Тёмный

USHUHUDA WA MAMA ALIYESOMA UZEENI (HESABU NI KAMA KIFO HUWEZI KUEPUKANA NAYO) 

Rev. Dr. Eliona Kimaro
Подписаться 156 тыс.
Просмотров 75 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

7 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 210   
@tunkuh661
@tunkuh661 Месяц назад
Hongera mama nami nimesoma uzeeni na sijajutia hilo na niko kwenye program ya master japo ninasitasita naamini nitaimaliza tu kwa uwezo wa mwenyezi Mungu 🙏
@ndeshimuro6816
@ndeshimuro6816 Месяц назад
❤❤
@mussaananiasmyonga727
@mussaananiasmyonga727 Месяц назад
Hongera Sana Mama yetu. Kijana mwenzangu bado hujachelewa!! Hongera kwa CBE kwa kumpokea huyu mama!! Neema na rehema zina wateule wake!!!
@RegzonaMichael
@RegzonaMichael Месяц назад
Hongera sana mama Olotu Big Up Mungu atakunyanyua siku ikifika
@upendochris483
@upendochris483 28 дней назад
Hongera sana mama yangu.Umenitia moyo sana na kunifundisha kwamba wapo watu kazi yao nikukatisha wengine tamaaa.❤❤❤
@GlorydavidJeremiah
@GlorydavidJeremiah Месяц назад
Hongera sana mama na Mungu akufungue macho zaidi utende mambo makubwa
@hellenkijo700
@hellenkijo700 Месяц назад
Hongera sana mama Olotu.hata mimi niikwend a kwenye PHD nikiwa na miaka 53 nikaulizwa iwapo ninaenda kutafuta Kitu chakuongezea kwenye Obituary. Namshukuru Mungu nilimaliza kwa miaka 3 kamili nikawa na miaka 56
@remiseviajoas6336
@remiseviajoas6336 Месяц назад
Kwa sasa unafanya kazi gani mpendwa katika buana? Huu ndo ushuhuda natakiwa kuusimamia
@dezruh
@dezruh Месяц назад
Hongera sana
@LeahAmani-yz9wh
@LeahAmani-yz9wh 18 дней назад
Wowooo wowooo Glory to God
@ruthkyambila397
@ruthkyambila397 Месяц назад
Mama hongera umenikumbusha mbali sana kwa sababu hata mimi nilisoma uzeeni .Mungu ni Mkuu sana hakuna kukata tamaa
@dottyjohns5612
@dottyjohns5612 Месяц назад
Congratulations, my wii, sijasahau ulivyonitia moyo kusoma. Nimefuata nyao zako. Ubarikiwe sana dear❤
@aishikileo5126
@aishikileo5126 Месяц назад
Hongera sana mama.,Dah ngoja nami nijitafakari upya! Mungu akubariki sana.
@anitamghweno
@anitamghweno 15 дней назад
Hongera mama Olotu umenibariki kwa ushuhuda wako. Kweli hakuna kukata tamaa katika maisha, uthubutu ni uhakika wa mafanikio. Ubarikiwe sana.
@EstherJerald-tc6ct
@EstherJerald-tc6ct Месяц назад
Hongera sana best ushuhuda wako kidogo unaeelekea kufanana na mimi , Mungu akubariki sana mama Olutu
@kaizilegekaizilege
@kaizilegekaizilege Месяц назад
Nashukuru Mungu nimemaliza Masters Nina miaka 59 na PhD miaka 68.
@eliufoosimonchuri4160
@eliufoosimonchuri4160 Месяц назад
Hongera sana. Nasi wengine hata 40 bado tunaona tumechelewa. Asante kututia moyo.
@tunkuh661
@tunkuh661 Месяц назад
Ohhh congratulations 47yrs hapa na niko na program ya masters sema nasitasita ila umenipa moyo ngoja niifufue labda huko mbele itanilipa km ilivyonilipa bachelor.... Barikiwaa sana
@charleskibasa4992
@charleskibasa4992 Месяц назад
Usisite ndugu, jipe moyo, wengi ni kushangaa na kukatisha tamaa, wachache(muhimu) watakuhimiza... .
