Тёмный

MCH HANANJA ALIVYO IBUA MJADALA BAADA YA KUINGIA MSIKITINI, ONA MAJIBU YAKE 

Mbengo Tv
Подписаться 1,5 млн
Просмотров 78 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

23 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 143   
@dullyjabri8393
@dullyjabri8393 9 месяцев назад
Nakukubali sana mzee wangu una Hekima Sana full respect
@DawsonKiwia-qt6zf
@DawsonKiwia-qt6zf 9 месяцев назад
Safi sana mchungaji ukiwa borne town unakuwa mwerevu zaidi wa shamba hawatakuelewa. Umeongea vizuri inategemea watu wameudhuria kwenye dhehebu lingine wamefuata nini pia umehimiza watu kulima, kufanya kazi watanzania wengi wanapenda kudeka wanakwepa kuwajibika hayati Magufuli aliliona hilo akawapeleka msobe msobe vijana wengi wanapenda kujiremba na kutunzwa usichoke mwalimu.
@abdallahkikungulu9141
@abdallahkikungulu9141 9 месяцев назад
Mungu akupe maisha malefu sana mchungaji
@Mtukazi98
@Mtukazi98 9 месяцев назад
Allah akuoneshe haki mzee hananja, ukweli uko vizuri sana mzee wangu
@prochesernest5439
@prochesernest5439 9 месяцев назад
Haki na uzima WA milele ni Kwa Yesu kristo alipo huyo mchungaji njoo kwenye kweli na uzima WA milele
@martinisadru9899
@martinisadru9899 9 месяцев назад
Uslamu ni njia ya haki, na UKRISTO ni njia ya kweli,, kazi kwako kupambana haki na kweli.
@AdamDaudy
@AdamDaudy 9 месяцев назад
Uislamu ni dini ya HAKI na yeyote atakae amua kufuata Dini isiyokua Uislamu aelewe kua Dini hiyo haitokubaliwa siku ya malipo .Nasaha zangu kwa ndugu zangu Wakristo SILIMUNI ili mpate SALAMA siku ya hukumu
@martinisadru9899
@martinisadru9899 9 месяцев назад
@@AdamDaudy je! Ukweli, na haki, ni kipi kisichoweza kupotezwa na wanadamu?
@fredrickgitonga1972
@fredrickgitonga1972 9 месяцев назад
Uko uwakika gani bila uislamu akuna salama siku ya kihama
@yusuphibrahim2850
@yusuphibrahim2850 8 месяцев назад
Mchungaji upo vzr mungu amekipa uwezo mkubwa mungu akubariki
@abasingaruka1872
@abasingaruka1872 8 месяцев назад
Hongera mchungaji uyasemayo Ni sahihi, , na wachache wanaoelewa hayo, ,baadhi ya waislamu wahamisjha ugomvi sio Amani,
@MusaPeterMatogoloWalaga
@MusaPeterMatogoloWalaga Месяц назад
Barikiwa sana mchungaji
@ShamimMsofe
@ShamimMsofe 9 месяцев назад
Mzee wangu una busara sana mzee wangu Allah akujalie .
@africaonechannel1289
@africaonechannel1289 9 месяцев назад
Huyu Mzee ANA AKILI!!!!!!! And Generally Speaking These Old Boys nitafauti sana na This New Generation!!!!.
@ZaituniLaizer
@ZaituniLaizer 2 месяца назад
Nakukubali sana mchungaji una busara 🎉😊
@habibmohamed4728
@habibmohamed4728 9 месяцев назад
Majibu mazuri mtumishi wa Mungu ingawa anajaribu kukuchallenge hakupati Tena
@rajabrwambow9660
@rajabrwambow9660 9 месяцев назад
Hongera sana mchungaji❤❤❤
@hemedsimbaathwartv
@hemedsimbaathwartv 8 месяцев назад
Mashallah mi n muislam ktk kenya , huyu mzee ana busara xna
@martinlema7328
@martinlema7328 9 месяцев назад
Amina... Namwomba Mungu akupatie hitaji la moyo wako.😊
@giftami7792
@giftami7792 2 месяца назад
Ubarikiwe
@hamsikrasheedi1796
@hamsikrasheedi1796 8 месяцев назад
يَأَيُّهَا النَّاسُ إِنَّا خَلَقْنَاكُم مِّن ذَكَرٍ وَأُنثَى وَجَعَلْنَاكُمْ شُعُوبًا وَقَبَائِلَ لِتَعَارَفُوا إِنَّ أَكْرَمَكُمْ عِندَ اللَّهِ أَنْقَنَكُمْ إِنَّ اللَّهَ عَلِيمٌ خَبِيرٌ Enyi watu! Hakika tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke, na tumekufanyeni watu na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi miongoni mwenu mbele ya Mwenyezi Mungu ni yule aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mwenye khabari
@StephanoPaulo-x2e
@StephanoPaulo-x2e 2 дня назад
Kwl ww unajua vitu vingi
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 9 месяцев назад
Leo umependeza mtoto wangu na hicho kilemba 💕💕
@omarmohamed312
@omarmohamed312 9 месяцев назад
mzee hananja ni mtu wa busara sana na ni mtu anaesema ukweli sana. sisi waislamu wengi tumetokea kumkubali na tunamuombea Allah amfungue zaidi aone haki ipo wapi. hachukii uislamu.
