Mchomvu kakosea sana lakini pia huyu Mbasha mstaarabu sana mimi kusema kweli ningeligeuza jukwaa kuwa uwanja wa mapambano within a minute mchomvu wangempeleka moja kwa moja MOI , Mbasha kweli wewe mtumishi wa Mungu kweli kweli.
Adamu huna adabu muombe radhi mwenzio una masifa mbele za watu na wewe mbasha acha utani mbele za watu ulivomuita bangi kachukia na watu wakaitikia hivohivo pole sana.
Mbasha you're polite,unajichanganyaje na mshenzi kama huyo ,kufikia point..unaona sasa alichokuanyia?Gospel unaimba ni ipi?jithibitshe unamwimbia Mungu kweli?jina lako lipo kitabu cha mbinguni?au kama ni sanaa tu ukifa unaenda motoni hapo nakuelewa zaidi!!
Najua ungeweza nawe kumpiga lakin umeamua kua humble na kumuacha,umedharirika ili kuepusha mengi,that is God in you,safi sana mtumishi Adam ni mjinga ambae uwepo wa kina Ruge ulikua unamtuliza the devil within him sasa ivi amekua kama mtoto asie na mzazi wa kumcontrol yapo mengi tutayashuhudia
Mimi tokea muachane na mmke wako sioni hata kama uko na tembea na Mungu kumbuka usije ukafa ukaenda kwenye golofa moja Mbinguni kule tumikia Mungu , huwezi kuwa ati Mristo bado unachanganya ya mwili na ya Mungu ,Mungu hataki watu ambao wapo lukewarm yaani kivugutu change
Baba levo kasema mmejazana wasanii ccm kama manyumbu😀 ndo haya sasa mnaanza kupigana wenyewe kwa wenyewe! Alaf we mbasha adam hujamtania umemwambia ukwel mana ni kweli anavuta ila mbasha umekosa hekima na akili unaanzaje kumwita mwenzio kwenye kazi yake eti bangi mi ningekupa kipigo mpk uchakae una kiherehere sana
Unamwambiaje mtu mkweli mbele ya watu wengi kiasi hicho?wewe ukiambiwa mbele za watu kuwa ni malaya je utajisikiaje? Utani mwingine haufai kabisa na hata kama unajua yeye ni mvuta bangi kwa nn umuite mvuta bangi?
hatakama unajifanya mtu wamungu mm ningepita naww mpaka uombe poo sokwakumzalilisha mtu eti mabangi unaakili kwel fikiria niwatu wangap wapo hapo au nimaelfu mangap wanaaangalia tamasha hilo afu unamzalilisha kirahis jomba umekutana na mstarabu mshukuru mungu sana ingekuwa nimimi ungejuta hiyo jezi yakijan uliyovaa ungeivua mwenyewe ukiomba maji ya kunywa 😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠
hekima inaonekana katika mambo kama haya.umedharirishwa unashukuru na kuongea kwa hekima..adam umwombe radhi huyu maana mtu akiongea hivi ukikaidi ukajiona ni bora kuna matatizo yana jitokeza tu..ubarikiwe sana emmanuel mbasha sikutegemea ungereact namna hiyo
Ata kama ni mm nakuzibua mbele za watu unaleta stori za kisenge matani gani ayo mbele za watu fala ww unaijua bangi Unataja Mungu wakati unataja mambo ya kumdhalilisha mwenzio mbele ya umma
Mimi hapa namlaaimu mbasha, ulitaka kumdhalilisha adam mbele za watu, kutafta sifa zako, we ni mkristo usitagte kiki kwa kutumia migongo ya mwingine, ukiangalia hiyo clip unaona kabisa adam amekuvumilia sana, kuanzia ulipoanza kuropoka , ropoka jii yake, ukaenda mbali zaidi unamtoa jikwani kwa kumvuta alafu unasingizia ulikua unamkumbatia kwa upendo, acha unafiki , nimekasirishwa sana na kitendo ulicho mfanyia adan, umamwitaje mtu bangi, alaf useme unamtania, acha unafki na mungu atakusaidia
Daaaaa kaka mbasha umekosea sana,kumuita mwenzio huyu mchomvu bangi Ni kosa kubwa then mbele za watu.lile Jambo lilikuwa live so dunia nzima imeona na imesikia ulichokisema.umemjengea sifa mbaya hata kwa jeshi la polisi viongozi na wananchi aiseee umekosea
Mbasha mpumbavu sana mie nitaman nikupige mwaka 2008 kwenye tamasha la pasaka la msama nakumbuka mama rwakatre alikua mgeni rasmi na samweli sitta pia aliimba halafu akawa anakataa kushuka ana taka aimbe tuuu nakuimba hajui shida tupu yaan
Mimi binafsi Nina mlaumu sana mtumishi wa Mungu mbasha kwanini awe na matani na watu wadunia? Hukuona kufanya urafiki ( matani na watu wa Mungu mpaka uwe na marafiki na watu wa dunia Hilo umelitaka mwenyewe .iwefundisho kwa watumishi wengine wa Mungu kuwa na matani na watu wa dunia. (Fata Yesu kristo alivyo fundisha. Utafanikiwa .angetoa meno Au kuvunja mguu .hao ni watu hawana hofu ya Ahlla watakuumiza kweli kwao jella ni nyumbani.
Tukiacha ushabiki jaman mbasha ndo kamkosea Adam mchomvu hata kama ni mzaa uwezi ukamwambia mwenzio mbele ya viongoz wa nchi wako pale na wananchi et ""TATIZO WE ADAM NI BANGI SANA""sio vizuri na mtu kakuambia ushuke vizuri kabsa na kakupa shangwe sio poa kabsa huyu Mbasha kakosea.
apo sasa jamani unamtania mwenzio bangi kisa yeye mtumishi aogopwi mtu apa anaogopwa mungu tu mtoa roho za watu ukiwa na kauli mzr uwe shehe au mchungaji bc utaeshimiwa lkn uwezi kuvunja heshima kisa mchungaji au shehe kwendraaaaa 👏👏👏💪💪💪