Тёмный

Tundu Lissu, Zitto Kabwe Wagusa Panapouma | Washusha Hoja Nzito Mabadiliko Tume ya Taifa Uchaguzi.. 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 110 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 228   
@clarencelazaro9600
@clarencelazaro9600 6 месяцев назад
Tundu lissu super brother
@davidsilwamba2465
@davidsilwamba2465 6 месяцев назад
Be blessed my Excellency honourable tundu lisu the great thinker.
@khalfannahayimbekwa1440
@khalfannahayimbekwa1440 6 месяцев назад
Wengine hatukuelewi Tangazeni Lugha yetu ya Taifa kiswahili .tuwatendee haki wananchi wetu waliowengi.tunafahamiana .
@Anton-t5c2w
@Anton-t5c2w 2 месяца назад
Mnafikiri watanzania ni wajinga kama zamani tuko tayari kwa mapambano
@levissanga8867
@levissanga8867 6 месяцев назад
Hakika Mungu akuzidishie maisha na afya njema mh. Tundu
@SalvaJoseph-lq8tq
@SalvaJoseph-lq8tq 5 месяцев назад
Napenda hoja zenu waandishi wawe hata vijijini kwetu yako mambo mengi yana tuumiza kama hayo Mmsera Kati
@PolycarpMassawe
@PolycarpMassawe 6 месяцев назад
Respect brother tundu lissu
@danielkagola6332
@danielkagola6332 6 месяцев назад
Mungu akupe umri mrefu Lissu
@edesaron9070
@edesaron9070 6 месяцев назад
Mwamba lissu💪
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 6 месяцев назад
Na ieleweke wazi kuwa Raisi huyuhuyu ni kiongozi wa chama na ni mgombea uraisi. Conflict of interests. Hakuna uhuru hapa. Ni uhuru bandia au karatasi tu, haukupi nguvu yoyote kama Mtanzania. Inaipa CCM nguvu zote na haki zote. Ni upendeleo na ubinafsi bila kujali haki wala sheria Za chama vingi. Ni dictatorship inayobarikiwa na wana CCM na kuwadharau sana wananchi. Wananchi wanadai katiba mpya ili iondoe huu uchafu. Ndipo Tume huru itathaminika na hawa wana CCM. Tundu Lisu, uko sahihi kabisa kisheria.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 6 месяцев назад
Kwa maelezo yako tatizo sio Katiba ni UKATIBA. Ni kweli 99% Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi (SIO TUME) wanaipendelea CCM lakini sio Kikatiba. Katiba yetu ipo vizuri sana tatizo HAIHESHIMIWI na wakati mwingi HAITEKELEZWI. Sasa hii KATIBA MPYA bila Watanzania kuwa na UKATIBA ni bure.
@Zanzibar-e4h
@Zanzibar-e4h 5 месяцев назад
FACT
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 4 месяца назад
Katiba natume ya uchagu wajumbe vyote watokane na vyama vyote vyenye nia ya kugombea na siyo chama kimoja kinachoona che kinataka kiendelee kutawala hasa sisi wana CCM tumeshajenga ubinafsi tume waajiriwe na vyama vyote vyenye wawakilishi katika serikali na nafasi mbalimbali kuitlpia vyama vyao na siyo wateule wa RAIS hakuna mwajiriwa anaekaidi maagizo ya aliyemteua haitatokea kama ni usaili uusaili ufanywe na wajumbe wa vyana vyote ili kuwapata watumishi watumishi wa na bungebajelbaji na isiingiliwe ipitishe tume😅 wataheshimu watu na siyo MTU mmoja amba ni rais ambae ambae amechachaguliwa na wanachi kama wagombea wengine amambao wamechaguliwa na wananchi wananchi waendelee kuajili tume kupitia wananchi kupitia wajumbe kutokana nao
@Hence2008
@Hence2008 5 месяцев назад
