Тёмный

Magoli yote | Simba SC 1-5 Yanga SC | NBC Premier League 05/11/2023 

UTV Tanzania
Подписаться 70 тыс.
Просмотров 1,1 млн
50% 1

Simba SC imepokea kichapo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Yanga walianza dakika ya 3 kwa goli la Kennedy Musonda kabla ya Simba kuchomoa dakika ya 9 kupitia kwa Kibu Denis.
Kipindi cha pili Yanga ikashindilia kwa mabao ya Maxi Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 64 na 77, Stephane Aziz Ki dakika ya 73 na Pacome Zouzoua dakika ya 87 kwa mkwaju wa penati.
Haya hapa magoli yote sita ya mchezo huu...

Спорт

Опубликовано:

 

26 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 636   
@user-fm7pl6rs3i
@user-fm7pl6rs3i 6 месяцев назад
Kama bado unàangalia magoal Haya 2024 gonga like hapa
@MaswalaboyMaswalaboy
@MaswalaboyMaswalaboy 16 дней назад
Yang nomaaaaaaa
@AgustinoCharles
@AgustinoCharles 6 месяцев назад
Wanaoangalia Leo Jan 20/2024. Gongeni like hapa😅😅
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 8 месяцев назад
Ikiwapendeza Yanga mnipe like5 za Kenedy Musonda na Pacome,Sawa
@Abuusharif
@Abuusharif 12 дней назад
Hiii gomu inanimalizia mb zangu haishi hamu kwa siku naiangalia mara kumi ambao wanaioenda km mm gonga like hapa
@swaumphilimini5720
@swaumphilimini5720 5 месяцев назад
Nani karudia kuangalia 2024😂
@DelvisToke-dx9ir
@DelvisToke-dx9ir Месяц назад
Tupo
@kudramzee5769
@kudramzee5769 8 месяцев назад
Wangapi bado tunàangalia hii mechi tujuane kwa like
@theresialfredybugalama5850
@theresialfredybugalama5850 Месяц назад
Nimerudi kuitazama baada ya simba kushika nafasi ya 3😂😂😂😂
@suratikibunja3905
@suratikibunja3905 Месяц назад
Ila ww bhn lkn sikushangai mana me mwenyew nimerud kuangalia😅😅
@magrethshishwa5481
@magrethshishwa5481 8 месяцев назад
Naombeni like 5 wale mnaongalia tena mechii kama mimi🖐
@user-qo5cb4tl9d
@user-qo5cb4tl9d 5 месяцев назад
👍👍👍👍👍
@user-qo5cb4tl9d
@user-qo5cb4tl9d 5 месяцев назад
👍👍👍👍👍
@DerricusJohn
@DerricusJohn Месяц назад
Tunao angalia tena mwaka 2040 tujuane hapa ✨👉
@saidlwambo1995
@saidlwambo1995 8 месяцев назад
Young Africans the Giant King of Football in Tanzania no one another for high quality in this season.Big up Eng.Hersi Said and all Management and also big up all Players.
