Mbwaduke you are very smart & intelligent, hivi wewe professionally ni mwalimu ? mtu asieelewa kwako haji kuelewa tena maishani mwake - hongera sana kiongozi.
KILICHOWAFERISHA SANA SIMBA NI WIVU ULIOPINDUKIA KWA YANGA KUWA KWENYE KIWANGO CHAKE BORA.. YAANI WANAWEWESEKA NA YANGA..YANGA IMEWAPAGAWISHA MPAKA WANASHINDWA KUISAIDIA TIMU YAO
Simba watupishe kwa kwel panapo majaaliw inshaallah yanga ataend kuwa top six...Mbwaduke si mzalendo kwel uiandike simba then uifute utaifa vip...Hahahahah😂😂😂 NB; Wakat wa Mungu ni wakat sahihi unapandishwa pasipo tarajia na kwa timu hiz tukitulia huend tutafika mbal
@@davidsimbeye1548 ushamba uko wap hapo? ...Umesoma hiyo comment yangu ukailewa..Yanga ana point 31nafasi ya 13 ...mwakan akifanya vzur zaid atakuw wapi? Ndio maana nikasema simba mwakan atupishe...Usisome comment kwa hisia za chuki na ushabiki tu pasipo kuelewa na kufikir kisha ukatoa jibu
Mkiambiwa kolo ligi ya ndani inamuhimu mnashangaa Shangaa sasa mnatoa macho Nini,hii tlela bado picha kamili msimu hujao ndio mtaona picha kamili,hapo ndio mtajua hamjui.
@@NassoroSipemba Hahahah watanyook yan sisi tunaenda kuingia ktk mapambano na wale top four pale juu hasa hii project yetu ikiendelea hivi bila kupata changamoto na mungu akatubarik...watasimulia ad samia aache madaraka...sio Caf au ligi ya ndani ni record after record zinaandikwa yan mpk waseme
Kwasababu katoka kwenye CCL mana CAF CHAMPION LEAGUE na kwenda kwel ccl yani caf confederation league .... Si umeona tofauti ya CAPITAL LATERS na small laters zilivyotumiwa hapo 🤣🤣🤣🤣
Yanga kucheza katika ligi ya making mabingwa hauifanyi simba kupoteza namba saba ya ubora Afrika . Baada ya mchezo huo itakuja African ligi hii Simba itashiriki
Kwa uchambuzi huu simba atakua nafac gan ili tumcheke vizur maana nackia tu shabiki zao wakisema tumewaacha nafac 6. Yaan Toka wao walipokua nafac ya 7 ad 13 Kwa yanga.
@@user-yy5xb7ey8n Labda itokee nafasi ya 7 tuipoteze. Kumbuka ya kwamba nyie mkiongeza points bado hamtaingia 10 bora. Msimu ujao wenye nafasi zao kama Simba na Wydad watarudi🤣
Upande Wa Pili Mjipange Maana Msimu Ujao Moto Wa Jangwani Utakuwa Mkubwa Hata Motsepe Rais Wa CAF Anaijua Yanga Moto Utaongezeka Lazima Usajili Ufanyike KIMKAKATI "
Uchambuzi mzuri shida yako mwaduke unarudia rudia sana maneno, tunakuelewa endelea kuliko kuturudisha tena nyuma ni afadhari muda huo ungeongeza je! Yanga endapo atafuvu. Je ataongeza point ngapi jumlisha na izi?