Daaaah huyu dada anaupendo wa dhati sana kwa huyu jamaa ila nayependwa hajui kam napendwa sijui kwa nini wadada kama hawa huwa hawapati watu sahihi au wanaume huwa hawapati watu sahihi yaani hii ipo kote kote yaani sijui huwa ni kwa nini dada muache utapata akupendae hiyo anaonekana anakupotezea muda tu mdogo angu utapata chaguo lako achana na huyo mbana Nywele kama mwanamke amenikwaza sana😢😢
Kiredio ungemshitua uyo dada na kibao kashaambiwa alikua anataftiwa sababu Aachwe badala aendelee na maisha mengine analia apokelewi simu😂😂😂😂😂 ifike mahali wanawake tujue thamani yetu
Duuh 😂😂 bola mie ninavyopenda wali mahalage kama mtukufu kuliko mapenz tangu nipigwe na kitu kizito sinahamu. Na mapenz kabisa kuusu kupenda nampenda baba yangu na mama yangu 😂😂
Dada angu wewe ni mzuri sana tena sanaaaaaaa nakuombea kwa Mungu umpata mwanaume utakayeendana naye ila hapo hapana mshikaji hakupendi😢daaaah huyo dada Mungu akupe wa kufanana na wewe
Pole dd inauma sana namm ishanitokea ilinipa tabu kuzoea ila nilivyojikuta nitaweza weeeeee ni nilishukuru mungu na niliweza mpaka ss nimecmama na nimepata zaidia ya yule Shwain
Ila huyu kaka Mungu anamuona, ani mkavu ht kujutia kw alichokifanya....dada continue ktft pesa plzzz maisha ya kulilia wanaume sahv yamepitwa na wkt kpnz😢
Shukuru Mungu kakupatanisha na kiredio na akavunja mausiano,kuna vitu tunapitia kwenye dunia ili tupate watu saihi we sema asante Mungu akuletee saihi .apo kwa kumpigia nimeumia 😫
@@Official83640 unajua boyfriend wa kwanza wewe vile huwa tunawapenda, but me ckuwah mlilia sema me ni jeuri kiasi Afu naamini katika ridhki mafungu saba ndio maana huwa nachkulia poah, let's me tell u short story, kuna boy nilikua nae mara akarudi mkoa wake, then kanipigia Naj nataka kuoa, nikamwambia poah ,🤣🤣🤣 si akaanza uliza mbona haujaonesha kuumia wala kulia? Nilikua natania, 🤣 me ni yule mtu unavyotaka nataka🤣
Kiredio mi nakubali , umemuumbua huyo msenge kumanina zake , Kwanza demu hashtuki hadi jina kadanganywa 😂, mfatilie vizuri ally sio jina lake 🤣fala kweliii huyo 🤣
Msichana , mdada i wish uone hii komenti. Mungu akusaidie utoke kwa hayo mahusiano trust me hakuna lako hapo, aliepo uwanjan sikuzote ni ngum kuusoma mchezo tuliko nje ndo tunaona vizur, kaza utaumia ila utapona tu.,Kuliko hiyo shubaamit