Тёмный

MBUNGE BWEGE ALIVYOZUA BALAA BUNGENI LEO 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 732 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

4 фев 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 689   
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 4 года назад
Unaweza ona utani Ila anafikisha vzr ujumbe Good work Bwege
@ladytatu2139
@ladytatu2139 4 года назад
Bora umewaongerea masheikh Mungu akujalie miaka mingi
@michaelmakesenny7058
@michaelmakesenny7058 4 года назад
Mbunge bwege yupo sahihi
@bizzyjunior_tz
@bizzyjunior_tz 4 года назад
Really appreciate ,👐
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 4 года назад
Mungu akuulinde sana mbwege unawakumbuka sana ndugu zako magerezan kama utan lkn ukweli kabsaa
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 4 года назад
huyu n mbunge pekeee ambaye anamtaja Allah bungen alhamdulillah anasema kama utan lkn ukweli unauma
@latifamkulazi8378
@latifamkulazi8378 4 года назад
Yuko na Omar mgumba
@samwelmasoya3347
@samwelmasoya3347 4 года назад
Wambie hawo
@shaibuselemani2135
@shaibuselemani2135 4 года назад
Halafu wakati huwohuwo anampinga kwakutunga sheria zinazoenda kinyume na allah
@jerrjamary2649
@jerrjamary2649 4 года назад
Watu wa kilwa au Lindi wanaijua dini
@dicksontemba2469
@dicksontemba2469 3 года назад
Kanifurahisha saana alipozungumzia masheikh waliofungwa miaka 8
@a.856
@a.856 4 года назад
#Free#Mashekhe#Wetu. Juzi tuu watu 20 wamekufa na askofu kaachiwa free hana makosa kaambiwa🤔 mashekhe hao hawakuuwa hata sisimizi wako ndani miaka 8 saiv,asante mbunge🙏🏻
@salimibrahim2497
@salimibrahim2497 4 года назад
Kweli kabisa dah aisee inasikitisha sanaa
@yassinnjige7484
@yassinnjige7484 4 года назад
Kweli ndugu yangu ALLAH awape subra na malipo makubwa wao na family zao
@rajfakhaar6884
@rajfakhaar6884 4 года назад
This is fantastic genius ......ukimcheka bwege ww😂😂😂
@josephmahay1438
@josephmahay1438 4 года назад
Team BWEGE let me see you..🙋🙋
@sambs1027
@sambs1027 4 года назад
Huyu bwege Janja.
@ramadhanrashidmthailand713
@ramadhanrashidmthailand713 4 года назад
Imeisha iyoo 😂😂
@2mbeonlinecomedy921
@2mbeonlinecomedy921 4 года назад
Mahay
@ramlatomary2536
@ramlatomary2536 4 года назад
Yeeaah
@majaliwajumafaru9482
@majaliwajumafaru9482 4 года назад
Huyu kweli bwege lkn ni mkali kwa fact 😂😂😂
@ramadhanvesso1759
@ramadhanvesso1759 4 года назад
Namkubali sana mbunge bwege hakoseagi yaan japo comedy sana 😂
@CyimSky
@CyimSky 4 года назад
Msukuma awaka Bingen kwa cheche ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-MfRNuSByQTY.html usisahau kusubuscribe.
@meshackndoya1318
@meshackndoya1318 4 года назад
Balaaaa this guy
@jumannemartine628
@jumannemartine628 4 года назад
Hongela bwege kaongea point ☝
@jumannemartine628
@jumannemartine628 4 года назад
Hongeraaaaaa bwege hatuja shiba sasa
@salumpulumba211
@salumpulumba211 4 года назад
He has been always speaking like a rediculous bt he is a telegenc
@huldajoseph556
@huldajoseph556 4 года назад
USIANGALIE NANI KASEMA..ANGALIA KASEMA NINI
@rashidinyegele4077
@rashidinyegele4077 4 года назад
Hulda Joseph da yupo vizuri kiukweli
@CyimSky
@CyimSky 4 года назад
Msukuma awaka Bingen kwa cheche ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-MfRNuSByQTY.html usisahau kusubuscribe.
