Тёмный
No video :(

MCHUNGAJI HANANJA ALIPUKA HAKUNA BINADAMU DUNIANI ALIYEENDA MBINGUNI NA KURUDI HII KUFURU KWA WATOTO 

Maks Media
Подписаться 140 тыс.
Просмотров 82 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

15 фев 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 170   
@florachogo243
@florachogo243 5 месяцев назад
Mtumishi huyu anajielewa, hongera, watu wanajitoa ufahamu
@seacresthotel8998
@seacresthotel8998 5 месяцев назад
💥💥💥💥👏👏👏MUNGU akubariki sana mchungaji
@Byondorujulika17
@Byondorujulika17 5 месяцев назад
Amina Mutumishi wa Bwana, karibu tena hapa kwetu IOWA STATE USA 🇺🇸.
@sultanalnaamani2156
@sultanalnaamani2156 5 месяцев назад
Mchungaji Mungu akupe afya njema na umri mrefu Mzee wetu tunaomba nambari yako ya Cm ilituwetukiwasiliana kwa pamoja hakika nimependa mafundisho yako ni mazuri na ukweli sana upo vizuri Ahsante.
@user-uu8bd4vi9s
@user-uu8bd4vi9s 5 месяцев назад
Mch umenyoka uko sahihi anae pinga hichi unacho sema akasome neno..Mungu akutie nguvu akulinde maisha yako yote.
@adronicoreveliano7151
@adronicoreveliano7151 5 месяцев назад
Sure!
@adriannebatakanwa6904
@adriannebatakanwa6904 5 месяцев назад
Kina Ezekiel hawakuchukuliwa katika Roho. Yohana akiwa kisiwa Patimo hakuchukuliwa na kuonyeshwa yatakayokuja? Usipotoshe watu japo si wote wanasema kweli lakini kuchukuliwa kupo tu. Omba neema ikuzukie.
@PatriciaAkena
@PatriciaAkena 5 месяцев назад
Binadamu anpendi ukweli...nani anasugumunza na mungu kufuru kweli mungu bibilia inasema imani hati alitembea na mungu wapi hata musa mwenyewe..akumwona na kupenda bure
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 5 месяцев назад
Huyu mchungaji ni comedian wala hana wito wa Mungu ila alisoma theology tu. Kama hana muda wa kukaa magotini hawezi kutumiwa na Roho Mtakatifu.
@charleslukumai7875
@charleslukumai7875 5 месяцев назад
n​@@elishakayagwa9371wewe ndo komedian. Onyesha kwenye biblia mahali palipoandikwa kuna nabii aliyewahi kwenda mbinguni akakutana na Mungu, Mungu akamtembeza kwenye ufalme wake, kisha akarudi duniani.
@obedimunguachiza8434
@obedimunguachiza8434 5 месяцев назад
Tupate wapi tena watumishi wenye ufahamu wa Neno la Mungu kama na huu? Eh Mungu litakase kanisa lako, tuko hatarini.
@japhetmnyeta1076
@japhetmnyeta1076 6 месяцев назад
Mchungaji Ume quolify,ni kweli ili Kujua MUNGU yupo lazima pawe na utaratibu na utaratibu ni sifa ya MUNGU WA mbinguni
@GADAUNEWS
@GADAUNEWS 6 месяцев назад
Asante mtumish Mungu akubarik Hananja
@alexiscirhuza
@alexiscirhuza 5 месяцев назад
Asante sana baba kwa Mashauri Yako ambayo yana uhai. Mungu akupe maisha marefu
@ruthaloyce1012
@ruthaloyce1012 5 месяцев назад
Sawa, Hananja kama Hananja!❤❤❤🌹🌹🌹chukua maua yakoo!
@arimazuri
@arimazuri 3 месяца назад
Uko sahihi baba Mungu akubariki sana mtumishi
@saimonbikulaofficial
@saimonbikulaofficial 5 месяцев назад
Isee hananja tukupe makanisa yoye ya tz uyanyooshe mama unamafindisho yakweli unafundisha uhusiano kati ya mwanadamu na mungu God bless you
@KALULUALLI
@KALULUALLI 5 месяцев назад
MCHUNGAJI NAKUPENDA SANAA WEWE HUNAUONGO WALA UBABAISHAJI
@RockofLifeChurch
@RockofLifeChurch 5 месяцев назад
Mungu ambariki Mchungaji Hannanja Watu wengi hawana misingi.
