Masoud Kipanya ametengeneza vichwa vya habari nchini baada ya kuzindua gari lake kutoka kwenye kampuni yake, KP Motors. Kwenye #ChillnaSky anazungumzia mchakato mzima ulivyokuwa hadi kufikia hapo
Yaan kwa nchi za wenzetu apo lazima rais angeshafanya jambo sasa uku kwetu wapo kimya kama awalion hii vile hila me naiman kama umeweza kufika apo bro bas nguvu yako ni kubwa sana utafika mbali mno big bro proud of u lov🙏🙏
Acheni haya maswali yenu ya darasani kama mnapenda alichofanya mtanzania mwenzetu basi msupport kwa hiyo elimu yako ya engineering afanye kitu bora usidiscourage wazo lake. Safi sana masoud kipanya kutoka Songea.
Wazo zuri Sana nakupongeza bro...Muhimu usiogope nikushare idea na waliotutangulia Kama kantanka waliopo ghana.naimani tutapata toleo Bora zaidi lijalo...Ila kwenye maelezo yako apo kwenye interview natumaini ulimaanisha volts 60 nasio watts 60..pamoja sana
Hii ni safi sana, watanzania kama hawa ni wa kuwaendeleza wafike mbali, kwani hata korea kaskazini walijaribu jaribu na kukosea kosea ila sasa wanatengeneza makombora, hivyo hiyo hata wajapan, wachina, wakorea, wajeruman, waingereza, marekani walijaribu jaribu hivi hivi miaka ya 1905 huko ndo leo hii tunaona magari, ndege, meli ubinifu unaendelea, kwani walijifunza kuwajali wabunifu wa ndani na kuwaendeleza. Mim naona Masoud atafika mbali sana.
Hongera saana KP.kwa ubunifu huu,umeiona fursa na kuitumia vilivyo,kwa bei ya petroli utapata soko kubwa saana alafu ukizingatia serikali na mradi wa bwawa la mwalimu nyerere.umeme soon utashukia bei nchini,so umeupiga mwingi broo
Nakupongeza sana Mr. Kipanya. Nakushauri kutumia Mr. Mbwambo anayezalisha umeme kwa sumaku ili usiwe na kuchaji. Unaweza kumtafuta kwenye Utube. Nafurahi kuanza kutengeneza gari, ni mwanzo wa mafanikio.
Haya ndo aliyoongea Gwajima bungeni mipango ya muda mrefu Kaka masoud ni mpango wa muda mrefu mpaka leo tunaona matunda,Mimi nakuombea kwa Mungu ufike mbali zaidi utengeneze na vya kutembelea mjini hapa sio vya kubebea mizigo tuu,Kama mtu anamizunguko yake mjini ambayo haimalizi kilometa hizo kwann usinunue,Mungu awe nawe
Nazani hapo kuna njia nyingine ukiifanyia kazi vizur itakuwa nzuri kutumia sola yani wakat gari wakati linatembea mchana linakuwa linachaji moja kwa moja
@@mussahamisi7493 hata mimi niliwaza hivyo. Au pia nikawa nawaza sheli wangekua na mabetri yako full charged ukifika unabadilisha unaacha za kwako zilizoisha charge na kuweka zenye charge ambazo zimechajiwa sheli na kuondoka
KP usd 1000000 ni badjet ndogo sana kwa wewe kufikia malengo makubwa ungefanya subira kidogo ili upate target nzuri hio ni really dill brother kuwa na subira angalau hata usd 5000000 mpaka usd 10000000
Amesema chuma katumia chuma cha hapahapa, so nipo Interested kujua structural strength ya chassis ya hii gari, hasa ikiwa na mzigo na ikapita kwenye uneven road surfaces (uwezo wa frame kuhimili torsional forces ikiwa na mzigo) Pia kwa mzigo unaobebwa na hii gari, ubora wa excel upoje Battery inayotumia hii gari ni lead acid au lithium ion?
Katika vijana ambao wana akili, misimamo na upeo mkubwa sana wa fikra yakinifu. Hakika kaka Masoud ni mfano wa kuigwa maana hata nakumbuka ile project yako ya MAISHA PLUS ...