@RamadanPaul
@RamadanPaul 9 месяцев назад
Amini
@fredrickgitonga1972
@fredrickgitonga1972 9 месяцев назад
Haki iko kw YESU KRISTO tu, Wala kwingine apana
@omarmohamed312
@omarmohamed312 9 месяцев назад
@@fredrickgitonga1972 nendeni na wakati someni kitabu chenu. mitaona munakoelekea.
@RamadanPaul
@RamadanPaul 9 месяцев назад
@@fredrickgitonga1972 .... Ni kweli haki ipo kwa Yesu ila sio kumuabudu, Yesu mwenyewe alikuwa anaabudu, leo watu wanamuabudu yesu....😂😂
@zainabzanzibar1518
@zainabzanzibar1518 3 месяца назад
​@@RamadanPaulna wemekwenda mbali zaidi kwa sasa hawamuabudu yesu bali wanamuabudu yele mcheza filam wanasema ndio yesu
@IssufoCassimo-c4r
@IssufoCassimo-c4r 8 месяцев назад
Nakukubali baba❤❤❤❤
@SaidSalum-p5h
@SaidSalum-p5h 8 месяцев назад
Mchungaji Hananja Mungu akupe afya na nguvu na maarifa zaidi. Ukweli nikua unaongea ukweli. Tuko pamoja!!
@JumaMkiji
@JumaMkiji 9 месяцев назад
Uko vizuli sana mchungaji unaufaamu mkubwa sana mungu akubaliki sana
@ISSAAbdillah-z3i
@ISSAAbdillah-z3i 8 месяцев назад
Heshima yako bradha👏
@rahmahersi6584
@rahmahersi6584 9 месяцев назад
Hongera Mchungaji.....
@Rommie002
@Rommie002 9 месяцев назад
Hananja ni Genius anaelewka sana🎉
@ibrahimally8073
@ibrahimally8073 9 месяцев назад
Mashallah.. maneno Yako yapo sahihi...
@Dulla_kite
@Dulla_kite 5 месяцев назад
Mashallh 🙏🏽☝🏽
@IsackTheonest
@IsackTheonest 8 месяцев назад
Uko vzr mchg, ss sote ni wamoja
@abubakarymaulidy5681
@abubakarymaulidy5681 9 месяцев назад
Akili nyingi sana mzee nakibali
@maskatifakii7107
@maskatifakii7107 9 месяцев назад
Safi sana..Hawana..Elimu!!!
@elmes09
@elmes09 6 месяцев назад
Una baya 🙏🏻
@hilaliusjohn8386
@hilaliusjohn8386 9 месяцев назад
Mimi ni mkristo lakini Nakubali kabisa Hananja alifanya vizuri Sana kuitika mwaliko
@SaidWawa-y9d
@SaidWawa-y9d 9 месяцев назад
Safi sana wewe mzee ni mwamba sana aisee
@joshuamunisi8461
@joshuamunisi8461 9 месяцев назад
Fact mzee upo vizuli
@nassormohamed6520
@nassormohamed6520 9 месяцев назад
Nmekuelewa sana mchungajii
@jumaomari3842
@jumaomari3842 2 месяца назад
Wewe kweli ni mtumishi nakusikiliza sana Yani una nimalizia bando
@kingdullah7843
@kingdullah7843 9 месяцев назад
nakuelewa sana mzee wang
@mwinyimwinyimkadam9948
@mwinyimwinyimkadam9948 9 месяцев назад
Upo vzr Mzee
@HellenMendard
@HellenMendard 9 месяцев назад
Uko vizuri baba!
