Na ieleweke wazi kuwa Raisi huyuhuyu ni kiongozi wa chama na ni mgombea uraisi. Conflict of interests. Hakuna uhuru hapa. Ni uhuru bandia au karatasi tu, haukupi nguvu yoyote kama Mtanzania. Inaipa CCM nguvu zote na haki zote. Ni upendeleo na ubinafsi bila kujali haki wala sheria Za chama vingi. Ni dictatorship inayobarikiwa na wana CCM na kuwadharau sana wananchi. Wananchi wanadai katiba mpya ili iondoe huu uchafu. Ndipo Tume huru itathaminika na hawa wana CCM. Tundu Lisu, uko sahihi kabisa kisheria.
Kwa maelezo yako tatizo sio Katiba ni UKATIBA. Ni kweli 99% Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi (SIO TUME) wanaipendelea CCM lakini sio Kikatiba. Katiba yetu ipo vizuri sana tatizo HAIHESHIMIWI na wakati mwingi HAITEKELEZWI. Sasa hii KATIBA MPYA bila Watanzania kuwa na UKATIBA ni bure.
Katiba natume ya uchagu wajumbe vyote watokane na vyama vyote vyenye nia ya kugombea na siyo chama kimoja kinachoona che kinataka kiendelee kutawala hasa sisi wana CCM tumeshajenga ubinafsi tume waajiriwe na vyama vyote vyenye wawakilishi katika serikali na nafasi mbalimbali kuitlpia vyama vyao na siyo wateule wa RAIS hakuna mwajiriwa anaekaidi maagizo ya aliyemteua haitatokea kama ni usaili uusaili ufanywe na wajumbe wa vyana vyote ili kuwapata watumishi watumishi wa na bungebajelbaji na isiingiliwe ipitishe tume😅 wataheshimu watu na siyo MTU mmoja amba ni rais ambae ambae amechachaguliwa na wanachi kama wagombea wengine amambao wamechaguliwa na wananchi wananchi waendelee kuajili tume kupitia wananchi kupitia wajumbe kutokana nao
Hakika ndugu umeongea ukweli, kila mtu mwenye akili timamu atamuunga mkono Tundulissu. Lakini kama mtu hana uelewa au ni chawa mnufaika na mfumo wa kifisadi wa ccm hawezi kumkubali huyu mwamba. Ni jambo la wananchi tuamke tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, na tumkatae shetani ccm na wafuasi wake wote uchaguzi huu 2024/2025 kuanzia wenyeviti wa vitongoji, madiwani, wabunge na Rais.
Hii ni zaidi ya shule big up Lisu nikuelewa sir kubadilisha jina siyo kutatua tatizo bali naona changamoto iko pale pale sijaelewa nini maana ya kubadili jina la tume
Changamoto ya Zitto ni undumilakuwili. Hivi kweli kuna mpinzani yeyote aliyewahi kutangazwa kirahisi rahisi? labda yeye peke yake. Inabidi tukubaliane kwa upamoja, tuna changamoto kubwa sana kwenye Tume yetu na kuirekebisha ni jukumu letu sote. Tusilete usanii usanii. Tunapokuwa na mamalka ya uteuzi na usimamiaji wa uchaguzi iliyo fair na HURU, inapelekea kuwa na viongozi sahihi ambao jamii husika inawahitaji, na ndio chanzo muhimu cha maendeleo kwa jamii husika. Huwezi ukapandikiza viongozi kwenye jamii ukategemea kutakuwa na harmony kati ya jamii na huyo/ hao kiongozi. Inakuwa kama kujenga Mnara wa babeli na ndio moja ya vyonzo vya kutokuwa na maendeleo katika jamii zetu. Jamani, Tanzania ni yetu sote, Tunapokuwa na Tume imara na iliyo HURU kweli, ni faida kwa Watanzania wote. Sio Watawala sio wapinzani, ni watanzania wote.
Jamani tume ili iwe huru wajumbe wagombee nafasi watume cv zao endapo rais anateua nasi itakuwa jina tu limebadilika bali bado tume itakuwa nado iko chini ya milki ya ccm
Chama pekee Cha upinzani ni chadema tu Hivi vyama vingine hakuna kitu Unakuaje chama chama Cha upinzani halafu unaenda sawa na chama tawala Chama Cha upinzani nikupinga serikali kwa hoja
Lissu ni Mtu moja safi tuu ila kwakuwa ni Yuko upande wa pili ndio maana watu wanajilazimisha kutomwelewa lakini wakikaa chemba wanajisemea yule bwana ni Mtu.