@IsackTheonest
@IsackTheonest 5 месяцев назад
❤Mungu akubariki mchg, ww ni mwanga wa vijana
@KhadijaKipua-dw7yz
@KhadijaKipua-dw7yz 5 месяцев назад
Mchungaji hananja uko sahihi kabisaa.
@twabwikemundela5770
@twabwikemundela5770 5 месяцев назад
Amen mtumishi. Nimebarikiwa sana.
@abdulsimbarakiye4145
@abdulsimbarakiye4145 Месяц назад
Baba mchungaji mimi ni Abdul Simba mungu akubariki baba yangu mimi ni mwisilam uwa nafata vipindi vyako wewe ni mkweli kabisa
@ElibarikiMbando
@ElibarikiMbando Месяц назад
barikiwa sana hananja;hua nakufuatilia saana
@adenmwakalobo760
@adenmwakalobo760 5 месяцев назад
Hongera na endelea vivi hivi mch Hananja, ulaghai wa baadhi ya wachungaji wachumia tumbo kwa kuwahadaa watu wanyonge na wasio na ufahamu mzuri ktk makanisa yao! Watakasirika kweli kwa vile umezianika hadharani mbinu zao ovu za kupumbaza watu; hata mienendo yao imejaa chukizo! Jamii yetu inapata faida kwa kuamshwa kupitia mafundisho yako kwa muongozo wa bibilia takatifu.
@imanihussein9457
@imanihussein9457 6 месяцев назад
hananja upo vzr
@user-sk9qr8jk7b
@user-sk9qr8jk7b 5 часов назад
Masha Allah
@eliabrandy
@eliabrandy Месяц назад
Nakukubali sn pastor chukua mataji
@williamkadote305
@williamkadote305 5 месяцев назад
Muchungaji kwakweli unaongea sahihi, Na uko Baba watoto, ❤Sasa Muchungaji kwanini ulimi yako kila mara inatoka inje ? Kwakweli sio ma sighs zakisasa ?
@blandinajoseph1291
@blandinajoseph1291 5 месяцев назад
Anaufanya kama ishara ya njoka
@user-hg7ec5vc3f
@user-hg7ec5vc3f 25 дней назад
Yohana 3:13 Wala hakuna mtu aliyepaa mbinguni, ila yeye aliyeshuka kutoka mbinguni, yaani, Mwana wa Adamu. Ni kweli Baba upo sahihi Akuna alie enda mbinguni akarudi
@KabatoniBoraa
@KabatoniBoraa 5 месяцев назад
Mchungaji wetue tupe number za sin Ili tuwe tunawasiliana.kwamana Wewe naona elim unayo kabisaa.allah akuifadhi akupe nguvu zakuteteya dini zote
@user-uy5zk4lj5w
@user-uy5zk4lj5w 5 месяцев назад
HALELUYA, MCHUNGAJI MUNGU AKUBARIKI KWA UKWELI WA NENO LA MUNGU KUPITIA BIBLIA TAKATIFU
@costantineevarist5110
@costantineevarist5110 5 месяцев назад
Amina mchungaji..Aliyepaa Ni Yesu tu.Wengine ni hadithi tu za uongo
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 5 месяцев назад
Hata Mtume Muhammad mwenyewe alidanganya umma eti alipaa na Buraq😂
@felisterjoshuamollel3930
@felisterjoshuamollel3930 5 месяцев назад
Tunakukubali Sana mch. Hananja❤chukua maua yako 🎉🎉
@phinescah7353
@phinescah7353 5 месяцев назад
Amesema ukweli kabisaa,i support the truth because the bible says you shall know the truth and the truth shall set you free
@pcctMadale
@pcctMadale 5 месяцев назад
PASTOR HANANJA UKO SAHIHI KABISA,HAKUNA BINADAMU ANAWEZA KWENDA MBINGUNI KUONGEA NA MUNGU,HAKUNA BINADAMU ANAWEZA KUONANA NA MUNGU NA AKAWA SALAMA!HATA MUSA HAKUWEZA!
@Kamkono
@Kamkono 5 месяцев назад
Henoko ?
