Тёмный

Matumizi ya Vanila Iliyochakatwa 

Anna Peter
Подписаться 421
Просмотров 3,6 тыс.
50% 1

Tanzania Kijani:
Bei ya Vanila ikiwa kijani ni tofauti na Vanila Nyeusi. Vanila Nyeusi na kimininika chake ‘Vanila Extract’ inauzwa bei ya juu kuliko Vanila Kijani. Hivyo Kampuni ya NEI iliyopo mkoani Kilimanjaro inatoa uhakika wa soko kwa wakulima wa Vanila mkoani Kilimanjaro kwa kununua zikiwa Vanila Kijani kisha kuzichakata hadi kuwa Vanila Nyeusi.
Kwa mujibu wa maandiko ya kisayansi kuhusu afya na mimea yanasema mmea wa Vanila una matumizi mbalimbali kwenye tiba za asili.
Mbali na Mmea wa Vanila kutoa ladha maarufu duniani kwenye viburudisho kama icecream, yogurt n.k. Pia mmea huu ni muhimu katika afya ya binadamu na katika maswala ya urembo.
________________________________
Cameraperson: Justin Msechu
Drone: Ahmed Mbaraka
Writer and Producer: Anna Peter
_____________________________
Fatilia Kipindi hiki kila JUMAMOSI saa 12:30jioni na JUMATATU saa 3:00 asubuhi TBC1.
#tanzaniakijani #mimea #uhifadhi #maendeleoenendelevu #vanila #tanzania #kilimanjaro #sustainabledelopment #conservation

Опубликовано:

 

16 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 2   
@antusajoseph9360
@antusajoseph9360 10 месяцев назад
Hii kitu inatumikaje???
@dianaRwegarulila-wf4pb
@dianaRwegarulila-wf4pb Год назад
Vanila mbichi kilo ni tsh?
Далее
Fursa za utajiri kupitia kilimo cha zao la Vanilla
7:51
Prank Orchestra
00:10
Просмотров 852 тыс.
How to win a argument
9:28
Просмотров 543 тыс.
VIUNGO VYA KUPIKIA / MAPISHI
10:37
Просмотров 79 тыс.
Vanila: Zao linaloweza kukupa utajiri bila mateso
8:21
Utajiri wa Vanila |KILIMANJARO
5:50
Просмотров 3,3 тыс.
KILIMO CHA VANILA: MAZINGIRA , MATUMIZI NA SOKO LAKE
10:07