Тёмный

MBELE YA MAGUFULI: Wazee Wanaotengeneza UMEME Wawalipua TANESCO! 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 46 тыс.
50% 1

MBELE YA MAGUFULI: Wazee Wanaotengeneza UMEME Wawalipua TANESCO!
Rais Dkt John Magufuli, leo Juni 13, ameitisha mkutano na wabunifu wadogo wa mitambo ya kufua umeme nchini..
Mkutano huo unafanyika Ikulu jijini Dar.
#IKULU
Https://www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers
Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Опубликовано:

 

18 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 52   
@DrFatmaKhanPanAfrikan
@DrFatmaKhanPanAfrikan 5 лет назад
TBC Oyeee ♥️🇹🇿🌻👍🏽🌹 Hongera Sana TBC na team yenu ya HADUBINI 👍🏽👏🏽👏🏽👏🏽
@mandyfitnesstv6738
@mandyfitnesstv6738 5 лет назад
Hongereni wazee wetu kwa ubunifu.
@edwardgwaspika4943
@edwardgwaspika4943 5 лет назад
Tanesco anasema waje kuripoti ofcn sasa we we kwanini usimtembelee huyo mzee mkatoa ushauri. Hopeless kabisa!
@hamidyhashimu6807
@hamidyhashimu6807 5 лет назад
Mifumo ya kuweza kutengeneza nchi ya viwanda inajulikana... Politics-engineering-industrialization- business-then high national income... Ila sasa bongo. Engineering-business-industrialization-politics-controls incomes....hatuezi fika.. TANESCO sasa wawe watu wa Safety control to the public.. Ila sasa , ila umeme uzalishe kila mtaa wa kwake..... Na malipo nafuu tyu...umeme itakua hakuna kitu cha historia kukatika... Na watu waache politics watu wafanye kazi ....aise Hapo mbna tunafika... We can make small quantity of power but satisfy our streets.... Na watafute njia....we need to decentralize the power production,supplying,safety care . Tutapunguza tatizo la ajira kwa wanangu wote tulio soma kwa gharama kujua hivyo vitu.... And tutaongeza pato kubwa... Kuliko kuingia kila siku gharama za kuwaita wachina na wazungu kututengenezea centralized power production system... Itakua fresh kinoma.... Kama umeelewa ...gonga like hapo.
@bernardmasambaji466
@bernardmasambaji466 5 лет назад
hamidy hashimu uko vizuri
@kiatu
@kiatu 5 лет назад
TBC ahsanteni sana, hivi ndio vipindi vyenye tija, acheni mambo kupoteza muda kutangaza "send-offs", harusi na vipindi vya dini kwenye national TV. Haya matukio yatangazwe Kama news tu na ikibidi. Ama sivyo wanunue muda kwenye private TVs.
@lutulalihim1585
@lutulalihim1585 5 лет назад
Kama congo tunge bahatikiwa kupata tunu kama Rais Mangufuri Tuongee kuwa mbali sana wa tanzania mlindeni Rais wenu
@masachihorticultureunitcol711
@masachihorticultureunitcol711 5 лет назад
Tunashukuru Sana ndugu. Napenda saa na Mie nije kutembea Kongo maeneo ya Goma, Bukavu, Kinshasa na Lubumbashi
@salamamzee2226
@salamamzee2226 5 лет назад
Huyu ndio rais wa wanyonge Kwadhati nampenda San huyu rais wetu
@mumbasag679
@mumbasag679 5 лет назад
Safiiii
@mimamelchior7821
@mimamelchior7821 5 лет назад
Na miwani yake meusi tatizo dharau zimezid ..mungu mbariki rais wetu Aya watanzania tunataka nini kila sehemu anaweka mambo Sawa
@chumizola1847
@chumizola1847 5 лет назад
Serikali isimwache huyu, hawa ndio wanaopaswa kupewa nafasi ya kuongoza Shirika letu la TANESCO
@erastoselemani5443
@erastoselemani5443 5 лет назад
Kweli kabisa
@chumizola1847
@chumizola1847 5 лет назад
@@erastoselemani5443 Tumwombee Rais JPM anayethubutu kufanya jitihada nyingi kwa maendeleo endelevu ya nchi yetu...
