Aliyekua Msemaji wa Klabu ya Simba Haji Sunday Manara amejitokeza mbele ya Vyombo vya Habari kwa Mara ya kwanza baada ya kuondolewa katika Nafasi Hiyo Siku chache zilizopita
Rich people will use and dump you wakikuchoka just like that ndo walivyo. Siyo mpenzi wa mpira but I can feel vile walivyo m disappoint pamoja na kwamba alijitoa sana simba
Huyu ni mgonjwa wa akili tunaita Ana narcissistic personality disorder plus super gonorrhoea Ana o habitation Muhimbili . Inabidi aende Somalia akatibiwe
MFA MAJI HAACHI KUTAPATAPA, HAJI USIWE MNAFIKI, ULIYOMSEMA SENZO ALIPOTOLEWA NI YAPI NA LEO WASEMA NINI,? ACHA UBABAISHAJI MPIRA SASA UMEKUWA NA WEWE KUWA, FUATA TARATIBU ZA KAZI ACHA DOMO KAYA HATUKUUNGI MKONO NG'O, KAFIE MBALI NA SHIDA ZAKO.