Nimefanya leo kwa mara ya kwanza nimefika mpaka sehemu kuna nyumba kama yale majengo ya kale alaf naona nafsi zinacheza cheza like zinatukaruka uku na kule alaf nikaona kama kuna upepo unazunguka mwili wangu hapa nilipokaa nikaogopa nikafumbua macho😩😩😩
Asante kwa muongozo, nilijaribu sana hii ya pumzi nilishindwa kabisa, afadhali nimeona mwangaza sasa naanza kufanyia kazi haya mafunzo yako, barikiwa sana .
Sisi tunawatoto nyumbani ata ukiwa ndani ya chumba cha ku lala unasikiya sauti za watoto tufanye namuna gani? Ila ndani ya chumba cha ku lala uko kuna ukimia sauti ndiyo zinafika za watoto ama za inje
Kaka mm nkifanya najihisi kama kuna kitu kinataka kuinuka au kama kitu kinanipeleka upande au kama kitu Kinataka kutoka mwilin mwangu, ikifikia hyo hali naogopa nafumbua macho alaf najikuta nmekaa upande hyo ni nn ??