@modestaabeli3389
@modestaabeli3389 5 лет назад
Tena tuzidi kbc kuomba maan jpm ataibadilisha tz yetu tumelizwa siku yingi muno
@chumizola1847
@chumizola1847 5 лет назад
@@modestaabeli3389 ni kweli kabisa ndugu Modesta! Maana kwa anayoyafanya maadui ni wengi!
@shukurukihwelo5575
@shukurukihwelo5575 5 лет назад
Mh Rais hizi nidariri kuwa Tanzania tunaweza
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 3 года назад
Manager Acha Umwinyi Nenda Kamuone Mdau
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 5 лет назад
Safi sana naomba kipaji hiki kiendelezwe naww mwenye miwan myeusi inabd boss wako awe huyo mbunifu
@grysonjuma8955
@grysonjuma8955 5 лет назад
Tanesco awana majibu tatizo wanatumia vishoka
@chachamagoti2400
@chachamagoti2400 5 лет назад
Huyu meneja wa njombe hajatumbuliwa. Yani afatwe ofisini yeye hawezi kuwafata.
@2003hintay
@2003hintay 5 лет назад
Bado na Huku dawasco nao Mpaka wafuatwe ofisini hawatembei Mitaani kufanya utafiti wateja wanaotaka kuunganishiwa maji. Kuna Mitaa mingi wakitandika mabomba wateja Wengi wataunganisha maji. Hasa tandale wameachia wauzaji maji tu
@kasomishedrack5027
@kasomishedrack5027 5 лет назад
Yaani shirika la Tenesco limesha Dumas sana umemskia huyo anavyoongea yaani wao mpaka wafuatwe wako tu maofisini wala hawezi kujishughulisha kusaidia wabunifu kama hawa Bali huwa linajitahidi sana kutoa vitisho ili kuwadiscorage wabunifu kama hawa.Tenesco mpaka iwe na ushindani na mashirika mengine ya umeme ndo litaamka.Kingine nimshauri rais wangu ni kwamba hawa watu wa bonde yaani ungefuta hizo ofisi maana wanakusanya pesa na kuzitumia ovyo kwa kujiripa ovyoovyo night bila hata serikali kupata pesa toka huko bonde ukitaka kuona hayo njoo bonde la ziwa Victoria makusanyo mengi ila yanaishia mikononi mwao maana wateja wanalipa ktk ac. Yao ni wanapanga wanavyotaka na kutumia watakavyo maana sheria inawalinda uanzishwaji wake wa ofisi za bonde na kuomba mh rais upitie upya ofisi hizi na kufanya marekebisho ya sheria juu ya uanzishwaji wake ni shida sana.
