Тёмный

MBOSSO AWEKA WAZI KUHUSIANA NA BINTI MUNIRA ALIYEDAI KUNYWA SUMU KWAAJILI YAKE ENDAPO ATAMKATAA 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 2,5 млн
50% 1

Wasafi News leo imemtembelea Mbosso na kupiga nae story kibao. Mbosso ajibu kuhusiana na Msichana anaeitwa Munira ambaye ametoka Mombasa Kenya na Kuja hapa Tanzania kwaajili ya Mbosso na anataka kuwa nae kimapenzi. Pia afunguka kuhusiana na picha za marehemu Martha alizoziweka nyumbani kwake.

Опубликовано:

 

15 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 2,2 тыс.   
@Ericoh..467
@Ericoh..467 5 лет назад
Napenda mbosso venye uko tu humble Mungu aendelee kukuinua....
@evandan7
@evandan7 5 лет назад
Duh! Hilo geti ndo noma,ka unakubaliana na mimi tafadhali naomba like yako
@chujimbondei8260
@chujimbondei8260 5 лет назад
evandan7 noma sana
@lovenanah5040
@lovenanah5040 5 лет назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@mimaakenirram1405
@mimaakenirram1405 5 лет назад
evandan7 tz tu ndo mnaona noma miji ya wenzetu unagonga kengere mtu anakuona kabisa ndani ww kweli ndo mwenyewe
@paulluhende6557
@paulluhende6557 5 лет назад
mbinti njokwangu upate laha
@najmasalimsalim2741
@najmasalimsalim2741 5 лет назад
@@mimaakenirram1405 umeonaee
@timamohamed5345
@timamohamed5345 4 года назад
ni ajili ya nyimbo zake za mahaba. tunapenda mapenzi jamani na kubembelezwa saana, kudekezwa sana. sasa labda akiimba tunahisi ndio kinachoendelea katika maisha yake. big love Mbosso
@georgiathomas2639
@georgiathomas2639 2 года назад
Mboso unanyota ya kupendwa baba
@victoromondiochieng9865
@victoromondiochieng9865 8 месяцев назад
Waaah noma.....swali langu ni aje Do this girl wins mbosso?❤❤
@victoromondiochieng9865
@victoromondiochieng9865 8 месяцев назад
Mbosso alimkubali ama??
@nazaelyshani7973
@nazaelyshani7973 5 лет назад
Mbosso khn nakubali kaka uko vzur weka like zako kama unamkubali muhindi wa kusini
@reggyvallerin7460
@reggyvallerin7460 5 лет назад
Demu mwenyewe ni mzuri kinoma, Me najua mbosso huwezi kuniangush🙏 Kama na wew umeliona hii gonga like tuende sawa.
@mrskhamismussa9754
@mrskhamismussa9754 5 лет назад
Reggy Vallerin Yule dem kamzidi mwanamke wa mbosso kwa uzuri
@reggyvallerin7460
@reggyvallerin7460 5 лет назад
@@mrskhamismussa9754 Kabisa yani
@mzizirashid709
@mzizirashid709 5 лет назад
Reggy Vallerin Hahahahaha mboso hawezi kukuangusha eeeh hahahahaha
@agnessmbise8404
@agnessmbise8404 5 лет назад
Kwa kwel
@masudathumani2275
@masudathumani2275 5 лет назад
Nimemuona nimzuri
@iammusic3404
@iammusic3404 4 года назад
Mbosso ana mjengo mkal hv Asante 💎😍
@florambwambombwambo1322
@florambwambombwambo1322 5 лет назад
Kama umeona picha ya boss matha gonga like hapa
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 5 лет назад
Wkwanza
@shanilangson904
@shanilangson904 5 лет назад
@@ayshamahariq6665 naqbalii
@jawadyrasheed6880
@jawadyrasheed6880 5 лет назад
Upuuzi
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 5 лет назад
Flora Mbwambombwambo Nimeona alaf ckuta kulike nyau ww
@nancyruoruo1025
@nancyruoruo1025 5 лет назад
Rip martha
@liliannyakweba6403
@liliannyakweba6403 2 года назад
Mbosso hta mimi nakupenda sana hisia za mapenzi unasijua sana keep up the good work definition of love.
@joshuamollel241
@joshuamollel241 Год назад
Ok
@ladylikealwiya
@ladylikealwiya 4 года назад
mbosso u are my heartbeat😍 mob love from 254
@metiakijoseph9913
@metiakijoseph9913 3 года назад
As a Kenyan from Mombasa, this was the best option my bro Mboso. Take it easy, you are a star in Msa this is normal. How you hundled it was awesome.
