Wazee hao wajipange kurudisha pesa za kina mzee masatu, kisugu na mangungu. Wana chama na mashabiki tunamjua Injinia. Watabaki wawili uwanjani kwenye mechi za yanga.
Huyo mzee ametumwa kuivuruga yanga ili irudi kileee kwenye kwenye mateso sasa viongozi wenyedhamana ya kuiongoza klabu wachukue maamuzi yaliyo sahihi juu ya uyo mzee na hayuko pekeyake yuko na watu
MCHOME SASA INAKUHUSU NN? IACHE SIMBA WEWE NI MPUUZI SANA. MKE UNAYEMPENDA HUWEZI KUMSEMA VIBAYA. MCHOME NI MNAFIKI ACHANA NA SIMBA UNAIHARIBU SANA SIMBA. MCHAMBUZI NI MBAFIKI NA MCHONGANISHI SANA. NYIE NDY MNAYEHARIBU MICHEZO YA NCHI YETU.
Hawa wazee ni wazee wa simba hizi ni njama za simba mwaka huu tumewashika pabaya hawana njia ujinga wao ni kuona kila cku Yanga inapata matatizo ili wao waongoze
Jamaa huyu wanamchekea kazi yake ni kuponda simba na wanamwona tu huku kavaa jezi za simba walioko Dar mfatilieni huyu jamaa ahojiwe na blauz nyingine sio jezi za simba
Wewe scpe acha ujinga, unajiharibia. Kichwa cha habari hakiendani na habari yenyewe. Unajishushia hadhi na unamshishia hadhi mchome. Tutaacha kutembelea Chanel yako.