@BemJohn-zf6le
@BemJohn-zf6le 3 месяца назад
16-04-2024 gonga like apo 2juane kablaya tare 20
@user-ge3yd1tx5e
@user-ge3yd1tx5e Месяц назад
kuna mechi ambazo hata uwangalie mara halfu 10 utam hauwishi ❤kama hii
@amriiddy1972
@amriiddy1972 8 месяцев назад
Naombeni like 5 kwa Yanga 🖐
@mohamedibakari174
@mohamedibakari174 8 месяцев назад
🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️ 5
@sahraabdallah7242
@sahraabdallah7242 8 месяцев назад
5
@user-le7yp7xg7r
@user-le7yp7xg7r 8 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤😅😅😅😅😅
@juzababalichako2043
@juzababalichako2043 8 месяцев назад
​@@mohamedibakari174😊5
@SafiaNassor-er8ym
@SafiaNassor-er8ym 8 месяцев назад
Yanga ndo yanga wengine photocopy
@JERRYISSAYA
@JERRYISSAYA 20 дней назад
Yanga ni balaa
@arafaally3646
@arafaally3646 Месяц назад
Utv mnilipee maana sjui n mara ya ngap naangaliaaa😅😅😅
@hassanluambano2508
@hassanluambano2508 Месяц назад
Leo najikumbusha tulivyowakanda makolo
@ZeyanaAbdi
@ZeyanaAbdi 6 месяцев назад
Niko hapa 29january 24
@user-vz5mp9qv8e
@user-vz5mp9qv8e 15 дней назад
Mm narudia leo 12-7-24 hii siku ilikua nzuri sana naiona kama inaenda kujiludia kwa makolo
@RauwrencMbwana
@RauwrencMbwana Месяц назад
Leo tar 6 mwezi wa 6 naangalia tena tulivo wakanda makolo may wetu
@moreenbless-vr7oy
@moreenbless-vr7oy Месяц назад
Nkiwa na stress lazima nije uku kujiliwaza 😂😂😂 wake zetu walijua kututegea vzr 😂😂🙌
@kevymloje730
@kevymloje730 4 месяца назад
NAOMBA LIKES ZOTE ZA WANANCHIIII HAPAAAAA TAREHE 25/03/2024🔰💪💪💪🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
@ashamkesa979
@ashamkesa979 8 месяцев назад
Nairudia mara ya 5 kuiangalia Yanga tamu
@user-nh5jz4kk8r
@user-nh5jz4kk8r 8 месяцев назад
Siku zote historia hujirudia karne yoyote ilee ndio alichokifanya yanga leo🎉🎉
@babuumaeda7671
@babuumaeda7671 26 дней назад
Sitosahau uongoz wa Rais ENG HERS YangA nii hiii 5-1 😅 NEW GENERATION
@mariamwadugu3726
@mariamwadugu3726 6 месяцев назад
Tar 21/ 01/2024, nipo hapa❤
@RobertAdam-w1t
@RobertAdam-w1t 26 дней назад
Stumii nguvu kubishana na Wana simba
@Mnengatv
@Mnengatv 8 месяцев назад
I love Young Africans ❤
@FrenkMzumbwe-it3lx
@FrenkMzumbwe-it3lx 8 месяцев назад
Naomben mnilaik ata 5
@user-gu2hr9ec7c
@user-gu2hr9ec7c 8 месяцев назад
Hongera sana wachezajiwa yanga imekuwani istoria
@danielsunghwa487
@danielsunghwa487 4 месяца назад
Timu zote mbovu zinapigwaa 5 jmniiiiiii😆😆😆
@jasminhaji3175
@jasminhaji3175 Месяц назад
Yani nikiwa na huzuni hii ndo faraja yangu plus ile mechi na beluizdad ❤❤❤ na wamenipa nyongeza ya penalty za FA juzi mana nilijua nnapresure kumbe
@user-wj6rx8rv4h
@user-wj6rx8rv4h 6 месяцев назад
Yan naangalia kila day 😊😊😮
@budodianthony8094
@budodianthony8094 6 месяцев назад
😂😂😂❤❤❤27 mwezi 1 2024 aziziki huyu jamaa Hana huluma
@aikamboya1295
@aikamboya1295 Месяц назад
🎉🎉mech tamu sanah
@raideskokushemela4813