@langeoym2mbaya117
@langeoym2mbaya117 5 лет назад
kama unampenda mbosso gonga like
@mwitakassan
@mwitakassan Год назад
Mbosso vp
@ZawadiHassan-r6d
@ZawadiHassan-r6d Год назад
Karibu tupoooooo
@ZawadiHassan-r6d
@ZawadiHassan-r6d Год назад
Waja lini boss
@chesterbrand6723
@chesterbrand6723 5 лет назад
Nimempenda mboso naona picha ya mzazi mwenzako stand comedy Dada mkuu Martha blessing brother
@husnaali36
@husnaali36 4 года назад
Mbosso km mbosso. 😍😍. Mi mwenyewe napnga kuja kufnya kolabo na mbosso😂😂. Km tun kubliana nipn like apo.. 🙈💪. Mbosso juu juu sana tamu ya warembo kwa nyimbo zko tuu sio kingine💕💕💕💕
@irutingabojoel1060
@irutingabojoel1060 5 лет назад
Yani demu akapenda kinoma tafadhali sana tu mbosso mkubaliye anaye penda munira aolewe na mbosso agonge like hapa👈
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 5 лет назад
Agonge atembee tuu
@fevecaminade8150
@fevecaminade8150 5 лет назад
Waah bosso amesema pengine cku za usooni mtoto wa watu atapata tabu sana duuh
@peterwaigwa1884
@peterwaigwa1884 4 года назад
Mapenzi yana run dunia
@jescaagustn4910
@jescaagustn4910 4 года назад
0682285518
@emmanuelyjoseph2957
@emmanuelyjoseph2957 5 лет назад
Unaeshimaaa sanaa mbosso hio tabiaa ndo yakuigaaa safiii sanaa
@fadhilsanga2847
@fadhilsanga2847 4 года назад
Kama unamkubali mbosso gonga like twende sawa huyu jamaa anajielewa sanaa
@haikajohn7580
@haikajohn7580 3 года назад
Kabisa
@boniphacegervas8118
@boniphacegervas8118 5 лет назад
Haha alie Sikia kuwa mboso anaweza muoa huyo dem cku za uson... Gonga like
@salimhamisi29
@salimhamisi29 5 лет назад
hahaaa anaruhusika hadi wa 4
@mcmathasichone2822
@mcmathasichone2822 4 года назад
Uoe mke wa pili utanioa mke watatu
@neemajohn1719
@neemajohn1719 4 года назад
Mboso Hana nyota ya punda
@aminahamis9343
@aminahamis9343 4 года назад
@@mcmathasichone2822 😂😂😂😂 unialike harusi sawa
@aminahamis9343
@aminahamis9343 4 года назад
@@neemajohn1719 nyota ya punda au kondoo ni kali zinawakilisha diamond
@Euphemiafabi...
@Euphemiafabi... 8 месяцев назад
Humble mbosso 😊❤ata mm Niko njiani Naja 🤭☺️🥰,,,,,,nakupenda pia😂❤😂😂
@MagrethThobias-fm8bm
@MagrethThobias-fm8bm Месяц назад
😂😂😂😂
@Euphemiafabi...
@Euphemiafabi... Месяц назад
@@MagrethThobias-fm8bm 😂😂😂
@mayangehemed9804
@mayangehemed9804 5 лет назад
Waislamu kumbe wana good kind...yaani wakarimu kweli asee good interview.
@rich3051
@rich3051 5 лет назад
Mbosso ana mke na watoto afaa kuheshimiwa wewe dada rudi kenya ungoje Mwenyezi Mungu akupe mume wako sio kutaka waume za watu
@saadakiyungi6437
@saadakiyungi6437 5 лет назад
Sarah Kililo Ana mke au anamalaya mwenzie?
@ceciliastephano645
@ceciliastephano645 5 лет назад
kamaupepo wa kisulisuli umemleta basi umludishe alipotoka😂😂😂😂
@marylandmary4067
@marylandmary4067 5 лет назад
Sasa mbosso anamkataa huyo demu na maybe walikutana wanaume mna za ovyooo Sasa anamkana mwezie bure.
@marylandmary4067
@marylandmary4067 5 лет назад
Maisha Sasa ni magumu akuna mwanamke anamtegemea mwanaume Juu kila kikicha mambo na vimambo
@iqraabuhet6588
@iqraabuhet6588 5 лет назад
Sarah.. Mboso kaoa lini?
