Тёмный

MAOMBI YA KUTAMKA | PR. DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO) 

MAHUBIRI TV
Подписаться 217 тыс.
Просмотров 62 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 126   
@evelynmukama6033
@evelynmukama6033 18 дней назад
Natamka kuzaa watoto mapacha wa kiume na wa kike kwa jina la Yesu Kristo aliye Hai.... Amen
@MaombiJofre-k8m
@MaombiJofre-k8m Год назад
Amen hakika kuanzia leo naenda kutamka mema maishani mwangu kwa jina la YES I KRISTO ,na kila neno baya la laana nililojitamkia au nililo tamkiwa Nalibatilisha na kulifuta kwa Damu ya YESU KRISTO AMEN naamini imekuwa 🙏🙏🙏
@rehemanashon3739
@rehemanashon3739 Год назад
Natamka Kufunguliwa kwa UCHUMI wa mume wangu Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏♥️
@EstherOkwon
@EstherOkwon Год назад
Ishakuwa kwa jina la Yesu. Amina
@BenjaminiLyimo
@BenjaminiLyimo Год назад
Amina❤
@JoyceKadii-b8y
@JoyceKadii-b8y Год назад
Natamka kufunguliwa Kwa uchumi wa mume wangu Kwa jina la jesu amen amen amen🤱
@ISAYAMAULID
@ISAYAMAULID 9 месяцев назад
Natamka baraka katika maisha yangu pia zaidi roho mtakatifu awe ndan yangu Amen🙏🙏
@ruthnyakundi6861
@ruthnyakundi6861 10 месяцев назад
Natamka kupata kazi na ushindi kwa yesu katika jina la yesu kristo
@rehemanashon3739
@rehemanashon3739 Год назад
Natamka Baraka Kwa watoto wangu Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏❤
@obedimunguachiza8434
@obedimunguachiza8434 Год назад
Pastor David Mmbaga, maneno yananikosa, naomba Mungu anikutanishe nawe siku moja, naishi Sweden 🙏
@Joycependopendo-dv2tb
@Joycependopendo-dv2tb 11 месяцев назад
Amen pastor mungu akubariki zaiidi na siku zote
@jacquelinesalugole6400
@jacquelinesalugole6400 Год назад
Natamka baraka kwangu na watoto wangu na mme wangu kwa jina la Yesu
@fermeagro-pastoraledekaghu2589
@fermeagro-pastoraledekaghu2589 2 месяца назад
Pastor Mungu akubariki sana kwa fundisho hili nzuri. Kweli sisi wenyewe tumebaki tukisumbuliwa na umaskini sababu ya kujitamkiya vibaya. Tangu leo Mungu atusamehe kabisa. Tunaenda kuanza na maombi ya kutamka ili Mungu afungue familia zetu, afungue watoto wetu, afungue biashara zetu kwa jina la Yesu.
@tabithamasesa7390
@tabithamasesa7390 5 месяцев назад
Kwa jina la yesu krsto natamka kufunguliwa kwa tumbo langu ameen
@sue743
@sue743 Год назад
Maombi haya ya kutamka mema yawe yangu kwa Jina kuu la Yesu, Amen
@benjaminmuema
@benjaminmuema 2 месяца назад
Nimekuwa nikifanya maombi kwa kutamka, nikiomba sana na sipati majibu....but nikitamka tuuuu....naaza Kuona watenja...nikilala natamka keshoye watenja wanajaa...na sikuwa nimesikiza hiii😊😊😊😊😊😊😊...so it's treu
@EllenMbota
@EllenMbota Год назад
Amen Amen Mungu akubariki san mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mtaamu san mwenye nguvu ubarikiwe san
@rahimajuma5306
@rahimajuma5306 Год назад
Mungu akupe haja ya moyo wako paster na waumini wote Ameen
@evasesoa8437
@evasesoa8437 11 месяцев назад
Neno ni zuri kutamka lazima tutamke maneno mazuri kwa watoto wetu
@priscaalphonce1662
@priscaalphonce1662 Год назад
Mungu azidi kukubariki,kukupa uzima na afya njema wewe pamoja na uzao wako na wote wanaomtumikia Mungu katika kweli yote baraka hizi Mungu awape.
