Umeelezea vizuri sana dr mimi nimetoka kupima huyo mdudu h.pylori hakuonekana lakini hapo nimepata sababu umesema kukaa na njaa mda mrefu na mimi huwa nakaa mda mrefu sili naogopa kunenepa shukran dr ngoja nirudi hospital
Asante kwa somo zur doctor, sasa ukishaingia hyo stage ya pili ya vidonda vyenyew hakuna njia au dawa ya kutibu kabisa hivyo vidonda , nisaidye maelezo hapo
Km unaweza kutumia kitunguu swaum ni kizur sana chukua punje nne hadi tano chop chop chukua maji ya moto kiasi unayoweza kunywa meza kama unaweza vidonda asbh kabla ya kula chcht na jioni nusu saa kabla hujala Inshallah utakuwa sawa nilikuwa naumwa mpk naanza kuaga but now Alhamdulillah tumia ndani ya siku saba bila kuachwa utapata majibu ila vitunguu swaum viwe sehem ya maisha yako kwani vina faida kubwa sana mwilini
Vidonda vinatesa sana kwangu hadi nafikia siwezi kuswali kwa maumivu,nilishapima vidonda kwa njia ya damu,barium hadi cha endoscopy nimeshaambiwa ni Gastro clonic ulcers.... Nisaidieni dawa za asili maana za hospitali nishatumia sana lkn bado hali
i know Im randomly asking but does anybody know a trick to log back into an Instagram account?? I stupidly lost the login password. I love any tricks you can offer me
@Torin Quinton I really appreciate your reply. I got to the site thru google and im trying it out atm. Looks like it's gonna take a while so I will reply here later when my account password hopefully is recovered.
du sasa tunachanganyikiwa doct mwingine anasema maziwa fresh hayatakiwi yanatakiwa mtindi mwingine mtindi nao hautakiwi yaani hata sielewi maana nimateso tuu