Umesema kweli! Mwaka huu nililipia event ya reggae nchi fulani kwa lengo la kukutana na professor mmoja ambaye angenisaidia kwenye changamoto yangu nchini kwake. Nilifanikiwa kumuona, nikaongea naye. Ilinisaidia sana. Network ni kitu muhimu
Ahsante kwa Elimu hii mkuu maana unazidi kunifunguwa ubongo wangu kwa kiasi kikubwa zaidi, Mungu aendele kukupa Uhai mrefu na nguvu nyingi uendelee kuwa MTEULE katika ufanyacho na kugusa maisha ya watu wengi 🙏
Mimi ni graphics designer, Nina online presence Instagram na Facebook kwa jina la halflife infotech lakini pia ni naweka status ya kazi ninazo fanya WhatsApp, strategic gathering imekua changamoto kubwa upande wangu kwani sijui niende wapi kupata mawazo na kukutana na watu mbalimbali hii inatokana na kutofahamu hasa niende gathering za namna ipi kwaajili ya kazi zangu, Nina amini kwamba hii itakua njia Bora kwaajili ya Brand yangu, Ushauri Tafadhali Joel
Your building a great generation for such kind of content we are listening daily 🤔🤔out side of getting what you want your saving millions of people in this platform let's raise our knowledge by learning we was meet at convention of MAN OF POWER was prepared by @APOSTLE Nick Shabokah at Kebys Hotel but I didn't get a chance to talk with you but one day yes. God bless you J. Nanauka
Mimi nilikua na vision flani nanyinginezo ila kwa kipindi hichi nimejikuta vile vitu sivihitaji tena nani mesema chochote nitakacho kutana nacho ndio nitaendeleanacho