Тёмный

Masoud Kipanya ataja uwezo wa gari yake ya umeme, bei yake na lini zitaanza kuuzwa - Part 2 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 24 тыс.
50% 1

Masoud Kipanya ametengeneza vichwa vya habari nchini baada ya kuzindua gari lake kutoka kwenye kampuni yake, KP Motors. Kwenye #ChillnaSky anazungumzia mchakato mzima ulivyokuwa hadi kufikia hapo

Опубликовано:

 

7 апр 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 85   
@musajackson3289
@musajackson3289 2 года назад
Serikali iwezeshe wazawa ili kufikia soko la kimataifa Sns for life 👍
@miriamngosha6856
@miriamngosha6856 2 года назад
Yaan kwa nchi za wenzetu apo lazima rais angeshafanya jambo sasa uku kwetu wapo kimya kama awalion hii vile hila me naiman kama umeweza kufika apo bro bas nguvu yako ni kubwa sana utafika mbali mno big bro proud of u lov🙏🙏
@nicolausminja689
@nicolausminja689 2 года назад
Umeongea point ya msingi.ishu sio kwamba viongozi wanaogopa mabeberu (wauza mafuta) Maana hii gari itawaulia soko la petroleum nchini.
@fredricklitunda8870
@fredricklitunda8870 2 года назад
Acheni haya maswali yenu ya darasani kama mnapenda alichofanya mtanzania mwenzetu basi msupport kwa hiyo elimu yako ya engineering afanye kitu bora usidiscourage wazo lake. Safi sana masoud kipanya kutoka Songea.
@gwaluganoa.mwakatobe3183
@gwaluganoa.mwakatobe3183 2 года назад
This is millestone creativity. Thank you Kipanya for this achievement. Naisubiri sokoni
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Kati ya watu ninaowakubali na kuwapenda, Hongera sana Masoud kwa kazi nzuri 🙏
@thomaslali705
@thomaslali705 2 года назад
Kila jambo Lina mwanzo na nafasi ya kuendelea inayotia moto. Anapaswa kuungwa mkono kwa Kasi ya kutosha kuwa na bidhaa za nyumbani. Hongera!
@halaatv
@halaatv 2 года назад
Hongera sana masudi kipanya utawainspaya sana watu
@noahmwankenja8705
@noahmwankenja8705 2 года назад
Wazo zuri Sana nakupongeza bro...Muhimu usiogope nikushare idea na waliotutangulia Kama kantanka waliopo ghana.naimani tutapata toleo Bora zaidi lijalo...Ila kwenye maelezo yako apo kwenye interview natumaini ulimaanisha volts 60 nasio watts 60..pamoja sana
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 2 года назад
Hii ni safi sana, watanzania kama hawa ni wa kuwaendeleza wafike mbali, kwani hata korea kaskazini walijaribu jaribu na kukosea kosea ila sasa wanatengeneza makombora, hivyo hiyo hata wajapan, wachina, wakorea, wajeruman, waingereza, marekani walijaribu jaribu hivi hivi miaka ya 1905 huko ndo leo hii tunaona magari, ndege, meli ubinifu unaendelea, kwani walijifunza kuwajali wabunifu wa ndani na kuwaendeleza. Mim naona Masoud atafika mbali sana.
@MrTouch-rm4rh
@MrTouch-rm4rh 2 года назад
Mwananchi kwanza big up kipanya nakupa pongezi sana yani aya ndio mafanikio tunayo yataka katika inchi yetu
@alitomorrow166
@alitomorrow166 2 года назад
Kwa nn isiwe bei ya chini zaid kulinganisha na izo bidhaa zengine kama izo ambazo amezitaja kipanya .M9 me nahic ni bei kubwa kama tunazalisha wenyewe
@ayublema6101
@ayublema6101 2 года назад
Ameshaliongelea hilo
@salim02tv24
@salim02tv24 2 года назад
Bajaji m7 mpk 8 .. Kway sio mbaya
@pendaelnkya7272
@pendaelnkya7272 2 года назад
Mr masudi ongera Sana. Naitaji kuwa mwekezaji kwako
@nicolausminja689
@nicolausminja689 2 года назад
Hongera saana KP.kwa ubunifu huu,umeiona fursa na kuitumia vilivyo,kwa bei ya petroli utapata soko kubwa saana alafu ukizingatia serikali na mradi wa bwawa la mwalimu nyerere.umeme soon utashukia bei nchini,so umeupiga mwingi broo
@francismwacha253
@francismwacha253 2 года назад
Nimpe pongezi mwamba KP kwanza ukizingatia mafuta kupanda amelenga mnoo natamani apate watu watie mpunga atoe vyuma vya kutosha da!
@pelezi84
@pelezi84 2 года назад
Safi sana, napongeza juhudi zako binasfi katika kufikia mafanikio haya. Naiona TZ ya mabadiliko ya kitechnologia na ubunifu.
