Тёмный
No video :(

Mapacha wa Huba: Watoto, Wachumba wetu wanatuchanganya, tunabadilishana nafasi na watu HAWAJUI - PT2 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 365 тыс.
50% 1

Christina na Regina Mroni ni mapacha wanaofanana sana (identical twins) na maisha yao tangu wakiwa watoto yamekuwa ni kuchanganya watu wengi. Wanasimulia maisha yao na jinsi ambavyo maisha yao yapo tofauti na watu wengine. Wanasimulia pia maisha yao ya sanaa ya uigizaji na pia urembo hasa kwa Regina aliyeshiriki Miss Tanzania 2006
#ChillnaSky #Part2

Опубликовано:

 

6 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 451   
@cristerthomasy4978
@cristerthomasy4978 3 года назад
Mapacha raha jaman... Mungu katujalia na ss tupo Pacha.... Kama unatamani pacha gonga like hapa twende pamoja
@chainbre275
@chainbre275 4 года назад
E Mwenyezi Mungu Nami naomba siku nikiolewa uje unijalie mapacha 🙏🙏
@fatmamohamed1240
@fatmamohamed1240 4 года назад
Ameen thumma Ameen
@latriciah01augustino67
@latriciah01augustino67 4 года назад
Ameeen
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 4 года назад
ucombe best sema upate kizazi chema mie nilikua nasema km ww nikambiwa km ivyo nilivyokwambia mn ucone pacha wako apo wanaongea saiv sio kazi rahic best wng mwanamke mwenzetu yaani mama kapambana sana haswaaa
@kahoribonga9280
@kahoribonga9280 4 года назад
Amen
@shakylahamad8326
@shakylahamad8326 4 года назад
Aamiin
@mackmillan2803
@mackmillan2803 4 года назад
Eeeeeh mwenyenz mungu Naomba unipe Twice jaman,,,Amen
@francoisecharlotte119
@francoisecharlotte119 3 года назад
Samaani nadhani kama ulimanisha twins 👯‍♀️ Apana twice right?
@josephkomba64
@josephkomba64 3 года назад
Kumbe ww ni kama mm jaman nawapenda hatari
@manasadunia3458
@manasadunia3458 3 года назад
Ameen nami pia nawatamani twins
@lissapoul5227
@lissapoul5227 4 года назад
Wamebarikiwa hekima,Busara na kujielewa..ustaharabu Kama woote..daah nataman niwe Kama hawa
@simonhaule4076
@simonhaule4076 4 года назад
Ma'am Lissa acha kutamani sas afu anza kuwa
@eilinli7846
@eilinli7846 4 года назад
Poleni kwakufiwa na mzazi wenu😭ivi angeona raha yenu ManshaAllah
@jumasaganka8479
@jumasaganka8479 4 года назад
Mashaallah na mm pia namwomba Allah anijalie nije kupata mapacha wanaofanan
@mamaikram9612
@mamaikram9612 4 года назад
Amiin insha allah
@simonmollel4167
@simonmollel4167 4 года назад
Mungu azidi kuwabariki Sana.nimewapendeza jinsi mnavyoishi Kwa upendo,furaha na amani, nyie ni mfano kwa jamii
@hapinesphilimon8127
@hapinesphilimon8127 4 года назад
EE MWENYEZ MUNGU NAOMB UNIPATIE KIZAZI CHA MAPACHA AMEN
@nancyonduru6186
@nancyonduru6186 4 года назад
Hata mimi Mungu anibariki na mapacha wasichana kama nyinyi.
@aminakshamoona6900
@aminakshamoona6900 4 года назад
Muko vzr mashaAllah ruki na rani naomba Allah anijaalie na mm mapacha hata wa3 na wafanane wana raha sanaa
@musariziki1287
@musariziki1287 4 года назад
Amiin yarabb amiin
@khadjamhozya
@khadjamhozya 7 месяцев назад
adi raha na wanakipaji cha kufanana ,wote mafundi na ngozi yawo ninzuri na hawana mambo mengi❤❤❤❤
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 4 года назад
Poleni sana kwa kufiwa na mama yenu mpendwa.R.I.P Mama yetu.