@dobidotz3696
@dobidotz3696 4 года назад
Spika anamtoa mheshimiwa kwenye reli, hizi siasa chafu.
@abdilahijumanne1415
@abdilahijumanne1415 4 года назад
Umelewa ee Hamjaelewa ee
@lmashua
@lmashua 4 года назад
Hulda Joseph Powerful
@yoramswagala3398
@yoramswagala3398 4 года назад
Kama unamkubari bwege gonga like hapa
@jacksonimwaipopo347
@jacksonimwaipopo347 4 года назад
Konk
@abubakkarmtabe6249
@abubakkarmtabe6249 4 года назад
Wala c bwege huyo ndie mbunge barabbara
@jovintosssi3287
@jovintosssi3287 4 года назад
Bwege ni nomaa
@msomangaorijinal3921
@msomangaorijinal3921 4 года назад
Kaka pambana kwa ajili yako na KILWA KWA ujumla bila kusahau Lindi
@mwatumathmani586
@mwatumathmani586 4 года назад
Big up sana bwege
@mosamossile9113
@mosamossile9113 4 года назад
Wabunge mbumbumbumbu, umeshiba eeeh mnanjaa eeh
@CyimSky
@CyimSky 4 года назад
Msukuma awaka Bingen kwa cheche ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-MfRNuSByQTY.html usisahau kusubuscribe.
@gillyamani6090
@gillyamani6090 4 года назад
Speaker na vibaraka wengine wa ccm watakapobaki wenyewe mwakani watakosa wa kuonea. Big up Mr Bwege, nakupenda bure.
@rehemaalex43
@rehemaalex43 4 года назад
Hadi nimesisimka aise.bwege big up.
@makongoronyerere2595
@makongoronyerere2595 3 года назад
Pole jaman, hyu mbunge had leo namtizama
@komboomar8275
@komboomar8275 4 года назад
*Ahsante baba kwa kuwakumbuka masheikh wetu na kuwataja Allah atakulipa kwa hilo tunaumia cc kuwaona waalimu wetu wanadhalilishwa magerezani bila kuhukumiwa ila Allah yupo na halali ataidhalilisha ccm na viongozi wake wotee malipo ni hapa hapa duniani akhera ni mahesabu. Haki haizami*
@salumsaid6572
@salumsaid6572 4 года назад
Ameen
@nicholausmsuya2344
@nicholausmsuya2344 4 года назад
Jaman siobwege huyummbunge Ila utashiwake nimdogo japo amesimamia kwelii nakwel itatuweka hurukweli kwelii mbarikiwe
@samsonnzisabira768
@samsonnzisabira768 4 года назад
Some people are talented to express what they feel and think.Big up Mister Bungara
@zamdamasondole8272
@zamdamasondole8272 4 года назад
Mashalllah! Bwege ALLAH AKUJALIE maisha MAREFU kwa kukumbusha kuhusu mashekhe walio. Jela!! Takbriii
@kesslymm3412
@kesslymm3412 4 года назад
Amin
@rehemahamisi9971
@rehemahamisi9971 4 года назад
allah akbar
@robinrobert5993
@robinrobert5993 4 года назад
Zamda Masondole hahahaaa na bado una endleeza kumuita bwegee
@yassinnjige7484
@yassinnjige7484 4 года назад
Zamda lkn hawa Bata c juwi bakwata wapo kimya na kishk kaomba ardhi ana shindwa kuzumnguzia wenziye wapo jela bila kosa ushahiidi akuna
@hidayamsebwa181
@hidayamsebwa181 4 года назад
Zamda Masondole Allah Akbar
@wilbertcharles9129
@wilbertcharles9129 4 года назад
HAWA NDIO WABUNGE WANAOTAKIWA KWENYE BUNGE LETU SIO WAKINA ALLY KESSY WAMEJAA MAHABA YA CCM NA SHOMBO TU
@nuhuazizi6190
@nuhuazizi6190 4 года назад
Kufurahishwa ndio njia pekee ya kufikisha ujumbe,,ushirikiano ndio suruhisho la matatizo yote.👌
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 4 года назад
So proud kwa mmbunge wetu wa kilwaaaa nguvu moja💪💪
@noordinmwadau2656
@noordinmwadau2656 4 года назад
Kweli
@yohanamlella2535
@yohanamlella2535 3 года назад
Kwa nn hamjampitisha huyu
@ramadhanmtipa4618
@ramadhanmtipa4618 4 года назад
Da, uyu jamaa kiboko, Ila angekuwa ccm asenge kuwa anatoa nondo Kam hizo. Mungu ambariki.