@kastoriooko7157
@kastoriooko7157 Месяц назад
kuna kitu mnakosa kufahamu kama wakristo. Degree, Masters, PhD nk. kamwe hazitakupeleka kwa Bwana Wako Yesu Kristo. Tadhadhali toeni Uhuhuda za Kumpata Mungu, Kujazwa Roho Mtakatifu. kuzaliwa upya, kumtumikia Mungu, mabadiliko ya Kiroho uliyopata katika maisha yako. elimu utaishia kupigiwa makofi tu.
@marthaswai1185
@marthaswai1185 Месяц назад
​@@kastoriooko7157msheke sana elimu na usiache aende zake.Mungu anataka watu wasome pia.Vitabu vya injili vinatueleza kuwa Injili ya Luka Mtakatifu iliandikwa na Daktari.
@dinahnkya5603
@dinahnkya5603 27 дней назад
Hongera sana dada yangu, hakika uthubutu ni silaha ya kufikia lengo. Mungu akupe umri mtimilifu my dear
@eldekimaro2130
@eldekimaro2130 27 дней назад
Hata mimi nimesoma uzeeni mama. Nikiwa na miaka 22 ya kumaliza form four. Nilimaliza SUA na GPA 3.8. Pia MSc GPA 4. Mungu alinipigania sana. Nilienda degree ya kwanza na last born wangu. Ukimtumaini Mungu yote yanawezekana
@miriammbwambo-cr4jn
@miriammbwambo-cr4jn Месяц назад
Mungu akupe umri mreeef mama,Asante kwakututia moyo wanao binafs nimebarikiwa na ushuhuda mzuri
@abellabv
@abellabv Месяц назад
Shikamoo Mama Olotu. You are lovely indeed. Mungu azidi kubariki huduma yako Mama. Salaam za upendo kwa Washarika wote hapo Kijitonyama na nyumbani, Tegeta Bethania.
@meliary1002
@meliary1002 Месяц назад
@@abellabv Kusoma Uzeeni inategemea unalenga nini!!! Unataka kuelekea wp😆 Juhudi za Binadamu za maendeleo ni tofauti. Mfano tu, Matajiri wengi Duniani waliofanikiwa hawana Elimu😳 Na wanawatumia hao wenye Elimu ktk Kazi zao.
@anjaumneney
@anjaumneney Месяц назад
Hongera sana dadangu. Mungu akutunze
@uzielkalungwa5490
@uzielkalungwa5490 Месяц назад
Mama ubarikiwe sana na Mungu akupe umri mrefu zaidiiiii
@deotarimo4270
@deotarimo4270 Месяц назад
Mama hongera sana.Ushuhuda wako umenitia moyo katika mambo mengi maishani.Mungu akubariki.
@radegundamateru235
@radegundamateru235 28 дней назад
Hongera sana mama Olotu kwa kutuonyesha mwanga na ushuhuda wa kutuonyesha kila kitu kinawezelana kwa kila mwenye kiu na chochote la msingi ni kutumaini na kumweka Mungu kuwa nsfasi ya kwanza kwa kila kitu.
@FloraKimaro-fv9my
@FloraKimaro-fv9my Месяц назад
Hongera sana mama Olotu.Nimekupenda bure na Mungu akubariki mpaka ushangae.
@gloria5990
@gloria5990 Месяц назад
😂😂😂😂😂 kura yangu umepata mama yetu mbunge mtarajiwa!!!! Absolutely beautiful woman and beautiful soul. God bless you mama! 🙏
@mcqueenbethdaffi5656
@mcqueenbethdaffi5656 16 дней назад
Hongera sn mama Mungu ni muweza
@mborawakiche7564
@mborawakiche7564 19 дней назад
Wow! Umenitia moyo Sana Leo Mama yangu kipenzi! Nitasonga mbele kwa Neno lako 🎉🎉🎉
@fadhilikiwera6501
@fadhilikiwera6501 Месяц назад
Mungu akubariki Mama. Umeinua mioyo ya wengi iliyoinama na kukata tamaa.