Binafsi Mh Lissu ndio amenifungua macho na akili juu ya siasa yetu Tz na jinsi viongozi wanapatikana na majukumu yao kama viongozi, wajibu wangu kama mpiga mkura ,haki nk,jamaa anajua sana sana..my next president..
Kiukweli VIONGOZ mliepewa kibali Cha kutusemea tunawaombea mikakati ya katiba mzidishe uzito usifanyike uchaguzi kabla ya katiba mpya maana kama nchi Iko salama uchaguzi tutafanya hatakama itakuwa ni 2027 kikubwa uchaguzi ufanyike ndani ya katiba mpya✅ 👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆
Hiyo tume siyo huru, jina tu ndo imebadilika, ingebaki tu kuitwa tume ya Taifa uchaguzi, muundo wake bado ni ule ule,watumishi wa wa tume wasitokane na watumishi umma!.
Elimu yangu ndogo mara elfu 20 ya Zitto kabwe lakini mawazo na akili za Zitto hata mtoto wa chekechea hawez kubaliana nae 😂Zitto zaman sijui kunamtu alikuwa akimwandikia vya kuongea bungeni mbona siku hiz amekuwa kama poyoyo flan hiv
Vema mheshimiwa Tundu Lissu,wasaidie waandishi wa habari wa Tanzania, wengine wao wanatuma kupima joti la wananchi.! Laiti uwezo wetu ungekua na uhakika tungemwita Paul Nabishwa wa Ktn news kufanya mdahalo na mhe. TINDU LISSU.
Mungu naomba uwape Watanganyika/Watanzania macho ya rohoni ili waelewe na wajitambue,waelewe hila za ccm na serikali yake! Hapo hakuna tume huru hapo ni udanganyika tu! Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Ccm ife izikwe uchaguzi 2024/2025.
Akina Lissu bwana, hongereni sana. Ila dada mtangazaji anataja namba ya simu ya kuchangia harakaharaka kwa spidi ambayo nadhani wengi kama si wote si rahisi kuinukuu! Hivyo nadhani wachangiaji sasa watakuwa haba kama si hakuna!
Yaani ni uchaguzi waRAISi sio ushaguzi WA nchi akiona hashindi anaweza kufuta uchaguzi huo au akabadili Katiba na akiungwa mkono na watu wake ambao aliwapa ulaji na ndio wote walio serikalini wanaufanyia sheria
Fisi akivishwa ngozi ya kondoo na hatakama utamwita wewe ni kondoo fisi atabakia kuwa fisi tu japo kafishwa ngozi ya kondoo kamwe hawezi kula majani yeye ni nyama na mifupa .... Kubadilisha jina pekee haliwezi kuleta kitu kipya....
Tatizo la nchi yetu ni kwamba chama kimoja siku zote unatamani kumiliki taratibu zote za uchaguzi kwa kujihakiki shia mafanikio na ushindi katika chaguzi zote.
Kwani ndugu zangu Hawa huko walikokuwa ngorongoro si Kila Moja alikua anaishi KWENYE nyumba yake ? Unakuaje Leo wakusanywe KWENYE nyumba Moja kwa kizigizio cha ukuu wa kaya. Unaonekana zoezi haikuwa shirikishi tangu mwanzo.
Mhe.Ole ngurumwa uko sahihi,ni kiasi tu cha kurekebisha vifungu husika vya katiba iliyopo,ili tupate tume huru halisi ya uchaguzi; lakini ccm hawatataka ni ng'ang'anizi kama Nyerere,na wao wanaamini katika ujamaa wa ushindi milele!
Yaani kabwe kwa alipotufikisha anapaswa kupigwa mawe hadi kufa na asipokufa apigwe tena hadi afe.yaani kweli huyu kabadirika haoni ujinga unaoitafuna nchi.asiaminike tena labda huko kwenye chama chake.amepoteza mwelekeo
@@DevothaLighton-dl6zi cheap politics zimeshapitwa na wakati,unapotoa mfano wa Kenya hakikisha unafuatilia uhalisia wa maisha ya huko Kila Leo wanaandamana mara tozo,mara mishahara na matatzo mengne kibao tu
Ngoma ya katiba haitakesha nawaambia m fisi em.tutamwaga maji kweli Mwaka wa uchaguzi na hakuna atakaekuwa salama si familia za polisiiiiis wala wake zao