Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.... Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Hilo LA TRA Kuvuzia wateja haliko K/koo tu hata huku kwetu Katoro lipo sana had linakatisha tamaa yakufanya biashara aisee ad tunataman tuhame hii nchi
Kuhusu hao wafanyabiashara wa kariakoo unaongopa big time.. Kuhusu consolidators, they should firmly reconsolidate. Bila kudeconsolidate serikali inapoteza mapato makubwa sana
🤣🤣Mimi mpaka Leo nafuatilia bunge , hakuna mbunge ambae anaongea point ambayo inanishawishi nione kama kweli tupo serious kuwaangamiza mashoga. Kwanza kwann bunge lisitenge kikao Cha Siku nzima Ili kujadili hatua za kuchukuliwa na kuiagiza serikali kufanya mara moja? Yani ushoga umekuwa kama kibwagizo🤣🤣mbungeee anaongea mambo mengine zikibak dk mbili utasikia niongelelee swala la mapenzi ya jinsia moja, tuwalinde watoto wetu .mara muda wako umeisha,🤣🤣 Sasa ndio tuseme tuko serious ivyo. Hapo niemkubali mbunge mmoja tu alisema mashoga wanyongwe. Hiiii nchi cku iiongozwa na bunge la mashoga na Raisi shoga , ndio tutakuja kuelewa mazara ya ushoga.🚶
Wabunge hawako serious wanafikiri nchi inaweza ikaendelea ikiwa na idadi kubwa ya mashoga hawajui km tunapoteza men power,,,na utajiri wa nchi ni population ya watu
Bos bos tusaidie kutusemea maana tushawachoka hawa jamaa pia hata sisi tunaotaka kukuza mitaji ili tuwe na mitaji mikubwa tunabanwa kwenye makadirio ni makubwa sana.Sikieni kilio chetu TRA mnatukatisha tamaa SS tunao unga unga tukuze mitaji mtuache jamani punguzeni patrol
Viongozi wakuu toeni Sheria juu ya janga hili la ushoga , nyinyi ndo mtakua WA Kwanza kujibu Kwa Mungu mlifanya nini mlivyoona swala hili ,,nilichukua hatua gani , mishoga ,IPO huku mitandaoni inajitangazisha hamchukui hatua , ,,, ,toeni tamko tuwafanye nini huku mtaani ,nchi yetu ni nzuri ,Mungu katupa baraka zote,,hatutaki ya sodoma na Gomola.
ila bunge ihi sijui ripoje ikifka hoja ya ushoga muda hunakatishwa sijui nn sasa kwa nn msitoe tamko kari kila sku kujadri tu wakanti nch yetu watupangie vp kama mtto wako tu kapgwa na mtto wa jilan mala moja hunamkemea na kupga malufuku asiende leo hi imekuwa mzito ushoga kutolewa sheria why ingekuwa mwizi hapo bala moja mngeptisha sheria achomwe moto ila ihi kwakuwa la mzungu ndio serekari inasita aisee