@emmanuelfari8924
@emmanuelfari8924 2 года назад
+MUNGU+ akufanikishe zaidi kwa kila unachokiamini🙏 keep going bro Kipanya🚶
@ahmadateguro4886
@ahmadateguro4886 2 года назад
Akili mingi huyu kipanya bravo brother
@salim02tv24
@salim02tv24 2 года назад
Genius
@Swahili_Finance
@Swahili_Finance 2 года назад
Engineering Designing 🔥
@KAMOGEASEMACOLTD
@KAMOGEASEMACOLTD 2 года назад
Nakupongeza sana Mr. Kipanya. Nakushauri kutumia Mr. Mbwambo anayezalisha umeme kwa sumaku ili usiwe na kuchaji. Unaweza kumtafuta kwenye Utube. Nafurahi kuanza kutengeneza gari, ni mwanzo wa mafanikio.
@abdullahannabhaniy2283
@abdullahannabhaniy2283 2 года назад
Huyu jamaa wa umeme yupo kawe
@mybabyarchive2104
@mybabyarchive2104 2 года назад
Umehastle sana bro nakuombea uwe bilionea uwe the next Bakhresa
@intro9485
@intro9485 2 года назад
Sns tufikishe SUB mil.1 I can't wait for that
@mikaelikamili3108
@mikaelikamili3108 2 года назад
Babu naitaka hiyo gali
@mytelecom2019
@mytelecom2019 2 года назад
safi saana Masoud
@mbembelatv
@mbembelatv 2 года назад
All the way from part one...
@leonardhossa3192
@leonardhossa3192 2 года назад
Naaam, hongera sana
@evankya1955
@evankya1955 2 года назад
May this advance into big car industry in Africa
@rizikimunga2460
@rizikimunga2460 2 года назад
You did it brooo
@mburawambulanga3500
@mburawambulanga3500 2 года назад
Heko brother Masoud
@alitomorrow166
@alitomorrow166 2 года назад
Hizo zingine ziko na ushuru ndio mna zinafika m9
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 2 года назад
Hongera sana
@teddymatisha6781
@teddymatisha6781 2 года назад
Upcoming billionaire
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 2 года назад
Haya ndo aliyoongea Gwajima bungeni mipango ya muda mrefu Kaka masoud ni mpango wa muda mrefu mpaka leo tunaona matunda,Mimi nakuombea kwa Mungu ufike mbali zaidi utengeneze na vya kutembelea mjini hapa sio vya kubebea mizigo tuu,Kama mtu anamizunguko yake mjini ambayo haimalizi kilometa hizo kwann usinunue,Mungu awe nawe
@andrewjulius6796
@andrewjulius6796 2 года назад
Yaani Huyu jamaa kaanza kuchora kabla hata sijaziliwa
@eipro_
@eipro_ 2 года назад
Watu Mnatakiwa kufikiria kuhusu kupata kazi na sio kuiponda hii gari........
@ahz6907
@ahz6907 2 года назад
Na pia kuwa chachu kwa sisi wengine iwe ni hamasa kufikia hapo alipofika ndugu yetu au zaidi ya hapo 👍
@ntegrity277
@ntegrity277 2 года назад
Usiangaike kutoa battery! Tengeneza mfumo wa charging gari ikiwa inatembea, motar izunguke icharge battery
@ilumbukibi4169
@ilumbukibi4169 2 года назад
May the Almighty Allah Bless you bro!
@mussahamisi7493
@mussahamisi7493 2 года назад
Nazani hapo kuna njia nyingine ukiifanyia kazi vizur itakuwa nzuri kutumia sola yani wakat gari wakati linatembea mchana linakuwa linachaji moja kwa moja
@barikimbacho6731
@barikimbacho6731 2 года назад
@@mussahamisi7493 hata mimi niliwaza hivyo. Au pia nikawa nawaza sheli wangekua na mabetri yako full charged ukifika unabadilisha unaacha za kwako zilizoisha charge na kuweka zenye charge ambazo zimechajiwa sheli na kuondoka
@mgasaemanuel53
@mgasaemanuel53 2 года назад
Huyu ndiye Elon Musk wa Tz
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 2 года назад
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@kingshomys7319
@kingshomys7319 2 года назад
KP usd 1000000 ni badjet ndogo sana kwa wewe kufikia malengo makubwa ungefanya subira kidogo ili upate target nzuri hio ni really dill brother kuwa na subira angalau hata usd 5000000 mpaka usd 10000000
@josephandrew3444
@josephandrew3444 2 года назад
Unaanza na kidogo kilichopo kwanza
@africanproudly4004
@africanproudly4004 2 года назад
Anza na ulichonacho hatuishi milele
@josephandrew3444
@josephandrew3444 2 года назад
@@africanproudly4004 nimecheka sanaa
@sanaf8367
@sanaf8367 2 года назад
Safi Sana lkn Gari mvungu lazi a uwe wa juu kidogo kutokana na njia za ndani mbaya na upakiaji wa mizigo