@zennakailo8106
@zennakailo8106 4 года назад
Watoto mapacha wanaraha yake km Mungu nijalie na mm nipate km hawa 🤲🙏 nimewapenda buree
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 4 года назад
Sana
@advocatekarama4917
@advocatekarama4917 4 года назад
Amen mi pia
@faithM828
@faithM828 4 года назад
Atujalie sote. I love twins so much. ru-vid.com/show-UCIei0c0l73F8pmbT4IbrC-g
@esthermarco8525
@esthermarco8525 4 года назад
I love u guys. .natamani nami Mungu anibariki siku moja nipate twins maana napenda sana watoto mapacha
@jasminiddy8734
@jasminiddy8734 4 года назад
Eee mwenyezi mungu nijalie nami kizazi changu nipate mapacha wakike kama hawa yaraab
@neemamjema1067
@neemamjema1067 4 года назад
Nawapenda sana, naomba Mungu nipate pacha kama nyie yani wanichanganye mpk nichanganyike
@neemaoigen3594
@neemaoigen3594 4 года назад
Binafsi huwa na enjoy Sana nkiwaona mapacha Mungu awaweke jaman,
@khadjamhozya
@khadjamhozya 7 месяцев назад
Wacheshi Sana muda wote wanafuraha ❤❤❤💕🌺🌺
@brigithernkinga8160
@brigithernkinga8160 4 года назад
Kumbe kila mtu Ana watoto wa wili wa wili hongereni sana my twins
@latriciah01augustino67
@latriciah01augustino67 4 года назад
Aiseee ahsante sky sikuwah kujua kama kweli hawa ni mapacha siku zote nilikuwa nadhani mtu mmoja anacheza part mbili
@hildakazige1637
@hildakazige1637 4 года назад
Nawapenda sana hawa wadada twins mungu anijaalie namimi nipate twins kama wao😍😘😘🙏
@sabinaBatholomeo-th5wt
@sabinaBatholomeo-th5wt 5 месяцев назад
Wadada wazuuuri Sana na wanafanana Sana.Hongereni
@nyamunakisuda6333
@nyamunakisuda6333 4 года назад
Nawapenda sana haswa kwa wa jina wangu
@neemamwaisela6448
@neemamwaisela6448 4 года назад
Waoo mpaka raha eee mungu nami nikuzie wakwangu
@ashuraaomar925
@ashuraaomar925 4 года назад
Nimeipenda ngozi zetu zinavutia kwa kweli hongereni
@sophiapendaeli2801
@sophiapendaeli2801 4 года назад
Nawapenda mno jamani uwiiiii nyie niwarembo mno mpo vizuri sana
@jamesimakindi453
@jamesimakindi453 4 года назад
Mtangazaji bwana uko wa baridi sana
@faidhabyabato5853
@faidhabyabato5853 3 года назад
Pendeza saana mungu azidi kuwatunza
@mwanaideddson866
@mwanaideddson866 4 года назад
Nikiwaona natamani ningekuwa na pacha wangu jaman . pumzika kwa amani my dotooo
@yumna128
@yumna128 4 года назад
Pole sana dear
@vailethkaaya2689
@vailethkaaya2689 4 года назад
Pole sana
@mariyaal5366
@mariyaal5366 4 года назад
Pole sana nwanaid
@mwanaidyibrahimu8861
@mwanaidyibrahimu8861 4 года назад
Pole sana wajina
@richardngowi6285
@richardngowi6285 4 года назад
pole sana dada
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 4 года назад
Napenda kweli kiswahili chetu mawapenda sn❤❤❤😍❤❤
@aysherkabby5937
@aysherkabby5937 4 года назад
Beautiful gals!!! Black is Beautiful kwa kweli... Yani wakati naanza kuwaona kwenye Huba nilijuwa ni mtu mmoja...😅
@asia9930
@asia9930 4 года назад
Ata mm
@charlesnyembeke2985
@charlesnyembeke2985 4 года назад
Ata mim
@rosemarybalyaruguru7172
@rosemarybalyaruguru7172 4 года назад
@@asia9930 Na
@fainajaffary4070
@fainajaffary4070 4 года назад
😄😄😄mapacha
@hawahawai4724
@hawahawai4724 4 года назад
Hhhhh hata mm
@annamsingi2829
@annamsingi2829 4 года назад
Mapacha wazuri kama watoto wangu GRESY na Regina mungu awalinde wote
@seciliakilala7921
@seciliakilala7921 4 года назад
So beautiful
@lilhomies2541
@lilhomies2541 4 года назад
Nlikua naangali huba nikawaza kama washafanyiwa interviews Hawa madada.. Kushika simu tu nakutana na hii interview. Big up sky nikama ulikua kichwani mwangu vile ukanipa chenye nilikisubiria kwa mda
@annamwakibinga3190
@annamwakibinga3190 4 года назад
Sky huwa hukosei napenda maswali yako sana Mungu akubariki sana
@devothaphidelis3010
@devothaphidelis3010 4 года назад
Nawapenda sana jamani, mungu awape wepesi ktk kila hitaji la moyo wenu.
