Amen,yesu kupitia Ibada hii ya Leo ninaomba nikawe sababu kazini ,nyumbani,barabarn,kwenye interview nyota za watu zikawake pale wanaponiona,Asante yesu kwa ajili ya Mtumishi wangu Chanel yesu naomba mbariki yeye na familia yake na kila anayefika katika madhabahu hii
Kwa kweli.hii ibada imenipa nguvu nilikuwa nachoshwa na watu.nikawa nataka niache kuwasaidia,kumbe ni vibaya kuwatelekeza.ni kuwa naondoa baraka kutoka kwa mungu. Mungu aendelee kukupigania mtumishi watu waendelee kumjua mungu amina