Subhanallah... Amesema Kweli Allah... Amesadikisha Mtume wake Muhammad... Basi kwa wenye macho waone na wenye masikio wasikie... na sikio la kufa halisikii dawa... Barakallah fiikum brother wajazaakumullah khair
Shukran Mwl, kwa nyongeza hata wadudu wa kichaa wanapatikana kwenye mate, pia ukimchunguza mbwa muda mwingi hujiramba sehemu za Siri, Tumswalie Mtume Muhammad SAW
Sharti zakufuga mbwa ni 3 sio mbili mm ntaeleza tatu ambazo ndo shart 1 kwajili ya ulinzi wa nyumban 2 kwa jili ya kuchungia mifugo 3 kwajili ya kuwindia wanyama waporini Hadith hii ipo bukhari
Na imetht mbwa alikuwa anaingia mskitn kipnd Cha mtume ikiwa kumbukumbu yangu ipo sawa Na imaam maalik , Bukhar amezingatia mbwa n twahara Je anapokamata Ile sehem inakatwa ?
Wewe kama unawapenda wazungu kwa kila kitu wafanyacho una ona sahihi sue waislam tuna dini yetu imetulataza mabaya na kutuongoza mazuri hizo freedom zenu na wazungu wenu kaeni nazo wenye umle ngurue na mlale na mbwa lakini sio sie waislam
Jambo lolote ambalo ALLAH SUBHANAHU WATAALA amekiharamisha na kukikataza ktk QURAN TUKUFU AU HADITHI ZA MTUME WAKE basi huwa kina madhara. Hivyo usipende kuchunguza kila kitu bali amini ALLAH NI MJUZI JUU YA KILA KITU.
Nakumbuka miaka 2 nyuma kuna mtoto alitafunwa na mbwa mguuni akaficha hakusema, alifika siku ya 4 anaonekana ana balika rangi mwilini ndio akasema baada ya kuulizwa, ila hakuwah tna kuwahiwa maana alikufa wakat ana endelea na matibabu