@christinangondi4212
@christinangondi4212 28 дней назад
MUNGU NI MKUU sana, congratulation my mumy for your courage, umewashinda vijana vilaza wengi wa miaka hii
@albashakluninshaah3727
@albashakluninshaah3727 Месяц назад
Hapana hapana hapana. Mungu ashauri na haijawahi na haitatokea M.Mungu kushauriwa. Ila M.mungu huombwa tu kwa jambo utakalo lifanyike.
@adrophwilliam3225
@adrophwilliam3225 Месяц назад
Soma biblia utajua
@mborawakiche7564
@mborawakiche7564 19 дней назад
Fwatilia kisa cha Wana wa Israel Jangwani,walipotenda Maovu na Mungu akataka kuwafutilia mbali,Musa alimuomba Mungu asifanye hivyo....na Mungu akasikia OMBI la Musa
@ericangao2243
@ericangao2243 Месяц назад
Hongera sana mama kwa ujasiri na ushuhuda wako Mungu akubariki sana
@aidamgovano9948
@aidamgovano9948 Месяц назад
Very interesting on this.Glory be to Mighty God
@alicekaita
@alicekaita Месяц назад
Ushuhuda wa nguvu nyingi jamani. Mungu akuinuwe sana mama. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@AbisaiBilla
@AbisaiBilla Месяц назад
Hongera sana mama ushuhuda wako uwanijenga Sana MUNGU akutunze zaidi
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 Месяц назад
Very interesting story!! Hongera sana mama.
@angelnziajose7655
@angelnziajose7655 Месяц назад
Wajumbe watu wabaya sana Ila mama songa mbele huu mwaka wa kufosi mpaka kieleweke na Mungu akutangulie
@honorathampemba5392
@honorathampemba5392 Месяц назад
Hongera sana KNOWLEDGE IS POWER KNOWLEDGE IS AN ASSET.Keep on moving
@ReginaKaizirege-sd3hn
@ReginaKaizirege-sd3hn Месяц назад
Namshukuru Mungu kukutana na hili somo na huyu mama maneno yake yamenitia moyo naomba namba jaman
@annastaziamagangila4475
@annastaziamagangila4475 Месяц назад
Hata mimi sikati tamaa kwakweli ,asante mama kwaushuhuda huu
@BeatriceLasway
@BeatriceLasway Месяц назад
Hongera Sana mama . Kwa kweli Elimu Haina mwisho
@roseyongolo302
@roseyongolo302 Месяц назад
Hongera sana dada yangu,,,natamani kupata na ya mama huyu,,kuna jambo amenitumia nguvu.
@julianajonathan3060
@julianajonathan3060 Месяц назад
Ni shanagzi yangu huyu,kama hujapata namba yake utaniambia
@mamatriplee5638
@mamatriplee5638 Месяц назад
Nasali nae miaka mingi sana kijitonyama hii siku sikuwepo😂😂😂
@user-xx7zh7uf3q
@user-xx7zh7uf3q Месяц назад
Mimi naomba namba yake​@@julianajonathan3060
@janethkanuya2754
@janethkanuya2754 Месяц назад
Ubarikiwe sana kwa ushuhuda wako. Umenitia moyo
@friminershayo5325
@friminershayo5325 Месяц назад
Rais Ampatie Mama Olotu ubunge wa kuteuliwa ,Ampe uwaziri ni mzuri sana atajenga nchi ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@syliviamrosso8655
@syliviamrosso8655 21 день назад
Hongera sana sana
@juliananasari2526
@juliananasari2526 Месяц назад
Nitasoma kwa Jina la Yesu Kristo amen
@user-lq6qv6nf7t
@user-lq6qv6nf7t Месяц назад
Hongera mama...natumaini nitakua na ushuhuda siku moja
@emmanuelmwambiaji8515
@emmanuelmwambiaji8515 Месяц назад
Mungu azidi kukutunza Mama Kwa Ushuhuda wako Wenye Kutia Moyo Wa Kujifunza Zaidi,,,,,Vitabu hivyo naweza kuvipata.?