Hotuba za Tundu Lissu(The Law giver) zitakuja sikilizwa na vizazi na vizazi. We are taking for granted ya huyu kiumbe . He is very exceptional
@YohanaPetro-xv9tp
@YohanaPetro-xv9tp 6 месяцев назад
Ndomaana lisu Hatakiwi Kuishi Yani Nizaidi Ya mwalilimu Ata Mbumbu Anaerewa Nondo za Lisu
@scolarymahenge9867
@scolarymahenge9867 6 месяцев назад
daaaaa jamaa anajua
@YohanaPetro-xv9tp
@YohanaPetro-xv9tp 6 месяцев назад
@@scolarymahenge9867 atr
@cosmaswilliam3805
@cosmaswilliam3805 5 месяцев назад
MUNGU anakusudi lake Kwanza lissu
@KimanguShemwaliko-ht2jr
@KimanguShemwaliko-ht2jr 6 месяцев назад
Huyu tundu lisu nizaid yamkombozi wa nchi hii tumuunge mkono kwakila mwenye akili timamu,na mzalendo wa kweli
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 6 месяцев назад
Hakika ndugu umeongea ukweli, kila mtu mwenye akili timamu atamuunga mkono Tundulissu. Lakini kama mtu hana uelewa au ni chawa mnufaika na mfumo wa kifisadi wa ccm hawezi kumkubali huyu mwamba. Ni jambo la wananchi tuamke tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, na tumkatae shetani ccm na wafuasi wake wote uchaguzi huu 2024/2025 kuanzia wenyeviti wa vitongoji, madiwani, wabunge na Rais.
@lorelore2930
@lorelore2930 6 месяцев назад
Yaan to be honest napenda sana kumsikiliza lissu wallah, yaan anajua sana kuongelea huyo jamaa kweli ni mwanasheria namba moja tanzania hakuna ubishi
@MusaOgwoko
@MusaOgwoko 6 месяцев назад
Lisu hakili nyingi
@tobiasimruma703
@tobiasimruma703 6 месяцев назад
Watanzania thanks jaman
@JoshuaMutinda-fb4fu
@JoshuaMutinda-fb4fu 6 месяцев назад
Baba w taifa lisu
@mwengajacob4514
@mwengajacob4514 6 месяцев назад
Hongera Mh Tundu, nampongeza mh. Zito pia maana Leo ndio kidogooo namuona Kabwe yuleee wa miaka Ile. Kipindi kizuri. Big up
@AyubuAyubu-u5r
@AyubuAyubu-u5r 6 месяцев назад
Hakika Huyu ndie mh zito alie Nishawihi kuielewa Chadema❤
@warrenmgode1837
@warrenmgode1837 6 месяцев назад
Hongela lissu poti
@danielkanso
@danielkanso 6 месяцев назад
Hii ni zaidi ya shule big up Lisu nikuelewa sir kubadilisha jina siyo kutatua tatizo bali naona changamoto iko pale pale sijaelewa nini maana ya kubadili jina la tume
@charlespeter560
@charlespeter560 6 месяцев назад
Changamoto ya Zitto ni undumilakuwili. Hivi kweli kuna mpinzani yeyote aliyewahi kutangazwa kirahisi rahisi? labda yeye peke yake. Inabidi tukubaliane kwa upamoja, tuna changamoto kubwa sana kwenye Tume yetu na kuirekebisha ni jukumu letu sote. Tusilete usanii usanii. Tunapokuwa na mamalka ya uteuzi na usimamiaji wa uchaguzi iliyo fair na HURU, inapelekea kuwa na viongozi sahihi ambao jamii husika inawahitaji, na ndio chanzo muhimu cha maendeleo kwa jamii husika. Huwezi ukapandikiza viongozi kwenye jamii ukategemea kutakuwa na harmony kati ya jamii na huyo/ hao kiongozi. Inakuwa kama kujenga Mnara wa babeli na ndio moja ya vyonzo vya kutokuwa na maendeleo katika jamii zetu. Jamani, Tanzania ni yetu sote, Tunapokuwa na Tume imara na iliyo HURU kweli, ni faida kwa Watanzania wote. Sio Watawala sio wapinzani, ni watanzania wote.
