Anajivunia kuwa na dhambi na kuziona kama fahari kwake. Huyu bwana sijui ni mtu wa namna gani. Watumishi wa Mungu msaidieni asiangamie. Mingu anampenda.
Watu wa aina hii nimakosa makubwa kuendelea kuwaacha Nchini hapa. Serikali angalieni mtu huyu mtoeni haraka sana Hapa Tz. Mrudisheni Nchini kwao. Pia maaskofu wa Tz hivi Mnajitambua kweli!? Viongozi wa Kikristo huko kwenye Umoja wenu wenu mnafanya nini!? Au mpo Tu maadamu mnakula !? Hamuoni Upuuzi huu kwenye jukwaa la Injili!?
Serikali, serikali, serikali nawatamka mara 3 nyinyi ndio mnawaangamiza watu wenu maana huyu mtu amepata usajili wa hiduma yake kutoka kwenu, kwanini msimtimue ndani ya nchi yetu?
Wajinga ndio waliwao.Mhuni huyo na tapeli Freemanson.Majivuno n a dharau😢Ombaomba wanasema Amina.😢Tokeni hapo nyie 😢😢Anatukana watu kanisani.Ondokeni . Serikali weka ndani huyo tapeli.
Kwaiyo wewe nabii kazi yako nini mbona sijawai kuona ukisoma neno wala ushiki biblia ambayo ndo muongozo wa kuongoza kondoo na kwanini usimtowe pembeni ndipo ukamfukuza ulitaka kumuabisha ili upate kura