Wewe si muelewa,hao wachezaji ulowataja wote walishahama Yanga.Mangungu anamaanisha Simba haijanunua mchezaji kutoka Yanga kwa mauziano.kua muelewa bro acha umbumbumbu
Ndo shida ya GSM kuzamini timu nyingi lameki wametia mkono awesu wametia mkono hao hao nyuma mwiko kijili mashaka nyuma mwiko akili zao zipo nyuma kwao ndo maana manara alisema wenye akili ni wawili
Lkn kama Magoma alikuwa na mkataba na Singida hata Yanga piah walifanya makosa kuzungumza na mchezaji bila kuwasiliana na singida na kama walikuwa na mazungumzo na singida bhasi Singida ndio wamewaingiza simba kwenye matatizo kwahiyo sioni kama kunakosa la mojakwamoja kwa simba
😅MANGUNGU KENGE KAMA KENGE WENGINE MWENYEKITI WA KUFUNGUA NA KUFUNGA VIKAO MPAKA JANUARY UTAANZA ULE ULE WIMBO WA HATUMTAKI MANGUNGU NA TRY AGAIN 😅😅MASIKINI KOLOKWINYO FC
Mnaambiwa uongozi makini lakini matatuzo hayaishi!! Ishu ya kibu d, ishu ya lameck lawi, ishu ya awesu awesu na Sasa ni kagoma lakini Bado mnaaminishwa uongizi makini na mnapiga makofi!! Ebu tumieni akili wana lunyasi