@jumasaganka8479
@jumasaganka8479 3 года назад
Mashaallah vitu anavyoviongea huyu mbunge ni vya point Allah Akujalie uwezekuwa imara
@rachelissacmahenge1348
@rachelissacmahenge1348 4 года назад
Usiangalie nani kasema angalia nini kasema
@joakimgioche6352
@joakimgioche6352 4 года назад
I like this guy... watching from KE
@shenuromussa4813
@shenuromussa4813 4 года назад
Waambie vizuri muheshimiwa wakuelewe Maana hao wamekalia viti tu kila kitu ndio
@hajikombo8578
@hajikombo8578 4 года назад
Spika unakera kwaniwao hawamjui kamakuna muongozo yamekuuma mwache usimzungumshe.
@paulebby1552
@paulebby1552 4 года назад
Bwege anavurugavuruga 😂😂😂😂😂
@jassonnelly3445
@jassonnelly3445 4 года назад
This guy bana😂😂😂 Ndio maana kavaa suti tofauti
@CyimSky
@CyimSky 4 года назад
Msukuma awaka Bungeni kwa cheche ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-MfRNuSByQTY.html usisahau kusubuscribe.
@belak999
@belak999 4 года назад
@@CyimSky tv gani hata kuandika neno bungeni hauwezi kuandika? SI NDIO UCHWARA
@CyimSky
@CyimSky 4 года назад
@@belak999 oky usilaumu sana kwani anayeandika ni mtu pia
@belak999
@belak999 4 года назад
@@CyimSky mnavyojingaza matangazo kila mahali mnatakiwa muwe makini sana,
@regneralex819
@regneralex819 4 года назад
jasson nelly 😂😂😂😂
@japharynduko6139
@japharynduko6139 4 года назад
Kwa wale wote wenye uwezo mudogo wa kuelewa yani IQ ni vigumu sana kumuelewa uyu mtu ila wenye akili wote wameelewa sanaaa timu bwege like pls mikono juuu kwa wote wenye IQ tu
@jumannemartine628
@jumannemartine628 4 года назад
Xure bro
@irenekitomary7271
@irenekitomary7271 4 года назад
I just love him
@CyimSky
@CyimSky 4 года назад
Msukuma awaka Bingen kwa cheche ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-MfRNuSByQTY.html usisahau kusubuscribe.
@braymwajombe1074
@braymwajombe1074 4 года назад
mzee yupo vizuli
@omaredhasaidal.obthani4775
@omaredhasaidal.obthani4775 4 года назад
Yaani mpk spika awaombea taarifa wabunge simchezooo .... Kidumu bunge la chama ya mapinduzi 😂😂😂
@ammygalby9921
@ammygalby9921 4 года назад
یا عمر أتدری من الساٸل....