@corrolesscps
@corrolesscps 5 лет назад
Kasomi Shedrack . Huyo meneja sijui wa Tanesco, anajidai kaka officen anajiona yeye ndio msomi, yeye ndio yeye, hajui hata hao wavumbuzi wa miaka hiyo hawakuwa na office na kujiona ni wasomi, kwani miaka hiyo ya zama hizo hata hao wavumbuzi uko ulaya hawakuwa na shule, Bali ni vipaji vyao na akili walizokuwa nazo waliwezaje kuzitumia akili zao, ndio vilivyofanya mpka hivi Leo maendeleo yanayonekana Sio kukaa darasani tu, alafu officin alafu ukajiita msomi,
@shukurukihwelo5575
@shukurukihwelo5575 5 лет назад
Mimi nafikiri njombe yetu inavipaji vingi naomba tuweke harambe na tumshirikishe mh raisi maana hivi ndio viwanda ili tuwainue
@geofreymalila257
@geofreymalila257 5 лет назад
jamani sauti vipiiiiiiii
@ramadhanisuru1822
@ramadhanisuru1822 5 лет назад
Hawa wazee wanatakiwa waasaidiwe kikwelikweli mpka hao waliyo kuwa wanawaziba midomo wabaki naaibu zao
@anuaryally6177
@anuaryally6177 5 лет назад
Uyo ndiye anayekaa ofisini na miwani meusi anasubili watu wamjie bila yeye kwenda kujionea ndio aliyeambiwa miwani meusi ya nini nawewe upo ofisini akuna jua duu magufuri kweri jiwe kwa midongo ya papo kwa papo anarusha tu
@ostychambi8972
@ostychambi8972 5 лет назад
Dah bora tumempata rais mzalendo miaka ya nyuma ukigundua kitu unafungwa
@issayamkanyilila5653
@issayamkanyilila5653 5 лет назад
Tbc ni tasisi kubwa makufuli nakupenda kwauamuzi wa apoapo uko vizuri awa wabunifu walikuepo so long time
@jimmymnuano7165
@jimmymnuano7165 5 лет назад
Watu kama hawa ni muhimu sana huku Ulaya lakini Africa wasomi wetu wakipata yveti yvao mbio wanakimbikia kwenye siasa kuja kuleta unafiki tu. Hongera mzee wa njombe
@msemwawalter837
@msemwawalter837 5 лет назад
Namfahamu Pwagu miaka mingi na nilishawahi kumtembelea. Ana kipaji kikubwa cha ufundii kwa upande wa innovation. Wasaidiwe kwa ufahamu wa Mheshimiwa. Simple and cheap technology kwa maendeleo, fedha za kigeni zinaokolewa pia.
@renatuskapenda4998
@renatuskapenda4998 5 лет назад
"Elimu ya kujifunza mwenyewe inanguvu kubwa kuliko kufundishwa darasani"
@DrFatmaKhanPanAfrikan
@DrFatmaKhanPanAfrikan 5 лет назад
Mheshimiwa Mpendwa Komrad Rais wetu Dkt Magufuli, TANESCO wanatatizo kubwa la Bureaucracy, Yaani mpaka mtu anakata tamaa. Barua hadi makao makuu ya DSM maombi yanaweza kupotelea mbali njiani. Na RUSHWA ni tatizo katika ngazi za utendaji vijijini. I have proof
@edwardgwaspika4943
@edwardgwaspika4943 5 лет назад
Sasa utakuta TANESCO wanatafuta mtu mwenye GPA kubwa ndo wamwajiri wekeni wazee kama hawa hata kwenye bodi ya wakurugenzi!
@natosimchimba6844
@natosimchimba6844 5 лет назад
Ujinga mtupu gpa sjui ndonn, kipimo cha degree nilazima kipime matokeo ya elimu yani nilazima uoneshe umefanya nn katika hii jamii inayokuzungukaa.
@hamidyhashimu6807
@hamidyhashimu6807 5 лет назад
Sio kwamba watu hawawezi kuzalisha umeme..wanaweza system ndogo tyu hio sema...wasomi wengi hawafanyi sababu na Tanesco hawatoi lesen hiyo...ila ukizalisha ...wewe wauzie wao wawauzie umeme then wawauzie watu....ndo ilivyo...na kuweza kufanya hivyo wao wanaanza kununua umeme kuanzia kiasi kikubwa ili upate faida...kwasababu umeme mdogo hautapata pesa...ila kuwauzia umeme raia ingeleta faida...kiasi kidogo kwa mtaa na mtaa mwingine... Ila authority hazitaki kwa7bu ya safety... So tunatulia.. Na ikija kujulikana umefanya sehem na umesoma ..unataka nifungiwe vyeti hahahahahah...hapana ...engineer hutwara nda itwa just because i didnt follow the safety protocal...
