Тёмный

Mbowe Asisitiza Umoja wa Kitaifa Sakata la Bandari 

The Chanzo
Подписаться 81 тыс.
Просмотров 53 тыс.
50% 1

Kupitia kampeni yao ya #OkoaBandariZetu CHADEMA wakishirikiana na wanaharakati mbalimbali na viongozi wengine wa kijamii wanafanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya Bulyaga Temeke.
Wanaharakati na CHADEMA wameendelea kusisitiza mkataba wa bandari kati ya Tanzania na Dubai hauna maslahi mapana kwa nchi. Mkutano huu wa CHADEMA unafanyika ikiwa ni wiki mbili toka CCM kuanza mikutano yao ya hadhara ya kufafanua kuhusu suala la bandari.
Endelea kufuatilia The Chanzo tupo hapa katika viwanja vya Bulyaga kurusha Live
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.

Опубликовано:

 

20 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 226   
@makobamasawemangu4122
@makobamasawemangu4122 Год назад
Mbowe umejaa hekima sana ndg yangu mungu kukubariki ndg yangu
@karimkassam571
@karimkassam571 Год назад
Hana hekima yoyote zaidi ya kuwa mchochezi
@malindimalindimerinyo1632
@malindimalindimerinyo1632 Год назад
@@karimkassam571 wewe ni mpuuzi dhidi ya uhuru wetu kibaraka cha wakoloni
@abelianraphili5150
@abelianraphili5150 Год назад
​@@karimkassam571akili Yako, haina akili
@jacoblongo6814
@jacoblongo6814 Год назад
Mwenyekiti wangu Mungu akubariki sana akulinde akutunze kila siku mpaka ukombozi timilifu ❤❤❤
@SarahShao-jw1up
@SarahShao-jw1up Год назад
Safi sana....wewe ni mtu muhimu sana kwenye Taifa letu....Mungu akubariki
@benedictmatiko6614
@benedictmatiko6614 Год назад
0p99i6rcp
@AbdallahMgwasi-zy1ei
@AbdallahMgwasi-zy1ei Год назад
Daa Hawa mafisad Hawana huruma had mama
@basilisajacob1065
@basilisajacob1065 Год назад
God bless you Mr. Mbowe! God protect you!
@noelbryson7840
@noelbryson7840 Год назад
Safi mwenyekiti ,Umeongea hoja za msingi sana 👍..
@babudingi-gd7pz
@babudingi-gd7pz Год назад
Mbowe una muwona kabisa ana ongea kutoka moyoni mungu akupe nguvu azidi kuku weka utupambambanie 2025 mimi na familia tusha kuchagua
@ezekielmabwai482
@ezekielmabwai482 Год назад
Mwanga umeanza kuonekana. Fredom is comming tomorrow. Aluta continua!
@abelianraphili5150
@abelianraphili5150 Год назад
Fact's
@StevenTambi
@StevenTambi Год назад
Serikali 3 ni muhimu sana
@HappyObass
@HappyObass Год назад
Mungu wa mbinguni awe nanyj chadema. Yesu kristor mwema awe nanyi
@karimkassam571
@karimkassam571 Год назад
Chama cha wagalatia
@peterkitekero4303
@peterkitekero4303 Год назад
Mwenyekiti sema baba
@isayaanthon7063
@isayaanthon7063 Год назад
Mwenyekiti tunakuelewa sana. CCM bila vyombo vya dola CCM ni kama nyoka asiye na uti wa mgongo
@karimkassam571
@karimkassam571 Год назад
We acha ujinga hapo kaongea nini cha maana zaidi ya uchochezi
@malindimalindimerinyo1632
@malindimalindimerinyo1632 Год назад
@@karimkassam571 acha kulamba lamba safuria za ukoko na kuacha ukweli wewe ni kibaraka cha wakoloni na kuubeza uhuru wetu hata enzi ya mwalimu Nyerere kulikuwa na vibaraka kama wewe
@abelianraphili5150
@abelianraphili5150 Год назад
Haha😂😂
@mosesdavid-vm5hk
@mosesdavid-vm5hk Год назад
Genius anaongea
@azizabdallah585
@azizabdallah585 Год назад
BRAVO MH. MBOWE....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI WEWE BINAFSI, CHADEMA, DR. SLAA, WANASHERIA WAZALENDO WA NCHI HII,VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAZALENDO, VIONGOZI WA DINI ZOTE NA WATANZANIA WOTE WAZALENDO WA NCHI YETU.
