mwenyezi mungu akujalie kila la kheri katika safari yako ya mziki akuepushe na mahasidi. watching from Saudi arabia. masalama king kiba na hiyo trophy yetu
you may shade tier's for happynesss people have spoken the Tanzanian are amezing people thanks for surpot.And that is a good image to the world include SONY ENTERTAINMENT PLIZE MAKE SURE YU NOT DESAPOINTS THE FANS OF KIBA MAKE SURE KIBA GROW STONGER ...
i tink bsyd being a good artist pple love alyk coz of hz personality from da word go alyk aliingia ndani ya nyoyo za watu.such dat he dzn't need to strugle soo much ndo aonekane ukiwa mzuri kwa watu dy will just love u without trying dat what dy call true love.
Hassanova junior ww Mavi lini huyo domo kapata ema kaishia kuambulia vi mama's Hahaha hlfu huyo Ne-Yo tushapiga nae collabo zamani kwenye Coke studios hata kabla hajamjua huyo domo kishamjua Kiba Nani ww hamuwezi kufananisha uharo wenu domo na king Kiba
King bwana hawakuwezi hata kidogo Hahaha R-Kelly ushapiga nae collabo kwenye one 8, NE - Yo ushapiga nae collabo kwenye Coke studios, Chris Brown ushaperform nae mombasa rocks festival, Yvonne chaka chaka tiyari duh we kiboko Ya domo atakunya mwaka huu atabaki kufata nyayo tu Hahaha😂😂😂😂😂
Am proud of you kibba...ww ni Zaidi ya msanii na watanzania wengine wakuelewe wewe cyo mzee wa show of...vizuri sana👏🏼👏🏼 achana na wapiga kelele @cynthya aka sio Demu video vixen
ukweli ni kwamba King ni King wala hafananishwi na yeyote. mond anapata tunzo kwa kupitiya collabo yani vipaji vya wengine. ila King kiba ni peke yake. najuwa mutaelewa tu team janjajanja. hapa ni mziki muzuri
sema tumeona sana diamond akiwa anarudi kuchukua tuzo yuko anaona upendo mashabiki zake huyu hayuko kuonesha sana upendo kwa mashabiki zake muscat oman
hamna gen yote yazaman kwetu tunazo zimepangana had chooni😂😂😂tunzo yenyewe had ahurumiwe eti oooh ilikosewa noo haiwes kuwa mtu akosee Jina hapa kuna namna
NEEMA TUMAINI WANITXT NIWAONESHE MOND TENA ANAZO 2 MTVEMA NA NDIO MSANII PEKE AFRICA ALICHUKUA TUZO 2 KWA MPIGO NA UKITAKA KUAMINI INGIA KWENYE PAGE YA @MtvEma Instagram utaona wamemfollow mond