@hermannicholaus238
@hermannicholaus238 6 месяцев назад
Njoo Moshi
@user-yq7yv5bb8j
@user-yq7yv5bb8j 2 месяца назад
Jaman mm nikimsiliza mch Hananja Roho inajaa amani tele.
@priscakitambi8639
@priscakitambi8639 2 месяца назад
Uko vzr sana Mch. Mi nakukubali sana
@japhetmnyeta1076
@japhetmnyeta1076 6 месяцев назад
Hakuna roho ambayo itakua kwenye mwili ikamuona MUNGU na isitake kumrudia muumba wake Kwa uzuri aliokua Nao MUNGU thus why Mussa alipokwisha ona mgongo wa MUNGU alirudi na wazee wa Israel wakashangaa mng'ao na wakamkimbia
@mossesezekiel7862
@mossesezekiel7862 5 месяцев назад
Ashukuliwe MUNGU atupae kushinda kwa BWANA WETU YESU KRISTO
@user-wq4pl5dv6b
@user-wq4pl5dv6b 5 месяцев назад
Mtume mohamed
@hildaminja5148
@hildaminja5148 5 месяцев назад
Asante sana. Unaweza kusaidia kizazi hiki
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 5 месяцев назад
Hananja mungu akubariki sana kwakusema ukweli
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 6 месяцев назад
Walokole wanauvuruga ukristo sanaa...
@fredyjunior6961
@fredyjunior6961 6 месяцев назад
Mnooo
@leonardpeter153
@leonardpeter153 4 месяца назад
Shetani ni mjanja sana watu wanawaogopa sana manabii wachungaji wanatumia nafasi hiyo kuvutia sana kwao ,Mungu ana mipaka yote yanawezekana kwake yeye aaminiye biblia aiimpi Mungu mipaka
@user-tf4zb9fz1f
@user-tf4zb9fz1f 5 месяцев назад
Mwacheni Mzee angee ukweri .
@user-ty4ji9qm5r
@user-ty4ji9qm5r 5 месяцев назад
Hongera sana Hananja
@lwitikomusa1712
@lwitikomusa1712 5 месяцев назад
Amina mtumishi ananja 🙏
@DonatiMlay
@DonatiMlay 5 месяцев назад
Huyu mchungaji anasema ukweli mtupu manabii wa uwongo kwa ajili ya kuwapora hela waliokosa maarifa.
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂 asante kwa kuwaumbuwa wenzako wako kibiashara tu kuendesha maisha na watu hawana akili wanafata mkumbo tu
@MILEMBEMASUKE-ds2fx
@MILEMBEMASUKE-ds2fx 5 месяцев назад
What a paster....🙏
@barakamohammed8628
@barakamohammed8628 12 дней назад
👍🙏🌹
@eliuschonjo7706
@eliuschonjo7706 4 месяца назад
Kucheza na akili za watu lazimaa uongezee uongoo !!! Ila hapo Kwa Mungu kuzungumzia uongo ni laana kubwa sana
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 6 месяцев назад
Watu wanajiita manabii😢ni wa uongo 😢😢
@johnwoshi3459
@johnwoshi3459 12 дней назад
Hao wote walikufa Eliya Enoko walikufa hawakwenda mbinguni Hebrew: 11;13
@user-tr2mf3hp5s
@user-tr2mf3hp5s 5 месяцев назад
Nakukubali sana mzee wng
@kwamnkurumah8574
@kwamnkurumah8574 5 месяцев назад
Mchungaji hyu Nina mkubali Sana aise upo sahihi Nikipa mkubwa wao
@littlelunie.7653
@littlelunie.7653 6 месяцев назад
Waambie na daniel alionyeshwa hakwenda mbinguni
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 5 месяцев назад
Bado mitume ya Kinyakyusa😂😂😂
@deogratiaskagoroba6962
@deogratiaskagoroba6962 6 дней назад
Huyo akiongea naweza muamini maana anaongea fact huyo anaroho wa Mungu acha hao hao mizimu wanasema et walienda mbinguni then wakarudi duniani, kwa vyovyote vle huyo anaedai kuwa alienda mbinguni ana tatizo la afya ya akili akafanyiwe uchunguzi hospitali zinazopokea wagonjwa wa akili
@iddyissa8110
@iddyissa8110 5 месяцев назад
Haaa kweli kama unawaza sanaa unaweza ota kweri wanakufuru
@frankanyandwilemwakatika1059
@frankanyandwilemwakatika1059 5 месяцев назад
Mungu atusaidie kuelewa maandiko na sababu ya kuja Yesu 23 Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu. Yohana 4:23 24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli. Yohana 4:24 Tuache kufikiri kimwili Mungu anaongea na watu wake mpaka sasa ukiona haongei na wewe jichunguze mwenendo wako
@francofrederick972
@francofrederick972 5 месяцев назад
Wanafanya mdahalo😅😅😅😅
@farhannahomary5505
@farhannahomary5505 5 месяцев назад
Mungu akulinde
@user-gi3io1ew8e
@user-gi3io1ew8e 5 месяцев назад
❤😂 Amina kabisa true pst 🙏
@user-gt9zw9jk6w
@user-gt9zw9jk6w 5 месяцев назад
Ubarikiwe sana
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 5 месяцев назад
Ila kwenye biblia unawazidi sana kuijua! Wachungaji wengi wengi unawapiga fimbo!
