Maaashallah jmn nina mapacha wangu wakiume na wakike, wakike anaitwa shariffa na wakiume ni shariffu, namkubwa ni wakiume shariffu mdogo shariffa nawapenda sana mapacha wangu wallah😘😘😘😘😘😘😘😘😘
Wow tumesoma nao Filbert...ni wanajua kudance Sanaa. Sijui kwanini wamekiacha icho kipaji Chao. Coz walikuwa wanajulikana kwa kudance kwao. Wangefika Sana mbali endapo wangeendelea. Love you
Mash'a'ALLAH.. Safia 😍 Ahhhhh Shareefah 😍 Daah Kwakweli Nimechanganyikiwa 😣 Ila utofouti niliouona Shareefah yuko na sura flani ya hasira hivi kwa mbaalii.. Safia yuko na tabasam wakati wote.. I noticed that thing..
sijui kwanini kurwa huwa hawavutiwi na kusoma kabisa lakni ni wabunifu kwny kutafuta hela hata mm ni pacha wa kike tena kwetu tumezaliwa mara mbili wa kiume na wakike alafu kurwa wenzetu shule hawavutiwi kabisaa ila ni wabunifu kwenye kutafuta so sishangai hilo ni kawaidaa tu
Tulikuwa pamoja nahao mapacha ila la nibasitu,,please ningeomba unitumie namba zao ao dada zangu ili nikija uko tz nipate chakula nao,,naongeya ukweli naomba namba, naitwa juma Omar nipo apa USA
Moja mweupe sana afu mbona kulwa jamani anaongea kama chelehani yani wakina kulwa bwana ukubwa kachukia yeye kuongea aneongea yeye hampo nafasi dogo aonge😂😂
TIBA BORA KWA MWANAMKE MKOMBOZI KWA MWANAMKE: HII ni Tiba bora iliyo tengenezwa kwa teknolojia bora ulimwenguni kwa ajiri ya afya ya mwanamke. Afya ya wanawake daima inaingiliana na maisha ya kisasa wanawake wanakutana na aina nyingi za matatizo kwa kipindi kizima cha maisha yao, kwa mfano mzunguko wa hedhi usio was kawaida,maumivu wakati wa hedhi, kutokwa na uchafu mweupe,harufu mbaya,miwasho, maumivu wakati wa kukojoa, kutoka damu wakati wa tendo la ndoa. Ikiwa hizi dalili hazikutibiwa vyema na kwa muda maalumu, itasababisha matatizo makubwa sana ya kiafia. Kila mwaka takribani visa 490,000 vya saratani ya shingo ya kizazi vinaripotiwa.. watu 240,000 hufa kutokana na saratani ya kizazi. Hii ndio chaguo sahihi kwa magonjwa ya uke bidhaa yenye kuleta ulinzi kwa afya ya mwanamke na kumweka salama kabisa.Tiba inamchanganyiko wa aina nyingi ya madini na Vitamin kama (amino acid, trace element, multiple vitamin) Inasaidia kuweka afya bora ya uke na kuondoa matatizo yatakayo pelekea kuzorota kwa afya yao kwa ujumla.Nibidhaa ambayo hukinga na kutibu afya ya mfumo wa uzazi wa mwanamke na pia kukupa faraja ahueni. 0657960657 KAZI NA FAIDA ZA KUTUMIA TIBA HII: √ huweka maeneo ya siri safi na salama. √ hutibu na kukinga maradhi ya maeneo ya sili. √ inaondoa maji maji machafu harufu na miwasho. √ Husaidia kutibu na kukinga dhidi ya maradhi ya njia ya mkojo UTI sugu. √ Hutengeneza sisima / lubricant asilia. √ huzuia kusinyaa kwa misuli ya uke. √ hurudisha uke katika ujana na kumfanya mume afurahie tendon la ndoa. √ Ni nzuri kwa matibabu ya PID √ inakinga vijidudu vinavyo sababisha upele kwenye nywele hasa sehemu za siri. √ husaidia kusafisha na kuzibua mirija ya uzazi. √ kuua bacteria wanao sababisha STDs. √ huondoa kuwaka moto ukeni na inasaidia kutuliza joto kali pamoja na kuzuia bacteria,fungus na matatizo mengineyo. Tumia Siku 7 hadi 10 kwa matibabu. Viambata; Rejuvenating Minerals Natural essential oil from plant Multiple Vitamins Amino Acid Vegetable anti-oxidant Kwa mahitaji ya bidhaa hii naomba tuwasiliane kwa namba hizi; WhatsApp, Email karibu sana kwa wateja wa Daresalaam tuta kusogezea ulipo, mikoa mingine utasafirishiwa kwa busi utachangia usafiri Piga au WhatsApp 0657960657
Jamaniii mimi pia ni kurwa .Nawapenda sanaa. Nipo dar Bunju nitawatafuta .ninaudada sanaa pia ilo ni tatizooo.ila pia hata mie sipendi esabu we unaigaa
kwa zanzibar anaejua kupika biriani ni mdogo wng asmourmakullat yaani huyu biriani akikupikia utakula dishi lote yaani anajua mn upishi ni mkono wako na asmourmakullat mkono kaajaliwa mn wa2 wengine wengi wana mikono wanapika lkn vyakula havina ladha