@user-fs4el1tt7d
@user-fs4el1tt7d 3 месяца назад
Naendelea kuangalia hii ni 2024 never get old😂
@samanyaswai6272
@samanyaswai6272 4 года назад
Spika alitaka kumtoa mzee bwege kwenye Njia Tuu
@naamohamed9964
@naamohamed9964 4 года назад
Kwelii kbs
@nemecymsanya3191
@nemecymsanya3191 4 года назад
Kwel kbsa mkuu umeona iyooo haha
@marcowawaghufa8197
@marcowawaghufa8197 4 года назад
Cio alitaka kumtoa ameshamtoa tayari
@naamohamed9964
@naamohamed9964 4 года назад
@@marcowawaghufa8197 ndio ujanja wao wakiona mtu anaongea ukwelii wanazuga
@aliebrahim9423
@aliebrahim9423 4 года назад
Kweli kabisa
@sadockalfred6750
@sadockalfred6750 4 года назад
Mheshimiwa Bwege noma
@aminamalinda6522
@aminamalinda6522 4 года назад
Mungu akuongoze mzee wangu bwege umeongea vitu vikubwa mnoo!! Sema wajinga wachache ndio hawakuelewi sema ukweli utadhihiri na batil itajitenga inshaAllah.
@mohamedyusuphmbaki4973
@mohamedyusuphmbaki4973 4 года назад
Mhe Spika anautani na Mhe Mbunge Bwege..Ila Mhe Mbunge bwege anajua kutoa hoja hata kama anatumia kipaji chake cha uchekeshaji ila hoja dhabiti
@brightlastborn4440
@brightlastborn4440 4 года назад
Huyu mbunge naomba wanalindi mmuludishe tena Bunge jamani make nampenda sana japo siwezmpigia kura kwani halipo sipo, Dah💪
@isayamwanjisi2994
@isayamwanjisi2994 4 года назад
Yani sichoki kumsikiliza bwege
@nicksonthevet
@nicksonthevet 4 года назад
This man has a brain. It's pity and shame that as far as I know they ended up loughing
@casianclement3147
@casianclement3147 4 года назад
😃😃😃😃 ana ongea vyema
@omarybabuutv972
@omarybabuutv972 4 года назад
Hapo kwa mashekhe miaka minane duhh ccm hili kwenu shida
@julietraymond4874
@julietraymond4874 4 года назад
Natamani bwege angekuwa waziri mkuu cjui ingekuwaaje
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 4 года назад
Ukweli unaumaa ila haya majamaa hayasikii yalishakuwa chronic!!
@mnomahboybright4743
@mnomahboybright4743 4 года назад
Bungala yupo vzur sana ila azingatiwi kwa7bu ya ukafu2
@ayubumoha6313
@ayubumoha6313 4 года назад
Ukweli unauma sana pia ametumia njia nzuri ya kufikisha ujumbe
@paulinasemindu1292
@paulinasemindu1292 4 года назад
kweli mbumbumbu umeshiba ndio una njaa ndio😂😂😂
@fadhilingogota3581
@fadhilingogota3581 4 года назад
Dah huyu kweli bwege 😂😂
@sophiamwakila3300
@sophiamwakila3300 4 года назад
Hee. Kumbe Bwege ndio jina lake nilijua bwege kwa akili
@mahmoudpanga9242
@mahmoudpanga9242 4 года назад
Sophia Mwakila
@jicholafursa7058
@jicholafursa7058 4 года назад
.
