Kuna maneno ya wanawake wenzangu nikiyasikiaga huwa na cheater sana , eti tumetoka mbali name, siwezi kumuacha, eti ananipenda mimi 😅😅😅😅😅 huwa nacheka sana . 😅😅😅😅😅😅
Watu wakavu 😢😢 et siwez kumuacha nimemzowea,, haya haus gar kamalizie kazizako boss atakufukuza kaz bure,, 😂😂😂 mana limekushuka shuuuu!!!!!🙌🏻🙌🏻🙌🏻😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Unajua jomon Kwa watoto wa kike, mnajichoresha hapo, mwanaume anavimba kichwa kama dunia kaimiliki yeye. Anawachora, mm sigombani na mwanamke mwenzangu, unashindwa nn kumove on, Au mwambie Mr Uky akupe namba ya yule dada mwenye idadi ya wanaume, akupe mmoja😅😅😅😅
@@Jasmeni-ns9dg kwel my kaz aziend mapenz atuingz pesa mapenz aaah daaah we mwache tu uyo mapenz anajikuta star wa ulimwengu mzma alipo uko ipo siku tutaonana tu sura kwa macho😂😂😂😂😂🏃♀️🏃♀️
Mmh ni vile Mr UK anapata liziki kupitia hh kazi Ila kinadada mnajizalilisha mjue akikuchit kaa nae chin mzungumze ukishindwana nae bas jua hilo so chaguo lako angalia mpango mwingine
WAKATI MWENGINE KITU KIZURI CHA KUMFANYIA MTU UNAYEMPENDA NI KUMUACHA HURU AENDE KWA ANAYE PENDANA NAYE KWA DHATI WAACHE WAENDE KUNA MAISHA BAADA YA WAO KHERI UPWEKE KULIKO FURAHA YA KULAZIMISHA KWA KUJIPENDEKEZA ✍️
UNAKUBALIJE KUZINIWA KISA KUMLIDHISHA MWANAUME😢MABINTI TUSIONJESHE SEHEMU ZA SIRI 🙌🚮KAMA HAWEZI KUKUPATA KWA UTARAIBU WA KUIENDEA NDOA BASII, NDO MAANA MM HUSEMA SISI WANAWAKE NDO TUNAOLEA ZINAA MIONGONI MWETU 🚮🛌