@gwaluganoa.mwakatobe3183
@gwaluganoa.mwakatobe3183 2 года назад
Ninaona huo mvungu hapo upo sawa ukilinganisha na designs nyingi za gari aina hii
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 года назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
@ahz6907
@ahz6907 2 года назад
Kipanya piga kazi
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 2 года назад
Gari hakuna injini? Unatumia nini? Motor tu.
@ezradaniel3779
@ezradaniel3779 2 года назад
hiki nikipaji cha pekee sanaaa imenigusa sana
@abdullahannabhaniy2283
@abdullahannabhaniy2283 2 года назад
Ila ni vyema madirisha yawe Kwa umeme
@mikaelikamili3108
@mikaelikamili3108 2 года назад
nitafanyaje ili niipate hiyo gali Babu naitaji kuuza sula
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 2 года назад
Hahaha mtoto mjinga wew
@credo7837
@credo7837 2 года назад
Kikizima unakibeba begani au
@canisiusibrahim9856
@canisiusibrahim9856 2 года назад
vp kujaa inatumia unit ngap?
@mosesmdindile332
@mosesmdindile332 2 года назад
Tatu mpaka tano
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 2 года назад
@@mosesmdindile332 umejuaje atukuamini wew tunamtaka kipanya ajibu
@canisiusibrahim9856
@canisiusibrahim9856 2 года назад
@@mosesmdindile332 hii kali sana mwanangu
@haniffa9024
@haniffa9024 2 года назад
MAJINA 99 YA MWENYEZI MUNGU m.ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-ic27SZTY_fs.html
@princehancesam9892
@princehancesam9892 2 года назад
Juzi tu ulituomba msaada watanzania tukuchangie matibabu y mtt leo unaonysha utajir ulionao ulikuwa unatusanifu au ndio
@yunusrnb5227
@yunusrnb5227 2 года назад
Akili yako ndogo wewe
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 2 года назад
Ulimchangia kiasi gani mwaya urudishiwe isiwe tabu
@princehancesam9892
@princehancesam9892 2 года назад
Nilituma pesa kumbe mtu anaenda nunua gar za umeme duh
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 2 года назад
Amesema chuma katumia chuma cha hapahapa, so nipo Interested kujua structural strength ya chassis ya hii gari, hasa ikiwa na mzigo na ikapita kwenye uneven road surfaces (uwezo wa frame kuhimili torsional forces ikiwa na mzigo) Pia kwa mzigo unaobebwa na hii gari, ubora wa excel upoje Battery inayotumia hii gari ni lead acid au lithium ion?
@swalehehuseni2406
@swalehehuseni2406 2 года назад
Wew unao jifanya kingreza kingi uliwai kubuni nin?acha usomi wa makaratasi.
@josephandrew3444
@josephandrew3444 2 года назад
Tulieni kwanza tuingie sokoni kwanza mtasoma manual book
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 2 года назад
Tujali vya kwetu tusiwe na maswali magumu wakati aujui
@kelvinsanga2907
@kelvinsanga2907 2 года назад
Big up Braza
@rashgm3856
@rashgm3856 2 года назад
Natamani wa weke automatic window kwenye gari hiyo.
@SHommymusic1
@SHommymusic1 2 года назад
Kwanini samia hajaongea chochote??
@barbarasara4033
@barbarasara4033 2 года назад
Mpumzisheni mama wa watu kwani hakuna Waziri au Wizara husika.....Mavi Mavi tu
@SingoMedia
@SingoMedia 2 года назад
Katika vijana ambao wana akili, misimamo na upeo mkubwa sana wa fikra yakinifu. Hakika kaka Masoud ni mfano wa kuigwa maana hata nakumbuka ile project yako ya MAISHA PLUS ...
@janiaoma7093
@janiaoma7093 2 года назад
Sikweli tesla mimi nikonayo unachaji dakika 15 unakweda 350 nisawa na 495 kilometa mimi nipo hapa usa ni mtazania
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 2 года назад
Zina capacity tofautitofauti usifikiri hiyo yako ndio hiyo tu.
@alitomorrow166
@alitomorrow166 2 года назад
ONDOA USHURU KIPANYA ILI UTUUZIE BEI YA NYUMBANI KWETU
@haniffa9024
@haniffa9024 2 года назад
MAJINA 99 YA MWENYEZI MUNGU m.ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-ic27SZTY_fs.html
Далее
▼КОРОЛЬ СОЖРАЛ ВСЕХ 👑🍗
29:48
Просмотров 323 тыс.
Документы для озокомления😂
00:24
KINANA AFUNGUKA SABABU ZA KUJIUZULU
5:32
Просмотров 25 тыс.