@salumramadhani5566
@salumramadhani5566 4 года назад
N jina la utan, uwa analitumia siku zote
@nawihadj6674
@nawihadj6674 4 года назад
A.k.a jina lke suleyman bungara
@jamesmihambo1550
@jamesmihambo1550 4 года назад
Nawi Hadj z
@angelngoye4910
@angelngoye4910 4 года назад
😂😂😂 ameongea point sanaa
@hellenabernard6747
@hellenabernard6747 4 года назад
Leo jama kakiwasha kweli na sio utani niukweli 200% Ni point kubwa sana
@jumamiraji3081
@jumamiraji3081 4 года назад
Nakikubali sana hichi chuma kinaitwa bwege
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 4 года назад
😂😂😂😂🤣🤣 eti mmeshiba ekheee mnanjaaa ekheee hatariiii
@chizochivihi4915
@chizochivihi4915 4 года назад
Dah had spika kaona aibu kaingilia
@mrsnam6897
@mrsnam6897 4 года назад
Mm vitu vya ukweli kama hivi ndio navipenda hadi machozi
@hudaynahamad8506
@hudaynahamad8506 4 года назад
Dah masha allah mbunge mbwege yupo vzur na point inaingia akili ktk bunge ndo maana spika na vibaraka vyake wanamkatisha maongez yanawachoma ktka moyo mar sut ulovaa mara muda mara hoja ila insha allah jimbo lako lkuchagua tna 2025 il wabung wakumbushe kdg
@bunnasib1961
@bunnasib1961 4 года назад
Kuna Muda huwa Kuna maneno huwa yanasemwa yakweli paka Spika yanamuingia lakini sijui huwa wana nini CCM
@CyimSky
@CyimSky 4 года назад
Msukuma awaka Bingen kwa cheche ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-MfRNuSByQTY.html usisahau kusubuscribe.
@othmanhamad7941
@othmanhamad7941 4 года назад
Uko peke yako BWEGE WEWE.huna waku kuunga mkono ila wewe sio bwege tuu bali niBWEGEGE
@bunnasib1961
@bunnasib1961 4 года назад
@@othmanhamad7941 Kuwa mbunge Basi na Wewe ili hata spika akusikie ..maana mwenzio afadhali anafahamika na spika na wabunge wengine.. Wewe mwenzetu Nani anakujua
@fortunataangelo5575
@fortunataangelo5575 4 года назад
Si kama pilato,,,
@djgmp8140
@djgmp8140 4 года назад
Bun Nasib PESA unauliza majibu uwoga na pesa
@abdulmohamedi4947
@abdulmohamedi4947 4 года назад
Licha ya mimi kua ccm damu, bwege namkubali sana 100%,
@michaeltuingilegewaubaridi8570
@michaeltuingilegewaubaridi8570 4 года назад
Uyu kichwaaaa kina madin san
@teddymutani856
@teddymutani856 4 года назад
Ahahaaaaaa duh
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 года назад
yaarab nimempenda huyu mbunge naana nia na dini yake ALHAMDULLILAH
@bensalome4676
@bensalome4676 3 года назад
Mheshimiwa Bwege, ulikuwa mtetezi kwa njia nzuri kabisa. Ulizua tabasamu na vicheko hata kwenye hija zako. Naomba urudi kwenye uongozi baada ya miaka hii kadhaa
@alphaleahibrahim8904
@alphaleahibrahim8904 4 года назад
i love this man
@djdon9706
@djdon9706 4 года назад
Ana akili sana huyu jamaa na ni mwana fasihi mzuri
@fabianycharles3954
@fabianycharles3954 4 года назад
Nimekwelewa Sana.
@djdon9706
@djdon9706 4 года назад
Pamoja
@naimamunishi1241
@naimamunishi1241 4 года назад
Zangu mbavu wallah😂😂kama nakuona shk nyundo
@ismailmjesh3511
@ismailmjesh3511 4 года назад
uwo umbea naima.....
@naimamunishi1241
@naimamunishi1241 4 года назад
Ismail Mjesh kwel anaongea kama nyundo😅😅
@abdulsama8428
@abdulsama8428 4 года назад
aya
@ismailmjesh3511
@ismailmjesh3511 4 года назад
@@naimamunishi1241 poa mzmaa lkn
@ashwramashallah7242
@ashwramashallah7242 4 года назад
😃😃😂😂
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ 4 года назад
😃😃😃 Yuko vizuri sana
@sekundambilinyi5450
@sekundambilinyi5450 4 года назад
Huyu ameongea ambayo wengi wameshindwa kuyaongea
@swaumumohammed5710
@swaumumohammed5710 4 года назад
Kilwa tukimpoteza bungara tutajilaumu
@nemecymsanya3191
@nemecymsanya3191 4 года назад
Kweli ingawa cyo kwetu uko Ila uyu jamaa na mpenda sana
@jicholafursa7058
@jicholafursa7058 4 года назад
.