@abuubakar7594
@abuubakar7594 9 месяцев назад
Kweli wata wa zamani walikua na masuria na c vibaya wake wa4 kafundixa mtume muhammad (SAW) alivyopewa Quran mathnaa wa thulatha warubaa
@jpmanotaofficial639
@jpmanotaofficial639 9 месяцев назад
Muhamad kaingiaje hapo anaongelea mfalme sulemani au muhamad nae alikuwa mfalme duh!
@abuubakar7594
@abuubakar7594 9 месяцев назад
@@jpmanotaofficial639 Muhammad (SAW) unamjua kwanza?
@AbdallaMsendele
@AbdallaMsendele 9 месяцев назад
Apana ,Mtumishi uko katika kweli. Mtu awezi kukataa mwalimo,pili Dini zote anaye juwa ni Mungu. Zidi ya yote, Dini mbaya ni ile yenye kuhuwa na kuaribu.
@sostentulian9462
@sostentulian9462 9 месяцев назад
Natamani ningekuwa na ubongo ka mzee hananja
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 9 месяцев назад
UMEONGEA VZR SANA NA HUYU DADA ATAFANYA KAZI NZR SANA YAANI MUANDISHI WA HABARI
@KhadijaKipua-dw7yz
@KhadijaKipua-dw7yz 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂 Huyo ndio Hananja bwana unanikosa sana babaangu wewe Mungu akubariki sana
@Swaahib-i7n
@Swaahib-i7n 9 месяцев назад
Ni Bakwata jamani msimlaum mzee hananja
@RamadanPaul
@RamadanPaul 9 месяцев назад
Hananja tunakupenda sana waislam....
@KABIBIPETER
@KABIBIPETER 3 месяца назад
❤❤❤❤❤❤❤
@kinyuwaJr
@kinyuwaJr 9 месяцев назад
Uko sahihi mchungaji
@jumasungula8510
@jumasungula8510 9 месяцев назад
Mzee unaakili sana
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 9 месяцев назад
🎉una upeo saana baba mtumishi
@VeronicaRugoyi
@VeronicaRugoyi 9 месяцев назад
Baba umetisha❤❤
@gooleserviceyoutubescandar3450
@gooleserviceyoutubescandar3450 9 месяцев назад
Masha Allah Amiiin.
@HatibuAbdalla
@HatibuAbdalla Месяц назад
Sio sahihi mungu anasema hawatakuwa hawatakuwa radhi mayahudi na wakirsto mpaka mfuate Mila yao.hiyo sio hoja ya utanzania tatzo hao maimamu hawapo sahihi katka naamuzi ktk dini.sio tatzo elimu tatzo kuwa na ustiqama jee! angekuwepo mtume angekubali kufanya.tatzo la maimamu be wetu wamenunuliwa na viongozi was dunia
@TatuShakha
@TatuShakha Месяц назад
Umerudia kusoma ulichoandika ?
@ibrahimsaad617
@ibrahimsaad617 9 месяцев назад
Mwamba ❤Unajua
@allyfutto8763
@allyfutto8763 9 месяцев назад
Somo zuri kuhusu utumishi wa Mungu 🕌⛪️☝🏿
@RonnieBertin-f7f
@RonnieBertin-f7f 5 месяцев назад
HUYU BABA ANA MADINI ADIMU SANA
@farajifundi1160
@farajifundi1160 9 месяцев назад
Saf sana mzee
@rashid3562
@rashid3562 9 месяцев назад
Genius
@francoulanga
@francoulanga 8 месяцев назад
❤❤
@kasimkassam9565
@kasimkassam9565 9 месяцев назад
Huyu mzee akili nyingi sanaaa
@EffortEffort-c7r
@EffortEffort-c7r 9 месяцев назад
Nice
@ramadhanihafidh7732
@ramadhanihafidh7732 9 месяцев назад
😂 6:55 wewe ni mtu wa hekima kama najash wa Ethiopia
@umazisalim8070
@umazisalim8070 9 месяцев назад
Baba nakupenda buri
@loner_wolf
@loner_wolf 9 месяцев назад
Mzee ningekuwa Mwandishi hapo ningekuuliza hiv " kati ya mchungaji na wazazi ,nani anaweza kukubariki " ?