@japhykkidoshi4433
@japhykkidoshi4433 5 лет назад
Huna akili ww elimu ovyo umekaa tu office n kwann usiwatembelee? Mh magu ona sasa
@tithomwamengo6571
@tithomwamengo6571 3 года назад
Mzehee pwagu ukovizuri
@geofreymalila257
@geofreymalila257 5 лет назад
kuna kila sababu ya watu wote katika nchi hii kuwa kama mh Magufuli na ikiwezekana tuelewe nia yake hawa wazee wameanza zamani huu ufundi wao lakini hata siku moja hawakuonekana
@othmanshahib1115
@othmanshahib1115 5 лет назад
Wataram tunao wengi tu tatizo serikali haiwakusanyi wakapata utaram zaidi wapo wanajua kutengeneza hata bastora za kisasa lakini Tanzania Utafia jela
@edwardisack1890
@edwardisack1890 5 лет назад
Hawa wasomi Wa pwagu na mwenzake nimewaelewa hawana story sana
@felixjoktan7838
@felixjoktan7838 5 лет назад
Meneja anasema wamevunja shelia alishawahikuwashauli cha kufanya? Sasa hao la saba wanasubutu je ma professor kulikoni had sindano njiti za kutolea nyama kwenye meno zitoke ulaya duu
@mumbasag679
@mumbasag679 5 лет назад
Ni umburura tu ndugu yangu. Na ubinafsi, just imagine angekuwa mtoto wake au ndugu yake amebuni?
@mumbasag679
@mumbasag679 5 лет назад
Sio afike kwenu wakati mpo tu ofisini. Umepata habari nenda eneo la tukio. Watu wengine n waandishi wa habari wametulia tu. Wanafata maisha ya watu binafsi wanaojiita mastaa Instagram badala ya kuwapa air time watu kama hao na wabunifu wadogo
@anuaryally6177
@anuaryally6177 5 лет назад
Kuna wa kusambaza mabomba ya maji mitaa ipo ila wanataka kufuatwa ofisini na miwani yao meusi ata usiku wamevalia
@lucianodeo4103
@lucianodeo4103 5 лет назад
Sido wanatakiwa wafanye vitu kama hivi sasa
@fainnamvungi4364
@fainnamvungi4364 5 лет назад
Boreshen mzee anufaishe jamii yake nyaya hazina ubora asije akalipua wa2 mkamgeuka
@pindabutter2736
@pindabutter2736 5 лет назад
Hao ndio nabii wa ukweli, na ni wachungaji, hivyo ndivyo watumishi wa MUNGU wanavyo fanya kazi, naomba nijiunge na nyinyi. mafake nabii wanapenda sana kuchika biblia na kuongea tuuuuu, lakini ma nabii wa ukweli wanafanya kazi, mimi najua Raisi wetu ana moyo kama hawa watu, na anaelewa ataka ni kinyume na sheria, MUNGU ambariki Raisi wetu, na hao watu. yani awaongei ata sanaaaa…….najua Raisi kafurai sana kwamba jamaa awana maneno mengi… ila vitendo
@jimmymnuano7165
@jimmymnuano7165 5 лет назад
Watu kama hawa ni muhimu sana huku Ulaya lakini Africa wasomi wetu wakipata yveti yvao mbio wanakimbikia kwenye siasa kuja kuleta unafiki tu. Hongera mzee wa njombe
@jimmymnuano7165
@jimmymnuano7165 5 лет назад
Watu kama hawa ni muhimu sana huku Ulaya lakini Africa wasomi wetu wakipata yveti yvao mbio wanakimbikia kwenye siasa kuja kuleta unafiki tu. Hongera mzee wa njombe
Далее
Rais MAGUFULI Alivyowabana TANESCO, Nusura AWATUMBUE!
27:53
Как мы играем в игры 😂
00:20
Просмотров 675 тыс.
MASANJA: SIKU YA1 KUINGIA KANISANI WATU WALINIKIMBIA
3:11