@jicholafursa7058
@jicholafursa7058 4 года назад
.
@esirbilliwizz2328
@esirbilliwizz2328 4 года назад
Kweli kabsa dada yangu, mm napatamani Sana, uko kilwa, Kuna watu wenyeofu na mungu, na wenyekujali watu wao, na wenyehakili.
@saidijuma9386
@saidijuma9386 4 года назад
Mola amlinde hyu mzee ntmn angekuwa mbunge wa Mbagala
@wiza2309
@wiza2309 4 года назад
Spika kumbe ndiyo msababishi wa vurugu, anatamani watu wawe wanavuruga uchangiaji, mtu anaongea point yeye anatamani taarifa
@Aidansimwanza
@Aidansimwanza 4 года назад
🤣🤣🤣
@luckynyale6776
@luckynyale6776 4 года назад
Hapo jamani mumepata mbunge 💪
@shabanimpulu5172
@shabanimpulu5172 3 года назад
Mmh
@saidijuma9386
@saidijuma9386 4 года назад
Respect kwko mzee uko vzr unaongea ukwel mtupu ingawa wanakuona comedian lkn uko vzr
@Rogasiandesmond6
@Rogasiandesmond6 4 года назад
Eti unasema ah, Nyoooo. Safi sana mbunge
@abdulkareemseif667
@abdulkareemseif667 4 года назад
yamemchoma spika
@_sukuna_.
@_sukuna_. 3 года назад
Everyone gangsta till Bwege shows up
@nicholausmakundi2663
@nicholausmakundi2663 4 года назад
AYO TV nimependa mlivyo-split hadhira...wakati wa taarifa na majibizano.
@TamuzaKale
@TamuzaKale 4 года назад
TBC ndo wamefanya!
@sarahnillah5169
@sarahnillah5169 4 года назад
Nicholaus Makundi ww mtu
@jicholafursa7058
@jicholafursa7058 4 года назад
.ee
@mozaummy327
@mozaummy327 4 года назад
Alhamdullah umekumbuka mashekhe wetu allah atakulipa kwa heri yako
@kiabosaid8366
@kiabosaid8366 4 года назад
Allah atamlipa kwakweli
@omarysimbaimaramiakamiacha7108
@omarysimbaimaramiakamiacha7108 3 года назад
nakubali mbunge wetyu kilwa boy
@adamdullah4755
@adamdullah4755 4 года назад
Ukimkubali bwege na ww unakua bwege🤣🤣 Sema nini nakubali sana bwege ila mimi sio bwege 😂😂
@zubedaramadhan2517
@zubedaramadhan2517 4 года назад
Mnaangalia Nan kasema na c nn kasema 💪💪
@merypeter7467
@merypeter7467 4 года назад
Bg up sana ww mzee noma
@nisilesanga3602
@nisilesanga3602 4 года назад
Nakukubali sana mbunge bwege😂😂😂🤝🤝🤝🤝
@viorasaimon8934
@viorasaimon8934 4 года назад
Bwegeee,umenikosha sanaaana,ukovizuri sana baba
@ramlabaraka1045
@ramlabaraka1045 4 года назад
😂😂😂huyu mbunge anachekesha ila anaongea Point za maana
@faustinekulwa2596
@faustinekulwa2596 3 года назад
Huyu mbunge namuombea sana arudi bungeni 2021 MUNGU amjaalie kabisa
@BLESSblessing1
@BLESSblessing1 Месяц назад
Miaka hiyo ilikua nzuri sana siku hizi bunge limekuwa turivu sana
@juianakarani8341
@juianakarani8341 4 года назад
Mr Bwege hujawahi niangusha,wabunge kama nyie ndio mnaotakiwa,wa kwetu Mwanza ndo hata hasikiki kabisa duuu,nakuombea kwa mola urudi tena Bungeni.Amina.