@rachelmukazayire8293
@rachelmukazayire8293 4 года назад
mapenzi Jamani, mbosso you're a good guy who understands hisia za mapenzi ya mtu. Wanaume wengi hawaelewi na hawaeshimu hisia za wanamke, wakisha jua una hisia za mapenzi kwake wanaakudanganya na kuanza kuchezea Moyo wa mtu.
@jacksonjosephkungunde6337
@jacksonjosephkungunde6337 5 лет назад
Mboso upo vizuri sana ndugu yangu, umejua kumjibu kwa hekima.. Hongera sana
@barakajonass3731
@barakajonass3731 3 года назад
Mpee baba mtt wembe anko
@joanchibbungu9786
@joanchibbungu9786 3 года назад
Huyo dada si mkenya,,, ata kiswahili chake si cha Mombasa mimi ni mkenya na nimekaa Mombasa sanaa... Wasichana wa Mombasa tena waswahili hawana ascent hiyo aache kudanganya na kutuvunjia heshima sisi kama wasichana wa Mombasa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@mbossostephanecledia8804
@mbossostephanecledia8804 2 года назад
Mbosso mungu akulinde
@mackladislaus474
@mackladislaus474 5 лет назад
Hiyo ni kweli mboso mdogo wangu anaitwa chino huwa akiona nyimbo zako lazima alie anadaiii anakupenda sana
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 5 лет назад
Mack Ladislaus 🤔🤔🤔🤣🤣🤣
@abdulmchere6315
@abdulmchere6315 5 лет назад
@@michelinemapendo6652 ni mzur au mapicha picha
@eviepretty2646
@eviepretty2646 5 лет назад
Abdul huyo anaeongea kuwa atakunywa sum ndo mwenyew
@abdulmchere6315
@abdulmchere6315 5 лет назад
@@eviepretty2646 anha Kama ni huyo nimzur♥️♥️
@wisperfect1960
@wisperfect1960 5 лет назад
Mleten kwangu uyo mtoto
@master-pu2hc
@master-pu2hc 5 лет назад
mbosso unapend sn kutabasam yaan uko happy mda ote gd blss
@annvic3996
@annvic3996 4 года назад
This guy continues to win my heart....he understands how love works. Ni mustarab boy sana. He has love experience. Ngoma zake ni noma sana, its like his speaking to you directly😘😘
@ضيالرشيد-ب2س
@ضيالرشيد-ب2س 3 года назад
Qqaaaà
@ضيالرشيد-ب2س
@ضيالرشيد-ب2س 3 года назад
A A aaa A A
@ضيالرشيد-ب2س
@ضيالرشيد-ب2س 3 года назад
Himbosso
@ardykenmusickenya6627
@ardykenmusickenya6627 4 года назад
Hongera kakangu mbosso Khan kipenzi cha watu
@yusufally6853
@yusufally6853 4 года назад
Pia mboso we we una nyota nzuri ya kupendwa...mungu akusaidie pia wew n MTU was watu na mpole ..nyimbo zako pia za slowmotion na msisimuko.ndan ya mioyo za watu zinakongwa...mungu akulinde na hasad.pia jitahid uoe na c kuongeza watoto was nje...umeumbwa wew hujui SAA wala DKK... Prevention better than cure.tahadhari kabla lmauti
@RahmaMohamed-vh8gt
@RahmaMohamed-vh8gt 4 года назад
Jaman me naon Kama yuko xaw kwan kuna ubay mtu kuongea hixia zak Jmn 🤷🏼‍♀️🤷🏼‍♀️🤷🏼‍♀️🤷🏼‍♀️🤷🏼‍♀️❤️❤️❤️❤️
@nsanzabahizirahma7104
@nsanzabahizirahma7104 5 лет назад
Pole san Mboso unamutihani ila Allah atakuwekeya wepesi
@kulwakabondo4544
@kulwakabondo4544 5 лет назад
Dah bro kma kipato kinatosha msitir mtoto wa watu
@fysalamir4981
@fysalamir4981 5 лет назад
Hahaaa you know what mboso ,,love does not ask why xo you do have to kick her
@MaryamAli-zv1on
@MaryamAli-zv1on 4 года назад
Amiiin
@beparlakihaya1921
@beparlakihaya1921 5 лет назад
dah pole sna mdgo wangu jikaze tu, ndoustar uwo
@Franksteeldesigns
@Franksteeldesigns 3 года назад