@rehemanashon3739
@rehemanashon3739 Год назад
Najitamkia Kufunguliwa kiuchumi Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏
@SimonPaul-z4r
@SimonPaul-z4r 9 месяцев назад
Amen
@ElizaAnthony
@ElizaAnthony 4 дня назад
Nabarikiwa sana ubarikiwe pia pasta
@veronicaaugustino9521
@veronicaaugustino9521 Год назад
Mungu akubariki sana Mchungaji, hili somo litanibadilisha kwa jina la Yesu.
@phydloramnyaka3026
@phydloramnyaka3026 Месяц назад
Bwana nitakase Kisha unibariki .Mtumishi barikiwa
@MaryanneAuma-l4u
@MaryanneAuma-l4u 2 месяца назад
Asante sana pastor mmbaga..nakufatilia sana na hivi sasa nimekua nikisoma biblia.. kiukweli hapo kwa kutoa kafara sikua naelewa mbona hayo yote..but Asante nashukuru Mungu kwa hii neema yakupata haya mahubiri
@rebaccaewoi8882
@rebaccaewoi8882 Год назад
Pastor niombee ni jenge nyumba yangu 🙏
@ElvinaLuvuno-d7u
@ElvinaLuvuno-d7u 10 месяцев назад
Pastor asante kwà mahubiri matamu Mimi nilikiwa naendesha Sana lakini baada ya mahubiri niliomba kwa Imani Na nilipona Mungu amenitendea muujiza Amen
@EngageWriters
@EngageWriters Месяц назад
Amen!
@ziporamachilu6877
@ziporamachilu6877 Год назад
Nabarikiwa na mahubiri yako wakati wote nakuombea afya njema mtumushi wa Bwana
@annettegeorge2424
@annettegeorge2424 Год назад
Mungu aendelee kukupigania Pastor Mbaga
@FloraMmbaga-pr8er
@FloraMmbaga-pr8er 3 месяца назад
Mungu ni mwema.
@rehemanashon3739
@rehemanashon3739 Год назад
Pastor Mmbaga, Mungu akubariki sana saana saaaaana 🙏♥️
@tulimgaya6250
@tulimgaya6250 Год назад
MUNGU aendelee kukupa afya njema na maisha marefu kwaajili ya watu wake
@magrethmichael3881
@magrethmichael3881 3 месяца назад
ubarikiwe mtumishi hakika umefanyika baraka sana katika maisha yangu
@wittiebanie3194
@wittiebanie3194 Год назад
Natamka baraka kwa maisha yangu na familia yangu siku zote za maisha yetu.. Pastor Mungu akubariki sana akupe maisha marefu
@joycemashikolo9096
@joycemashikolo9096 Год назад
Yaani kweli upepo umeongezeka na kupungua wakati Pr akiongea.Mungu akubariki Pr umenisaidia kuanza kumuelewa Mungu
@faustermtavangu8212
@faustermtavangu8212 7 месяцев назад
Asante Mungu.kwa kuondoa madeni ya binti yangu.
@esthersimuli9952
@esthersimuli9952 Год назад
Amen nimebarikiwa sana siku ya Leo na nifeel uwepo Bwana Yesu
@SigwaLusaja
@SigwaLusaja 3 месяца назад
Nataka kuponywa majeraha ya moyo wangu
@VeronicaKisinga
@VeronicaKisinga Год назад
🙏🙏 more blessing pastor Mbaga
@neemamahenge2735
@neemamahenge2735 Год назад
Asante sana Pr, unatubariki kwa kweli.