@pdwanakaza2411
@pdwanakaza2411 Год назад
Daaah nchii hii inawatu muhimu sana sema ccm sio watu wazuri
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 4 года назад
Hahhahahahaha😀😂🤣😅namkubali sana huyu mbunge
@mogjosely8291
@mogjosely8291 4 года назад
I love dis guy walai
@richardezekia6273
@richardezekia6273 4 года назад
Umeshiba eheee ujashiba eheee 😀😀😀
@esperancenathali
@esperancenathali 4 года назад
Kawachana live kweli kweli big up daddy
@brianwekolu7826
@brianwekolu7826 3 года назад
Mmbunge mchapa kazi uyu mwenye roho ya uruma
@khalifasultan2677
@khalifasultan2677 4 года назад
Mheshimiwa Bwege Kaongea Point Nyingi Ingawa Ukisikiliza Kwa Haraka Na Jina Lake Utaona Kama Hamna Kitu,Atakuwa Yupo High😀
@jaclinejoel8935
@jaclinejoel8935 4 года назад
Duuuuu uyu jamaaa naanza kumfatilia
@khalifasultan2677
@khalifasultan2677 4 года назад
@@jaclinejoel8935 Ahaha sawa
@hawaally5603
@hawaally5603 4 года назад
Bwege huwa anaongea ukweli ingawa ana comedy nyingi
@CyimSky
@CyimSky 4 года назад
Msukuma awaka Bingen kwa cheche ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-MfRNuSByQTY.html usisahau kusubuscribe.
@mudoempire
@mudoempire 4 года назад
Sijawahi kucomment lakini kiukweli Bwege ulivyoviongea vyote ni ukweli bunge linasimamia jamuhuri na sio chama. Ni vizur kukumbushana ili kila mtu ajue majukumu yake
@kiabosaid8366
@kiabosaid8366 4 года назад
Yani kaongea ukweli mtupu bwege
@madlipztanzania1931
@madlipztanzania1931 4 года назад
Huyo ndio bwege! Hahah
@mwesigwaabdurahim8590
@mwesigwaabdurahim8590 4 года назад
Noma sana, Mzee yuko sawa
@zamizozamy5528
@zamizozamy5528 4 года назад
Ukimcheka bwege na wewe ni bwegee 😂
@sinacksaigodi5876
@sinacksaigodi5876 2 года назад
He's very bright. He knows how to present critical issues.
@beberulambegu660
@beberulambegu660 4 года назад
USIANGALIE NANI KASEMA ANGALIA NINI KASEMA RESPECT
@calvinmorgan3713
@calvinmorgan3713 4 года назад
Kumbe unafikaga hum we mzee
@beberulambegu660
@beberulambegu660 4 года назад
Ahahaha kupata habari mzee lazima uzunguke
@jovingeorge3051
@jovingeorge3051 4 года назад
Mh. bwege ukovizuri mungu akubariki
@emanueljosephat1605
@emanueljosephat1605 4 года назад
Walahi huyu m2 angastahili kuwa. Jimbo Langu. 😅😅nalima kwake bure mwezi mzima💪
@kadogoomushadi5409
@kadogoomushadi5409 4 года назад
😁😁😁😁waelezeeee kakaaa
@Susharealestatecompany
@Susharealestatecompany 4 года назад
Dah sisikilizagi bunge lakin huyu baba big up
@geofreyemanuel8939
@geofreyemanuel8939 4 года назад
Kwasababu hapa bongo hamtusikilizi ndiomana tumeendakusemea marekani saluti kwa bwege 😂😂😂
Далее
СКАМ НА TWITCH
14:07
Просмотров 303 тыс.
когда мучает жажда // EVA mash
00:58
Просмотров 1,2 млн
TAZAMA VITUKO VYA MBUNGE BWEGE, MBELE YA WAANDISHI
2:40
СКАМ НА TWITCH
14:07
Просмотров 303 тыс.