Тёмный
No video :(

MATOLEO YA WANA WAKO - Bernard Mukasa || MARIA MORAA MAKORI (Triple M) & QUADRI V || Official Video 

Bernard Mukasa
Подписаться 92 тыс.
Просмотров 342 тыс.
50% 1

Matoleo ya wana wako ni wimbo wa matoleo uliotungwa na Bernard Mukasa mwaka 1997 akiwa likizoni katika parokia ya Ifakara jimbo la Mahenge (sasa jimbo la Ifakara).
Katika video hii wimbo huu umeimbwa kwa ushirikiano kati ya Maria Moraa Makori (Triple M) wa jimbo la Mombasa Kenya na familia ya Bwana na Bibi Bernard Mukasa (Quadri V). Waimbaji wengi walioshiriki ni Maria Makori, Vincent Makori, Rosemary Boniphace, Scholastica Mugabi (hayumo pichani), Vince Mukasa, Vivian Mukasa, Vinny Mukasa, Victoria Mukasa, Matilda Sendwa Mukasa, na Bernard Mukasa.
Kinanda kimepigwa na Vinny Mukasa.
Sauti na picha zimerekodiwa na nadhifiwa na studio za Holy Trinity za DSM - Tanzania.
__________________
This song was composed by Bernard Mukasa in 1997 when he went on leave to Ifakara Parish - Mahenge Diocese (now Ifakara Diocese). In this video the song has been performed by Maria Moraa Makori (Triple M) of Mombasa Diocese - Kenya with the family of Mr & Mrs Bernard Mukasa of DSM - Tanzaia (Quadri V). List of performers include Maria Makori, Vincent Makori, Rosemary Boniphace, Scholastica Mugabi (not in the video), Vince Mukasa, Vivian Mukasa, Vinny Mukasa, Victoria Mukasa, Matilda Sendwa Mukasa, and Bernard Mukasa.
The organ was played by Vinny Mukasa.
Audio & Video production by Holy Trinity studios - DSM.

Опубликовано:

 

19 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 194   
@ShiroRaphael
@ShiroRaphael Год назад
Am from Ngong Diocese in Kenya, jumuiya ya mtakatifu Cecilia. I wish siku moja nipatane na hii familia ya Bwana Mukasa.😑😑😑I really love them💞💞💞💞💝💝💝💝
@michaelkimario3830
@michaelkimario3830 Год назад
Fact
@ShiroRaphael
@ShiroRaphael Год назад
@@michaelkimario3830 mmhh
@chemutaispencer8632
@chemutaispencer8632 5 месяцев назад
i love them too
@franciswambuachannel.2508
@franciswambuachannel.2508 Год назад
Nyimbo tamu na yenye kutulia..,.. helo kwenu Wana familia ya Mukasa Bernard.
@sylivianamutosi9264
@sylivianamutosi9264 3 месяца назад
Be blessed kwa kazi zuri yenye munafanya 🙏🙏🙏🙏 Amen 🙏🙏 and amen 🇺🇬🇺🇬🇺🇬02|05|2024 time 06:55am mungu sikia maombi yetu
@jacksonakwenda7838
@jacksonakwenda7838 Год назад
Mziki mzuri sana uliotulia.