@danielmushi5755
@danielmushi5755 Год назад
Well said Mr Chairman,truth will always prevail.God bless Tanzania.❤❤
@yussufmussa-xc6nb
@yussufmussa-xc6nb Год назад
Nakubaliana na yote lakini ukitaja zanzibar ni unguja na pemba
@lilymuro4993
@lilymuro4993 Год назад
Mungu akubariki sana mwenye kiti tunakuombea Simama Himara Mungu yupo na Wewe Amen 🙏🙏🙏
@cavinjohn-9648
@cavinjohn-9648 Год назад
Uko sawa brother
@manpascal1967
@manpascal1967 Год назад
Hadi Shirati kwetu
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 Год назад
Mungu mbariki mbowe
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 Год назад
Hii ndiyo ya kuwa na watu makini cyo njaa
@MzambuliUtashiba
@MzambuliUtashiba Год назад
Mungu akutie nguvu kwa hilo
@BeatriceHenry-t3i
@BeatriceHenry-t3i Год назад
Ukweli utamalaki;Ukweli utamalaki Alleluia
@humphreynyiti516
@humphreynyiti516 Год назад
Jembe sana huyu mwamba
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 Год назад
Mungu akupiganie Mwkt.Mbowe. Kuna watu wanauza haki ya wananchi kwaajili ya tumbo,wala hawajui kuwa kelele hizi ni vilio vitakavyo waletea laana kwa vipande vya fedha kama Yuda aliyeponzwa na tamaa ya vipande 30 vya fedha,baadae akavitupa na kujinyonga! Mtaungaje mkono maangamizi ya vizazi vyenu wenyewe kwa takrima zitoksnazo na kodi zenu wenyewe kama sio uzuzu?!
@emilyKassiano-oo5iy
@emilyKassiano-oo5iy Год назад
MUNGU akulinde daima
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 Год назад
Kumbe mkutano ulifanikiwa? Hongereni sana
@weramunisi7490
@weramunisi7490 Год назад
Kaka yangu Mungu ninaemwamini atakulinda
@OswardLaurent
@OswardLaurent Год назад
Wewe hakika ni mwanaume nakuombea tuko pamoja kiongozi na tunawaelewa wana mapinduzi
@heliudjulias7748
@heliudjulias7748 Год назад
Tuunganishe nguvu maana kuna nguvu kubwa unayo tumika kurizuia jambo hili siku wahi kutegemea kama viongozi wa Tanzania wana weza kuwa mfano mbaya katika karne hii ya ishirini na moja
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 Год назад
Kweli kabisa. Tutafakari KESHO yetu
@Maguzu.studios
@Maguzu.studios Год назад
Kila chenye mwanzo huwa na mwisho wake. Hata hili nalo litapita mwenda zake alisema tutamkumbuka kwa mema hata kwa mabaya. Nikweli tunajionea kwa mifumo. Mungu awepe ushujaa makamanda wetu maana ninyi mungu amewapa mwanga kuona pale tulipo zibiwa.
@charlesmnuo3292
@charlesmnuo3292 Год назад
Biblia katika kitabu cha maombolezo 5:1-5
@Bikhafija
@Bikhafija Год назад
Kiukweli.mungu anaiokoa tanzania.mungu awa bariki
@majebelemathis9991
@majebelemathis9991 Год назад
Ipo siku mawe yatageuka na kuwa bindamu CCM mnatuwa sana kubalini mmekosea taifa hasa wewe bi tozo
@abdifaraji2883
@abdifaraji2883 Год назад
Nyinyi ni wapenda bure, hamwezi hata kuchimba vyoo na mashimo ya kutupia taka. Kila siku mnataka serikali ije kukusafisha mlangoni pako.
