Mapovu akili nyingi..anawazidi wengi.. viewers 10k just in 13hrs, bado watu wanaona hamnazo.. manara 1.6k viewers 2d; wanamfuatilia wengi huyu AVR..Jicho la 3
Huyusiomnafiki nyinyi hamjamuelewa leonaelewesha anavotoamcango mchome anasema kweli tumetaka vijana ila kwalitiyao ipoje ni vijana ndio ila ligizaohuko walipotoka wataweza Tanzania ngojatuone 8 8
Tulikubaliana waandishi na tv uchwara zinazomuhoji huyu tuzipotezee mazima. Shabiki wa simba kama ume subscribe hii chanel bonyeza hapo unsubscribe fasta then potea fasta