Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5 Channel Administered by Slide Digital Instagram: slidedigitaltz
Dada unavyoenda kufanya interview andaa maswali ya maana! uliza gharama za ufundi na hizo material alafu weka namba za simu za hao mafundi...mnafeli vitu vidgo sana
Huyu jamaa ni mchoyo sana na ana kaburi fulani hivi, hataki kutoa maelezo ya unakika anaficha ficha taarifa zote , nilkua nataka haya mawe kutokana na huyu jamaa sitaki tena nitatia rangi ,hajui biashara