi kabla viwanja avijauzwa Kwa wananchi wanaleta umeme maji na barara zalami tena kwamitaa kisha ndio wanauza viwanja
@bahatihaerter8811
@bahatihaerter8811 5 лет назад
Ujerumani ni Nchi ya kikristo lakini cjawahi ckia kua Angela Merkel anawaita maskofu kujadi kuhusu maamuzi aliyo yapanga yy ktk serikali yake
@amashakigelulye7632
@amashakigelulye7632 5 лет назад
Bahati Haerter usilinganishe ujeruman na Tanzania,inayoyafanya Tanzania ujerumani ilifanya miaka mianne iliyopita so utofauti ni mkubwa sana .non sense
@bahatihaerter8811
@bahatihaerter8811 5 лет назад
@@amashakigelulye7632 hata hivyo Magufuli ndiye mwenye mamlaka, tukisema kila anacho taka kutamka awashikishe viongozi wa Dini kwanza ndo litanganzwe hapo ni uongo, mbona tunasema mwanaume no kichwa cha nyumba na sio vitu vyote ambavyo mwanaume ana mhusisha mke wake. Watiini wenye Mamlaka
@manageitall4087
@manageitall4087 4 года назад
Mambo mengine tupime, Kama hajaweza kufanya kazi na team nzima ya bunge bila kujali vyama!!! Hapo vipi??
@lusungumkolla6672
@lusungumkolla6672 2 года назад
Ujerumaji
@thobiasjoel3924
@thobiasjoel3924 4 года назад
Du!
@danfordaugustino3461
@danfordaugustino3461 5 лет назад
Mnataka kuwa wabunge. Huyo ni kazi ya siasa.
@kuchimillionaire6683
@kuchimillionaire6683 5 лет назад
Danford Augustino hahaaaaaaaa
@bahatihaerter8811
@bahatihaerter8811 5 лет назад
Anaye pewa mamlaka hua anakua mmoja mkisema kua kabla hajaamua kitu awashirikishe Mbona itakakua shida itakua Inaonyesha kua Rais hana nguvu ya kuamua jambo, je nyie mtamwita huko Kanisani kwenye mipango ya kanisa? Nenda kapige siasa ili uchangie vizuri
@godlistenmariwa2707
@godlistenmariwa2707 5 лет назад
Hapa sasa rais anajuwa kuwa hakubaliki.!!! Hoja zote zina lawama sana.
@juliusjoseph620
@juliusjoseph620 4 года назад
Jkda
@athumanmfangavu7320
@athumanmfangavu7320 4 года назад
Mh.
@bahatihaerter8811
@bahatihaerter8811 5 лет назад
Magufuli anahekima ndo maana kawahusisha mshukuruni Mungu kwa kila jambo, amechelewa nn, Wacha zako huko, sio kua wachungaji ndo wamekua Malaika, tena nyie ndo wabaya sana.
@gilbertmichael9130
@gilbertmichael9130 4 года назад
Tena wabaya haswaaa
@ruwailaomar6501
@ruwailaomar6501 4 года назад
Nabii wa uwongo
@issackchalahani1235
@issackchalahani1235 5 лет назад
Hayo ni maagizo waliopewa.
@unclesamtz6048
@unclesamtz6048 5 лет назад
Bora kidogo kaongea japo kwa uoga na hofu vile vile
@valenakomba7686
@valenakomba7686 5 лет назад
You havegea kingereza?. Haiwezekani ukawa na mipango endelevu ya milele, hilo ulijuwe sababu hayo yote yanategemea kiasi cha watu waliopo . kama watanzania wangekuwa hawazai busi ingekuwa mipangoendelevu ingezekana. Elimu nayo muhimuu iliueze uweze kuona mbali.
@mashallahoman6355
@mashallahoman6355 5 лет назад
JE masheekhe wetu waliyo wekwa ndani takilibani miaka minane je ahao awakuwa niwatumishi wa mungu? ?
@masetomuhafiwa4546
@masetomuhafiwa4546 5 лет назад
Mashehe wameshindwa kuuliza kuhusu hao wenzao walio ndani
@alphasjoseph7542
@alphasjoseph7542 5 лет назад
Mashehe wangesema sasa hapo kwani hawapo mashehe wa kuwatetea wenzao?
@vumiliahalimeshi3133
@vumiliahalimeshi3133 5 лет назад
Sasa uyo ni shehe?mashehe wenzao c ndo wasemeeeee
@elishasama4892
@elishasama4892 5 лет назад
Amina baba
@makwetaevelyn3896
@makwetaevelyn3896 5 лет назад
yaani hapo Mzee umeongea wakiona MTU anapesa kidogo arafu anaitaji eneo wanatumia kila mbinu ili utolewe Ila ni janja za watu kwa rahisi huyu watasoma namba
@kashinjesimon8097
@kashinjesimon8097 4 года назад
makweta eve
Далее
BUNGE NI DHAIFU - JOHN MNYIKA
6:51
Просмотров 75 тыс.
"Hela ni Zangu, Nipe Nikafe Potelea Mbali" JPM- Ikulu
8:19
Бокс - Финты Дмитрия Бивола
00:31
3 лайфхака для УШМ
01:00
Просмотров 149 тыс.
Askofu Kakobe Mbele ya Magufuli "Wewe ni Shujaa"
13:29
Бокс - Финты Дмитрия Бивола
00:31