Sii mbaya mwanadada kupenda nipoa vile ameamua kujisemea but sasa mtoto wa wenyewe ako na family,mm kitu naweza ambia mwanadada eti asikiye ile mgoma ya mbosso ya salamu ulizinitumia zimenifia niko salama atausijali,your the best bro frank apa kutoka kenya
@faumash831
@faumash831 4 года назад
Hata mm nampenda sana mbosso😍😍
@dayanamassawe1386
@dayanamassawe1386 3 года назад
Pigaaa kelele kwa mbosso wakeee
@esabellaleonard2313
@esabellaleonard2313 5 лет назад
Mmmh uyo demu nae bado anamistari ya zaman eti npo tayar kunywa sumu
@yascoguidezanzibar
@yascoguidezanzibar 5 лет назад
Esabella Leonard vip kuhusu kukata TIKITI😂😂
@jssaa4733
@jssaa4733 5 лет назад
@@yascoguidezanzibar 😀😀😀😀😀😀😀. Kenya ndo wanasema ivo
@josboy5384
@josboy5384 5 лет назад
😂😂😂
@ichukagaum9732
@ichukagaum9732 5 лет назад
😂😂😂😂
@bahatimwagaro3410
@bahatimwagaro3410 5 лет назад
😂😂😂😂maajabu
@zaiiomary8970
@zaiiomary8970 5 лет назад
Nyimbo zako mbosso ndo zinazo sabanisha ufatwe na wasichan tofaut tofauti upepo wa kisulisuli huo 😂😂
@machadostopper586
@machadostopper586 5 лет назад
z Qatar nom
@chedielymussa4045
@chedielymussa4045 5 лет назад
ukiskia mbosso hodari ndo hiki kinamkuta
@zaiiomary8970
@zaiiomary8970 5 лет назад
@@chedielymussa4045 hodar wamapenz haraf amebeba jina kubwa kutok India sio name nampenda kuchi hotahe tumpase hae wee stor ya mapenz yan namboss anamizik wake anabez na mapenz uwiii
@hadijangaya477
@hadijangaya477 5 лет назад
z Qatar Hahaaaa rewo nimecheka, njoo uchukuwe soda
@mymunamymuna4807
@mymunamymuna4807 5 лет назад
Punguani wa akili huyo dada
@brendaulomi6482
@brendaulomi6482 5 лет назад
Waoooh chggaboy oyeeeee ChggaGirl tunakupaa bguup🤘🤘🤘🤘🔥🔥🔥🔥🔥
@boscoboscoboy3100
@boscoboscoboy3100 4 года назад
Ati fresh baridi uliwai mpenda mtu mwenye ako na mausiano akakufanya mchepuko umuwa broo mbosso
@erickmbwiliza5564
@erickmbwiliza5564 5 лет назад
mungu akubaliki San nakupe afya khan mboss
@yusufmwash6299
@yusufmwash6299 5 лет назад
Duh! Mwambieni aje kwangu katuacha kenya na kuja Dar kutafuta mbosso.🇰🇪🇹🇿
@fattyandruqyahbinthouthman8025
😂😂😂
@imranmohammed1266
@imranmohammed1266 5 лет назад
Yaani anatuaibisha
@heraldloshi1864
@heraldloshi1864 5 лет назад
Yusuf Mwash - mistari unayo?
@sarahwawuda5164
@sarahwawuda5164 5 лет назад
😂😂😂hakuwaona
@magretyhaule9881
@magretyhaule9881 4 года назад
Ili iweje sasa
@rahmanmaabadi3760
@rahmanmaabadi3760 5 лет назад
God bless you mboso Khan tunaokupenda tupo weng tang ya moto band full Maupendo 💖💖💖
@patricemacky1164
@patricemacky1164 5 лет назад
Icho ndo kilicho mfanya mickael jakson akawa king of pop mana alikua kipenzi cha watu kila alie mwambia i love you alimjibu i love you to na alieshimu isia za mashabi sugu kama uyo dada kikubwa zaidi nikumfariji kiujanja ujanja. rest in peace Mj 😭😭😭 kama na wewe umemmisi mikel gonga like hapa.
@minyugeminyuge6753
@minyugeminyuge6753 5 лет назад
Kabisa kaka., education’ hata kidogo ni bora kwa tasnia yao ya muziki., hayo ni maradhi tu kwa huyu msichana very innocent’ ni ushabiki tu na mwanzo wa mapenz. So’ mboso kuwa na busara ya kumpunguz kiakil maana watakuja wengi kwa kupenda muziki wako., utajisikiaje mtu kapanda maradhi hata ya akil au kufa kwa ajili yako? tena ulishaongea hata mara moja?
@ruwaidaali8937
@ruwaidaali8937 5 лет назад
Tatizo ilooo upepo huo WA kisurisuri
@patricemacky1164
@patricemacky1164 5 лет назад
@Sulayzi VEVO shukrani sana.
