Тёмный

MBWEMBWE za RC HOMERA AKINADI FURSA za UWEKEZAJI MBEYA "TUNA MCHELE wa AJABU / DHAHABU IMEJAA HAPA" 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 626
50% 1

MBWEMBWE za RC HOMERA AKINADI FURSA za UWEKEZAJI MBEYA "TUNA MCHELE wa AJABU / DHAHABU IMEJAA HAPA"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

23 июл 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 3   
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 8 месяцев назад
Safi Sana mkuu wa mkuu wa mkoa napenda uongozi wako
@Allykoroshotv
@Allykoroshotv Год назад
Charels ni mtangazaji Bora sana
@Youngchimodzi823
@Youngchimodzi823 8 месяцев назад
Ili kusonga mbele kimaendeleo Mbeya inatakiwa kuongeza kuwekeza zaidi ktk Elimu,biashara na uwekazaji wa viwanda vya kuongezea thamani na ubora wa mazao ya kilimo. boresha Miundo mbinu ya barabara vijijini na wilayani, Linda mazingira ya mkoa wa mbeya,ongeza mapato ya utalii kwa kuitangaza mbeya,ondoa dhuluma ,rushwa na unyonyaji katika mazao ya wakulima mbeya, dhibiti mambukizi ya ukimwi mbeya na viongozi mbeya washughulikie kwa karibu KERO za wakulima na wafanya biashara Mbeya. Mkoa wa Mbeya na uongozi wake umekosa mikakati ya kiuchumi na kifedha kuimarisha biashara ya mipakani na kukamata masoko Malawi,Zambia na hata DR congo. Maisha ya wananchi wa mbeya pamoja na kuzalisha sana mazao ya kilimo na biashara Bado Masikini,utafiti unatakiwa ufanyike wapi wananchi wa mbeya na mkoa kwa ujumla wanapoteza mapato yao kupitia kilimo na biashara Ili kuziba mianya na kuweza kuimarisha uchumi na maisha Yao binafsi. Mji haujapangwa vizuri ni mchafu na hauvutii unatamani kiwira au Tukuyu ndio ingekuwa mbeya. Wanasiasa mbeya wapunguze kuongea sana wajikite ktk kuimarisha biashara na uwekazaji ndani ya mkoa.mgank mwakeleli inatoa gesi,mbao,chai,ndizi,maziwa,huduma za elimu,utalii nk lakini hawana barabara ya maana Toka katumba Hadi mwakaleli na kufanya wawe masikini zaidi na maeneo mengine mbeya Vipaumbele vyetu mkoa wa mbeya vinatakiwa kuangaliwa upya na kuona namna Gani Kodi ya serikali inatumika ipasavyo kuleta mabadiliko na maendeleo Viongozi mbeya mnajitahidi lkn mnaweza kuongeza ufanisi na kufanya vizuri zaidi ktk kuleta Maendeleo na kasi ya maendeleo mkoa wa mbeya mkidhibiti Rushwa,uzembe, vurugu za kisiasa,vikwazo vya kibiashara kwa wajasiria Mali na kutanua masoko yenu ndani na nje ya mkoa wa mbeya. Kikubwa zaidi ongezeni kasi ya ujenzi na uwekazaji wa viwanda.
Далее
This or That 🛍️
00:52
Просмотров 5 млн
НОВАЯ ПАСХАЛКА В ЯНДЕКСЕ
00:20
Просмотров 273 тыс.
INASIKITISHA, JAMAA AINGIA MKENGE
8:38
Просмотров 2,8 тыс.
SIRI YABAINIKA KUHUSU MCHELE WA MASANJA RICE MMMH
5:39
KUTENGENEZA UTAJIRI WA WATU FULL VIDEO - JOEL NANAUKA
49:41
MCHELE WA KUKAANGA
8:11
Просмотров 35 тыс.
Good job hero. #shorts #fyp
0:20
Просмотров 9 млн