@oldtech8221
@oldtech8221 Месяц назад
So inspiring ..much to this mom😊😊
@EdithaRobert-nj4tc
@EdithaRobert-nj4tc Месяц назад
Mama Hongera sana,unamoyo wa kipekeee
@Fridamushi-qo9lr
@Fridamushi-qo9lr 21 день назад
Yaan mama umenimotisha mnooo Mungu anikutanishe na watu sahihi
@user-fw6dp9iy4i
@user-fw6dp9iy4i Месяц назад
Prof kaijanante alinifundisha pale CBE,,,alivyomtaja nimethibitisha,,,big up mama,chami mwenyewe amesoma pia CBE,
@DellisLema
@DellisLema Месяц назад
Hongera sana mama mungu anaweza
@liliankombe7196
@liliankombe7196 Месяц назад
Hongera sanaaaa Mama🥰
@lightnessitue6665
@lightnessitue6665 Месяц назад
Wao hongera sana mama ❤
@elinipendoabraham6449
@elinipendoabraham6449 Месяц назад
Hongera mama YANGU, Mungu akuzidishie HEKIMA HIYO
@mamatriplee5638
@mamatriplee5638 Месяц назад
Mama leo nimecheka nimefurahi 😂😂😂 hongera sana mama Olotu
@hopezakskincare6745
@hopezakskincare6745 16 дней назад
Mungu nisaidie siku moja na mm nirudi shule😢😢😢
@lymsannouncement2321
@lymsannouncement2321 Месяц назад
Kweli Mungu alisema atarejesha siku zako kama tia KWELI huu ushuhuda unajenga sana hakuna kutaka taama
@anethabraham3065
@anethabraham3065 Месяц назад
Still mum ur very beautiful,
@SaraJosiah
@SaraJosiah 26 дней назад
Nimefurahishwa na hii shuhuda ,Mungu sio mwanadamu ❤
@JohnKatto-nc9gq
@JohnKatto-nc9gq Месяц назад
Mama a.k.a Mbuge aliepungukiwa kura 😅 Mungu akuzidishie kwa zawadi ya kitabu kwa tunaitaji fursa
@magretharcard4531
@magretharcard4531 Месяц назад
Asante mama kwa kututia moyo,Mungu akubariki
@rithaalberto123
@rithaalberto123 Месяц назад
Education has no end 🙌🙌🙌 mama congratulations 👏 💖 🎉
@CarenOronyi
@CarenOronyi Месяц назад
Mama you are a hero
@raphaelmbwana7549
@raphaelmbwana7549 Месяц назад
Ubarikiwe sana Mama yetu umenitia Moyo sana.
@amanmaleko3085
@amanmaleko3085 Месяц назад
Mama barikiwa ushuda wako uko nanguvu🙏
@IssaweMnyenye
@IssaweMnyenye Месяц назад
Mama shikamoo,nikupe hongera kwa uthubutu
@daisynyerere5730
@daisynyerere5730 Месяц назад
Wow, I'm speechless🎉🎉🎉🎉❤
@elizabethfrank4396
@elizabethfrank4396 Месяц назад
Nimependa ,,, hongera sana mama Olotu
@olemalylyatuu4161
@olemalylyatuu4161 23 дня назад
Hongera my dada mataka kitabu
@EmmanuelMushi-j1i
@EmmanuelMushi-j1i Месяц назад
Nimeipenda iyo nywele ya uyo mama
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 Месяц назад
Wajumbe siyo kabisa. Wewe mama ni shujaa. Mungu akubariki
@rozinajoseph-eu8ur
@rozinajoseph-eu8ur Месяц назад
Hongera sana mama umenifanya nijue kuwa na mimi naweza
@emmanuellucas3523
@emmanuellucas3523 Месяц назад
She is inspired me in advance
@FurahaNgatena
@FurahaNgatena Месяц назад
Asante kwa ushuhuda I have already give up but kupitia ww ntaenda kusoma
@henrysoori2529
@henrysoori2529 Месяц назад
Hongera sana Mamá Hakika Umetutia Moyo
@JoyceMenrad-yl2cb
@JoyceMenrad-yl2cb Месяц назад
Umenitia moyo uwiiiii❤❤❤
@ClaraStephen-qo7lp
@ClaraStephen-qo7lp Месяц назад
Amenitia moyo nimefeli mbaya nilipata zero lkn kweli kusoma hakuna umri kwakweli kuamua tu
@elizabethlinusndanzindanzi
@elizabethlinusndanzindanzi 29 дней назад
Turudi darasani ndg yangu
@hurumalupasa3844
@hurumalupasa3844 Месяц назад
Hongera sana mama MUNGU akutunze ❤️
@user-fh5kt5bx7c
@user-fh5kt5bx7c 25 дней назад
Hongera sana mama kipenzi
@ElionaMiley
@ElionaMiley Месяц назад
Hongera sana mama.