@zamdanamwenje9415
@zamdanamwenje9415 9 месяцев назад
Alishawahi kujibu kuwa ni wazazi tafuta clip clip za miaka mingi
@border2bordercuisine168
@border2bordercuisine168 8 месяцев назад
Hawa ndio viongozi wa dini tunaowahitaji Tanzania
@NoahNjeje-n1w
@NoahNjeje-n1w 9 месяцев назад
Naombeni namba ya huyu mzee
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 9 месяцев назад
HONGERA MTUMUSHI, AKILI KUBWA SANA. ILA HATA WAISLAM NAO WANAAMINI SULEIMAN NI NABII LAKINI PIA NI MFALME. KWA HIYO KWENYE UFALME WAISLAM NA WAKRISTO KWA MUJIBU WA MFUNDISHO YA VITABU VYAO WOTE WANAAMINI SAWA KUWA SULEIMAN ALIKUWA MFALME.
@MwanaidMagasa
@MwanaidMagasa 9 месяцев назад
Mungu akulipe maneno yako ukweli kabisa
@SmilingPlanets-yx9rm
@SmilingPlanets-yx9rm 9 месяцев назад
On point
@SaidiYahya-t1c
@SaidiYahya-t1c 9 месяцев назад
Mama Samia pambana na rushwa tunakuomba mama rushwa imezidi nchii hii
@jastinmkoba
@jastinmkoba 9 месяцев назад
Anazeeka vibaya sana wazee wenzie wanabusara🤷
@EvodiusbarakaMtundu
@EvodiusbarakaMtundu 6 месяцев назад
Mzee wabusala
@faudhiasaidi3669
@faudhiasaidi3669 8 месяцев назад
Uyu mchungaji anahekma sana
@allychongowe2025
@allychongowe2025 10 дней назад
Mzee hananja na Mzee wa upako ni wasema ukweli hawana chuki na uislam
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 9 месяцев назад
Kesho kutwa wakristo wenzake watamkata
@seynabhaji8035
@seynabhaji8035 9 месяцев назад
Busara imetawala hapa
@HAMZALUHANGA
@HAMZALUHANGA 8 месяцев назад
Mchungaji yupo sahihi, binafsi naamini imani zote zinazo fundisha utii, waaminifu, upendo, na kumtii Mungu zipo sawa.
@abdul-azeezmagram4973
@abdul-azeezmagram4973 9 месяцев назад
Mtangazaji kuwa makini na maswali yako yanalenga uchonganishi kwenye imani za watu usije ukajutia maswali yako
@ramadhanihafidh7732
@ramadhanihafidh7732 9 месяцев назад
Wewe ni mtu wa haki unaekubalika na kila mwenye akili na imani ya uwepo wa MWENYEZI MUNGU mtukufu
@kasimkassam9565
@kasimkassam9565 9 месяцев назад
Babu kamaliza wanao penda udini mnapigania pepo je niyakwenu ua kama hakuna pepe je mmeuwaniya nini😮
@maalimhamad1297
@maalimhamad1297 9 месяцев назад
Huyo nawewe akilizenu nyote sawa
@martinisadru9899
@martinisadru9899 9 месяцев назад
​@@maalimhamad1297kwani baba Ako aliwahi kufika peponi? Hebu mwambie atume kwene status tuone peponi pakoje.
@stanleyjohn2929
@stanleyjohn2929 9 месяцев назад
Kabisa
@jumaomari3842
@jumaomari3842 2 месяца назад
Ananja wewe ni kiumbe unae tumia kichwa chako vizuri
@JumaBakir
@JumaBakir 9 месяцев назад
Mzee maneno yako mazito yanaitaji yachukuliwe nawatu wote
@Christina-n6b
@Christina-n6b Месяц назад
Nakukubal
@yohanampangule8817
@yohanampangule8817 9 месяцев назад
Sahihi kualikana ,Ila Ni lazima Uwaeleze UKWELI kuwa YESU NDIYE NJIA YA KWELI ,NA HUKO KWENYE UISLAMU WAMEPOTEA ,,,...LAKINI NAONA MCHUNGAJI HUNA USHUHUDA KABISA KABISA. Humjui Allah ,UNASEMA ,unamshukuru.....ALLAH SIO JEHOVA BABA ,,,,HAPA LEO NIMEJUA WEWE BADO SANA..