@JoshuaMutinda-fb4fu
@JoshuaMutinda-fb4fu 6 месяцев назад
N mbadala wa baba wa taiga tundulisu,
@shilogileshilogile4392
@shilogileshilogile4392 6 месяцев назад
Katiba mpya ni ya lazima CCM waache Longolongo
@joshuaswai8203
@joshuaswai8203 6 месяцев назад
Kwa kawaida mwizi hapendi ukweli ni mtu wa Giza daima hakuna tume huru hapo ni maigizo tu
@DanielMgeni-x1z
@DanielMgeni-x1z 6 месяцев назад
Kilichobadilika hapo Ni jina
@ayububrantaya6624
@ayububrantaya6624 6 месяцев назад
Lissu anajitaidi kutuamsha
@monicamwita7865
@monicamwita7865 6 месяцев назад
Huyu ndugu yetu nakuelewa sana . Kifupi yuko vizuri sana.
@ProsperMsemwa-g8n
@ProsperMsemwa-g8n 2 месяца назад
Pamoja na uzuri sisi ni wakati wakuwa pitisha sasa ili watuonyeshe kwa vitendo
@abujamalaalghammawiy7470
@abujamalaalghammawiy7470 6 месяцев назад
Ahsanteni ACT na Mwami upo vizuri sanaaaaaaaa
@denisnjaila2182
@denisnjaila2182 6 месяцев назад
Zito nimekuelewa na pia lisu limekuelewa zaidi
@HeriMohamedi-p6g
@HeriMohamedi-p6g 6 месяцев назад
Zito kabwe ni afadhali ukimwi ndumila kuwili
@dominicksangu8934
@dominicksangu8934 6 месяцев назад
Good lissu💪💯💪
@ghettoboysmusic7118
@ghettoboysmusic7118 6 месяцев назад
Nimeipenda hii inatuonyesha jinsigani wanasiasa wanavyo pambana Kufanya yao Sema sisi wananchi baado hatuja elewa na kusimama Kama wananchi
@aminimushi6945
@aminimushi6945 6 месяцев назад
Watanzania tumechukuliwa misukule,hata tufanyeje,hatuelewi na hatutaelewa.hapa ni kuomba nusura ya Mungu.
@mfwimiekayuki8692
@mfwimiekayuki8692 6 месяцев назад
Waliounga juhudi (wabunge,madiwani) waliharibu sana ari ya wananchi kuwaamini wanasiasa kuwa niwachumia tumbo badala ya mageuzi.
@josephtheophill6918
@josephtheophill6918 6 месяцев назад
Nchi hii inatakiwa iongezwe na Rais mwenye akili kama Lissu
@hajihassan5433
@hajihassan5433 6 месяцев назад
Nchi inaongozwa kwa utaratibu maalum sio akili za mtu fulani.
@TheodosiaSangka
@TheodosiaSangka 6 месяцев назад
Mwamba Tundu Lisu🙏✌👊
@TheodosiaSangka
@TheodosiaSangka 6 месяцев назад
Jamani tume ili iwe huru wajumbe wagombee nafasi watume cv zao endapo rais anateua nasi itakuwa jina tu limebadilika bali bado tume itakuwa nado iko chini ya milki ya ccm
@TheodosiaSangka
@TheodosiaSangka 6 месяцев назад
nasi =bali
@kaguripenina63
@kaguripenina63 6 месяцев назад
​@@hajihassan5433xawa lakin mtu mwenyeakili ndio anakubali kuweka utaratib unauzungumzia kaka haji
@FestoOlomi
@FestoOlomi 6 месяцев назад
Kazi kweli kweli
@PhilipoMwita-ge2oj
@PhilipoMwita-ge2oj 6 месяцев назад
Chama pekee Cha upinzani ni chadema tu Hivi vyama vingine hakuna kitu Unakuaje chama chama Cha upinzani halafu unaenda sawa na chama tawala Chama Cha upinzani nikupinga serikali kwa hoja
@bsmonline8482
@bsmonline8482 6 месяцев назад
Lissu ni Mtu moja safi tuu ila kwakuwa ni Yuko upande wa pili ndio maana watu wanajilazimisha kutomwelewa lakini wakikaa chemba wanajisemea yule bwana ni Mtu.