@hawaynatimam982
@hawaynatimam982 4 года назад
Ila mii mapacha watu wazima kuvaa sare kila pahala hapana
@advocatekarama4917
@advocatekarama4917 4 года назад
😅😅
@HASASON
@HASASON 4 года назад
Kila mtu na maisha yake Shinda mechi zako
@khadjamhozya
@khadjamhozya 7 месяцев назад
ushaanza kwenda huko mshmba wewe
@khadjamhozya
@khadjamhozya 7 месяцев назад
si umesha sema wewe kwanza akuna mwenye mda nawe
@ashuraussein7582
@ashuraussein7582 4 года назад
Mungu awalinde jamani wazuri mno adiraha mungu ni jalie mapaca 🙏
@kabateimelda9689
@kabateimelda9689 4 года назад
Jameni warembo nawapenda sana 💋♥️🇹🇿
@mercymwanika9467
@mercymwanika9467 4 года назад
Hata mamangu walizaliwa watatu wakiwa pamoja huwezi jua yupi ni yupi
@calvinruben2013
@calvinruben2013 3 года назад
A trick: you can watch movies on Flixzone. Been using them for watching lots of of movies recently.
@zaynfrancis3507
@zaynfrancis3507 3 года назад
@Calvin Ruben Definitely, I have been using flixzone} for since december myself :D
@elijaheli8632
@elijaheli8632 3 года назад
@Calvin Ruben yup, I've been watching on Flixzone} for since november myself =)
@agriparose3942
@agriparose3942 4 года назад
Mimi nia pacha wangu namwomba mungu anijalie mume Bora na baba Bora then mungu ndipo aruhusu mapacha wa kufanana kila kitu
@silverman6930
@silverman6930 4 года назад
Most adorable identical twins , black beauty 🇬🇧🇬🇧🇬🇧
@salimaomari6602
@salimaomari6602 3 года назад
Hongereni sn jmn Mungu azidi kuwatunza napenda sn scene zenu kwenye filam ya huba...nawapenda💖💖💖
@taupenisanshimirimana3384
@taupenisanshimirimana3384 4 года назад
Wow
@OmanOman-gp7xm
@OmanOman-gp7xm 3 года назад
Oho poleni kwakumpoteza mama nikayamungu mungu Amrehem
@lissapoul5227
@lissapoul5227 4 года назад
Nawapenda sana
@angelmashauri6961
@angelmashauri6961 4 года назад
Penda sana nyie twins Gina na Tina...mnatupa raha sana kwenye huba... 😘
@ashwramashallah7242
@ashwramashallah7242 4 года назад
Nawapenda sana jamani😍😍
@vinnahjasson5546
@vinnahjasson5546 4 года назад
Mungu azidi kuwatangulia jaman, nimewapenda bule mnavopendana, Regina na Tina
@angeljohn9307
@angeljohn9307 4 года назад
Poleni kwa kufiwa na MAMA chacha Mm MAMA bocko
@philomenamakonge227
@philomenamakonge227 4 года назад
Pole sana Kwa kumpoteza mama yenu kipenzi Mungu baba awasaidie sana.