@RomaMichael-ei6di
@RomaMichael-ei6di Год назад
Mbowe ase mungu azidi kukutangulia 🙏🙏🙏🙏🙏
@Clement-px8eg
@Clement-px8eg Год назад
Wakristowote na waislam wote na vizazi vyao ni wahanga wa mkataba huu wakifisadi tusikubali kutenganishwa na propaganda za hovyo .mbele kwa mbeleeeee
@KayongoOba-ht2rf
@KayongoOba-ht2rf Год назад
Samia jiuzuru maan mama umeferi
@IsackRawichi
@IsackRawichi Год назад
Mbowe wewe ni mtetezi wa waTANZANIA
@johnmahu5060
@johnmahu5060 Год назад
Mungu arndelee kukutumia kma nabii Musa alivyopambana na farao bila kukata tamaa hd akawatoa wna Israel nawe hyu farao imebaki tu pigo la damu watuachie neno la mungu soma kutoka 1_mwisho kufika kanan
@StevenLoita-rl9cx
@StevenLoita-rl9cx Год назад
Tunahitaji Raisi wa Muungano, Raisi wa Zanzibar na Raisi wa Tanganyika. Serikali tatu siyo mbili. Eti Zanzibar Wana Ma Raisi wawili Tanganyika Ina Raisi mmoja. Zanzibar bidhaa kuileta Tanganyika Kuna vikwazo utadhani unaenda Ulaya. Nini Maana ya Muungano wanufaika wachache. Tumeelimika Tunataka Katiba Mpya na Muungano wa Serikali tatu. Bandari zirudishwe kwa Wa Tanganyika
@chumhaji6787
@chumhaji6787 Год назад
Wewe ni mpinga maendeleo tu ,msaliti namba moja mtetezi wa mijizi ya nchi hii
@SaidAbdullah-p3s
@SaidAbdullah-p3s Год назад
Bandari imeibomowa chadema watashindwa katika uchaguzi vibaya sana katika uchaguzi wa haki kuliko chaguzi zote
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru Год назад
@@SaidAbdullah-p3s mmmhhhhh
@JohnManyilizu-b6h
@JohnManyilizu-b6h Год назад
Mmhhhhhu weee wee
@rabFamily-w4q
@rabFamily-w4q Год назад
🎉❤saut ya simba dume ikiunguruma nyikan tupo pamoja na wewe kamanda mungu atubaliki watanzania wote
@salmaheri971
@salmaheri971 Год назад
sijawahi kuwa ungamkono ila kwa hili tupo pamoja kama Inch tusikubali huu upuuzi
@kajiajohn6124
@kajiajohn6124 Год назад
Sasa muda wa " kuondoka misri"Twende kwenye nchi ilohuru na haki.Jambo hili limetuunganisha kama🇹🇿
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 Год назад
Tunahitaji hospital ya Kanda ya kaskazin ijengwe Arusha tuachane na KCMC na hospital ya Kanda ya ziwa ijengwe mwanza ili tuachane na hospital za kanisa zinakwepa Kodi kupitia partnership sasahv wanaogopa waarabu kuwekeza bandarini kwa maslah yao
@Bikhafija
@Bikhafija Год назад
Kiukwelinili suala zito mungu awalinde yutub kote niili wannvhi tuunga
@birigitasilayoagustin2345
@birigitasilayoagustin2345 Год назад
❤🎉
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 Год назад
Kwenye nchi yenye watu million 63+ issue nyeti kama hii na kelele zote zilizopigwa zaidi ya mwezi coment hazifiki laki na views 11k(1k =1000)...daah! Kuna tatizo kwenye hoja zetu namna tunavyozipanga wananchi wa kawaida hawatuelewi...
@dostovan5142
@dostovan5142 Год назад
Sio kila mwananchi yupo RU-vid
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru Год назад
@@dostovan5142 ni kweli na Watanzania wanapenda Simba day Yanga day lakini kufuatilia mambo muhimu ya leo na kesho yao wamewaachia watu wachache
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 Год назад
NI UELEWA TU.
@mosaidi2633
@mosaidi2633 Год назад
Nchi kuitwa TANGANYIKA ni ukosefu wa Hadhi
@EdgarLema-qi9or
@EdgarLema-qi9or Год назад
Mungu tazama taifa ili limeliwa na mabeberu
@batwelimahenge7850
@batwelimahenge7850 Год назад
100% kwenu chadema Pamoja sana
@zefamange7281
@zefamange7281 Год назад
MA YUDA BWANA, HAIHITAJI NGUVU KUWAJUA
@florianmodest6215
@florianmodest6215 Год назад
Bravo freeman!!.
@Nigaboy-p4s
@Nigaboy-p4s Год назад
Kuma la mamako,,,😮😮mbwa we Tanzania haiwezi kutengana milele,,,unaongea tu pumba we n mchonganishi
@kilimohub580
@kilimohub580 Год назад
Tanganyika
@emilyKassiano-oo5iy
@emilyKassiano-oo5iy Год назад
Pambaneni tuko nyuma yenu
@AminaMinja
@AminaMinja Год назад
Bila aibu wanapigania matumbo yao na sio haki ya watanzania.HAKI HUINUA TAIFA BALI DHAMBI NA AIBU YA NCHI.