@MichaelMangole
@MichaelMangole 2 месяца назад
Hatari sana!
@aiyaavibes7610
@aiyaavibes7610 6 месяцев назад
... Eye opening
@donaldmaziku7915
@donaldmaziku7915 6 месяцев назад
Zito, anafanya kazi ya ccm
@leoncebenjamin8107
@leoncebenjamin8107 6 месяцев назад
Lissu viva❤
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 6 месяцев назад
KATIBA MPYA NI SASA
@DevothaLighton-dl6zi
@DevothaLighton-dl6zi 6 месяцев назад
Katiba mpya ni sasa hatuwezi kumuachia nchi mtu mmoja.tusikubali kabisa
@ABSTemu
@ABSTemu 6 месяцев назад
Badoo! Hata TL mmemkatiza!
@JohnmuvungaVitale
@JohnmuvungaVitale 6 месяцев назад
Nice from tz
@kakawataifa6752
@kakawataifa6752 6 месяцев назад
Kushiriki chaguzi zijazo kwa sheria hii ni kuikanyaga KATIBA
@japhethcharles5791
@japhethcharles5791 6 месяцев назад
Tanzania ya Leo sio ya 1977, watawala wasijisahau kabisa 😳😳😳
@hezekiamtera3559
@hezekiamtera3559 6 месяцев назад
Watanzania tumezoea kudanganya lakini hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho
@CasmiryNikata
@CasmiryNikata 6 месяцев назад
Mungu akulinde Tundu Lissu na wote wenye lengo baya juu ya usalama wako watatangulia kufa wao, mkono wa Mungu uwe juu yako.
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale 4 месяца назад
Ameen!
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 6 месяцев назад
👊✌👍.
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 6 месяцев назад
Kipanya ukimyumbisha Lisu hatayumba!, wewe sikiliza nondo,ukifikia swali jingine uliza atakujibu katika hazina yake ya hekima....
@ElishaOisso
@ElishaOisso 6 месяцев назад
Mwaka huu mbona katiba mpya itapatikana tu,watu wataandamana hamtaamin kitakacho tokea hii nchi. (Prophecy).
@safiyaalharthy6382
@safiyaalharthy6382 6 месяцев назад
God bless Tundu Lissu
@mchunguliechibwa198
@mchunguliechibwa198 6 месяцев назад
Binafsi Mh Lissu ndio amenifungua macho na akili juu ya siasa yetu Tz na jinsi viongozi wanapatikana na majukumu yao kama viongozi, wajibu wangu kama mpiga mkura ,haki nk,jamaa anajua sana sana..my next president..
@SimoniJohn-j7m
@SimoniJohn-j7m Месяц назад
Anahitajika kumuunga mkono lissu cheria imelala kichwan mwake eeeee mungu mlinde
@desmondchelango
@desmondchelango 6 месяцев назад
Kiukweli VIONGOZ mliepewa kibali Cha kutusemea tunawaombea mikakati ya katiba mzidishe uzito usifanyike uchaguzi kabla ya katiba mpya maana kama nchi Iko salama uchaguzi tutafanya hatakama itakuwa ni 2027 kikubwa uchaguzi ufanyike ndani ya katiba mpya✅ 👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆
@hamisimweta4505
@hamisimweta4505 6 месяцев назад
Huyo Zito kiukweli amepoteza sifa za kuitwa kiongozi wa upinzanj Ni kirusi au tipical Ni ccm B, Hafai kuaminiwa hata chembe
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 6 месяцев назад
Huo ndiyo ukweli kwa huyu Yuda iskarioti wa Taifa,huyo mtu siyo wa kutegemea hata kidogo kuleta ukombozi kwa Taifa hili.