@raideskokushemela4813 8 месяцев назад
Hii mech mashabiki wa yanga atutaacha kuitazam maan wengi atukutalajia kama magol yangekua mengi hiv 5G
@JustusPius-zu2ve
@JustusPius-zu2ve 8 месяцев назад
Hii clip nitaiangalia mpaka usiku usiku wa mananeeee
@harodphilipo8228
@harodphilipo8228 8 месяцев назад
Safi sana team yangu.... atukuzwe Mungu wetu mkuu
@yudatadeimdoe9215
@yudatadeimdoe9215 8 месяцев назад
Amen
@fatumamahoiga3978
@fatumamahoiga3978 8 месяцев назад
YANGA SIYO KWA MPIRA HUU🙏🎉
@divaidachboy2339
@divaidachboy2339 8 месяцев назад
Wow hiki kikosi stakisahau kamwe maan nifulaha tu kuangalia
@janelebayo6161
@janelebayo6161 8 месяцев назад
Toka jana naangalia hii highlit nahisi bado ni ndoto My Yanga jaman hivi kweli tumewafunga zote hizi🤣🤣🤣🤣💛💛💛💛💛💛💛
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 8 месяцев назад
Upo kama mie nikitaka kulala lazima niangalie 😂😂
@Fredy-oz5vu
@Fredy-oz5vu 8 месяцев назад
Mimi Kila siku nacheki haya magoli
@rashidselemani2524
@rashidselemani2524 8 месяцев назад
Yaani huwezi kuchoka kuangalia hii mechi aisee yangu ni moto wa kuotea mbali
@RonaldBidico
@RonaldBidico 8 месяцев назад
Yang naipend San 💓❣️❣️❣️🌹🌹🌹❤️❤️❤️❤️
@giftkalenge418
@giftkalenge418 8 месяцев назад
ivi timu Ina maprofesor na madoctor unategemea nini
@issaabdi9129
@issaabdi9129 8 месяцев назад
Jamani YANGA ogopeni mungu sasa timu zingine zitakataa kuleta timu uwanjani
@josephsanga474
@josephsanga474 4 месяца назад
Nani yupo hapaa 1/3/2024😅
@msafiblog
@msafiblog 8 месяцев назад
Hizo ndo 5 sasa zile za 2012 wengi tulikuwa wadogo 😎
@slimmuhabesh2400
@slimmuhabesh2400 8 месяцев назад
Za kwao penati 3
@sahraabdallah7242
@sahraabdallah7242 8 месяцев назад
Alhamdulillah 💚💛💛
@babaalfredi
@babaalfredi 18 дней назад
9/7/2024🙌🙌🙌
@abdilahjuma2493
@abdilahjuma2493 8 месяцев назад
Yanga tuna viongozi wazuri sana, na hii itawatesa sana simba
@majimototv5670
@majimototv5670 Месяц назад
Siku nikivurugwa Tu hua naiangaliaga hii kitu
@user-cv4jb1bm6i
@user-cv4jb1bm6i Месяц назад
Upo kama mimi😂😂😂😂
@azizrashid6173
@azizrashid6173 Месяц назад
Yaan
@user-gu2hr9ec7c
@user-gu2hr9ec7c 8 месяцев назад
Hawa amino macho yao lakini ime tokea hiyo nikazi ya gamondi bwana hatuja roga in maombi tui😂😂😂😂😂😂😂😂🎉😂😂😂😂 poleni sana watani
@Uwesu-rh2vb
@Uwesu-rh2vb 8 месяцев назад
BREAKING NEWS:- wachezaji wanne wa yanga mbaloni kwa kosa la kuuwa mnyama pori hadharani, taarifa zaidi zinasema mnyama huyo wa ajabu anaefanana na paka walimshambulia vikali mbele ya wananchi waliokuwa wanasherehekea kilele cha wiki ya mvua november 5
@user-id3lp1lg4j
@user-id3lp1lg4j 8 месяцев назад
😅😅 dah umetisha wakati unaiunda hii text. Naix ukianza kutabasam SEMA kweri mzee
@Uwesu-rh2vb
@Uwesu-rh2vb 8 месяцев назад
@@user-id3lp1lg4j kweli
@esterpius7423
@esterpius7423 8 месяцев назад
Hongera sana Young Africa.. Mumetufurahisha mashabiki wenu..