@saimonisichimata8559
@saimonisichimata8559 Год назад
Huyu Rais hafai kabisa kuwa Rais
@karimkassam571
@karimkassam571 Год назад
Sasa hapo chadema unafikiri nani anafaa...kuwa rais
@kamndemwakitosha1439
@kamndemwakitosha1439 Год назад
@@karimkassam571 wewe
@karimkassam571
@karimkassam571 Год назад
Wewe C umesema hafai ndo maana nimekuuliza
@AbdallaJuma-tx5ck
@AbdallaJuma-tx5ck Год назад
Mike mama Yako awe rais mjinga mmoja.
@mkude
@mkude Год назад
Mtapiga kelele sanaa Mama anapiga kazi,hicho ni kikundi Cha watu wachache wanaompinga Kwa chuki tu
@boniphace1
@boniphace1 Год назад
Maoni ya tume ya Nyalali kuhusu serikali tatu iwekwe clear kwa wananchi bila kuwapotosha: Serikali ili kataa maoni ya tume hiyo kwasababu watu 49 tu kati ya watu 36299 waliyo hojiwa sawa na 0.13% ndiyo waliyotaka serikali tatu. Hivyo serikali ikaona si sawa kufanya maamuzi makubwa kufuata maoni ya watu wachache (49/36299=0.13%). Viongozi waweke tawimu sawa ili wananchi wapate taarifa kamili.
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 Год назад
Hata Tume ya Mheshimiwa Warioba walikuja na mapendekezo ya Serikali TATU. Katiba Mpya ni sasa
@boniphace1
@boniphace1 Год назад
@@adelinelyaruu3036 Hatuwezi kwepa mabadiliko. Ila tunavyo fanya lazima wananchi wapate takwimu halisi.Unajua ni asilimia ngapi ya watu walioendekeza serikali 3 kwenye tume ya Jaji Warioba.
@GabrielMwita-h8d
@GabrielMwita-h8d Год назад
Mbona mlikubali matacha. Au turudi analogy? Bandali zimeshindwa kuendelea na analogy. Bandali zilizoachwa kwenye mkataba ni zile ambazo hazina mpango kwenye final consumptions of items from abroad. Wazanzibari watapelekewa na meli zetu ndogo. Utaifa unatoka wapi na unatakujaje? Utanganyika unatoka wapi? Wapinzani msitubabaishe. Bandali isiwechanzo cha watu kunyemelea uraisi.
@JumaRashidi-d8w
@JumaRashidi-d8w Год назад
Mbowe hao jamaa zako wanakuharibia Chama. Hutafanikiwa.
@latifaomary1203
@latifaomary1203 Год назад
Hiyo kampuni ndio specialization yao kwenye hiyo tasnia na sisi ndio tumebarikiwa maeneo hayo.Sema chuki ni uwarabu maeneo hayo tu lakini ikitikotea akapewa mzungu mwingine hatuwezi yaskia maneno yako...
@mvunge7108
@mvunge7108 Год назад
Wee Meku hapo unaharibu, tafuta kiti kwanza ukianza kuwatishia wa Tz kuvunja muungano utaambulia patupu..unajipunguzia kura, hawako tayari kwa mabadiliko matatu kwa pamoja..1-Uongozi Mpya wa Chama kingine..2- Kuvunja Muungano 3- Utawala wa majimbo hapo mnajitilia ugumu wenyewe.
@teriiUrasa-ut1mt
@teriiUrasa-ut1mt Год назад
Mwamba yaani pamojasana maana ukolonitumeumaliza nashangaa wanaturudishatena
@coolruler6820
@coolruler6820 Год назад
Umejaa hekima kamanda,,,,imeenda hiyo
@GozbertAliseni-vp6kj
@GozbertAliseni-vp6kj Год назад
Tunauzanchi.kwakuletewa.wArembo.wakiarabu.watanzania.siomalaya.sera zaccm.mwanza
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 Год назад
WE MBOWE ACHA FITNA!!