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale 4 месяца назад
Sahihi!
@RamaNinga-jv2xw
@RamaNinga-jv2xw 6 месяцев назад
Tume iliyopo imepitwa na muda wake ni lazima ibadilishwe kuendana na mahitaji ya sasa,,,VIVA CHADEMA.
@justineoctavian4938
@justineoctavian4938 6 месяцев назад
Zitto mtu wa ajabu sana aise!!
@AliAbdalla-lb8su
@AliAbdalla-lb8su 5 месяцев назад
Kivipi
@jovankishamba9424
@jovankishamba9424 6 месяцев назад
Uliofanyika kwenye TUME ya UCHAGUZI NI USANII.
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 6 месяцев назад
Wanafikiria kuweka neno HURU ndiyo Tume imekuwa huru
@conasmalale1073
@conasmalale1073 6 месяцев назад
kaamka saa 9 mwenzenu anawasubri
@yaronaWilliam
@yaronaWilliam 6 месяцев назад
Hiyo tume siyo huru, jina tu ndo imebadilika, ingebaki tu kuitwa tume ya Taifa uchaguzi, muundo wake bado ni ule ule,watumishi wa wa tume wasitokane na watumishi umma!.
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale 4 месяца назад
WANAOMWELEWA LISU NI WENYE UELEWA,KAMA HAUNA AKILI HUWEZ MWELEWA! MAISHA MALEFU LISU ILI TUENDELEE KUTOLEWA TONGOTONGO!!!
@SubiranTimo
@SubiranTimo 6 месяцев назад
Hapa makonda anasema tuonane 2025 ana uhakika kuwa wizi utatumika tume ya uwongo lisu mungu akubariki tanzania poleni na ujinga huo
@RegnaldDanda-k3i
@RegnaldDanda-k3i 6 месяцев назад
Uchaguzi ni jambo mhimu ni msingi wa mambo yote unayotaka tufanye sisi chadema tunataka tume huru siyo tume ya kubadirisha jina tu,
@danielkanso
@danielkanso 6 месяцев назад
Kwa kweli kwa bunge hilii ???
@mussangao3164
@mussangao3164 6 месяцев назад
Elimu yangu ndogo mara elfu 20 ya Zitto kabwe lakini mawazo na akili za Zitto hata mtoto wa chekechea hawez kubaliana nae 😂Zitto zaman sijui kunamtu alikuwa akimwandikia vya kuongea bungeni mbona siku hiz amekuwa kama poyoyo flan hiv
@bhaijanali5092
@bhaijanali5092 5 месяцев назад
Akili yake ilibakia chadema
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 5 месяцев назад
Vema mheshimiwa Tundu Lissu,wasaidie waandishi wa habari wa Tanzania, wengine wao wanatuma kupima joti la wananchi.! Laiti uwezo wetu ungekua na uhakika tungemwita Paul Nabishwa wa Ktn news kufanya mdahalo na mhe. TINDU LISSU.
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 5 месяцев назад
Mheshimiwa Lissu TUME HURU IMEPAKWA WACHA WALA SIO RANGI KIDOGO!
@CosimaKatto
@CosimaKatto 5 месяцев назад
Lissu mwamba
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 6 месяцев назад
Mungu naomba uwape Watanganyika/Watanzania macho ya rohoni ili waelewe na wajitambue,waelewe hila za ccm na serikali yake! Hapo hakuna tume huru hapo ni udanganyika tu! Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Ccm ife izikwe uchaguzi 2024/2025.
@dismasmtui729
@dismasmtui729 6 месяцев назад
ACT hawaaminiki!
@Flaviosafari
@Flaviosafari 6 месяцев назад
Tunahitaji tume huru iliyo huru. Sio kubadili jina la tume.