@maxwellmax3939
@maxwellmax3939 Год назад
TYK...Aisee nyinyi ni hazina kubwa Sana katika kanisa letu katoliki...Mungu awatimizie haja zote za nyoyo zenu na azidi kuwaepusha na kila baya Hongera Sana Mwl Mukasa na Quadri v nzima..nawapenda mnooooooo 🔥🔥🔥🔥
@nanekapeter8224
@nanekapeter8224 Год назад
Mungu awatie nguvu wimbo mzuri mnoooooooo
@focusmapilya5158
@focusmapilya5158 Год назад
Wimbo huu no mzuri sana
@mburashahuromuald8757
@mburashahuromuald8757 Год назад
nu
@luisslaa
@luisslaa 9 месяцев назад
​@@nanekapeter8224huoooo CP9 go chi upo😊
@joycengovi2039
@joycengovi2039 Год назад
nice one moraa,good work daughter to Dr Makori. consolata likoni tumekumis with ur broo
@susannthamba3885
@susannthamba3885 15 дней назад
This is my favorite song ❤ by Benerd Mukasa's Family
@SophiaMwakalogile
@SophiaMwakalogile 19 дней назад
Ongela sn mkasa kwakweli unaupiga mwingi sn
@edwardmazuri9498
@edwardmazuri9498 Год назад
Familia takatifu ni ile familia inayodumu katika neno la Mungu, Hongereni kwa utume
@aloysiusrugejuna2804
@aloysiusrugejuna2804 Год назад
Hongera sana brother Mkasa.
@rehemamkude6766
@rehemamkude6766 Год назад
Familia MUNGU awabariki kila saa. Mmefantika kuwa Sadaka ya Wakrisro
@constantinewilbroad1654
@constantinewilbroad1654 Год назад
Mungu awabariki Sana na kuwakinga na hila za yule mwovu Katika jina La Yesu Kristo Amina
@alfredmuthui
@alfredmuthui Год назад
touching song hii familia idumu na ing'are daima
@NoteSacre493
@NoteSacre493 Год назад
Tulikua na wakati wa Fr Kayeta, Stanslaus Mwajwahuki na John Mgandu, Sasa ni wakati wa Bernad Mukasa! Nawakubali sana Quadri V
@ibel4lf
@ibel4lf Год назад
Familia ya mfano such an inspirational
@danmchelsea658
@danmchelsea658 Год назад
Sauti tamu Wimbo mtamu ajabu... Aaaaah sina la kuongezea Karibuni Kenya 🇰🇪 tena
@epiphaniamathayo4905
@epiphaniamathayo4905 Год назад
Kwakupanda mbegu ya watoto nijambo jema mungu wetu awazidishie yote mtendayo
@naombadiaz4467
@naombadiaz4467 Год назад
Jamani Jamani hongera sana
@maliatabuerenesti6681
@maliatabuerenesti6681 Год назад
Kwakweli Mungu anajua kubariki watu mi niseme kuwa Mungu azidi kuwapa uhai zaidi kwakwel maana nimfano zaidi kwetu wanakwaya kwakweli
@AntonyShitente
@AntonyShitente Год назад
Mungu azidi kuwabariki, nawapenda sanaa🤍🤍🤍
@adelinusacleus4237
@adelinusacleus4237 Год назад
Hongereni Kwa kuinjilisha mwenyezi awaimarishe zaidi na zaidi muwe faraja kwetuu Kwa nyimbo nzuri
@elizabethjoseph9482
@elizabethjoseph9482 Год назад
Hiki kidogo kikakupendeze ni matoleo ya wana wako, wimbo mzuri sana barikiwa familia ya Mukasa
@annmwende8339
@annmwende8339 Год назад
Kazi nzuri sana ,mnanitia nguvu ya kujivunia kuwa mkatoliki, hongera sana familia ya Mukasa
@edwigaupendo
@edwigaupendo Год назад
Hongereni sana kaka Mukasa na familia kwa kazi nzuri iliyotukuka. Hakika mnatuinjilisha vyema sana. Mbarikiwe nyote. 👏👏👏
@cathykamura3521
@cathykamura3521 Год назад
Siku moja ntaimba nanyi angalau wimbo mmoja. Hii ni motisha tosha
@stephanomwile9920
@stephanomwile9920 Год назад
Mungu azidi kuwabari
@ceciliahwangui1674
@ceciliahwangui1674 Год назад
Hongera mukasa
@despinamdende9810
@despinamdende9810 Год назад
Hongeren sana Baba Mukasa Mama Mukasa Na familia nzima kwakweli Mnafanya kitu kikubwa sana katika familia. Hakika nifamiliya ya Mfano ktk Manisa Mungu awabariki sana.
