Shk mohamed bachu nakupenda kwajili ya allah allah akuhifadhi na allah akuzidishie elmu ya juu Shk lakini bona hata siku moja huonglei darsa kuhusu falasteen au gaza au qudba zako za ijuma unafa ongelea topic hizo za falasteen ndio wajib na ndio sunah kama nimekukosea afwan shk wangu
Masheikh wajikite kufundisha dini badala ya kulumbana na kuvunjiana heshima. Waislamu hawanufaiki kwa malumbano yao. Sheikh Bachu mwenye kipaji cha kujieleza, iwapo utajikita katika mada kama hizi, jamii itanufaika sana.