@stewartdyamvunye-wz6rn
@stewartdyamvunye-wz6rn 6 месяцев назад
Akina Lissu bwana, hongereni sana. Ila dada mtangazaji anataja namba ya simu ya kuchangia harakaharaka kwa spidi ambayo nadhani wengi kama si wote si rahisi kuinukuu! Hivyo nadhani wachangiaji sasa watakuwa haba kama si hakuna!
@Kabwela776
@Kabwela776 6 месяцев назад
Hawa watangazaji upeo wao ni ndogo sana Clouds wangetafuta watangazaji wenye upeo hawaulizi maswali ya maana
@Simulizitulivuu
@Simulizitulivuu 6 месяцев назад
Yes
@tibbsminja2575
@tibbsminja2575 6 месяцев назад
Duuh!! Mambo bado yataendelea kama ndio hivi! Kuendelea ni ngumu!!
@NathanielRajab
@NathanielRajab 6 месяцев назад
Tumehu ifanyiwe marekebisho bd hawaja fanya mambo yanayo takiwa ilitume iwe huru
@michaelernest4814
@michaelernest4814 6 месяцев назад
Yaani craus mbalikiwe sana kumleta mheshimiwa lisu.
@AgustinFonga
@AgustinFonga 6 месяцев назад
Yaani ni uchaguzi waRAISi sio ushaguzi WA nchi akiona hashindi anaweza kufuta uchaguzi huo au akabadili Katiba na akiungwa mkono na watu wake ambao aliwapa ulaji na ndio wote walio serikalini wanaufanyia sheria
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 6 месяцев назад
Long the way to go Tanzania people to no mind down for ever one 😅
@dullahkalanjedullahkalanje1422
@dullahkalanjedullahkalanje1422 6 месяцев назад
tunakuamini lissu
@boscomfundo7953
@boscomfundo7953 6 месяцев назад
Lissu ni akili kubwa
@JoshuaMutinda-fb4fu
@JoshuaMutinda-fb4fu 6 месяцев назад
Mama katuchezea tunataka time huru katiba mpya
@MusaOgwoko
@MusaOgwoko 6 месяцев назад
Huyu ni zito kweli kumbe hafai kabisa au ndugu yake zito
@NasibuMajidiAthumani
@NasibuMajidiAthumani 5 месяцев назад
Very though
@malindimalindimerinyo1632
@malindimalindimerinyo1632 6 месяцев назад
Fisi akivishwa ngozi ya kondoo na hatakama utamwita wewe ni kondoo fisi atabakia kuwa fisi tu japo kafishwa ngozi ya kondoo kamwe hawezi kula majani yeye ni nyama na mifupa .... Kubadilisha jina pekee haliwezi kuleta kitu kipya....
@RaymondKilomeye
@RaymondKilomeye 6 месяцев назад
Nch ya machawa na majambaz wapo tayar kuuwa ili waendelee kutawala milele
@LoitushulYamat
@LoitushulYamat 6 месяцев назад
Tatizo la nchi yetu ni kwamba chama kimoja siku zote unatamani kumiliki taratibu zote za uchaguzi kwa kujihakiki shia mafanikio na ushindi katika chaguzi zote.
@LoitushulYamat
@LoitushulYamat 6 месяцев назад
Kwani ndugu zangu Hawa huko walikokuwa ngorongoro si Kila Moja alikua anaishi KWENYE nyumba yake ? Unakuaje Leo wakusanywe KWENYE nyumba Moja kwa kizigizio cha ukuu wa kaya. Unaonekana zoezi haikuwa shirikishi tangu mwanzo.
