Tanzania ni nchi ya kwanza duniani ina watu wachache wanaoshabikia mtu kupanga nyumba na kulipa bei kubwa ili hali hana hata uwanja wa kujenga kibands ifike mahali vijana mnaokuwa mtoke katika ujinga huu na kuwa na kiu ya kumiliki nyumba zenu wenyewe. Hakuna ujanja kupanga majumba ya kifahari huku huna chanzo cha pesa ambacho kiko stable
Mtangazaji sura kama kameza hamira ila Wabongo bhana yani chuki tu 😂utazan tunda toka wamjue alishawah hata waomba chumvi hebu muachen binti wa watu hajawah hata mkwaza mtu ni binti mzuri sana
Kwa hiyo mama ako mpaka sahiz kwa idadi ya watoto alionao thamani yake ni sawa na sh.ngapi tumnunue maana atakua cheap saana…(yani mtu akiwa mama anashuka thamani mmelelewaje vijana wa miaka hii jamani)