@WivineNikola
@WivineNikola Год назад
Asante mchungaji ombi langu nikwamba mungu atawale maisha yangu na niishi maisha yautakoso siku zote naku tamka maneno ya baraka kwangu mimi nakwa wengine amina
@TheclaDeogratius-ol1mv
@TheclaDeogratius-ol1mv 4 месяца назад
Asante sana kwa hili neno .....hakika Mungu mkubwa
@lizm8598
@lizm8598 Год назад
Amen barikiwa sana mtumishi 🙌kweli kutamka ni jambo jema
@godlovemapunda774
@godlovemapunda774 Год назад
Eee Mungu naomba unifutia laana nilizotamukiwa ugeuze ziwe baraka kwangu kupitia m2mishi wako nabarikiwa sana namwombea afya njema na familia yake
@BilaliLwebula-du3gd
@BilaliLwebula-du3gd 5 месяцев назад
Nipenda mahubiri haya
@JACQULYNEMUASA
@JACQULYNEMUASA Год назад
Asante mchungaji kwa neno nzuri shida yetu wasabato ni hatuamini nguvu za Mungu
@Edinahnyaboke-b9o
@Edinahnyaboke-b9o 4 месяца назад
Amen barikiwa sana mutumishi wa mungu mafundisho mazuri nimebarikiwa sana mungu akubariki 🙏🙏🙏🙏
@EstherMwenze-dx6qj
@EstherMwenze-dx6qj 4 месяца назад
Pastor nko Kenya naomba mamba Yako unisAidie kuvunja rahana za ukoo
@eustina0
@eustina0 Год назад
Amina hakika Mungu nmwema naona baraka zake
@AbellyPhilemon
@AbellyPhilemon Год назад
Natamka kupona na kipaa kazi kwa JINA la YESU STAUGUA TENA
@elienew3788
@elienew3788 Год назад
Amina Ee.Mwokozi unisafishe mimi Kabisa Baba
@sarahpaschal-nj9ix
@sarahpaschal-nj9ix 4 месяца назад
Wimbo no ngapi huu wameimba hapa❤
@BarnabasJonas-nv4ig
@BarnabasJonas-nv4ig Год назад
MUNGU atusaidie sana AMEN
@victoriaprotas2976
@victoriaprotas2976 Год назад
Amina nimebarikiwà sana na SoMo hili
@perisbosibori8524
@perisbosibori8524 Год назад
I've learnt a lot and been blessed so much in today's message Pastor. May our good GOD give you long life and bless you abundantly for this wonderful work you're doing 🙏 🙌.
@leahwainaina4396
@leahwainaina4396 11 месяцев назад
Amen
@LinahRwambali
@LinahRwambali 2 месяца назад
Sisi tuliotazama kwa RU-vid tumeshindwa kuelewa ilo suala la matawi yaliopepea na kuacha jamani, ila si mbaya tumepata kakitu Fulani, ubarikiwe pastor
@scholarmgalla8778
@scholarmgalla8778 7 месяцев назад
Natamka kupata kazi kwa ushindi amina🎉
@MaombiJofre-k8m
@MaombiJofre-k8m Год назад
Amen Barikiwa sana David Mmbaga
@YohanaDigulaFumbuka-ug6pf
@YohanaDigulaFumbuka-ug6pf Год назад
Nabarikiwa nikiwa dar mchungaji kilio changu ni lilelile naomba kitabu chako Siri ya maombi yaliyo jibiwa naomba uumpe Kaka philimoni Asante kwa kuendeleza kutuimarisha kiimani
@cyrusmuthee9191
@cyrusmuthee9191 Год назад
Pastor Mungu ni mwema juzi nimefuatilia msichana mmoja alivyo kuwa akinenea jini imulete waume za watu na alikuwa anatamka tu na analetewa , nimejua kuanzia Leo jinsi ya kutumia nguvu za Mungu Kwa utukufu wake .
@PheadaKasigwa
@PheadaKasigwa 2 месяца назад
Hakika neno la Mungu ni tamu na n kali kama upanga,BWANA WANGU YESU KTK JINA LAKO NATAMKA KUFUNGULIWA ZIDI YA NGUVU ZA MWOVU NA KUJAZWA NGUVU YA ROHO MTAKATIFU.
@ElishaSedekia-w2o
@ElishaSedekia-w2o Год назад
Mungu anchokifanya kupitia ww nikikubw kulik unavyofaham umenifanya kuwa jeuli kwa shetan mpank ananigway
@beatricemageka0708
@beatricemageka0708 Год назад
Pastor Mmbaga nashukuru kwa fundisho linalonilenga mimi hapa.Sasa swali langu ni ,nafanya hiyo kazi nikiwa mbali nayo,kama shamba nitafanyaje kutamkia na ifanyike nikiwa uarabuni na shamba Kenya naomba unielekeze tafadhali, asante na ubarikiwe mtumishi
@joramjaphet2740
@joramjaphet2740 Год назад
Omba utumiwe picha la shamba Kisha tamka neno linatokea,Muhimu n MANENO yako yaambatane na moyo wako yaan kuyaamini hayo unayotamka
@faustermtavangu8212
@faustermtavangu8212 Год назад
Baada ya somo hili naamini maneno niliyotamka yanakuwa asante kwa somo zuri.asante Mungu.