@patricemacky1164
@patricemacky1164 5 лет назад
@@ruwaidaali8937 hahaha wameanza kupokea😂😂😂
@patricemacky1164
@patricemacky1164 5 лет назад
@@minyugeminyuge6753 umeona ndo mwanzo wa kua star mboso ameanza kushindwa kuimi mikiki mpaka anadai alitaka kwenda polisi je atapofika kwenye level ya juu ya hustar mambo yatakuaje ? Unacho kisema nikweli education ni inaitaji kwenye tasnia ya musiki.
@anniekanana2808
@anniekanana2808 2 года назад
Mbosso ata mm nakupenda Sana
@paschalpeter4540
@paschalpeter4540 5 лет назад
Mbsso unaakili sana kwa kuangalia mbele wengine hap wangepita naye pyaaaa bila kuangalia kesho so big Up
@حمزهالرواحي-ظ7ش
@حمزهالرواحي-ظ7ش 5 лет назад
Mashaallah mboso tunakusubir huk maskat
@videlialabeka4899
@videlialabeka4899 5 лет назад
Mbosso anacheka poa...mm nmeona ☺☺☺
@johnntarangwi5425
@johnntarangwi5425 3 года назад
Sasa
@bitunihassan9950
@bitunihassan9950 4 года назад
Mashaallah mwenyezi mungu akuepushe na vishawishi akupe hitaji la moyo wako .umeongea point sana
@jafalaymeshack3122
@jafalaymeshack3122 5 лет назад
Ishallah mbosso ongezaaa jikoo big
@janetshennele4368
@janetshennele4368 2 года назад
Much love from kenya 😍 big up brooo🥰🥰
@dailylife2543
@dailylife2543 5 лет назад
Mapenzi kizunguzungu jameni...alafu pia wee Mbosso umzuri sana...wavutia mno..nyimbo zako pia Mashallaaah...mi mwenyewe pia wa Mombasa...na kuna venye huwa wanipagawisha lakini nachezea chini...nachorea hiyo story😂😂kwa hiyo huyo binti mi simlaumu wala I will not judge her...but ongea naye tena...tusipuuze mwishowe tukaanza kutype humu RIP Munira...ati kajiua kweli...(Astaghfirullah)...she needs help...mawaidha na ushauri tasaidia sana.
@streetcreationstv4818
@streetcreationstv4818 2 года назад
J
@streetcreationstv4818
@streetcreationstv4818 2 года назад
YjRyHy
@streetcreationstv4818
@streetcreationstv4818 2 года назад
HY
@streetcreationstv4818
@streetcreationstv4818 2 года назад
Y
@streetcreationstv4818
@streetcreationstv4818 2 года назад
J
@victorcephas3618
@victorcephas3618 5 лет назад
Kama umeuelewa mjengo wa Mboso gonga like
@ashaally6993
@ashaally6993 5 лет назад
Mmmh!! Ushauri wangu huyo dada arudi kwao tuu mungu atampa mwanaume sahihi kwake mwenye kheri na yeye kwanza ni mrembo sana mashaallah...aache kujidhalilisha!!!
@aminafesali5817
@aminafesali5817 5 лет назад
kabsa kwanza huyo mboso mwenyew qahba wakiume hatakama akiwa nae atalia bure kila kukicha mboso kazaa na mwanamke yungine yaani anajidhalilisha kweli kwa uzur huo akamtake mboso mmmmh? Kujidhalilisha bikubwa
@ashaally6993
@ashaally6993 5 лет назад
@@aminafesali5817 kwanza huyo mbosso kwa hadhi gani ya kuwa na mwanamke mrembo kama huyo 😏 aende akaokote vinuka chupi huko Kujishaua tuu sura kama andazi lililozidi hamira 😂😂😂
@aminafesali5817
@aminafesali5817 5 лет назад
@@ashaally6993 😂😂😂😂😂ahsan hata andaz kama jiwe wallah bint anaongea ataka kheir yakuoana yeye anatapika mbele za kamera kwanza usikute kesha mchezea ndi na kumuahid bint wawatu ndi maana bint kavuruga mokho yake halaf lijitu linaka mbele za media kuropoka awen alitaka amfikishe police kutwa wanaonda kuoga madawa wapendeke halaf wanajidai kujishauwa mbele za watu mi nafamily anafamily gani huyo mboso ndani yanyumba alokod kaeka pc za hawara aliekua hamtak yeye alimgagania hadi akamdanganya anamimba akalea mimba hewa na mtt hewa leo ajiona cake mavi huyo nahuyo aliezaa nae anamoyo we nyumba nzima imejazwa pc za mchepoku wake naww unachekelea tu Allah ampe ufaham huyu bint asirudie tena kuropoka mitandaon kwa vijana wa wcb wachafu watabia 😕😕😕
