Shekh bhachu wee.kkkk sawa basi wakati wa mtume hakukuwa na haja ya kugawanya tawhid.lakini baada ya quran kukamilika hata maswahaba hawakuwa na haja ya wao kugawa tawhid
Assalamu alaykum shekh Muhammad nasoro bachu wallahi twakupenda Sana Kwa ajili ya Allah wewe ni ni muhimu Sana Kwa umma huu haswa Africa mashariki Allah akuhifadhi daima wewe ni Mfasaha Sana ume elimmisha umma mkubwa Sana (watu wengi Sana) I love you soo much may protect you
@@abdulkrimalawi7165 haya ni majitu Alisha sema mtume s.a.w kuwa watakuja watu watajifanya ni watu wa dini Ila sio ni waharibifu ktk dini ndio mtoto wa bachu na mawahabi wenzie
Nauliza bachu kwani wewe ulipotolewa kwa jela umetoka kwa amri ya kupingana na waislamu wenzako tu ama ni nini Uislamu n Mmoja tu acha kutenganisha watu kuna harakati mingi sana ya ki dinii yafaa kufanywa ebu tafadhali achana na hizi mada zako au hakuna ujualo isipokua kupinga maulidi
Hawa Maubwa wa kiwahabi kilasiku Wana hangaika na Maulidi wazeni na kuzeni Sayansi Dunia inakimbia kasi jamani acheni usenge mnabishania Mambo yasiyo ya msingi
Naomba kuuliza nijibiwe kama itawezekana inshllah ni kwann mtume saw kasema ان كل محدثة na كل بدعة na kwann hakusema ان كل محدث na كل بدع na maneno hayo yanatumika katika lugha na katk kur an ukisoma suratul an biyaai aya ya 2 allh anasem ما يءتيهم من ذكر من ربهم محدث katumia neno محدث na ukisoma suratul ahkaaf aya ya 9 allh anasema قل ما كنت بدع من الرسل katumia neno بدع naomba majibu la swali langu hilo inshllh
Jee watu walimsifu mtume ?. Ndio . Jee wapo watu walimtaka ruhsa mtume wamsifu na mtume akawaruhusu ?. Ndio . Jee maswahaba walifanya vikao vwa kumsifu mtume wakati wa mtume bila ya kumtaka ruhusa mtume?. Ndio walifanya hivyo . Jee mtume aliwapa zawadi walio kunsanyika kumsifu ?. Jawabu ndio ? Sasa maulidi yana asili na ushahidi . sasa tuangalie mawahabi na. Bid'a zao . Jee mkusanyiko wa musabatul qur'an ulikuwapo . Hakuna ?. Jee muqtadhwi ulikuapo ?. Ndio ? Jee kulikua na kizuizi ?. Hapakua . Oooh mawabi kwa hilo wapo katika upotofu tena upotofu wame utia katika qur'an bila ya shaka ( kulingangana na msimamo wao ) wamejitia motoni . Hhuyu kijana ameshindwa kujibu suala la kuhusisha juzuu moja kwa kila usiku wa ramadhani katika swala ya tarawehe . Nani kahusisha hilo ? Jee lilikuwepo wakati wa mtume . Halikuwepo . Jee kulikua na kizuizi cha kufanya hilo . Hapakua . Jee kulikua na muqtadhi . Maskini . Kwa hivyo mawahabi kwa hilo wapo katika : بدعة ضلالة . Tena bid'a yao ni mbovu sana . Kwanini ?. Kwa sababu hizi : 1: Wameitia katika swala . 2: ndani ya mwezi mtukufu wa ramadhani . 3: wameitia misikitini . Ama suala la : تقسيم التوحيد . Na kutumia aya ambazo hazihusiani na suala hilo la utatu. Huko ni kupotosha qur'an na kuonesha ujinga . Hiyo aya aliyo ileta kama ushahidi wa utatu ulio rithiwa kitoka kwa wakristo hiyo ndio itakayo mtoa roho wakati akikubali. Kufanya mjjadala na mwanamke au mmoja katika vijana wadogo wa twariqa masufi na ashaira . Jee yupo tayari tumpe mwanamke amtoe roho ?. Au mtoto mdogo ?. Bachu kasome bado . Kwenye tauhidi ukija na aya uhakikishe umejiamini sana . Kwa sababi utatolewa ladu
Kwani huna elim nyingine ya dini uliosomeshwa we ni maulidi tuuu maulidi na wewe kilasiku😁😁😁 Tufundishe basi hata kuoga janaba twahitajia elimu nyingine haya maulidi sio kumsifu mtume ni kukusifu wewd tushakubali endelea na mambo mengine basi maulidi hayatakuf sababu ya uchache wakk wa elimu😂😂😂
Hawana hoja hayo matwari yalipigwa na akina nani na sababu yake ilikua ipi masufi hawana hoja na Kila kukicha watakua na jipya ndo ujue hawana lolote,,,na watwambie nguzo zake ni zipi
Akili ndogo bachu asema maulid yameletwa na makafiri ili wapendwe.haimo akilini hio vipi kafiri amtangaze mtume kuwa kazaliwa bali watatafuta jengine la kuwapoteza waislam wasahau kuhusu mtume na uislamu, sasa kwa akili yako wafikiria mtume anakumbukwa kuja duniani na kutangaza uislamu ama kinyume???
