Bundala unanogesha sana kipindi,na Star Mpilipili anaonekana bado ana imani na hofu ya Mungu tofauti na Mastaa na wasanii wengi. Hana wivu,husda mbaya,wala kufuru
Je nabii wa uongo anaetumia mashetani wakubwa kuwatoa watu mapepo na kuwaponya watu magonjwa kwakutumia shetani wake mkuu akikuambia utoe sadaka je Ile sadaka itakua sahihi?