Тёмный

MCHUNGAJI HANANJA BILA WOGA AWALIPUA WAKRISTO FANYENI TOBA ASHUSHA NONDO 3 KIPINDI CHA KWARESMA LAZ 

Maks Media
Подписаться 144 тыс.
Просмотров 22 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 41   
@DomitinaPetro
@DomitinaPetro 3 месяца назад
Huko vizuri mchungaji, Mungu akubariki kwa mafundisho.
@user-nz6xy1vs5i
@user-nz6xy1vs5i 5 месяцев назад
Saaafi sana Mungu akupe maisha marefu
@user-rk8em3me9p
@user-rk8em3me9p 5 месяцев назад
Hongera ww ni PRO.wa zuoni ( PRo.BIBBLE)
@vickylupemba6055
@vickylupemba6055 6 месяцев назад
Mchungaji Hananja nakuelewa na kila unapoongea ni hekima tupu. Barikiwa sana maelezo yako nitayafuata 💯🙏🏾
@asiajoseph314
@asiajoseph314 2 месяца назад
DAMU ya YESU nitakase😭😭😭
@renatusmtakyawa594
@renatusmtakyawa594 6 месяцев назад
Barikiwa sana upo sahii kabisa tuna utapiamlo wa Neno la Mungu
@user-jw8pw2pd9l
@user-jw8pw2pd9l 6 месяцев назад
Kipimo cha kutuonesha kama tuko sawa mbele za mungu peke yake tu ndio naona kama umepungukiwa jitahidi kutambua kazi ya sheria katika maisha yetu sheria ni tabia ya mungu halisi
@user-uu8bd4vi9s
@user-uu8bd4vi9s 6 месяцев назад
Mungu akubariki sana
@wigeasanyerere6451
@wigeasanyerere6451 6 месяцев назад
Kweli binafsi natamani hata nikuone,maana unapigana vita ya kweli na haki.asiye kuelewa kweli ana mauza uza kichwani,unataka watu washike neno la Mungu na sio mathehebu na mifumo yao
@michaelseka6890
@michaelseka6890 6 месяцев назад
Nakuelewa sana mzee wangu Kwa maana unatufungua akili zaidi
@joycemkeka3769
@joycemkeka3769 6 месяцев назад
Nakuelewa sana mtumishi wa mungu unatufundisha vema
@aminamacha5594
@aminamacha5594 6 месяцев назад
Na ss tuouthuria ibada zote ijumaa na jumapili mapadri wanahuburi kuhusu toba kuacha dhambi uzinifu kuiba kuuwa usengenyaji kusaidia asiye kuwa nacho mapadri wanahuburi ila niakili zetu waumini tunahangaika na dunia😅😅😅😅 Amina 🙏
@gabrielpott3325
@gabrielpott3325 6 месяцев назад
Mzee uko saawa saana mw MUNGU azidi kukupa neema zake yani we people kwako iko wazi saana
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 6 месяцев назад
💯
@jorgitolucasbaluth8903
@jorgitolucasbaluth8903 6 месяцев назад
UTAONDOKA MWENEWE KWENHE UKRISTO SISI ATUMWACHI YESU
@adkajisi4536
@adkajisi4536 5 месяцев назад
Umeelewa?
@wanguwangu34
@wanguwangu34 6 месяцев назад
Story hizi hazibariki watu wa Mungu, Naomba tumhubili Cristo tu tuachane na mambo ya Imani za wasiotuhusu.
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 6 месяцев назад
Jifunze kujua ukweli sio unaendaenda kama umejiumba
@sultantz7635
@sultantz7635 6 месяцев назад
Unamuhubiri vipi kwa uongo???
@libetztanzania-kiswahilina2845
@libetztanzania-kiswahilina2845 6 месяцев назад
Media na sio mendia wakenyaaa
@thomasmallya2972
@thomasmallya2972 6 месяцев назад
Nnachoona apa uyu HANANJA LUSEKELO MGOGO ni mnatafta kiki kwa kuchafuana tuu akuna kionhoz makini anakua msengenyaaji fundisha neno achana na ya watu nanyi waandishi acheni kuwachafua watumishi na maswali yenu ya mitego
@sultantz7635
@sultantz7635 6 месяцев назад
Kamsengenya nani?
@deathrow8004
@deathrow8004 6 месяцев назад
MNAFANYA TOBA GANI WAKATI YESU KAMA KWA DHAMBI ZENU???
@amirymdee4259
@amirymdee4259 6 месяцев назад
***Max mindia ni kitu gani?***
@MaksMedia1
@MaksMedia1 6 месяцев назад
Maks Media
@kennedyngusulu9411
@kennedyngusulu9411 6 месяцев назад
​@@MaksMedia1hiyo kengele mnaweka kwenye videos zinaudhi sana kelel ni kubwa mnapoteza audience sana taften namna nyingine
@mndambimrinji
@mndambimrinji 6 месяцев назад
KWELI KENGELE INAHARIBU USIKIVU​@@kennedyngusulu9411
@khamismgunya4519
@khamismgunya4519 6 месяцев назад
Mkristo haukatazwi kujuwa nn uislam wala mwislam hukatazwi kujuwa nn ukristo so ukisoma kwa umakini utajuwa wapi njia sahihi kazi kwako
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 6 месяцев назад
Uislam wao kufunga/toba ni kuonyesha watu na kujidai na kuona ufahari kula futari ,kula usiku mchana unaacha/kubadilisha muda wa kula, hananja umeongea vema
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 6 месяцев назад
Ukristo wetu unatutosha. Hatuhitaji kujua chochote kuhusu Uislamu
@titokwareh1852
@titokwareh1852 6 месяцев назад
Huyu mzee always Yuko negative, we hubiri neno la Mungu Kama wenzako why kuponda matendo ya wakristo kila siku.? Jikite kwenye Bible acha comedy
@wigeasanyerere6451
@wigeasanyerere6451 6 месяцев назад
Ndg samahan binafsi me naelewa anacho maanisha n tushike neno la biblia
@titokwareh1852
@titokwareh1852 6 месяцев назад
​@@wigeasanyerere6451hakuna siku anaongea bila kuponda wachungaji wenzake mara sijui wezi, waongo. Nani asiyejua hapa duniani kuna waongo na wezi? But yy kila akiongea anaponda ukristo kwann asijikite kuhubiri Bible. Ukishasema majivu ni ishara ya toba hyo inatosha why ulete tena comedy mara wengine wanajipaka sijui kama nn. Ttzo anajifanyaga kuongea sana comedy mpaka ana bore. Afundishe neno la Mungu inatosha comedy za nn
@johnmwanja4476
@johnmwanja4476 6 месяцев назад
Namuelewa ssna mchungaji juu ya ukweli ktk Injili....Tuache kuburuzwa na sheria za dini/ dhehebu bali tujifunze nini neno la Mungu( Injili) linasema. Barikiwa saana mchungaji.
@EuphrasiaNtawatawa
@EuphrasiaNtawatawa 6 месяцев назад
Amesema tusome neno,tujifunze neno,tulijue neno tuliishi neno,bila neno la Mungu turaburuzwa tu
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 6 месяцев назад
Kama anakukera basi ujumbe umekuingia vilivyo😂.. safi sana
Далее
Пришёл к другу на ночёвку 😂
01:00