@almasymsabah4858
@almasymsabah4858 4 года назад
Poleni sana kwa kumpoteza mama duuh poleni sana
@alexjacqueline6651
@alexjacqueline6651 4 года назад
It's really exciting
@fridakimwanya1158
@fridakimwanya1158 2 года назад
Nawapenda sana Ran na Ruki nataman sana kuwa na mapacha
@maggymm7302
@maggymm7302 4 года назад
Ooh they are so cute 😁😁
@stevelawrence1944
@stevelawrence1944 4 года назад
Poleni Sana kwa kufiwa na Mama mzazi RIP
@Hasha-zt2oy
@Hasha-zt2oy 4 года назад
Nataman nizae mapacha 🙏
@shamaglory8934
@shamaglory8934 2 года назад
It's my prayer too, but mi husikia eti lazima iwe kwa familia yenu
@pamelanaini7807
@pamelanaini7807 4 года назад
Wow you are looking so beautiful nina pacha pia lakini sidhani kama tuko this copy right big love for both you from Kenya💝💝
@evalineemmanuel8178
@evalineemmanuel8178 3 года назад
jmn nyie warembo htr mnafanana balaa
@rahimahaji4813
@rahimahaji4813 4 года назад
Dah, wamekumbusha mbali kweli, nilikua na classmate wng wako mapacha wa 4 wamefanana vimo saut sura yaan ilikua ni shida kweli, mungu mkubwa jaman
@didahtzonline3763
@didahtzonline3763 4 года назад
Mtangazaji mpk anavurugwa duuh anaishiwa maswali
@khadjamhozya
@khadjamhozya 7 месяцев назад
sio mchezo kuwaerewa
@ivonnassary1377
@ivonnassary1377 3 года назад
Mungu awabariki muendelee kupendana mpaka mwisho wa maisha ye
@petrostephano5431
@petrostephano5431 Год назад
Huba wangu nakupend
@trizahnjoki3663
@trizahnjoki3663 3 года назад
Wako sawa kabisa
@jacksoncharlesnyakuliba7976
@jacksoncharlesnyakuliba7976 4 года назад
Binafsi nili maliza kama miezi 6 bila kujua kama niwawili tofauti, nilijua kua ni editing ya mtu 1 kucheza mara 2 ktk huba...na nilibishana sana na wife maana yeye aliwahi kuwatambua....hadi pale alipo nionyesha majina yao ktk tangazo la huba....aisee nawaelewaga saaana.
@carenalphonce5013
@carenalphonce5013 4 года назад
Dah nawapenda sana mungu awape maisha marefu
@violethyemanuely7310
@violethyemanuely7310 4 года назад
Jamani napendaa sana nyie mapachaa naamini siku moja mungu atanipa coz napendaa sana twinc
@UwepoTv
@UwepoTv 3 года назад
Mungu awabariki napenda mapacha sana
@luckyvenance4576
@luckyvenance4576 4 года назад
Alafu chakushangaza mama yao anaweza kuwatofautisha vizur tu,,,,mama yenu apumzike kwa amani Aaamen
@swahibamussa2347
@swahibamussa2347 4 года назад
Sema kulwa kabonge kidogo
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 года назад
Dotto ndo bonge kidogo
@annanassari6384
@annanassari6384 4 года назад
Yn had vidole wanavichezesha sawa duuuh kwel Mungu na maajabu yake🤔🤔
@zabibunduwimana4612
@zabibunduwimana4612 4 года назад
Wanamuchanganya Sky adi anakosa maswali yakuwahuliza😂😂😂nimewapenda
@nganahesandra2293
@nganahesandra2293 4 года назад
Nawapenda sana ❤❤😘😘
@Mimi-wf7mb
@Mimi-wf7mb 4 года назад
Mtangazaji umepwaya sana. Hii angeipata Millard Ayo bwana!
@HASASON
@HASASON 4 года назад
Amepoa kichizi utafikiri gubu
@jumalihilwike1586
@jumalihilwike1586 4 года назад
umeona eeh.. et kaanza tu na kugonganisha magari.. hajaona vitu important vya kuanza navyo
@doi255
@doi255 4 года назад
Huyo Millard mwenyewe yuko inspired na sky
@khadjamhozya
@khadjamhozya 7 месяцев назад
Miradi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@chainbre275
@chainbre275 4 года назад
Hpo Ni coconut and coconut milk
@kulwasaid1750
@kulwasaid1750 4 года назад
Nawapenda sanaa
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 4 года назад
Raha sana maisha kwakweli na upendo wao walionao
@angle3600
@angle3600 6 месяцев назад
❤❤❤wangu hawafanani
@OmanOman-gp7xm
@OmanOman-gp7xm 3 года назад
Duuh mumefanana saana jmn mnatisha mmependeza mpendane sana
@munynasser365
@munynasser365 4 года назад
I just love them😘😘
@emk9458
@emk9458 4 года назад
KWANINI ULIKUFA KWA HUBA JAMANI? HADI NIKAACHA KUWATCH HUBA. I LOVED THE BOTH OF YOU. MUCH LOVE FROM KENYA.