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 5 месяцев назад
Hata hao wengine wanajua, ila wanaitumia vibaya ili kufanikisha malengo yao ya hovyo😢😢😢
@user-cd9nk8yz2h
@user-cd9nk8yz2h 5 месяцев назад
Binadamu mpaka akufe mara moja tuu ndio aende kwa mungu mbiguni
@user-ri8ch2hs3m
@user-ri8ch2hs3m 6 месяцев назад
Waambie baba wafunguke
@hekimaoscar6527
@hekimaoscar6527 5 месяцев назад
Hongera
@petronyereresaliboko4047
@petronyereresaliboko4047 5 месяцев назад
Watu wanaenda kuzimu na mbinguni yaani sana Tena shida saana hii inatisha mpaka unajiuliza hii ni nini
@user-tl5oz3ws9m
@user-tl5oz3ws9m 5 месяцев назад
Ukosawa sana badili muelekeo uokoke ukweli wote unaujuwa
@bashirukajembe4165
@bashirukajembe4165 5 месяцев назад
Nakukubali sana baba
@davidmapugilo5283
@davidmapugilo5283 5 месяцев назад
Ufahamu, ufahamu, ufahamu, never speak of things you do not know
@manuelymanuely-ly7gs
@manuelymanuely-ly7gs 5 месяцев назад
Wee unajina unaufaham
@danielchaulema1670
@danielchaulema1670 4 месяца назад
Watu wangu huangamia kwakukosa maarifa
@majaliwamsigwa6206
@majaliwamsigwa6206 5 месяцев назад
Upo sahihi Mtumishi
@stephenlembo8986
@stephenlembo8986 5 месяцев назад
Yesu hakuleta dini alileta wokovu.
@Nauminaumi_1984
@Nauminaumi_1984 4 месяца назад
Unaongea ukwelii unwell unadumu binandamu hawataki kweli
@suzydeusy1405
@suzydeusy1405 5 месяцев назад
Hamna mtu atamwona Mungu akiwa kwenye mwili huu
@SifaelMpagike-gt1gz
@SifaelMpagike-gt1gz 5 месяцев назад
Amen
@user-wm9hr7fx9l
@user-wm9hr7fx9l 5 месяцев назад
Halafu huyo wa Arusha anajiita nabii mkuu,tofauti na maandiko maana kwa mjibu wa maandiko alie mkuu ni mmoja tu
@christianmwabukusi8132
@christianmwabukusi8132 5 месяцев назад
Usihangaishwe nao Mchungaji
@bosssyedmund8785
@bosssyedmund8785 5 месяцев назад
Na tracksuit yangu😂😂😂
@JulianMakondo
@JulianMakondo 5 месяцев назад
Sema watu wasimchukulie Mungu kikawaida , kusema ukweli Mungu anatisha na mwanadamu akimwona Mungu katika mwili huu wa damu na nyamu huyo mwanadamu hawezi kuishi , maana hata tuwe wasafi vipi Kwa utukufu Mungu alio nao tukimwona Kwa macho tu ya damu na nyama tunakufa
@user-ye1dt2eb8u
@user-ye1dt2eb8u 5 месяцев назад
Na vile watu tumechanganywa ni hizo ushuhuda za walio enda mbinguni na kuzimu, au Mungu aliwachukua ili waje watufundishe jinsi kuzimu inavyotisha
@lukamwinuka2957
@lukamwinuka2957 5 месяцев назад
Wambie hao wanaenda kuxim wanasema Kwa Mungu
@Zaka-hv9ui
@Zaka-hv9ui 5 месяцев назад
Wewe ni mkweli mch Hananja
@user-mg9fg6vc9w
@user-mg9fg6vc9w 5 месяцев назад
We mzee Uislam umesha ujua achana na Hao matapeli
@user-vr6lu8tq1n
@user-vr6lu8tq1n 5 месяцев назад
Sasa kama wanafunzi wa yesu walikua na wake mbona nyie wengine mnawambia msiowe?
