Kiukweli Alikiba ukimsoma nini anapenda na nini hapendi na ukalenga vitu nya msingi katika kumuuliza kwenye interview, Utampenda kwenye majibu,anakuwa mpole msikivu na mnyenyekevu na anakujibu kwa busara. Asanteni kwakumtambuwa kiba,, year baba.
Alikiba is someone who has never wanted to show her self different but his different. his humble collaborating person he knows how to speeks with others and his respectable.
Safi sana kumleta Ali Kiba, akaze boot maana sasa muzic upo na mabadiliko mengi. Asisahau kutumia media za mitandao ya kijamii kujitanga zaidi. But I will be happy if you will interview the Ya Motto Band hopeful they did some good music, itakuwa poa kuleta group lote hapo kwa saloon, au sit ni chache??/ teh teh
I watch now 2018 kumbe wasiojulikana walikuwepo tokea zaman doh pole king kiba pia nimegundua ww ndio ulimpa shavu diamond akakubalika up to now japo for now kama vile ana ku snitch...
ali umeongea ya maana sana acheni kusikiliza maneno ya watu hua wanapenda sana pale mnapo gombana kama salama anavyosema watu hua wanaleta maneno mengi juu ya salama na dj fetty fanya yenu mkuu usisikilize wanafik big up ali
Nawafatilia sana mkasi najua uwezo wenu ni mdogosana katika uulizaji wa maswali nahii nadhani inachangia na nielimu ndogo swali la kwanza mwuachieni mtu ajitambulishe yeye kama nani anatokea wapi na anajishughulisha na nini na ana miradi gani
Kaka Fazili Kumpun "swali la kwanza mwuachieni mtu ajitambulishe yeye kama nani anatokea wapi na anajishughulisha na nini na ana miradi gani" Fazili Kumpun introduction kama hizo, kwanza nikwayule chipukizi ambaye haja julikana katika game, pili, helewa kuwa ina tuboa sisi kama wasikilizaji kusikia superstar anajitapa au kuhongelea alikotoka kila interview anayofanya. Tafadhali helewa hilo. kama huja juwa wapi Ali katokea do what we call "flashback", so you will know where to start... Big up sana MKASI group.!
u just stuck with diamond he's nothing at all salama kiba is deferent planet \/ bluffing super star ,along ago there is slim Ali(r.I.p) sorry salama u base one side / ur diamond side if t.v presenter don't tag one side( viper)