@ashaally6993
@ashaally6993 5 лет назад
@@aminafesali5817 Yani kampa kiki walahi mtu mwenyewe hata hastahili akachukue kioo ajitazame si wa sura wala shepu ashukuru hata kawa mfanyakazi wa domo nani angemuona mshenzi huyu..yani kanikera kweli anavyojishaua basi anajiona wa maana kweli kibushuti huyo...👹
@tripple5
@tripple5 5 лет назад
@@ashaally6993 😂😂😂 acha kufananish andaz na vitu vya ajabu 😂😂😂
@ayubumoha6313
@ayubumoha6313 5 лет назад
Mboss hilo get nomaa sana
@obediesenga9951
@obediesenga9951 Год назад
Mbosso mkubali umhowe❤❤❤❤😊😊😮😮
@franklinemoi8516
@franklinemoi8516 5 лет назад
Daah......Kuna watu wanaishi na wengine kubakia kuwasindikiza tu😭😭😭😭😭
@caroladanez3344
@caroladanez3344 4 года назад
2020 huyu dame bado yupo🤣🤣🤣🤣 mbossoh apenda kufurahi sana he is a good man
@saidahj2543
@saidahj2543 5 лет назад
Nyimbo zako pia mbosso jamani...vry romantic
@innocentamarrow
@innocentamarrow 5 лет назад
Ujuwe kupenda malaz
@mamusleman6500
@mamusleman6500 5 лет назад
Nyl
@mamusleman6500
@mamusleman6500 5 лет назад
By in boy a bosons hiking I yang sea
@shirlybaby6502
@shirlybaby6502 2 года назад
Kazi unayo pia mm nimekupenda
@shirlybaby6502
@shirlybaby6502 2 года назад
Mtaalamu kweli
@poulkiarie254
@poulkiarie254 3 года назад
Mbosso uko very understanding to many, nakupenda sana kakangu,heko kaka,walakini saidia huyo dada munira.
@rodgersmukhove3776
@rodgersmukhove3776 5 лет назад
Munira anaweza,mbosso mfanyie huruma mtoto wa watu
@kardblymond3634
@kardblymond3634 5 лет назад
rodgers mukhove 😂😂😂😂😃
@yurubadan7334
@yurubadan7334 5 лет назад
Muonee huruma mtoto wa wtu bwana,mbosso usijiangushe mwanangu
@rachelmukazayire8293
@rachelmukazayire8293 4 года назад
My love from Rwanda
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 5 лет назад
Inshallah pia mm nkirud Home ntakutafita nkupe za wadi braza mbosso 😎
@azaliayefta1163
@azaliayefta1163 5 лет назад
Una mtihani mgumu sana mbosso Dada wa watu kakolea sana mzee
@zawadimrindoko6782
@zawadimrindoko6782 5 лет назад
Umeongea vizuri sana mboso.hujatudhalilisha wanawake.
@kenyanyavanistir3064
@kenyanyavanistir3064 2 года назад
Much respect mr Mbosso
@judithakoth1834
@judithakoth1834 5 лет назад
ww munira umetutia haibu wakenya wenzako,sema mbosso nae mmmh hatari.
@aishakulahpabakari7109
@aishakulahpabakari7109 5 лет назад
Haibu kweli sisi kama wakenya ebu arudi nyumbani ivi ana wazazi uyu
@judithakoth1834
@judithakoth1834 5 лет назад
ningefaham halipo ningemfata nimrudishe home maana hata mimi pia nipo tz ila narudi kenya hivi karibuni.
@aishakulahpabakari7109
@aishakulahpabakari7109 5 лет назад
Kwakweli wakenya atukuagi ivo ana ata haibu ni kama ana wazazi
@judithakoth1834
@judithakoth1834 5 лет назад
mwenzangu..
@ramadhanimauku314
@ramadhanimauku314 5 лет назад
Hahahah
@tida3727
@tida3727 4 года назад
Sisi Kama wakenya tunamuobea huyu mtoto wetu,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hii nayo ni Kali
@mimaakenirram1405
@mimaakenirram1405 5 лет назад
r.i.p boss mathar hira mbosso ulimpenda huyu dd bac tu
@fadhilsanga2847
@fadhilsanga2847 4 года назад
Anampenda ndio maana ake akazaa naee
@josephmboje9098
@josephmboje9098 4 года назад
Kwel big gup
@mirajikandala3683
@mirajikandala3683 4 года назад
Lkn atafanya vizuli kama utamngumbalia bro ..
