Kwa maoni yangu huyu jamaa anastahili heshima kubwa kabisa nchi hii kuliko hata Nyerere! Hii kazi ni kubwa kuliko hata aliyo ifanya Nyerere kwa sababu wazungu walikuwa wastaarabu ukiwalinganisha na hawa watawala wa sasa anao pamba nao!
Huwezi mfananisha kiongozi msaka tonge na Nyerere hiyo helicopter analipiwa na mama Samia. Hata msigwa alipiga kelele siku ya pili akajiunga na CCM. Huyu si ndio alimkaribisha mama Samia kwenye mkutano mkuu wa chadema. Sasa hivi anajenga magorofa hela anapata wapi anagaiwa keki maana ndio ilikuwa kilio chake. Magufuri ndio alikuwa kiongozi mwaminifu alikuwa hapendi wezi na Mbowe ni mmoja wapo. Kama anadhurumu ndugu zake mali za ulithi ataweza kulinda mali za taifa?