Yaani ki mtazamo tu utajua bachu bado ana pigo za kihuni kwa kwly mtu mcha mungu hawi hivyo yaani mbwembwe nyiiingi kujiramba midomo sauti za istihzaai hana utulivu kbsaaaaaaaaaa kwa muonekano tu acha kwenye elimu huko ndo kbsaaaaaaaaaa kwa hapa wazanzibar wenzangu tumepigwa hamn kitu zaid ya balehe tu
Alafu mbona masufi na nynyi vitoto vya DJ SAID hamna adabu kama humskizi mtu usimtusi tulia wengine wafaidi wee endelea kufuata upepo na Hawa za nafsi hakuna sheikh wa kisufi anaweza ilm ya sheikh bachu na mtabaki kuduwaa sababu yenu ni ubwabwa tu hakuna ilm uzushi mtupu n matusi kama waalimu wenu
Muhdathat sio maulidi , Fahamu zako ni ndogo sana kama kichwa chako. Muhdathat ktk dini ni kuongeza au kubadilisha matendo ktk nguzo za dini mfano kusali rakaa tatu sala ya alaasiri au kutoa zaka baada ya kupita mwaka kuongeza kitu ktk shahada haya ndio Muhdathat na ndio Bidaa. Kutambua mazazi ni wajib kwa muislamu.
Tuache yote: Munajua huyu Muftiy Mkubwa sana Duniani ambae ni Mtaalamu wa fani mbali mbali za dini na ni Mwanazuoni Mkubwa: ukimuona tu unajua kwamba huyu ni Mtu mkubwa sana yaani, tena utajua kwamba ni Mtu mchamungu Mwenye hekima na heshima na adabu 😂
Hakuna hata mfano wa mtaalamu wa dini kama mtume salallahu alayhi wasalaam na katika ukubwa hio mbna sifa ya Allah bana huyo mtu wa kawaida ila ilm yake pekee
Tumefahamu na tutafanyia kazi inshaallah pia tusisahau kuwaombea ndugu zetu watu maulidi kwan tuliotoka uko tunajua ugumu wake uko wapi kwan ni kam iblisi vile yale madufu yanavyopigwa utasema baikoko 😂😂😂 ila naiman mbel ya allah hakuna gumu inshaallah allah atuongoze kwa7bu wot ni kitu kimoja kwan wawez kuacha unachokipnda kwaajir ya allah.....
Mm ntasema c ibada sababu Kila ibada ina sharti zake na nguzo zake masufi watwambie sharti za kuswihi maulid na nguzo zake ni zipi,,,swala mtume alifundisha nguzo zake sharti zake hadi mwisho watwambie ili tujue wako sawa bila hivyo itabaki bidaaa n haina hoja
@@fadhilimusa9732 ni Jambo lililofanyika wakati ule mtume awakuwa wenye kurudia fanya hayoo lakini kuna wanao sema hakupigiwa dufu ni Jambo lenye hilafu na kupiga dufu so maulidi imeruhusiwa kwa arusi na wapigaji kwa masharti kama hivyo wanawake wadogo Tena wasibaleghe.sasa ninyi mmemgeuza misikitini mwa kupiga madufu so na wapigaji mijibaba na midevu yao kabisa mtume amekataa mwanaume kujishabihusha na mwanamke na mwanamke kujishabihusha na mwanaume kivitendo vyovyote vile mavazi tabia, haramu na kasema Allah amewaraani watu haooo Sasa na nususi za dufu kama zilikujia kwa wanawake wasichana wadogo ni makosa mwanaume anaingia katika hadisi hii someni masufi mnatupa shida sana dini mmemfanya ni sehemu ya burudani tuuh na mashekh zenu washashukilia bendera hiyo Sabu watazuiaje washafungua mlango wa bidaa ibilisi anawachezea sana muda mwingi hamuwazi ilmu mnawaza ngoma na matwari so dini au kusomeshwa watoto tahweed na sunnah ninyi mwajualo kuimba na kucheza tuuh
Shekh wangu wanawake wa kissunnah wanapiga labda ww hukuwah ona na huqwz ona maana wanapiga kwa heshm 1- wanakaa ndan chumani 2- humo hatoruhusıwa kuıngıa mwanaume 3- Sauto zao hazıtıkı njee Ndıoo maana huwez kuwaona na ndıo unasema hvyooo