@sebastianfuluge2888
@sebastianfuluge2888 Год назад
Kazi Iko poa sana, mbarikiwe sana.
@davidkobero6977
@davidkobero6977 Год назад
Kazi nzuri sana.... Katai ya nyimbo niipendayo wkaati wa matokeo Mungu aendelee kukubariki BM
@paulinaqelesh3402
@paulinaqelesh3402 Год назад
Mungu aibariki hii familia kazi nzuri sana mbarikiwe sana
@walterlungu9190
@walterlungu9190 Год назад
Kazi nzuri sana ya kumsifu na kumtukuza Bwana. Melody imepangiliwa vizuri sana, tempo imeongeza ladha
@bihogorakaroli9691
@bihogorakaroli9691 Год назад
Very nice song and very good performance in audio and video format. HONGERENI SANA MWL WANGU MR. MUKASA NA VINNY KWA UPIGAJI KINANDA MZURI SALAMU ZAKE
@mutheriannah2562
@mutheriannah2562 3 месяца назад
May dha Almighty always shine on ur family Bernard mukasa❤❤❤mch love,,,,,,,
@josephkulija293
@josephkulija293 Год назад
Hakika Mukasa na familia yako ni zawadi kutoka kwa Mungu katika uinjilishaji wa neno la Mungu. Mbarikiwe sana, kila wimbo wenu ni mzuri tu. Nawezaje kupata flash ya nyimbo zenu.
@MercyCheruiyot-lf6ds
@MercyCheruiyot-lf6ds 23 дня назад
Favourite Thanksgiving song,,may God bless you ❤
@philip1196
@philip1196 Год назад
Hongera sanaaa ndugu yangu Benard Mukasa,,,Kazi safi 👏👏🎹,,God will reward this.
@reginamukama7333
@reginamukama7333 Год назад
Mungu atukuzwe
@millicentakinyi5504
@millicentakinyi5504 Год назад
Mungu. Atupe ,ee kima Tupatekutowa🤲🔐kweli. Kabisa🙏amina
@aliceatieno-cu3wf
@aliceatieno-cu3wf Год назад
Nyimbo zenu kweli ni ujumbe kutoka kwa mola
@edwardnoel1426
@edwardnoel1426 Год назад
Hongereni sana familia
@kiserianmollel7296
@kiserianmollel7296 Год назад
Hongereni Sana
@yohanacosmas8540
@yohanacosmas8540 Год назад
Aminaaaaa Namungu wa mbinguni Awabariki sana😍😍😍🙏🙏🙏🙏
@kekejoe
@kekejoe Год назад
Mungu awabariki❤
@marymalikamalkiathepsalmis5321
I love it...mbarikiwe sana Mukasa na familia yako
@briankombo5728
@briankombo5728 Год назад
Am very very happy for you Moraa na hongereni kwa hii familia ya Mukasa.
@paschaziakabakama8200
@paschaziakabakama8200 Год назад
HONGERENI SANA KWA WIMBO MZURI ,HUYO DOGO AMETISHA KA SAUTI KAKE.M ungu awabariki sana .big up org anist
@SautiTamu
@SautiTamu Год назад
Hongereeni sana. Moraa 👏💐👏 wonderful start
@dorcasodire4564
@dorcasodire4564 Год назад
Lovely,Mungu azidi kuwabariki na kuwaongoza katika safari hii ya kueneza injili kupitia nyimbo.🙏
@Entertainment-vi4tc
@Entertainment-vi4tc Год назад
Kazi nzuri sana kaka BM, QD na Moraa
@loitemuakai8638
@loitemuakai8638 Год назад
The voice of the young ones adds more flavor alafu kuongeza ya waliobobea ,,,ni tamu jamani
@muenipauline1620
@muenipauline1620 Год назад
Awesome bw. Bernard
@aloycenshange192
@aloycenshange192 Год назад
Hongera Sana familia Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki na kuwakuzia kupaji chenu mzidi kumtangaza kote ulimwenguni. Omukama abongele muno,mukole ebishagileo.