@fahamnitwahir9249
@fahamnitwahir9249 6 месяцев назад
Iissu akiongea unaona kbsa tunaongozwa na watu wenye uwezo mdogo
@rasnchimbi
@rasnchimbi 6 месяцев назад
👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 6 месяцев назад
Mhe.Ole ngurumwa uko sahihi,ni kiasi tu cha kurekebisha vifungu husika vya katiba iliyopo,ili tupate tume huru halisi ya uchaguzi; lakini ccm hawatataka ni ng'ang'anizi kama Nyerere,na wao wanaamini katika ujamaa wa ushindi milele!
@DevothaLighton-dl6zi
@DevothaLighton-dl6zi 6 месяцев назад
Yaani kabwe kwa alipotufikisha anapaswa kupigwa mawe hadi kufa na asipokufa apigwe tena hadi afe.yaani kweli huyu kabadirika haoni ujinga unaoitafuna nchi.asiaminike tena labda huko kwenye chama chake.amepoteza mwelekeo
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 6 месяцев назад
Tanzania tuna Bahati Mungu ametujalia Mtu kama Tundu Lissu. Mentor of all the time
@DevothaLighton-dl6zi
@DevothaLighton-dl6zi 6 месяцев назад
Mwaka huu tutapigana sana ngumi moaka kieleweke waendae sana mabomu yao.hatuwezi kutawaliwa kwa nguvu miaka yote
@bahatielias6443
@bahatielias6443 6 месяцев назад
Kwa Hawa wtz ninaowajua?
@ClementMakongoro
@ClementMakongoro 5 месяцев назад
Kweli watanzania ni tatizo uelewa wao ni finyu sana.
@joshuaswai8203
@joshuaswai8203 6 месяцев назад
Jamaa hawa wanafanyia pesa zetu ufisadi kwa tume sisizo na maana yoyote wala matokeo ya maana
@AlouiseNgenDanDumwe
@AlouiseNgenDanDumwe 6 месяцев назад
Wazalendo wamepoa sana tena sama
@evelina9621
@evelina9621 4 месяца назад
Baba.umesema.kweli.tume.iko.mikononi.ccm
@jacksonmwalimu5181
@jacksonmwalimu5181 6 месяцев назад
Kenya madaktari wanaandamana Kila Leo alaf mnadanganya watu utadhani huko hawana changamoto 🤔
@DevothaLighton-dl6zi
@DevothaLighton-dl6zi 6 месяцев назад
Acha ujinga, ujinga uliopo unakunemesha ndio maana unaona inafaa kuku wewe
@jacksonmwalimu5181
@jacksonmwalimu5181 6 месяцев назад
@@DevothaLighton-dl6zi cheap politics zimeshapitwa na wakati,unapotoa mfano wa Kenya hakikisha unafuatilia uhalisia wa maisha ya huko Kila Leo wanaandamana mara tozo,mara mishahara na matatzo mengne kibao tu
@dominicksangu8934
@dominicksangu8934 6 месяцев назад
Hiyo ni tume ya ccm na samia
@Anton-t5c2w
@Anton-t5c2w 2 месяца назад
Mungu alikunusuru na kifo ili utusaidie tutapambana
@LeonardUrassa
@LeonardUrassa 6 месяцев назад
Public coments
@kelvinathuman8545
@kelvinathuman8545 5 месяцев назад
LISSU NI MWAMBA KABISAA TUPAMBANIE BABA TUPO PAMOJA NA WEWE TUNDULISSU
@DevothaLighton-dl6zi
@DevothaLighton-dl6zi 6 месяцев назад
Ngoma ya katiba haitakesha nawaambia m fisi em.tutamwaga maji kweli Mwaka wa uchaguzi na hakuna atakaekuwa salama si familia za polisiiiiis wala wake zao
@mfwimiekayuki8692
@mfwimiekayuki8692 6 месяцев назад
Mama anajua sanà ku(bye time)nà pesa kutumika vibaya kuunda tume zisizo na majibu.
Далее
Mahojiano na Tundu Lissu
27:29
Просмотров 84 тыс.
MO DEWJI AZUNGUMZIA KUHUSU KUTEKWA KWAKE
28:50
Просмотров 1,6 млн