@imanihussein9457
@imanihussein9457 Год назад
unakalia
@piusmdoe3200
@piusmdoe3200 Год назад
Pole
@MelckionMpeka
@MelckionMpeka Год назад
Hao viongozi wa dini walio hofu kifika kwenye huo mkutano wakumbuke hata petro alipo ingiwa na hofu alipokua akitembea juu maji alizama nanyi mtazama kuweni wakweli
@AishaShaban-x4m
@AishaShaban-x4m Месяц назад
❤❤❤
@saidmamba4270
@saidmamba4270 Год назад
😊
@AbdallaJuma-tx5ck
@AbdallaJuma-tx5ck Год назад
Mbona viongozi wa dino Moja TU.huo ubaguzi.dai katiba serikali Tatu tatu.kila mtu kwao.
@HumphreyAtharasha
@HumphreyAtharasha Год назад
Dah jamanii
@berthaamondi8621
@berthaamondi8621 Год назад
Kweli ndgu yangu waambie ukwelii
@binseif2216
@binseif2216 Год назад
Hawa wapiga debe chadema ni walafi sana, tena wabaguzi wa makabila na wa dini sana,hatuwataki kabisa kushika madaraka
@JohnManyilizu-b6h
@JohnManyilizu-b6h Год назад
Wee jiangalie kichwako hakiko sawa
@binseif2216
@binseif2216 Год назад
@@JohnManyilizu-b6h Naww niwale wale
@kilimohub580
@kilimohub580 Год назад
Tutaelewana tu 😂
@HumphreyAtharasha
@HumphreyAtharasha Год назад
Dah jamanii bac muungano uvunjwe tunaonelewa
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 Год назад
Chadema ni chama cha maaskofu na wachungaji wanatumia chadema ili kulinda maslahi yao
@AishaShaban-x4m
@AishaShaban-x4m Месяц назад
Sio kweli na atupotoshi kiivyo
@athumanimfinanga1977
@athumanimfinanga1977 Год назад
✌️✌️✌️✌️
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 Год назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@florencemengo7666
@florencemengo7666 Год назад
Mungu awabari ili mtukumbuke
@saidmtenda1628
@saidmtenda1628 Год назад
Mbowe na chadema yako hatutaki kutuletea ushoga wakutoka kutoka Ulaya, Chama chenu ni cha Wakristo kibao na wachungali kibao, kuna Mchungaki Peter msgwa, Lema,Dr Slaa na maaskofu wengi mpo nao
@habibrwegoshora6624
@habibrwegoshora6624 Год назад
Mmeanzisha ubaguzi mmekosea sana sana
@patrickKitambo
@patrickKitambo Год назад
Nyie tuna wajua hamnaga akili
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 Год назад
Hakuna muislam Tena ambae atakua upande wa chadema tumeshaona makucha yenu na sasahv tunahitaji kubalance dini kwenye vyama vyote vya siasa na teuzi zote kuanzia mawazir mapaka makatibu wakuu mana waislam wanaonewa san
@zacharyyesaya
@zacharyyesaya Год назад
Ingia ingia uwe moja wa kondooo
@birigitasilayoagustin2345
@birigitasilayoagustin2345 Год назад
Huyo aliyeanzisha mazungumzo ajitokeze atoe maelezo ya kina.
