Wakwangu nachukulia.t kashakufa hajui mtoto anakula nn wala kaamka vip wala kala nn hajui.hivyo mm najihesabia. mtoto wangu ni yatima.hana baba yuko na mama yake tunaish tumewaacha watu wale bata
Doctor kumbuka io mada naomba please uirudie tena uiongelee kwa mapana zaid yan wanawake wanatunyanyasa kwa watt wetu tunapowahtaji kuwa nao kwa mda mchache,, nakukubal doctor