Hahhhaaaaa Coach hii ya leo nimecheka sana coz karibu maswali yote nishaulizwa.. All in all naendelea kujifunza ili niwasaidie na wengine. Barikiwa sana !
😁😁😁😁 uncle joel nacheka coz kule kwenye maswali tusiyopenda kuulizwa mwanamke nlkuwa na huzuni sana lakin huku yan video nzima nacheka tu kumbe tupo 50/50 eeeh after all we all human being🙏🙏🙏 uncle joel
Mimi binafs naona tafaut yute na hawa wenzetu na hasa ikujua psychology yao ndio inaleta utam wa mapenzi. Nlishawasamehe tangu zaman na nkawapa excuses za kutosha tu . Wao wanamatatzo meng ya kisaikolojia kuliko sisi
Napenda job yako na kuusu hayo maswali wengi hukuyana nayo hata nami pia usipokuyana nayo utakua hujakomaa mtwapa kilifi county Kenya twakupenda unafanya kazi viema
Hilo la pili hata mi sipendi ukiniuliza kati ya baba yangu na yy bac lazima akasilike maana nitamtaja baba yangu na hilo la 3 binafsi siwezi kuuliza maana naona nitadanganywa tu
Hili swali mwanaume yoyote hapendi kuulizwa. Ni swali ambalo linamfanya mwanaume afikirie kama anatiliwa mashaka kuhusu uwezo wake kitu ambacho mwanaume yoyote hapendi kuonekana dhaifu hasa mbele ya mwanamke.
@@pulikisia7963 usitarajie kupata ukweli na wala hutakuja kuujua ukweli. Ukifikiri kuwa akikudanganya utakuja kujua tu ukweli ni mpk utazeeka lkn huo ukweli wala hutakuja kuujua. Jambo la msingi ni hili - Ukiamua kuwa na mtu kuwa naye tu, habari za alikuwa na nani au na wanawake wangapi achana nazo. Kama ambavyo yeye hatapenda kujua ulidate na wanaume wangapi huko nyuma basi nawe kausha wala usithubutu kusema ulikuwa na wanaume wangapi. Na siku umemwambia tu tambua huo ndo utakuwa mwanzo wa kuyaharibu mahusiano yako. Utanishukuru siku moja!
Why can't you be like him? Heeeeee hapa broo wangu umeongea yani hilo lime base kote kote kwa walio oa na ambao hawajaoa yani silipendi hili swali kiukweli
Yaani hakuna swali hata moja kati ya yoteee niliyowahi kuuliza!!! Kwa mpenzi Ila moja tu la (Unawaza nn?) Nakumbuka niliwahi kumuuliza zamani sana mdogo wangu wakiume nilipomuona kama yuko mbaaaali kimawazo.
Niukweli mtupu miongoni mwa hayo maswali niliwai kuulizwa na yakaniudhi sana hata ikafikia kuachana na mwenzangu kabisaaaa kwasababu wanawake wengine hawatumii akili tena anakuuliza wakati umetoka kwa kazi ngumu sana umechoka ndio analeta hivyo viswali vya kijinga