Nape kaongea ukweli ila ingekuwa sahihi zaidi kama angekishauri chama chake kiache kuhujumu uchaguzi kwa kuiba kura na kibadilike kwa kuendesha chaguzi za HAKI.
Usifurahi pale baya linapomkuta mtu,kuweni wastaarabu,hiyo ni roho ya Wivu. Nyinyi ni wanafiki na pia ni mazuzu,kwa kuwa hamtachaguliwa nyinyi. Tumefundishwa kuwa”TUISEME ILE KWELI ILI BASI ILE KWELI ITUWEKE HURU KWELI KWELI”
Waandishi wa habari kazi Yao ni ukuda kwa kusemwa umepatia ni mara chache ila mabaya yanachambuliwa sana viongozi wajifunze kujitahidi kutenda mema ili wasishuliwe
Acheni undumilakuwili we kitenge huyo nape ni rafk ako na unajua kua anahamishiwa kwenye chama kwsbb ya kwenda kufanya manuva uchaguzi wa mwakani mtawaletea siasa za kitoto wasiojielewa
Nape cheo cha uwaziri kilimpa kichwa na kuwaona watanzania wote washamba kama alivyomuona Hayati Magifuli. Mwemye tabia yake haachi. Rais Samia kumpa uwaziri watamzania wengi ilituuthi sana
Chalamila mast go huyu Baba ni maji Kupwa na kujaa Kauli zake hazina jasho ya mkuu wa mkoa . He doesn’t know the difference between yes and No Sometimes anaongelesha watu kama vile anaongea na watoto wake Ulevi wa madaraka/ matumizi mabaya ya mamlaka. Sometimes the leaders keep wondering why people hate Government so much ?! This kind of leaders are the reason
WANYONGE WANAO ZULUMIWA ARTHI WAMEKWISHA MTETEZI WAO SLAHA KESHA ONDOKA WATALIA WATANZANIA WALIO KUWA WANA PORA ARITHI WANAWATU WAO WAKO NA RAIS KARIBU KWAKWELI HAPO MKUWETU WA NCHI AGALIE RAIS ANAPO KOSEA HAKUNA MTU ANAE WEZA KUMTEGUWA RAIS SAMIA NA YEYE AFIKIRIE
Shida kubwa awa vijana wamejiona nchi niyao Mimi nakushukuru mku make nape kakichafua chama changu kwKauri zake zakijinga umeiba arafu unamuomba mungu akusaidie apana bwana
Ukiitazama kwamakini sana Ile video nape haikumponyoka nawala haikua utani alizamilia kualibu Alijua kitakacho tokea .A..B nyuma yake Kuna agenda gan iliyo mfanya kualibu kazi kilahisi?
Hivi WASAFI media mbona ina WACHAFU humo ndani? Hivi mnaongea nini? Mmesomea hiyo kazi au mmekusanywa tu machawa?? Jifunzeni maadili ya utangazaji washamba nyinyi!!!😚