Tangu nitendwe naogopa hata kuambiwa nakupenda na mpaka sasa mwaka wa tatu sina mtu naogopa ndo nimekua saidia fundi maana sijasoma na mwanaume alikua msomi kapata msomi mwenzie nikasema sijakua na mtu wakunisomesha kwaio nabeba zege ila naamini ipo siku mungu atanipa wangu tu
@@thabitimkufi7388 kweli kaka ani me sijui nina bahati Gani nakutana na mapaka yanayowaza viwanja tu qumamake 😂 nikimpata kama huyu ntampenda Hadi nimkere
Mwanaume ukimsaidia pesa anajua mwisho wa siku wewe uliempa utakuja mcontrol tu 😂kitu anafanya ni anatafuta mtu mwingine anaeweza kumcontroll 🤣🤚jamn mwanaume apewi pesa anatiwa moyo na nguvu ya kutafuta pesaa 💔
💔inauma…. Ila huenda MUNGU alikuwa anamtumia Ummy ili kumfikisha mtu (Daniel) mahala fulani. And it looks like the game is over. Move on Mamaa😢 ni ngumu ila inawezekana. MUNGU analipa thawabu
Leaa tu mwanao dear Achanaa na huyoo mwanaumee hanaa malengo yoyote na wewe ndg yang focus on your goals mbonaa we mrembo na bdo mdogo jmniii komaaaa dear Achanaaa na huyoo kaka aiseeee, , , yaaaan mpk napataaa hasiraaaa
Siku nyingine ni bora muongee kiswahili mwanzo mwisho kuliko kuchanganya na kingereza mpaka mnakosea. Haya huyo dada kasema “the gay” badala ya “the guy”
Unachotakiwa kumsaidia mwanaume wako ni chakula na maji tu ukimfanya awe wa hadhi ya juu atakuacha atafute wa hadhi yake yaani hawa wanaume ukimtoa babu yangu wote mbwa tu😮😮
Kwa mm jaman kiukweli haya mapenzi ni nyoko ni nyoko sana kiufupi hya mapenzi mahusiano nawahachia makanji bahiii huko mumbai 😅😅😅 ila na ww single maza kichwan haupo sawaaa kbsaa
Ni kwamba wanawake mmekata tamaa hvy mpk mnawapa wanaume pesa jmn mbon dada mzuri hvy kwann unajikatia tamaa hvy me lishangaz wa miaka 33 lkn sijajikatia tamaa