@mariumpius9014
@mariumpius9014 4 года назад
Kumbe nawe uliacha jm!! Yan imewakumba weng😒.pole
@godriverjackson5
@godriverjackson5 4 года назад
Mungu awape umri vizazi vyenu viwaone mpendane
@robertevarist1595
@robertevarist1595 4 года назад
Nawapenda na ninawakubali sana mapacha wenzangu
@bosslilyg4390
@bosslilyg4390 4 года назад
Ila mmoja anajiongelesha kiswahili cha Kenya 😄 hiyo ndo tofauti yao halafu Regina anaonekana mpole sana huyo mnene kidogo anaonekana chakaramu sana na ambayo ndo anavyoigiza kwenye huba
@wambuirarimi5669
@wambuirarimi5669 3 года назад
Kiswahili cha kenya kipi hicho🤣wakenya huongea vipi jameni 🤣
@saidahj2543
@saidahj2543 4 года назад
Sky amechanganyikiwa aki.....there life is funny🤣🤣🤣🤣
@gracelameck7013
@gracelameck7013 4 года назад
Mungu nibariki nipate pacha kama hawa
@jayratumaulid582
@jayratumaulid582 4 года назад
Nawapenda saaanaaa
@masudjuma5917
@masudjuma5917 4 года назад
Nawapenda sana hawa mapacha
@user-dz7ej5jc1s
@user-dz7ej5jc1s 4 года назад
Nawapenda bur 💗💗maa sha allah
@elizabethezekiel1286
@elizabethezekiel1286 4 года назад
mmh!mmenikumbusha mbali sana niliwahi kuwa na mpenzi ambae ni pacha sasa siku moja wakaja wote kwa pamoja na mavazi yao kila kitu kimefanana kiukweli nilichanganyikiwa na sikumjuwa mhusika wangu ni yupi.
@ibel4lf
@ibel4lf 4 года назад
Mungu naomba anijalie mapacha wengiii I love you twins❤️
@oman7710
@oman7710 4 года назад
Polen sana kwa kuondokewa na mama Mungu awapeni furaha.
@suzyjames3511
@suzyjames3511 4 года назад
Mnapendeza mapacha
@chainbre275
@chainbre275 4 года назад
Yani sky anavyo waangalia yani nikma huamni kumbe it's real
@khadeejaabdullah7083
@khadeejaabdullah7083 4 года назад
Ahsante pacha wangu
@MaryMary-kq3nh
@MaryMary-kq3nh 2 года назад
Ongereni sana kwa kazi hiyo
@marygaspar6429
@marygaspar6429 4 года назад
Mnapendeza
@annajohn3700
@annajohn3700 4 года назад
Nawapenda sana Hawa wadada jamani
@alinemukakalisa2224
@alinemukakalisa2224 4 года назад
Munafurahisha sanaa
@grolykennedy9765
@grolykennedy9765 4 года назад
Ila wanatofautiana mm niliwahi kuwaona mmoja ni mnene mwingine ni mwembamba hata hapo walipokaa ukiwaangalia vizuri huyo wakulia ni mnene nawakushoto ni mwembamba hiyo ndo tofauti yao .
@caslidajosephat8912
@caslidajosephat8912 3 года назад
Huyu wa kushoto mpole sanaaaa, haka kakulia ka mapepe mm nshawagundua, halafu haka ka kulia kafupi na kanene
@avelinamganga8878
@avelinamganga8878 4 года назад
Mpo kama my schoolmates Wang flan iv adleo cjuikuwatofautisha Jane na verediana,,,, polen sana kwa kumpoteza mamaenu
@joycekimaya3593
@joycekimaya3593 4 года назад
Nawapenda bure MUNGU nijalie nami nipate mapacha
@saraharon3053
@saraharon3053 4 года назад
Nawapenda
@sophiajackson5001
@sophiajackson5001 4 года назад
Mungu nipe kama hawa kwa utukufu wako Baba.....
@asiakomba2506
@asiakomba2506 4 года назад
Ameen my dear utapokea 🙏🙏
@happynesjohnhappynesjohn4475
@happynesjohnhappynesjohn4475 4 года назад
Mungu nipe na mm Kama hawa
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 года назад
Inachekesha
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 года назад
Kwann
@frankmagesa2998
@frankmagesa2998 4 года назад
Mwenyezi mung awape maisha maref
Далее
HATARI; MAPACHA WANAO FANANA KUOLEWA NA MWANAUME MMOJA
19:54