@omankadara6418
@omankadara6418 Год назад
Ameen pasita mubarikiwa sana na mahubiri yako
@slyviamariammariam-7262
@slyviamariammariam-7262 3 месяца назад
Nisamehe Yesu nitakase uovu wa kinywa changu nisijitamukie laana nijitamukie mema
@redemptakajungiro8599
@redemptakajungiro8599 Год назад
Pastor Mungu akubariki sana kwa kufika mitaa ya kwetu. Nimebarikiwa sana na hili somo. Maombi mengi ya kutamka niliyofanya yamekua nikiona majibu yake kwa haraka sana. Tuna mamlaka tumepewa na Mungu, tukitamka na kuamini kinakuwa.
@jackmasiko2583
@jackmasiko2583 Год назад
Jaman mwenye namba ya hyu pastor mbaga naomba anisaidie
@SigwaLusaja
@SigwaLusaja 3 месяца назад
Nataka msamaha wa dhambi
@AmosElie
@AmosElie Год назад
Mungu aku zidishiye 🙏🙏🙏🙏
@naturelle1097
@naturelle1097 Год назад
Amen!
@RebecaKamwela-j1g
@RebecaKamwela-j1g Год назад
Ubarikiwe pastor Mmbaga kwa somo zuri.
@SaitotiHinyura
@SaitotiHinyura Год назад
Naiwe hivyo.
@mildredmariera7733
@mildredmariera7733 Год назад
Amen pastor nimebarikwa
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio Год назад
Very true, Pr! Jitamkie baraka na ushindi wa dhambi....utashinda !
@rebeccaonyando7214
@rebeccaonyando7214 Год назад
Amina. Nabarikiwa nikiwa Kenya.
@silviafurah9172
@silviafurah9172 Год назад
Aminaaa 🙏🙏
@pacshalfrenk8982
@pacshalfrenk8982 Год назад
Naomba maombi Yako pr. Nipate moto nimehangaika sana.
@Utukufuzazy
@Utukufuzazy 8 месяцев назад
Amen
@FabianiFaidaFabianiFaida-t4z
@FabianiFaidaFabianiFaida-t4z 4 месяца назад
Amina
@raelsarange638
@raelsarange638 Год назад
Natamka baraka kwenye maisha yangu na familia yangu na ile ya Baba angu, maneno yote ya kutamkiwa, rahana na damu za kiukoo nimeziondoa sasa kwa Jina la YESU kristo AMEN 🙏🙏
@kingmseti9205
@kingmseti9205 Год назад
Wellcom 🇹🇿🇰🇪 our Place Pastor
@marionoti5760
@marionoti5760 Год назад
Acha hadithi za kufikirika(Mauzauza), fanya wewe sasa, sana sana utafanya mauzauza kama ya zumaridi, ambayo hata mababu zetu waliyafanya kwa kuimba, kupiga makelele. Pazia la hekalu lilipasuka katikati (kila mtu alipo ni Madhabahu kwa namna zake).
@sylviesaidi5740
@sylviesaidi5740 4 месяца назад
Ubarikiwa sn post tukumbuke nas kwa sala tu
@zirhumanafiston116
@zirhumanafiston116 Год назад
Amina Amina 🇨🇩
@justinchibule5692
@justinchibule5692 Год назад
Mafundisho mazuri Sana
@mariethanzallah6698
@mariethanzallah6698 4 месяца назад
Ameen
@SamuelKambale-yb4vk
@SamuelKambale-yb4vk Месяц назад
Asanta mchungaji katika mahubiri hiyo nimepata bandiliko la Kiroho na miye naanza maombi ya kutamuka
@jerlaskambale5458
@jerlaskambale5458 Год назад
Asante kwabaraka pasta ila matoyo 19:23_24 inatuchanganya???
