Safi sana mchungaji ukiwa borne town unakuwa mwerevu zaidi wa shamba hawatakuelewa. Umeongea vizuri inategemea watu wameudhuria kwenye dhehebu lingine wamefuata nini pia umehimiza watu kulima, kufanya kazi watanzania wengi wanapenda kudeka wanakwepa kuwajibika hayati Magufuli aliliona hilo akawapeleka msobe msobe vijana wengi wanapenda kujiremba na kutunzwa usichoke mwalimu.
Uislamu ni dini ya HAKI na yeyote atakae amua kufuata Dini isiyokua Uislamu aelewe kua Dini hiyo haitokubaliwa siku ya malipo .Nasaha zangu kwa ndugu zangu Wakristo SILIMUNI ili mpate SALAMA siku ya hukumu
يَأَيُّهَا النَّاسُ إِنَّا خَلَقْنَاكُم مِّن ذَكَرٍ وَأُنثَى وَجَعَلْنَاكُمْ شُعُوبًا وَقَبَائِلَ لِتَعَارَفُوا إِنَّ أَكْرَمَكُمْ عِندَ اللَّهِ أَنْقَنَكُمْ إِنَّ اللَّهَ عَلِيمٌ خَبِيرٌ Enyi watu! Hakika tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke, na tumekufanyeni watu na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi miongoni mwenu mbele ya Mwenyezi Mungu ni yule aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mwenye khabari
mzee hananja ni mtu wa busara sana na ni mtu anaesema ukweli sana. sisi waislamu wengi tumetokea kumkubali na tunamuombea Allah amfungue zaidi aone haki ipo wapi. hachukii uislamu.
Apana ,Mtumishi uko katika kweli. Mtu awezi kukataa mwalimo,pili Dini zote anaye juwa ni Mungu. Zidi ya yote, Dini mbaya ni ile yenye kuhuwa na kuaribu.
Sio sahihi mungu anasema hawatakuwa hawatakuwa radhi mayahudi na wakirsto mpaka mfuate Mila yao.hiyo sio hoja ya utanzania tatzo hao maimamu hawapo sahihi katka naamuzi ktk dini.sio tatzo elimu tatzo kuwa na ustiqama jee! angekuwepo mtume angekubali kufanya.tatzo la maimamu be wetu wamenunuliwa na viongozi was dunia
HONGERA MTUMUSHI, AKILI KUBWA SANA. ILA HATA WAISLAM NAO WANAAMINI SULEIMAN NI NABII LAKINI PIA NI MFALME. KWA HIYO KWENYE UFALME WAISLAM NA WAKRISTO KWA MUJIBU WA MFUNDISHO YA VITABU VYAO WOTE WANAAMINI SAWA KUWA SULEIMAN ALIKUWA MFALME.
Sahihi kualikana ,Ila Ni lazima Uwaeleze UKWELI kuwa YESU NDIYE NJIA YA KWELI ,NA HUKO KWENYE UISLAMU WAMEPOTEA ,,,...LAKINI NAONA MCHUNGAJI HUNA USHUHUDA KABISA KABISA. Humjui Allah ,UNASEMA ,unamshukuru.....ALLAH SIO JEHOVA BABA ,,,,HAPA LEO NIMEJUA WEWE BADO SANA..
###Yohana Kwani wewe lugha yako ya kijijini huyo muumba mbingu na ardhi huwa mnamuitaje? Maana kwa uhakika wewe si mswahili wa mjini, una lugha yako ya kijijini, hivi Yehova huwa mnamwitaje?
Mchungaji Hananja usiongee sana ukapitiliza, wewe ni mchungaji mtu wa imani unasemaje pengine mbingu haipo?? Siku nyingine utawaambia watu habari za kwenda mbinguni wakuelewe?? Acha ukomedi ktk kila jambo
utafungaje ndoa wakati unaowa owa hovyo wake wa nne4 utamvisha pete nani umuhache nani Kwahiyo ndugu zetu waislamu mambo ya ndoa mtaangalia kwa mbali kama balamwezi 😂
Wewe mzee,acha uongo, MUHAMMAD alienda usiku mmoja na akarudi,akaeleza kila kitu paka jinsi kulivyo huko mbinguni.na alikutana na Mola wa viumbe wote.kasome!!!
@@jpmanotaofficial639 sawa iko siku utakuja juta,utatamani dunia ianze upya lakini majuto yako siku hiyo hayatakufaa kitu.endelea kupinga eti mnaona mnaudhi waislamu.kila mtu atalipwa sawa na vitendo vyake,kumbuka hayo unayoyasema pia ni katika vitendo vyako.utalipwa tu.endelea kucheza