@zulfamziwanda794
@zulfamziwanda794 5 лет назад
Hata kama kupenda ni dhambi kesho kwa mungu nitakaa Kitano nikuombe radhiii acha yakukute mboso kama Niko sawa gonga like
@h7ey740
@h7ey740 3 года назад
Hi mbosso pia mm nakupenda kwasabaya nyimbo zako
@hamismbezi9362
@hamismbezi9362 3 года назад
Haaaaaahaaa nipo Uganda nitamfuata Zuchu
@makulazomorice3766
@makulazomorice3766 5 лет назад
Kwa maisha haya mwisho wa siku mtu akisema lipa milion 500 mnasema mnanyanyaswa
@salvatory2987
@salvatory2987 5 лет назад
Angecheza nachibu aone.. 😂 😂 Chibu hana hiana, angemsaidia angalau ndoa ya week moja2..
@credovichekesho01
@credovichekesho01 5 лет назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@faithdaniel5652
@faithdaniel5652 5 лет назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@aishaabdulrahman6995
@aishaabdulrahman6995 5 лет назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@maryamabdalahmakyalue40
@maryamabdalahmakyalue40 5 лет назад
🤣🤣🤣🤣
@subiradalabu6616
@subiradalabu6616 5 лет назад
😁😁😁😁😸😸😸
@lawrenceminya2776
@lawrenceminya2776 5 лет назад
👏👏👏👏👏 and that was so cute of mbosso labda ndo Kamaliza huyo ametumwa
@tahaluahalua1717
@tahaluahalua1717 4 года назад
Hili nano neno..Muniiira from Kenya to Tz juu ya love tu......khaa aibu zngne bwana. ..mbna kutuaibisha c wakenya. ..
@likeothers2498
@likeothers2498 4 года назад
Hana wakuu pegne
@geofreykito985
@geofreykito985 3 года назад
Love you mboso ktoka uganda
@husseinlanh2052
@husseinlanh2052 4 года назад
Mh gelz have confdence eeh!!! Km unakubaliana na mm gonga like hapa
@mohamedabdallah8321
@mohamedabdallah8321 5 лет назад
Mboso unajua kujieleza vizuri saana nimependa na nikushauri kitu usijaribu kujichora kama bosi wako acha kabisa angalia ivo unavopendeza safi sana
@saleheathumani1291
@saleheathumani1291 5 лет назад
Sio kila mwanamke akimtongoza mwanaume mkazania ni Malaya🙈hata wao wanahisia Kama sisi mda mwingine inabidi uheshimu hisia za mtu mbosso inabidi msikilize huyo dada kwani hadi katoka kenya kaja bongo bc kweli anamapenzi ya kweli na wewe🙆upepo wa kisurisuri huo umekuja kwako 😂😂😂
@princessramihakim3828
@princessramihakim3828 5 лет назад
😆😆😆😆😆😆😆😆😆
@tammysalum5475
@tammysalum5475 5 лет назад
Unaakili ww,watu huzan wanawake hatuna hisia
@makalasaigoni2275
@makalasaigoni2275 5 лет назад
Salehe Athumani hongera kaka kwa ujumbe mzuri
@erickmollel2420
@erickmollel2420 5 лет назад
Mbona nyie mna2zingua am2taki mnahangalia pesa
@ramadhanrashid1462
@ramadhanrashid1462 4 года назад
Kabisa
@DianaNyaga-t8b
@DianaNyaga-t8b Год назад
Mbosso Sisi wakenya twakukubali tu ❤ hongera
@metrinewesonga2418
@metrinewesonga2418 2 года назад
Me too i love you mbosso
@gm7045
@gm7045 5 лет назад
Mboso you’re smart man
@marycelinapaschal9619
@marycelinapaschal9619 5 лет назад
Tulio ona picha ya boss matha tujuane
@najibabdi7317
@najibabdi7317 5 лет назад
M arycelina Paschal
@timoliiisaya3824
@timoliiisaya3824 5 лет назад
Marycelina Paschal Bjs
@scielliger2216
@scielliger2216 5 лет назад
M
@angelalessovitenge9265
@angelalessovitenge9265 4 года назад
Marycelina Paschal angel
@jackpartck8578
@jackpartck8578 4 года назад
Marycelina Paschal rudi tu nyumban kwenu mmy uajiaibixha sema mboso nae mh xjui huwa unawapaga nn naww punguza