@NyanzobeSalula
@NyanzobeSalula Год назад
nabarikiwa sana na mafundisho yako pastor mungu aendelee kukupa mafunuo ili uendelee kutufundisha ili nasi tuuone utamu wa mungu jinsi anavotupenda
@peninamwita3399
@peninamwita3399 Год назад
Kiukweli jijifunze kunena mema kwa kila mtu na sio kwa watoto wetu t,pr uende mbali hadi mbinguni
@jerlaskambale5458
@jerlaskambale5458 Год назад
Amene
@Deogerald-gj2um
@Deogerald-gj2um 5 месяцев назад
natamani kupata mahubiri yako umekuwa kwangu msaada
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 5 месяцев назад
Amen
@andrewmogire
@andrewmogire Месяц назад
Thanks
@gracekunambi7438
@gracekunambi7438 Год назад
Amen Ameeeen
@eustina0
@eustina0 Год назад
Animaa❤❤❤❤
@jdm1459
@jdm1459 Год назад
AMINA
@obadiazabroni6518
@obadiazabroni6518 Год назад
Pastor nahitaji vitabu vyako navipataje Niko Simiyu
@LillianYatundu-yh2cn
@LillianYatundu-yh2cn Год назад
😭😭😭😭😭😭Am just shedng tears.... Me namka saa tisa kuomba lakini nikirud kulala naota ndoto mbaya tupuu... Hadi nime give up kuomba nami niko na shda tupu😭😭😢
@sarahratemo6239
@sarahratemo6239 Год назад
Usikate Tamaa katika kuomba.Mungu atakujibu kwa wakati wake.
@chagonjambaga5817
@chagonjambaga5817 Год назад
Zidi kutamka shetani anataka akukatishe tamaa
@zeliageorge3311
@zeliageorge3311 Год назад
Pole mwaya, mm nilikuwa ivo ivo lakini ckukata tamaa na pia niliomba msaada wa maombi kutoka kwa watu wa karibu yangu nilisaidika.
@zeliageorge3311
@zeliageorge3311 Год назад
Usikate tamaa endelea kuomba na kuomba lakini pia waweza kuomba msaada wa kusaidiwa maombi kwa mtu utakaye mwamini naamini yote yatatoweka kwa jina la Yesu.
@naomiissa8407
@naomiissa8407 Год назад
muamini mungu,, wako hajawai kumuacha mtu ndie rafikii wa kwelii wala usikate tamaa kumbuka pale akili yako inapofikia mwisho mungu ndipo hujitokeza n kutenda🙏🙏
@upendomaduhu1310
@upendomaduhu1310 Год назад
Mi natamani nikupigie nikueleze kinachonisumbua moyoni mwangu kama nipo sahihi au sipo sahihi
@nundabe
@nundabe Год назад
26:26 iyo nimeikamata... Kumbe tumepewa mamlaka😳
@BeatriceMathew-qy5lw
@BeatriceMathew-qy5lw 2 месяца назад
😂😂😂😂😂 nimecheka kwakweli mti unauambia uongezeke unaongezeka kwel
@FloraMmbaga-pr8er
@FloraMmbaga-pr8er 3 месяца назад
Nambarikkiwa sana na mahubiri yako mchungaji
@leahwainaina4396
@leahwainaina4396 11 месяцев назад
Amen
@marthaseleman9957
@marthaseleman9957 Год назад
Amina
@BarnabasJonas-nv4ig
@BarnabasJonas-nv4ig Год назад
AMINA
@kwandundaki8568
@kwandundaki8568 Год назад
Mimi mpaka watoto wangu na msichana wangu wa kazi walikuwa wananiambia usiseme kitu maana ukisema kinakuwa kweli na hata mme wangu huwa hataki kabisa niseme neno negative jui ya jambo lolote juu yake au juu ya familia Maana maneno yanaumba kwa kweli
@tumainimutatembwa4343
@tumainimutatembwa4343 Год назад
Amen
@hadijaraphael8382
@hadijaraphael8382 Год назад
Nilisha tamka kunguliwa kwa iman
Далее
MACHO YAKIFUNGULIWA | PR. DAVID MMBAGA  (OFFICIAL VIDEO)
1:03:11
Исповедь / Мася
2:47:10
Просмотров 190 тыс.
DINI MOJA YA DUNIA -PR DAVID MMBAGA
1:31:50
Просмотров 3,1 тыс.
MANABI NA WALIMU WA UONGO -PR DAVID MMBAGA
1:35:54
Просмотров 1,7 тыс.
#UKIJUA SIRI HII OMBA LOLOTE |PR.DAVID MMBAGA|
1:21:18
Просмотров 56 тыс.
ULIKUWA UNAJUA KUHUSU ALAMA HIZI?- PR DAVID MMBAGA
1:16:09
JE UNAMJUA YESU? | PR. DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)
1:16:32
Исповедь / Мася
2:47:10
Просмотров 190 тыс.