TANGAZO TANGAZO
TAREHE 11 /10 /2024. KUTAKUA NA MKESHA WANGUVU SIKU YA IJUMAA. USIKOSEE ...................................
RATIBA ZA IBADA KATIKA KANISA LA MAISHA YA YESU KRISTO
KISONGO ARUSHA KWA CHANNEL
-SIKU YA JUMAPILI -Hii ni ibada kubwa ya kinabii ,maombi,mafundisho na uponyaji saa 3hasubuhi - saa 8 mchana
-SIKU YA JUMA NNE Maombi ya mtu mmoja mmoja (Kuonana na mtume ana kwa ana) saa 8 mchana -saa 11 jioni
-SIKU YA ALHAMISI Ibada kubwa ya uponyaji mafundisho na maombi. saa 8 mchana-saa12 jioni
HIVYO USIKOSE ! ASANTEH
WATU WA DINI ZOTE MNAKARIBISHWA
20 окт 2024