@PatrickGatura
@PatrickGatura 10 месяцев назад
I like the song.... More so how the little son sings❤
@purityeboso5275
@purityeboso5275 Год назад
kazi safi kabisa...nyimbo zenu ni nzuri sana...wakatoliki tunaendelea vyema
@gamgangweesechota3589
@gamgangweesechota3589 Год назад
Hujawahi feli baba nipo naburudika❣️❣️❣️❣️
@MethewMelikiory-ic3kj
@MethewMelikiory-ic3kj 9 месяцев назад
Thank you Benard Mukasa
@sheilabrigidjepkorir1728
@sheilabrigidjepkorir1728 Год назад
Mary Makori Moraa I see you. Good job to all of you.
@mutuaaugustine510
@mutuaaugustine510 Год назад
Heko kwa kazi nzuri. Pongezi kwa hatua Moraa💯.. Mungu azidi kuwabariki🙏
@avillaiminza121
@avillaiminza121 Год назад
Really love the song
@rosewambo2976
@rosewambo2976 Год назад
Ben napenda sana njimbo zako toka mwazo mungu akubariki
@wiseignassb4607
@wiseignassb4607 Год назад
Mungu awazidishie Kwa kazi nzuri.Amina
@adelinadeogratias1841
@adelinadeogratias1841 Год назад
Woooh!hongereni sana wapendwa,kazi nzuri sana..❤❤❤🔥🔥🔥
@amoswanjohikaniaru
@amoswanjohikaniaru Год назад
Mungu awabariki sana .nyinyi hazina kubwa kwetu wanakatoriki
@jacintahrita8186
@jacintahrita8186 Год назад
Triple M❤️...kazi nzuri
@collethapilly1256
@collethapilly1256 Год назад
Ongereno sana kwa kutuinjilisha kupitia sauti zenu tunabarikiwa mno na kutuhamasisha,Mungu awabariki na kuwakirimia kwa kadiri ya mapenzi yake🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@musicheals1545
@musicheals1545 Год назад
hii itakuja kuwa Tenor voice nzuri mnoooooooo
@fillemonzakayo8774
@fillemonzakayo8774 Год назад
Barikiweni sana na Mungu wa mbinguni
@sistyandrea1931
@sistyandrea1931 Год назад
Mungu awabariki sana hii familia na ndg zangu
@immaculatenyaboke
@immaculatenyaboke Год назад
Great voices indeed mbarikiwe sana familia ya benard mukass
@pricillamkilanya2308
@pricillamkilanya2308 Год назад
Huu wimbo huwa unanibariki sana
@franciscambeke-ke9ib
@franciscambeke-ke9ib 9 месяцев назад
Blessed family blessed song
@dionizkipanya2355
@dionizkipanya2355 Год назад
Naaam Na Sasa Tumeona, Kumbe Tuseme Nini!!? Zaidi Ya Kumshukuru Mungu Kwa Uwepo Wa Familia Hii, Na Atukuzwe Daima Kwaajili Yenu. Wimbo Mtamu Sana Kwa Kweli
@arnoldkagaruki5277
@arnoldkagaruki5277 Год назад
Inampendeza Mungu na sisi watazamaji kwa utume wenu wa Uimbaji, Mbarikiwe sana na hongera kwa ujumbe wa wimbo wenye kuhamasisha
@wendynina6110
@wendynina6110 Год назад
Top notch
@collinswere5344
@collinswere5344 Год назад
every song u produced lit
@hellennolo-xr8sq
@hellennolo-xr8sq Год назад
Mungu na abariki kazi yenu
@annamuhoja9109
@annamuhoja9109 Год назад
Kazi nzuri..hongereni sana..Mungu awatunze.