@user-wl6il1zk6m
@user-wl6il1zk6m 8 месяцев назад
Yanga naipenda mpaka kufaaaaaaaaa from Louis ville Kentucky
@mustafampande173
@mustafampande173 18 дней назад
09/07/2024 👀👀
@hajishabani4641
@hajishabani4641 8 месяцев назад
Yanga SC itabaki kuwa team kubwa zaidi, simba SC tudijifananishe na hawa ma Giant
@latifachoga4212
@latifachoga4212 3 месяца назад
Leo tareh 25 April naludia mechi yangu pendwa😂😂😂😂😂
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 8 месяцев назад
goal la aziz kuna mtu kalala kama kazimia😂😂
@Fetymama
@Fetymama Месяц назад
Hatar Sana yanga nakpenda mnoooo
@roi2554
@roi2554 8 месяцев назад
Oya jamani clement kaupiga mwingi leo sio poaa
@monicasimbamwene2776
@monicasimbamwene2776 8 месяцев назад
Mzizeeeeeee
@boscojulius532
@boscojulius532 8 месяцев назад
Mzize on fire
@muddyleader4458
@muddyleader4458 8 месяцев назад
Mzize amenifurahisha Sanaa Leo! Pongezi
@godfreykaimbe1780
@godfreykaimbe1780 8 месяцев назад
Mzize anaenda kuwa mchezaji hatari sana na wa bei ghali sana jamani.... daaaaaaah Yanga raha
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 8 месяцев назад
Hatari
@moreenbless-vr7oy
@moreenbless-vr7oy Месяц назад
Hatimae tukawaingiza kwenye chama cha wala tano akina mwakalobo na ii ndo inayo watesa akina mwakalobo 😂😂😂😂
@user-bw1hs2nd8p
@user-bw1hs2nd8p 4 месяца назад
Pale napokua na uchovu, niangaliapo mechi Mimi moyo wng kwatuuu...😂😂😂😂😂😂😂 Yanga weee
@petereliya1983
@petereliya1983 4 месяца назад
😅😅😅😅😅
@user-bw1hs2nd8p
@user-bw1hs2nd8p 4 месяца назад
Haki tena
@AronNgongi-se8xm
@AronNgongi-se8xm 2 месяца назад
Rekodi ya magoli katika msimu mmoja was ligi
@elisha63
@elisha63 8 месяцев назад
Mbna siskii jamn naomben like kwa mzize
@latifapancras5734
@latifapancras5734 4 месяца назад
Tunaotazama tena 2024 like zenu 👇😂😂😂😂😂
@Munshid_Rajab
@Munshid_Rajab 4 месяца назад
nipo😅😅
@DaudFulberth
@DaudFulberth 20 дней назад
Bado naangalia 2024
@elizabethkalinga0822
@elizabethkalinga0822 8 месяцев назад
TAREHE 5 NA MAGOLI 5 NIKUMBUKUMBU NZURI, NA MPIRA UMEANZA 5 OCLOCK
@user-yk9kb8zh8q
@user-yk9kb8zh8q Месяц назад
Daaah imebidi tuu niangalie tena
@joymwantiku3346
@joymwantiku3346 8 месяцев назад
n five kwakweli five , five kinywa kinaumbaa ... ndymaana tumecheza leo trh five💚💚💛
@kaisarimbisso5011
@kaisarimbisso5011 8 месяцев назад
Pacome Ni level ya english premier league
@rashmaissac480
@rashmaissac480 10 дней назад
16/7/24❤
@user-op7mh5sp4p
@user-op7mh5sp4p 6 месяцев назад
Ukiwa na Stress 😢 njoo Tazama Hii mechi 😂 Ume Pona😂😂
@user-bw1hs2nd8p
@user-bw1hs2nd8p 4 месяца назад
Yan ni dawa tosha. Nikiboreka tu, mi chap! Kuangalia 5G zangu napata ahueni
@michaelmulokozi1512
@michaelmulokozi1512 Месяц назад
Kibu alitufunga midomo tukamfunga miguu😅😂
@withomsigwa4918
@withomsigwa4918 26 дней назад
Mm Hadi Leo tar 30/6/2024 nipo naangalia yaani naendelea kupata rahaa
@user-yx2uy7fi6i
@user-yx2uy7fi6i 8 месяцев назад
❤love u yanga natamn mechi iwe leo jmn😅😅
@user-kn8bm3kt1j
@user-kn8bm3kt1j 8 месяцев назад
Jmn hii ni mar ya 7 kuiridiaaa😂😂😂😂❤
@araphermiwady4030
@araphermiwady4030 Месяц назад
June 2024 still watching 😊
@mwambambokani9082
@mwambambokani9082 8 месяцев назад
Simba ni wake zetu
@husnakumburu8853
@husnakumburu8853 8 месяцев назад
Hizi raha za Yanga zinatufanya tuwe na furaha kila siku😅😅😅
@King-zf3lv
@King-zf3lv 8 месяцев назад
Simba kapewa internet ya 5G
@ip_header
@ip_header 8 месяцев назад
Tofauti ya uwezo na maneno imeonekana!
