Kaka masoud umeuliza swali zuri Sana lakini Cha kusikitisha halijatolewa majibu sahihi, tunamuamini kamanda wetu mulilo na tunaipenda kazi yake hivo ni vizuri alichukue Ilo swali na kulifanyia kazi. Asante
Inaonyesha huyu mlilo nimiongoni mwa watekaji mana kauli zake zinaleta ukakas pia ninacho kielewa Tanzania hatuna jeshi tunakikundi kimejivisha elementi ya kijeshi lakin kazizao ni kazin zao ni majambaz kiujumla tuna majambaz hatuna jeshi mungu ndo anajua
Jeshi letu La polisi ni janga Aisee sijui limepatwa na nini!!!? Weledi sifuri. taaluma ukichanganya na siasa ni umekwisha masood kipanya uko vzr Sana kaka pamoja na team yako msichoke endeleeni ivoivo na endeleeni kuwaalika tuone panapo Vuja.
Yani katika watu siwapendi duniania ni polic wa tanzania maana awana hutuu kabsa alfu awa viongozi wao wanawatetea sana ila ingekuwa rahia kampiga polic yani watakamata mtaa mzima awa awana maana kabisaaaa
Hongera sana kamanda murilo ila kwenye jeshi la police kuna tatizo kubwa sana hujma za ubambikiaji kesi kwa raia umekuwa kwa kasi sana chunguza hilo na chukua hatua
Kusema kweli Mimi binafsi huyu kamanda huwa simuelewi maana naona kama ana udhaifu katika kusimamia watendaji wake,ye naona amebase katika siasa tu sio kuangalia majanga yanayosababishwa na jeshi la police Kwa wananchi!
Chamsingi ni kuwa piga picha unapo mtaja police wakibisha unaonyesha picha za ushahidi pia itasadia kuondoa ubishi [ serikali iruhusu raiya wachukue au wapige picha kuondoa itata ]
Polisi mutende haki baada tu mh.raisi pendwa hayati dr.john pombe magufuri wananchi tumeludishwa tena Enzi ya uhasama wa raia na polisi hawatendi haki 😢
Jeshi la polisi linaongozwa na viongozi ambao ni criminals. Muliro hawezi kukubali Askari wake ni wahusika kwenye kumteka na kuooteza watu . Cha msingi ni wananchi kupewa elimu kuhusu jinsi polisi anapaswa kukujamata. Ikitokea police wanekuja bila uniform basi wake na mjumbe au afisa mtendaji wa eneo husika vinginevyo hata yeye asiondoke eneo Hilo salama labda aje kuokolewa na Askari wenye sare zinazotambulika.
Acheni kuficha sasa nikuulize swali walio mchukuwa sativa kumtowa dar mpaka manyara na walimuingiza vituo vya polisi vitatu je! Nahao ni raia ?? Nyie wakuu ndo mnawaagiza hao
polis kwenye nchii ni janga kaka masud uwez mtaja mtu ambaye humjui kana kwamba s yeye aliye mteka wakat sura yake jina lake muniro anawaficha kwanza hajui PGO
Murilo nisehemu ya watekaji anazungumza nini kwanini anawatetea police, police sio wakumwamini ni waharifu namba one nandio wako na mabunduki lakini wanafikili hatujui
ni kweli police ni watekaji hata kaka yangu pia walimteka wakaenda kuficha kituo cha police tazara na tulienda kuulizia wakakataa katu katu kuwa hayupo bahati nzuri piki piki yake hao police walikua bado hawajaificha hiyo ndio iliwaumbua