@user-ku4hm2qx9y
@user-ku4hm2qx9y 28 дней назад
Oooh God is so good
@user-yi6ps8vp1s
@user-yi6ps8vp1s 29 дней назад
Congratulations mom
@ednakawau9842
@ednakawau9842 Месяц назад
Hongera sana mama
@lymsannouncement2321
@lymsannouncement2321 Месяц назад
MUNGU Huwa ana anda malaika malangoni
@roseyongolo302
@roseyongolo302 Месяц назад
Yes we need her,,,please
@KelvinMathew-oy3xy
@KelvinMathew-oy3xy Месяц назад
God bless you
@francjose9596
@francjose9596 Месяц назад
🙏🏾
@MinsletAzinwa-lw1lu
@MinsletAzinwa-lw1lu Месяц назад
❤❤❤❤❤new subscriber here.
@analejohn4670
@analejohn4670 Месяц назад
Ushuhuda huu ni mzuri sana.
@gasperswai6963
@gasperswai6963 Месяц назад
Hongera saàna mama
@ModesterJohn
@ModesterJohn Месяц назад
Hongera Mama haya yote ni kwa neema tu
@joycemuheleji8036
@joycemuheleji8036 Месяц назад
@stellaambrose6021
@stellaambrose6021 Месяц назад
Adding the number of my rolemadels umenihamasisha sana... sio kwa ujasiri huooo
@PaulinaTemu
@PaulinaTemu Месяц назад
Dada MUNGU akubariki kwa viwango vya juu
@StellaMwasha
@StellaMwasha Месяц назад
Hakika usiishie njiani Mungu anaweza
@jessicamasepo8320
@jessicamasepo8320 Месяц назад
Hongera Mama.
@EvalineT60
@EvalineT60 Месяц назад
And am only 29 still debating if i have to go back to school
@lucywanjiku4324
@lucywanjiku4324 23 дня назад
Naenda Shule mimi sitaogopa umri wangu tena😂
@veridianadaudi7328
@veridianadaudi7328 Месяц назад
Hongera mama hujapeana no ya cmu
@YUDASIMON-mg1zk
@YUDASIMON-mg1zk 29 дней назад
Pongezi kwako mama na Mungu akutunzee ili kuendelea kutimiza kusudi la Mungu na ushibe miaka ya kuishi
@ANETHKANSHWI-op8ow
@ANETHKANSHWI-op8ow Месяц назад
Mama Mungu akubariki
@enoskatila5565
@enoskatila5565 Месяц назад
Da mama uko vizuri
@annemkwizu6200
@annemkwizu6200 Месяц назад
Safii Sanaa nimefaidi kitu
Далее
USHUHUDA | Siri ya Mafanikio ni Kutokata Tamaa
11:57
Просмотров 15 тыс.
Modus males sekolah
00:14
Просмотров 10 млн
Самое неинтересное видео
00:32
Просмотров 704 тыс.
Starman🫡
00:18
Просмотров 7 млн
Ushuhuda wa aliyekua muislamu.
28:57
Просмотров 246 тыс.
REV. DR. ELIONA KIMARO: KIVUKO CHA FAMILIA/FAMILY FERRY
1:41:06
REV. DR. ELIONA KIMARO: KUISHI KESHO I
32:34
Просмотров 20 тыс.
Modus males sekolah
00:14
Просмотров 10 млн