@TwahaSaidiLigoola-kr1rt
@TwahaSaidiLigoola-kr1rt Год назад
Mbowe ww auna jipya auna akili za kufikili udini na ukabila unawasumbua. Tambueni amani ya hii nchi n kwakua waislamu wanasubra sana. Uo udini na ukabila chadema na maasikofu ipo siku zijazo tutakuja kujuta
@DamasEmanuel-gw7lj
@DamasEmanuel-gw7lj Год назад
Wewe nae
@StevenLoita-rl9cx
@StevenLoita-rl9cx Год назад
Et Tanzania bara mbona hakuna Tanzania visiwani ila Kuna Zanzibar. Wameipoteza Tanganyika wanaiuza,wanaijenga Zanzibar
@NixonGerson
@NixonGerson Год назад
Uwelewa wa tz upo chini sana ..fikiri Aminize na Kajala waliporudiana cometi zilikiwa kibao
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru Год назад
Sanaa ndugu yangu user inasikitisha lakini siyo kosa lao sana ni mfumo wa elimu na urithi tulioachiwa wa kubweteka kama Congo walivyorithishwa kucheza mayenu wakati nchi yao iliwa na mapanya yote ya jirani na waliopo mbali
@paulmanda801
@paulmanda801 Год назад
Mipango ya waislami hao wanao sema mikataba ipo sawa alafu wanaleta udini nyiye vp waznzbr na waisalmu wa bara mkoje
@nicholouskennedy9813
@nicholouskennedy9813 Год назад
Naomba kuuliza kutokana na aliyosema mbowe, Rais mzenji, waziri wa wizara mzenji, katibu mkuu wa wizara mzenji, halafu mkataba wa milele haugusi bandari za zenji unagusa bandari za bara tu . Hii imekaaje? Au rais wa zenji amekataa analinda chakwake? Hebu tafakari
@JamesMatondo-fk4bh
@JamesMatondo-fk4bh Год назад
Kisma
@user-hs1uo2yq1e
@user-hs1uo2yq1e Год назад
Katiba kwanza upuuzi unaozidi kuenderea ccm sioni cha maana zaidi ya kubomoa
@WilbertChambilo-yl1kc
@WilbertChambilo-yl1kc Год назад
Hiki chama ni Cha upepo tu, umevuma wa katiba ukatulia na Sasa upo upepo wa bandari nao utapita tu na kibaya zaidi kinawanasheria wanaharakati
@karimkassam571
@karimkassam571 Год назад
Umesema jambo kubwa maana naona kuna anguko kubwa la upinzani maana hawajitambui
@ezekielmabwai482
@ezekielmabwai482 Год назад
Wilbert ulikwepa umande, nenda ukadange tu mtaani
@ezekielmabwai482
@ezekielmabwai482 Год назад
Mtakoma safari, mnadhani ni upepo. Hicho ni kimbunga Cha CHAMA DUME, MTAZOLEWA WOTE NYIE MAFISADI, PUMBAVU, SHENZI, MAJIZI MAKUBWA MPAKA MNATAKA KUUZA NCHI!!
@fridajohn
@fridajohn Год назад
Tuko pamoja kupigania bandari yetu, sasa ndio tunajua umuhimu wa kuwa na Serikali tatu, madhara yake ndio tunayaona sasa, bandari za Tanganyika zinauzwa lakini bandari ya Zanzibar haijahusika, tunauzwa kwa sababu hana uchungu na Tanganyika
@PauloolekooiLaizer-o3g
@PauloolekooiLaizer-o3g Год назад
Good
@OmbeniLuka
@OmbeniLuka Год назад
Watanganyika jueni kuwa serikali ilishatudharahu kuwa hatuna akili ebu tuamke maana wametufanya watu wa ovyo sana serikali inawekwa madarakani na watu inakuja kuwasaliti kwa kuuza nchi yao
@jumaabdala2643
@jumaabdala2643 Год назад
Mbowe tusemee
@ChristinaMaginga-yy6rl
@ChristinaMaginga-yy6rl Год назад
Hiyo nikweli kinacho ongelewa kiheshimiwe
@hatibuyusufu4668
@hatibuyusufu4668 Год назад
Wewe so ndio ulianza ubaguzi halafu unasema aujutii Hilo vipi? Tena,
@MartinSiimay-jj9jk
@MartinSiimay-jj9jk Год назад
Kamanda 2tukopamoja
@shabanikavula1304
@shabanikavula1304 Год назад
HUYU NI comedy kwa MTU asielewa nchi inavokwenda atapata tabu Sana Hawa jamaa WAMEJIPANGA kuliongopea taifa wazi wazi DP W watapewa eneo dogo TU la uwekezaji pale bandarini gate no 1-7 basi
@joycedaniel7720
@joycedaniel7720 Год назад
Tuko pamoja
@teriiUrasa-ut1mt
@teriiUrasa-ut1mt Год назад
Ndiyo maana ya makamanda hainakuchoka 2amshepopo
@ahmuhally4430
@ahmuhally4430 Год назад
Zanzibar hatuwataki tunaomba msije
@patrickKitambo
@patrickKitambo Год назад
Nyie huwa hamnaga akili
@Emmanuelmaige
@Emmanuelmaige Год назад
Zanzibar !!!!! Duh
@2003hintay
@2003hintay Год назад
Wahuni bwana
@AishaShaban-x4m
@AishaShaban-x4m Месяц назад
Muuni ww usielewa
Далее
Распаковка iPhone 16 Pro Max
01:01
Просмотров 883 тыс.
🅻🅸🆅🅴 :  MBOWE ANAZUNGUMZA  MUDA HUU....
1:22:12