@oscarmario466
@oscarmario466 5 месяцев назад
Hilo swali huyu halimuhusu anamke na watoto na haamini Hilo la kutokuowa maana kuto kuowa ni Sheria ya warumi
@gilbertmaganga9370
@gilbertmaganga9370 5 месяцев назад
Huyu namuelewa sana msema kweli
@ChejoBuchejo-mm8bb
@ChejoBuchejo-mm8bb 5 месяцев назад
Tz ni nchi ya watu wajinga sana ,,,yani tumejazwa uwoga tukawa mazuzu kabisa.....BORA NIWE NARUDI MASKANI KUTAMBIKA ,,,,,Asante mtumishi kusema UKWELI unaopotoshwa
@KabatoniBoraa
@KabatoniBoraa 5 месяцев назад
Sante paster wetu!!!wewe sahihi kabisa.waaambiye awo waache kupoteza Watu.
@bettmutahi1346
@bettmutahi1346 5 месяцев назад
Urealy do have a problem
@tigejuma9865
@tigejuma9865 5 месяцев назад
Pastor anajua mpk ndumu....Yani hua wanipunga xna bro...
@user-fh1vu5xk3j
@user-fh1vu5xk3j 5 месяцев назад
Wengi tunakuelewa,
@japhetmnyeta1076
@japhetmnyeta1076 6 месяцев назад
MUNGU si mchezo wazee
@saidiathumani6443
@saidiathumani6443 5 месяцев назад
Mafarisayo walishindwa kumwelewa yesu vilevile kwa sababu ya ufahamu tangulizi ndani yao. Muumba ni sauti na anasikika kupitia mmoja aliemchagua, ni vigumu sana kumuelewa muumba kama huna unyenyekevu. Hata hivyo wapo waliokusudiwa ndio wanaoelewa kuwa muumba anafanya kazi na wale wampendao, aliowakusudia hata kabla ya chochote kuumbwa!!
@AnthonyAnatory
@AnthonyAnatory 5 месяцев назад
Kabisa wasanii hao wanaangalia maokoto
@EvanceBoy1997
@EvanceBoy1997 5 месяцев назад
Unaongea unbelievable yule ni tapeli 😅😅😅
@SaleheRichard
@SaleheRichard Месяц назад
MCHUGAJI SEMA UKWELI KABISA UMESOMA BIBLE KIUKWEL
@saidali-xv8yh
@saidali-xv8yh 5 месяцев назад
Hameni huko dini ya ukristo siya dini wapagani ndiyo wemekuiteni wakristo siyo Mungu wala yesu hakutmwa kwenu bali katumwa kwa wana wa israel.
@Asana-wi7yj
@Asana-wi7yj 5 месяцев назад
Unahitaji kuelekezwa aliowaijilia hawakumpokea
@user-cf9tt4vg9e
@user-cf9tt4vg9e 5 месяцев назад
UWO NI KWELI KABISA
@georgiakiluvia8029
@georgiakiluvia8029 4 месяца назад
P
@rosejefwa9806
@rosejefwa9806 5 месяцев назад
Sasa hao wazee wanakuja kukupakamafu wanakuwa wameyatowa wapii wanakiwanda?
@florah-jw9wk
@florah-jw9wk 5 месяцев назад
Mchungaji unaongea kweli
@Inzaghi809
@Inzaghi809 5 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Далее
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Просмотров 1,6 млн
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Просмотров 1,6 млн