@carterjordan4216
@carterjordan4216 9 месяцев назад
Allah, Jehova, Mungu, God, ni lugha hizo mkuu. Siyo imani.
@Sheba4651
@Sheba4651 9 месяцев назад
###Yohana Kwani wewe lugha yako ya kijijini huyo muumba mbingu na ardhi huwa mnamuitaje? Maana kwa uhakika wewe si mswahili wa mjini, una lugha yako ya kijijini, hivi Yehova huwa mnamwitaje?
@SaidiRashid-yc3rc
@SaidiRashid-yc3rc 9 месяцев назад
Hujuwi ulitendalo usamehewe
@rahimukayela297
@rahimukayela297 9 месяцев назад
Jamaa ni empty knowledge ALLAH, JEHOVAH, BUDDHA, JAH, GOD, izo ni lugha tu za watu kw Kiswahili ndo MWENYEZI MUNGU.
@emmanuellwinga5686
@emmanuellwinga5686 9 месяцев назад
Bomu lingine hili linaweza tulipukia
@denismugisha2
@denismugisha2 9 месяцев назад
Mchungaji Hananja usiongee sana ukapitiliza, wewe ni mchungaji mtu wa imani unasemaje pengine mbingu haipo?? Siku nyingine utawaambia watu habari za kwenda mbinguni wakuelewe?? Acha ukomedi ktk kila jambo
@alleyd.alleyd
@alleyd.alleyd 9 месяцев назад
Don't pretend like you know too much.
@idrisandaka2198
@idrisandaka2198 9 месяцев назад
Na traffic waache rushwa
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 9 месяцев назад
IMANI ZA KISHOGA KUFUNGA NDOA👀👀😂😂😂
@jpmanotaofficial639
@jpmanotaofficial639 9 месяцев назад
utafungaje ndoa wakati unaowa owa hovyo wake wa nne4 utamvisha pete nani umuhache nani Kwahiyo ndugu zetu waislamu mambo ya ndoa mtaangalia kwa mbali kama balamwezi 😂
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 9 месяцев назад
@@jpmanotaofficial639 Tutawabarikimashoga kufunga ndo kanisani🤣🤣🤣👀
@loner_wolf
@loner_wolf 9 месяцев назад
Naungezaliwa uchawini.....? Tafuta haki acha kurithi mzee. Otherwise nakukubali na kukuthamini sana .
@Philipoupdates
@Philipoupdates 9 месяцев назад
Mbego nina mkasa nitafute
@abdulhamidisiraja4930
@abdulhamidisiraja4930 8 месяцев назад
Yupovizurisana
@MOHAMEDJUMA-x1i
@MOHAMEDJUMA-x1i 9 месяцев назад
point wewe ni mtu makini
@fortyyellu9971
@fortyyellu9971 9 месяцев назад
😂😂😂
@SudiSheikh
@SudiSheikh 9 месяцев назад
Wewe mzee,acha uongo, MUHAMMAD alienda usiku mmoja na akarudi,akaeleza kila kitu paka jinsi kulivyo huko mbinguni.na alikutana na Mola wa viumbe wote.kasome!!!
@youngrappertz1735
@youngrappertz1735 9 месяцев назад
Prove
@SudiSheikh
@SudiSheikh 9 месяцев назад
U want a prove,how do u want aprove n I can't believe!,go n read in Islam it's there very open.
@SudiSheikh
@SudiSheikh 9 месяцев назад
U can't believe,there is an interesting story abt Muhammad sw wen he went to heaven.ucan even Google on ua phone
@jpmanotaofficial639
@jpmanotaofficial639 9 месяцев назад
Muhamad gani alie kufa kwa sumu au kunamwingine alie mbaka haisha au unamuongelea muhamad sala mchezaji wa Egypt 🇪🇬 🤔
@SudiSheikh
@SudiSheikh 9 месяцев назад
@@jpmanotaofficial639 sawa iko siku utakuja juta,utatamani dunia ianze upya lakini majuto yako siku hiyo hayatakufaa kitu.endelea kupinga eti mnaona mnaudhi waislamu.kila mtu atalipwa sawa na vitendo vyake,kumbuka hayo unayoyasema pia ni katika vitendo vyako.utalipwa tu.endelea kucheza
Далее
Fastest Build⚡ | Doge Gaming
00:27
Просмотров 625 тыс.
MCH. HANANJI | "DIAMOND, SHOLO MWAMBA NI WATOTO WETU"
37:38