KUNA WAKATI MAISHA YANAONEKANA KAMA YAMEKAUKA,MAMBO HAYAENDI KAMA ULIVYOTARAJIA,UFANYEJE? (KUMBUKA KUBONYEZA SUBSCRIBE NA KUPAKUA APP INAYOITWA MAOMBI KWENYE PLAY STORE YAKO)
shida ya Pr.mmbaga ndiyo hiyo tangu ucomment umeshapewa email yake??? mm mwenyewe kuna wakat nilikuwa na uhitaji naye ,nikapata access zake lakini mwisho wa siku JUHUD ZANGU ziligonga mwamba
Pst mbaaga Mimi mwinjilst kahindi nabarikiwa sana nikiwa Mombasa kenya na barikiwa kwa mafundisho naomba kuwekwa kwa kundi la watu wa maombi, Niko kwa what's up siko kwa lstagram barikiwa mtumishi naomba nikualike Mombasa Kenya ubariki watu wa mungu God bless you