@jacklinemueni7201
@jacklinemueni7201 Год назад
Hongera
@mariamwaka
@mariamwaka Год назад
Halooo nimeona, nimebarikiwa sana na toleo hili. Familia ya Ben Mukasa. hakika ina fungu lake mbinguni. Mbarikiwe sana.
@erneusmalekela2678
@erneusmalekela2678 Год назад
Yeye aimbaye vizuri, husali mara mbili (St Augustine of Hippo). Hongera sana BM
@jacintamwikali1744
@jacintamwikali1744 Год назад
Napenda nyimbo zeyu God bless this family
@albert-kkitwenga4889
@albert-kkitwenga4889 Год назад
Utunzi mzuri. Audio recording yenye viwango. Videography game is good. In a nutshell mmeipa sala hii oxygen ya kutosha. More power to the Mukasa's, Makori's and everyone else who had a share in having this work see the light of day. May the labour of your hearts, minds and souls find favor in the eyes of the God you are so gracefully worshipping.
@casmirakaro7710
@casmirakaro7710 Год назад
Nimebarikiwa sana... ninawashukuru na Mungu awabariki
@christinekatunge9782
@christinekatunge9782 Год назад
From Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪am really proud of your songs you always strengthen me.. may God bless you alot
@florencemwanza2190
@florencemwanza2190 5 месяцев назад
Mungu abariki sauti zinazo mtukuza
@user-if9nz5tz4b
@user-if9nz5tz4b 9 месяцев назад
Wimbo mzuri wa mapaji
@leonardjoseph1565
@leonardjoseph1565 Год назад
Mwenyezi Mungu awabariki sana.
@janemwangi605
@janemwangi605 Год назад
THE FAMILY OF MUKASA THANKS FOR AN OVERTORY SONG BEUTIFUL ONE ALWAYS GOD BLESS YOU AND YOUR FAMILY 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏. FROM QATAR BUT KENYAN
@priscuskimario495
@priscuskimario495 Год назад
Aminaa
@hossanacatholicsingers6424
@hossanacatholicsingers6424 Год назад
Hongereni sana kwa utume na kazi nzuri
@georgemburu2647
@georgemburu2647 Год назад
Hongereni Sana Quadri V Nawapenda
@mchumi_thecatalystofeconom7889
Hongereni Sana familia kwa kuendelea kuinjilisha. Mungu na azibariki kazi za mikono yenu.
@fabianmwoshi
@fabianmwoshi 3 месяца назад
A masterpiece for offertory. Kazi njema @Benard Mukasa. God bless your vocation.
@benjaminmanyibe
@benjaminmanyibe Год назад
Kazi nzuri,, barikiwa Sana
@levinamukandara6970
@levinamukandara6970 Год назад
Many congratulations Bernard Mukasa and family. Wimbo ni mzuri sana mwenyezi mungu azidi kuwaongoza na kuwabariki.
@indiremoses8979
@indiremoses8979 Год назад
Singing from the heart 🥹.Kazi nzuri sana kwa wahusika wote,Mungu azidi kuwabariki mzapoinjilisha kwa uimbaji na kutubariki pia. A good step Moraa👏
@eliudkamwaro2062
@eliudkamwaro2062 Год назад
Hongereni sana ndugu zetu
@valentinendiwa7494
@valentinendiwa7494 Год назад
Congratulations Mary Moraa
@st.thomascheptiretparishchoir
Kazi nzuri safi sana wangwana.
@marychrisant2308
@marychrisant2308 Год назад
👏 hongereni sana kwa kazi nzuri
Далее
Bernard Mukasa - Ipo Huruma (Official Music Video)
11:33
Dr.Ipyana - NAWEZAJE KUNYAMAZA//NAMNA HII SIJAONA
15:41
NAKWENDA KWA BABA-QUADRI V By Bernard Mukasa
6:27
Просмотров 505 тыс.
Catholic Misa MIX with full Lyrics Video 🙏🎶💟.
40:49
MKAZAE MATUNDA MEMA | Ray Ufunguo | (Official Video)
9:11