@sarahhamisi2070
@sarahhamisi2070 5 лет назад
safi sana ila ukikua usijemsalit/ bos utokage kwawema2
@saadangala6751
@saadangala6751 5 лет назад
Kweli lkn
@dizzoboy4384
@dizzoboy4384 3 года назад
Mbosso umetisha
@leanabusanga875
@leanabusanga875 5 лет назад
Ata mimi na kupenda mbosso 😍😍😍
@Jackiedaniel75
@Jackiedaniel75 5 лет назад
She’s cute thou
@allykassim9826
@allykassim9826 5 лет назад
Dada ameharibu kufanya interview...angeenda kimyakimya.pengine ngekuwa kushaliwa zamani
@justinenyamao273
@justinenyamao273 5 лет назад
Mimi sisemi kitu naomba tu like yako wadau
@amamohammed8072
@amamohammed8072 5 лет назад
MASHALLAH MBOSO KWA KUPENDWA LAKINI MUNIRA ANAWAZIMU ENDELEA MBELE USIANGALIE NYUMA HATA SIKUMOJA BADAE
@finidibukuku1729
@finidibukuku1729 3 года назад
Nice bro nakubali 💪
@agnesmbau7398
@agnesmbau7398 4 года назад
Pia mimi mbosso nataka unioee 🙈🙈🙈kutoka Kenya Nairobi
@omarndege811
@omarndege811 7 месяцев назад
🤣🤣🤣hongela. Kwa kutuma. Maombi. Ya kuolewa😂😂
@MenTPL
@MenTPL 5 лет назад
Umeongea vizuri
@mulamwanaliaka2900
@mulamwanaliaka2900 5 лет назад
Mimi ni mkenya mbosso labda huyu dada ni jini la Mombasa mwangalie vizuri unaweza ingia illuminated bila kujua
@sylviawawira6525
@sylviawawira6525 5 лет назад
Iiih waah hii noma kweli upepo wa kisulisuli umetembea kenya kila kukicha mapya mmh
@luludiva7276
@luludiva7276 4 года назад
Mm mwenyewe nampenda mboso
@richieentertainmentkenya3
@richieentertainmentkenya3 4 года назад
DAH!!!uyo Dada mrembo kuweza kama ni Mimi sasa . 💥💥💥💥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Napita na yeye
@gracemalatwe5344
@gracemalatwe5344 5 лет назад
Du pole ila jaman hiyo picha ya matha jaman nimekumbuk mbali😢😢😢😢
@jackleenmandary2632
@jackleenmandary2632 5 лет назад
M nimelia ninampenda sana matha😪😪😪
@heavenlightyaansemawwmosha724
@heavenlightyaansemawwmosha724 5 лет назад
Me mwenyewe nampenda balaa huyu mkaka jmn nakukubal xn aseee
@tulizachatal7053
@tulizachatal7053 5 лет назад
@@heavenlightyaansemawwmosha724 sasa dada ana nini jamani arafu mdogo jamani Mboso kaowe dada anasumbuka sana
@neemabenjamin4245
@neemabenjamin4245 4 года назад
Pole
@lawrenceminya2776
@lawrenceminya2776 5 лет назад
Kenyan's I thought we understand this, we should not sell our souls anyhow, and it's open, let's maintain our souls for our right ones to come
@winniegesy982
@winniegesy982 5 лет назад
Exactly, I wonder how I can put sense to this Munira girl😠😠😠
@gladyskiplimoart
@gladyskiplimoart 5 лет назад
@@winniegesy982 well spoken Winnie......thank you!!!
@eyefrere
@eyefrere 5 лет назад
She is a desperate soul...
@sulezani
@sulezani 5 лет назад
This story does not add up. her accent is even fake. These Tzs are into social media entrepreneurship. That homeless girl was looking for views.
@munnababygal8460
@munnababygal8460 5 лет назад
Exatly
@witnessmussa7134
@witnessmussa7134 3 года назад
Aisee
@BarasaWafula-xv7hf
@BarasaWafula-xv7hf 2 месяца назад
Mbosso mpole sana❤
Далее
Wildest 10 SECONDS OF HIS LIFE 🤯 @TomIsted
00:14
Просмотров 1,4 млн
НИКИТА ПОДСТАВИЛ ДЖОНИ 😡
01:00
Просмотров 164 тыс.
Mbosso - Sele Behind The Scene Part 1
45:29
Просмотров 223 тыс.
HOUSE GIRL EP 31  | S3 | LOVE STORY 💞💕
22:38
Просмотров 3,8 тыс.