Asante sana Dr . Huu ugonjwa ni night mere umenisumbua sana, na imegundulika kuwa utumbo wangu ni mrefu kuliko kawaida ndio sababu napata choo kigumu. Ukipata nafasi address redundant colon and diverticulitis.
Mimwenyewe nimuhanga wa tatizo nimefanyiwa upasuaji bado tatizolinaludi naupasuaji unatakiwa fedha maisha ndyo haya mtu unakufa uku unajiona sante kwa mafundishomazuri
Tafadhali docta ninahizo dalili Ila nataka kujua bawasiri inachangia pia kuumwa mgongo na ama mwili mzima hasa idara ya mifupa maana mm naumwa sana mgongo nishapiga Hadi x-ray sikupewa majibu tafadhali dictator tunakupataje
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!! ~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na Inje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe. CHANZO CHA TATIZO ~chanzo halisi cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷ 👉KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE 👉KUHARISHA KWA MUDA MREFU 👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO 👉MATATIZO YA UMRI 👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU 👉UZITO KUPITA KIASI 👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU DALILI ZA BAWASIRI 👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa 👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia 👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa 👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo 👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana 👉kupata upungufu wa damu (anemia) 👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo 👉hupunguza nguvu za kiume kwa wanaume, na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake 👉kuathirika kisaikolojia 👉kukosa moral ya kufanya Kazi kutokana na maumivu makali Kwa msaada zaidi tucheki whtsap/call +255712126669 0683147077
@@user-po8hz7xw9j *B. DALILI ZA BAWASIRI* -Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia -Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa -Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi) -Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa. -Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha. -Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.
@@patrickzacharia7483 mimi nawashwa sanaa sehem za haja kubwa ni wiki sasa najikuna paka nikijamba nasikia maumivu lakini choo changu nikijisaidia hakina dam ila nikigumu sanaa napata sanaa maumivu makali shida nini
@@amandawanka5530 choo kigumu ni moja ya sababu zinazosababisha Bawasili inaweza ikawa ya (nje ama ndani). Nakuwashwa pia ni DALILI za bawasili kama umejigundua TIBU mapema
Mbona hii ilinitokea nipo mdogo sana kama darasa la 4 nikijisaidia kinatoka kama kinyama kinatoka kama kinyes lakin saiv naona kimechomoka juu lakin hakina maumiv wala muwasho imekaaje hii na apa nina miaka 20
Mbona mimi ta ngu niko duniani naona ga watoto wa umri wa myaka 2 adi 10 wana ugonjwa wa hemorrhoid niwengi ila mwanangu kwa sasa ameteseka iyo hemorrhoid imeonekana inatoka nje hatowe choo kubwa analia sana hakai umri wake ni myaka 3
@@christopherraymond5459 mimi pia nahisi ninayo ila imepungua. kuna dawa inaitwa ujana. nilitumia ajili ya tatzo lingne lakn ilinisaidia. ukiachana na hio ya bei kubwa. kula mbegu za maboga mara kwa mara angalau mkono mmoja kwa siku. mie saiv nashkuru mungu.