Nchi yetu sasa itajazwa na visasi, balaa na masononeko kila sehemu maana kila aliye raia na aliye kiongozi wa nchi kwa vyeo vyao wamejazwa na kiburi. Mungu atatuadhibu tu tukiendelea hivi.
Sasa kama hutaki kuvunja amani kwanini wapingana na serekali kwani lazima uwandamano kama sio kiongozi vile haya nenda huko barabaran utapata unachotaka
Ungeamua hivo wakati wa Mwendazake. That Man was not joking. He didn't give a damm. Unajua Mama hayuko hivo ndio maana unatafuta umaarufu. Kama una nia safi kaeni mzungumze. Afterall hata mkiandamana mwisho wa siku mtakaa mzungumze. Mama amebugi amepotoshwa. Mama alijawa na jazba amepoteza mwelekeo. Hakutumia common sense. Nawewe umepata ahweni umefufuka. Tayari mlikuwa hamna jipya tena. Mistake ya Mama imewapaisha. Lakini bado una mtihani ndani ya Chama chako
polisi msije mkajaribu kumpiga mbowe maan kitakachotokea ni zaidi ya izraeli na palestina mmezoea kuona kuona tunaongea tu bila vitendo sasa mguseni mbowe kwa risasi muone
Kuandamana nì haki ya kikatiba na kisheria. Pamoja na ukweli huo, naomba kwa ajili ya kumtukuza Mungu, Muumba wa Mbingu na Nchi, Mwingi wa rehema na neema, TUTAFUTE AMANI badala ya kuandamana. Kwa jinsi hali inavyoonekana, ni dhahiri hali si shwari. Naomba kipau mbele chetu kama nchi kiwe ni kutafuta amani na mstakabali mwema wa taifa letu. 4R zetu ziendelee kuwa nguzo imara kwa ujenzi imara wa taifa letu. Kurudi nyuma katika maamuzi yetu sio udhaifu wala woga, bali ni kukubali kuongozwa na Mungu katika kufanya mambo yetu. Je, maandamano ya amani katikati ya zuio la polish yataendelea kuwa ya amani? NAOMBA TUITAFUTE AMANI KWA KUKUBALI KUONGOZWA NA MUNGU KATIKA MAAMUZI YETU. MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Naiomba Chadema isitishe Kwanza maandamano. Najua mioyo inauma, umepelekwa Kila jumbe kwa serkali. Mpaka hivi Sasa na Kila mtanzania ameshajua mbivu na mbichi.
Nenda mzee ww na familia yako Rais ameshakataza ww ni nani asee ss kama na ww uliesikia sikio la kufa alisikii dawa nenda kakutane ww na familia yako na ndugu zako mzee
Raisi ni nani Kwan Hadi achukue haki za watu Hadi za kuishi? Kila mmoja yupo chini ya Sheria hata police wapo chini ya Sheria, na Sheria inasema kuandamana ni haki. Hakuna mtu wa kuichukua.
Mnahangaika na kutapatapa Bora mtumie me majumbani Mnaenda kutafutia kumwagiwa mabomu ya machozi na wengine kupata virema ya nn kisa utawala kaaa duuu hii NI maisha mafupi sn
Wacheni kuua amani nyie mafala mnaandama Kwa msaada Wa nje acheni tangazen sera mmemteka wenyewe kama ulivyo lewa saa 8 usiku ukasema umepigwa acheniiiiiiiiiooiii
Viongozi wa dini acheni kusubiri hadi Mbowe afe ndo tuanze kusikia kauli za kulaani, jitokezeni mapema muishauri serikali haraka iwezekanavyo kwani maandamano hayamtoi mtu madarakani
Mpaka anatia uruma jaman mbowe pole na kupotelewa na wanachama wako.pole lakin umechukua mahamz magum mno mno.japo inaumiza kwel ntelejensia sijui walikua wap.pole
Mbowe mbona huna majibu au hutoi majibu ya tuhuma unazo pewa badala yake umeng'ang'ana maandamano na umeng'ania urudishiwe walip kufa tu na hao wapelelezi unao wataka hawatufai sisi tuna jitawala hatutawaliwi hatutaki nchi kua kama libia su somalia
Mbowe chukua wanao wajukuu zako na ukoo wenu mzima halafu mkaandamane sio kutumia watoto wetu kama mtaji wakwako umewaficha ndani nanyinyi vijana nawausia jitambueni acheni kutumika kijinga nahuyo mbowe