Тёмный

MEDITATION ya kukaa (Mwanzo)  

Swahili Yoga
Подписаться 1,5 тыс.
Просмотров 8 тыс.
50% 1

Jinsi ya kufanya meditation ya kukaa, kwa mwanzo (beginners).

Опубликовано:

 

24 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 33   
@SylvesterLuhamba-gi3bc
@SylvesterLuhamba-gi3bc 8 дней назад
Je kunakuvuka darasa au nihivo hivo tu milele?
@Iamnia871
@Iamnia871 Год назад
Nimefanya leo kwa mara ya kwanza nimefika mpaka sehemu kuna nyumba kama yale majengo ya kale alaf naona nafsi zinacheza cheza like zinatukaruka uku na kule alaf nikaona kama kuna upepo unazunguka mwili wangu hapa nilipokaa nikaogopa nikafumbua macho😩😩😩
@swahiliyoga
@swahiliyoga Год назад
Umefanya jambo zuri sana, endelea kufungua ufahamu wako
@arolleprinters7659
@arolleprinters7659 11 месяцев назад
Nimefanya meditation akili imerelax sana na nimejikuta kama natoa vitu kichwani na kichwa kinabaki tupu waaaaao it is amazing
@swahiliyoga
@swahiliyoga 11 месяцев назад
@@arolleprinters7659 that's a good step, endelea
@SylvesterLuhamba-gi3bc
@SylvesterLuhamba-gi3bc 8 дней назад
Naomba masomo haya kwa wasAp
@annamichael-v7l
@annamichael-v7l 3 месяца назад
Asante kwa muongozo, nilijaribu sana hii ya pumzi nilishindwa kabisa, afadhali nimeona mwangaza sasa naanza kufanyia kazi haya mafunzo yako, barikiwa sana .
@swahiliyoga
@swahiliyoga 3 месяца назад
Meditation ya pumzi ni kumbuka pumzi yako, ifurahie, na ipende zaidi na itakupa utulivu
@queenmunny244
@queenmunny244 Год назад
Huwa nafanya kila siku asubuh huwa inanisaidia sana kujua nimeamka na hisia gani
@swahiliyoga
@swahiliyoga 5 месяцев назад
Wow, fanya mara mbili kwa siku, maisha utayaona tofauti sana
@SylvesterLuhamba-gi3bc
@SylvesterLuhamba-gi3bc 9 месяцев назад
Naomba namba
@kenedypaul1776-ni2nl
@kenedypaul1776-ni2nl Год назад
Somo zuri
@swahiliyoga
@swahiliyoga 11 месяцев назад
Karibu sana
@alynch33
@alynch33 3 месяца назад
Asante sana! I am learning Swahili and also like meditation. Would you be willing to add Swahili closed captions to your video?
@swahiliyoga
@swahiliyoga Месяц назад
Yes I will thanks
@MarySimoni-tz3fm
@MarySimoni-tz3fm 11 месяцев назад
Nisaidieni jmn nikifanya tuu kichwa kinanuma tumbo kichefuchefu natamani kwel
@swahiliyoga
@swahiliyoga 11 месяцев назад
Jaribu kufanya bila chakula tumboni, fanya mazoezi mepesi kabla ya kuanza, au yawezekana unahitaji darasa ili uwe kwenye ufahamu zaidi
@ShabaniRamadhan-g7m
@ShabaniRamadhan-g7m Год назад
Mimi nikikaa kwa muda mrefu mgongo hua inaniuma je nifanyaje
@bongatv25
@bongatv25 Год назад
Kila nikifanya nakuta nazidiwa msukumo macho nafungua
@halfbloodprincess7714
@halfbloodprincess7714 Год назад
Pumua mara Kwa sekunde tatu ndan shusha 7 nje Kila unapohisi kuogopa utakua sawa
@jamesmbale2067
@jamesmbale2067 Год назад
Sisi tunawatoto nyumbani ata ukiwa ndani ya chumba cha ku lala unasikiya sauti za watoto tufanye namuna gani? Ila ndani ya chumba cha ku lala uko kuna ukimia sauti ndiyo zinafika za watoto ama za inje
@queenmunny244
@queenmunny244 Год назад
Utakuwa una fear so jarib Tena kufanya na usiwe na uwoga
@swahiliyoga
@swahiliyoga 11 месяцев назад
@@halfbloodprincess7714 safi sana, jitahidi kurudi kwenye pumzi yako mara kwa mara....
@swahiliyoga
@swahiliyoga 11 месяцев назад
@@jamesmbale2067 jaribu masaa ya usiku,ambapo kuna utulivu..au wakati watoto hawapo
@WinifridaGregory
@WinifridaGregory 4 месяца назад
Kaka mm nkifanya najihisi kama kuna kitu kinataka kuinuka au kama kitu kinanipeleka upande au kama kitu Kinataka kutoka mwilin mwangu, ikifikia hyo hali naogopa nafumbua macho alaf najikuta nmekaa upande hyo ni nn ??
@swahiliyoga
@swahiliyoga 4 месяца назад
Ni ishara kwamba unafanya vizuri, kwa hiyo nguvu ndani inaanza kuzunguka zunguka . Endelea bila uoga
@gloriaclara8489
@gloriaclara8489 11 месяцев назад
Nimejaribu ikafika maali nakaona kama niko maali kunamwangaza mkali narango tofauti tofauti nikafungua macho😢
@swahiliyoga
@swahiliyoga 11 месяцев назад
Kuna uoga tofauti tofauti ndani yako, labda pia trauma na mambo ya ROOT CHAKRA
@RachelRachel-zx6dx
@RachelRachel-zx6dx 5 месяцев назад
Mimi nikiwa nimekaa huwa nasinzia jamani
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 5 месяцев назад
Ni lazma zoez hili lifanyike hasubui tu usiku je haifai au
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 5 месяцев назад
Na ukifanya hii lazma uwashe meditation music
@swahiliyoga
@swahiliyoga 5 месяцев назад
Muhimu asubuhi na jioni
@swahiliyoga
@swahiliyoga 5 месяцев назад
@@mariamdullazy8166 ni mapenzi ya mtu
Далее
Meditation ni nini ?
4:50
Просмотров 15 тыс.
Mapenzi na Meditation pt2 @thexoshowtira .
11:25
Просмотров 1,2 тыс.
БЕЛКА СЬЕЛА КОТЕНКА?#cat
00:13
Просмотров 511 тыс.
🖤
00:18
Просмотров 502 тыс.
THEY'RE EATING THE DOGS DANCE REMIX!
00:10
Просмотров 178 тыс.
#PART,2-AIBU# SIKU YA KUAIBIKA -MCH.ABIUD MISHOLI
30:03
Self-Help Singh Meditation Compilation
10:02
Просмотров 83 тыс.
MEDITATION NA KUFIKIA MAFANIKIO YAKO ( TAFAKUR ).
6:45
БЕЛКА СЬЕЛА КОТЕНКА?#cat
00:13
Просмотров 511 тыс.