@DEOYanga-cm4fm
@DEOYanga-cm4fm 8 месяцев назад
pacome balaaaaa
@ElishaMollel-zh7ne
@ElishaMollel-zh7ne 8 месяцев назад
Hapo ndipo utakapojua utofauti wa yanga na Al ahly
@user-we2qz1kb8h
@user-we2qz1kb8h 8 месяцев назад
Mwendo ni tarehe tano tano kumbukumbu💚💛💚💛💚💛💚🙏
@abdymmanga6338
@abdymmanga6338 8 месяцев назад
Tatizo la Yanga anazifunga timu ndogo tu, alisikika Kolo 1 baada ya mech kadhaa 😂😂😂😂
@sophiaabdallah7821
@sophiaabdallah7821 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂
@abdymmanga6338
@abdymmanga6338 8 месяцев назад
@@sophiaabdallah7821 Ona sasa walivoanguka uwanjan hd huruma 😂😂😂😂
@sophiaabdallah7821
@sophiaabdallah7821 8 месяцев назад
@@abdymmanga6338 yaan kaah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@nelsonleonard6768
@nelsonleonard6768 13 дней назад
Sasa achana na hii inayokuja msimu huu 2024/25 ndo tutakuwa tunaiangalia miaka yote yanga ya chama,pacome,Aziz,dube, bareke,max,diarra,bacca,nondo,job,boka,aucho,mzize,muda,na wengineo hii yanga mnyama anakula nyingi sanaaa😂😂😂
@user-et9ym1il9m
@user-et9ym1il9m 4 месяца назад
Mpaka ,leo naenjoy tu
@marysaimon2213
@marysaimon2213 8 месяцев назад
Asante, Mungu wakushukuriwa ni wewe
@TheodoryGeydan
@TheodoryGeydan 8 месяцев назад
Kweli yanga wametikisha afrika
@user-wl6il1zk6m
@user-wl6il1zk6m 8 месяцев назад
Mungu mkubwa maombi yamepita vizuri kweli yanga juu from louis ville kentucky
@user-nc1ds6ck5s
@user-nc1ds6ck5s 24 дня назад
Matobo mawili...goli moja master K😂😂
@MrKhatibu
@MrKhatibu 8 месяцев назад
😢😢😢Hongera kwa watani, defenders wetu Leo walikuwa hawapo uwanjani
@edsoneliah2802
@edsoneliah2802 8 месяцев назад
Beki za pembni hakuna kitu.
@user-it3dc1mg5o
@user-it3dc1mg5o 7 месяцев назад
Kila siku naangalia jamani makolo wamelamba loloo🤣🤣🤣🤣🤣
@wapole5620
@wapole5620 8 месяцев назад
Ilaa pacome🙌🏽🙌🏽🔥🔥
@Zubaiba
@Zubaiba 8 месяцев назад
Yanga chukua maua🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ashashemweta3996
@ashashemweta3996 8 месяцев назад
Ila yanga mmetuweza naona mmesahau mpk shida zenu kwanz sawa bwana hayeni
@user-ye5sg6fs2g
@user-ye5sg6fs2g 6 месяцев назад
Yes yanga
@budodianthony8094
@budodianthony8094 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂22 mwezi 1 2024😂😂
@latifapancras5734
@latifapancras5734 4 месяца назад
Tumefungwa mbili na azam ila nikiangalia hii naon kama tulikuwa tunafanya nao mazoez tu yaan haiumi kabisa ila sio tufungwe na simba😂😂😂😂😂
@jacklinembuya2749
@jacklinembuya2749 8 месяцев назад
Rahaaa!!! Tarehe 5 goli tano
@JophureyTuma
@JophureyTuma 8 месяцев назад
Yanga noma sana
Далее
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
#messi #skills
0:20
Просмотров 13 млн