Efatha.. Mwingira ana hekima sana. Hawa viongozi wa kiroho wanaongea wima bila unafiki, nadhani ni kwasababu wanaongozwa na roho mtakatifu. Nimemsikiliza huyu Mkuu Wa Efatha.. Anaongea yani kitaalam (kama professor). Kweli Mungu anaimarisha sana wateule wake.
ASANTE SANA MKUU WETU WA NCHI KWA UMOJA AMBAO UMEAMUA KUUREJESHA KILA ENEO, MWANZONI ILIANZA KAMA KUTIA HOFU, SASA TUNAANZA KWENDA KAMA TAIFA..BARIKIWA MKUU NA UUNGWE MKONO NA KILA MPENDA TAIFA LETU ATOE MCHANGO WAKE...
yaani hapo Mzee umeongea wakiona MTU anapesa kidogo arafu anaitaji eneo wanatumia kila mbinu ili utolewe Ila ni janja za watu kwa rahisi huyu watasoma namba
Congrat. Good speech, lakini kwanini usiseme yote hapa unataka muongee wawili? Nini unaficha?, mbona raisi hakuwaita mmoja mmoja? Hapa unatupunja mtu wa Mungu, kumbuka kupunja ni kwa shetani, lkini kuambiana yote ni kwa Mungu!
Franck Mwaduma nikweli alichelewaa kuwaita makundi mbambali kupata maoni yao uwaunganisha pamoja km watanzani tatizo washauri au akutaka ushauri naomba asisahau kuwaita viongozi wa vyamaa vya siasa awasikilize na kjb kwelo zao pia ili kujenga umoja wa kitaifa hapo jpm utakuha huna mpizana yaani wakati una apishwa utakiwa kifanya hivyo Kundi kwanza viongozi wa dini ili waombe Mungu akusaidie kuongoza nch la pli viongozi vyama siasa kuombana msamaha kuomba ushilikia ktk kujenga nch kwa nyuma yao nao wana watu
Enock Komba Je, kabla ya jana ni lini kuliwahi kufanyika kikao kama hiki ktk Taifa hili? Vema mzingatie kuwa kila jambo lina mwanzo na Pres. John Pombe Maghufuri na Sirikali yake wanapaswa kupongezwa. Kwa kweli, Kikao kilikuwa cha Wazi kila mtu amejionea wazi bila pazia. Hongera Pres. Magufuri tutafika kwa amani pale tunapotaka kwenda.
Halikumbukwi Tena hlo mzee ,taifa lolote ni umoja,Yani mzee mwingira yote uliyoyaongea ni mawazo kuntu Kama viongoz wetu wangekuwa wanayafanyia kazi Kwa wakat
Bahati Haerter usilinganishe ujeruman na Tanzania,inayoyafanya Tanzania ujerumani ilifanya miaka mianne iliyopita so utofauti ni mkubwa sana .non sense
@@amashakigelulye7632 hata hivyo Magufuli ndiye mwenye mamlaka, tukisema kila anacho taka kutamka awashikishe viongozi wa Dini kwanza ndo litanganzwe hapo ni uongo, mbona tunasema mwanaume no kichwa cha nyumba na sio vitu vyote ambavyo mwanaume ana mhusisha mke wake. Watiini wenye Mamlaka
Anaye pewa mamlaka hua anakua mmoja mkisema kua kabla hajaamua kitu awashirikishe Mbona itakakua shida itakua Inaonyesha kua Rais hana nguvu ya kuamua jambo, je nyie mtamwita huko Kanisani kwenye mipango ya kanisa? Nenda kapige siasa ili uchangie vizuri
You havegea kingereza?. Haiwezekani ukawa na mipango endelevu ya milele, hilo ulijuwe sababu hayo yote yanategemea kiasi cha watu waliopo . kama watanzania wangekuwa hawazai busi ingekuwa mipangoendelevu ingezekana. Elimu nayo muhimuu iliueze uweze kuona mbali.
yaani hapo Mzee umeongea wakiona MTU anapesa kidogo arafu anaitaji eneo wanatumia kila mbinu ili utolewe Ila ni janja za watu kwa rahisi huyu watasoma namba